Тёмный

MASANJA SIJAITWA KAMA WACHUNGAJI WENGINE / WANANISHANGAA 

FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Подписаться 199 тыс.
Просмотров 142 тыс.
50% 1

MASANJA SIJAITWA KAMA WACHUNGAJI WENGINE / WANANISHANGAA

Видеоклипы

Опубликовано:

 

19 апр 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 326   
@doriszephania3503
@doriszephania3503 Год назад
Haleluyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Masanja , nimemuona Mungu aliye hai ndani yako!!!!! Baba, Baba, Babaaaaaa! Wewe ni Jembe la Yesu! Yaani Mungu amekukusudia! Yaani kwa wewe Mungu anasaga saga na kuponda ponda maadui. Masanja, kwa kuvuka huo mtego aliouandaa shetani, Umeongezewa nyota ,na cheo Mbinguni kwa Jina la Yesuuuuuu!
@nestorykamole7525
@nestorykamole7525 Год назад
Mtumish yesu aliulizwa maswali hakujibu hubiri neno na MUNGU wa Mbinguni atakuinua
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 3 года назад
Masanja bora hao wanakuja na vimini na jinsi makanisani wanajulikana kuliko wanaokuja wamevaa nguo ndefu kumbe ni malaya adabu hawana wezi na dhambi zote hapa duniani zao. Hivi Yesu akija hapo kanisani atawahukumu hao wenye jinsi, wale wakuu wa makanisa na makanzu yao Yesu aliwaumbua maana walikuwa wanawahukumu watu sana mmoja wao akasema amefuata amri za Mungu tangu utoto, Yesu akamwambia bado moja hujafanya uza ulivyonavyo ukawape maskini yule kuhani roho ilimuuma sana, Yesu akamwambia ni rahisi kwa ngamia kupita ktk Tundu la sindano kuliko tajiri kuurithi uzima wa milele, kuhani alijiona ni mtakatifu na amefuata sheria zote kumbe hatupo chini ya sheria tena na bali chini ya Neema.
@JoakimuJonh
@JoakimuJonh Год назад
Postor mungu akuinue saana mafundisho yako ni ya kristo kwel kalibu bukoba tena
@amanimugabe
@amanimugabe Год назад
Pasteur ubarikiwe na bwana wetu yesu kristo kwa mafundisho
@mariachengula5166
@mariachengula5166 Год назад
Amen
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Год назад
Amen Mungu akushike mkono wake ukushike nakuomba usome Isiya 41:1 InatoshaYesu alisemwa itakuwa sisi sisi? Mungu ana wewe Pastor Masanja. Tunakuombea mpaka shetani ashindwe.
@amanimugabe
@amanimugabe Год назад
Amen mtumishi, kweli tuna kungojeya Congo ujebaba
@MarcoJoseph-np3nd
@MarcoJoseph-np3nd 5 месяцев назад
Mungu akutumie pastor
@farajagabriel9924
@farajagabriel9924 3 года назад
Mchungaji asante kwa mafundisho mazuri,naomba kinanda kipunguzwe au kuzimwa kabisa kwani neno ni la muhimu zaidi tusikie kwa utulivu.
@jackmacha6057
@jackmacha6057 2 года назад
Ni kweli waondoe kinanda
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 3 года назад
Mungu akubariki Sana wewe unaelewa Mungu ni nani sio wanaohukumu watu.
@evastesheni8024
@evastesheni8024 3 года назад
ubarikiwe mchungaji tumrudie Mungu in Jesus name
@ezekielmligo6623
@ezekielmligo6623 3 года назад
Masanja jaribu kujifunza zaidi usijiamini sana hutashaurika jua unamtumikia Mungu katikati ya wanadamu.
@silyviapaul2676
@silyviapaul2676 3 года назад
Kaka masanja uzidi kubarikiwa jamani nawish kuudhuria kwenye madhabau yako hakika u watofauti sana Mungu azidi kukutia nguvu na akuongezee BARAKA kila iitwayo leo
@kilelechaimani.8956
@kilelechaimani.8956 3 года назад
That's my pastor,l wellcome you all to our church.
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 3 года назад
aminaa sana MWANA WA MUNGU, yupo mbabe wa wababe na MFALME WA WAFALME
@elizabethkisogole34
@elizabethkisogole34 3 года назад
Ameeeen mchungaji, pia tunaomba unapohubiri mpiga kinanda apunguze sauti tuskie vizuri bila kuskilizia
@nickytajiri6879
@nickytajiri6879 3 года назад
Mungu alikuja kwa wenye dhambi
@nyudaalpha6407
@nyudaalpha6407 3 года назад
Nimekuelewa Sana miaka 2 uko church ndo ukaokoka, kweli majira sio kulazimisha AMEN
@shabanfitnesstv3977
@shabanfitnesstv3977 3 года назад
Nadhani tunahitaji wachungaji wengi sana kama pastor masanja. Yesu alikuja kwa wenye dhambi. Amina sana pastor
@edwinaoduol5474
@edwinaoduol5474 2 года назад
Wape vidonge vyao, Tumshukuru Mungu kwa vyote alivyotupa Amen.🙏
@kichujatv8648
@kichujatv8648 3 года назад
Masanja bhana! Hya!
@brunompolle1404
@brunompolle1404 3 года назад
Mungu akusimamie katika yote uyafanyayo nimeona Mambo ya ajabu sana mungu kakuinua Sana katika kuinua injili amen
@deograciakashaigili5973
@deograciakashaigili5973 3 года назад
Kabisa!!.Wao wanafikiri wabaya sio wa kwao. Pastor Emma kusanya wabaya wote uwaombee. Siku ya mwisho wataulizwa sijui watajibu nini? Kazi ya Yesu iliyomleta dunia kwani ni ipi? Watujibu hao wachungaji.
@juliusgidion3983
@juliusgidion3983 3 года назад
Ameeeeeeen mtumishi wa Mungu nimekuelewa Sana tu
@justineonline6556
@justineonline6556 3 года назад
Mungu aseme nawe Jambo Kuna kitu hujaelewa kuhusu Mungu 🙏
@hadijalukas5959
@hadijalukas5959 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣 kabisa masanja ni mtumishi wa mungu ila anatuigizia sana move, ila ni sisi tuyafate yale neno la mungu linasema basi. hayo mengine tumwachie apitae majina yote 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@jackobgalish5742
@jackobgalish5742 3 года назад
Dunia iko spidi saanaa 😅 Mungu atufunulie yanayompendeza👏
@everlyneiminza5722
@everlyneiminza5722 3 года назад
Amen Amen 🤲🙏🙏🙏hili ndilo neno hallelujah
@kanaanimkisi5290
@kanaanimkisi5290 Год назад
Nakukubari Sana Mchungaji Masanja
@Filmz639
@Filmz639 2 года назад
Nipe tano mwanangu🤣🤣🤣
@Nashondaniel
@Nashondaniel Год назад
Nakukubali Sana
@daviddanken6093
@daviddanken6093 Год назад
Da uimara huu Kama kwel unatoka kwa mungu wa Ibrahim, the man is very strong.!! Namwachia mungu.
@sebastiansempindu6860
@sebastiansempindu6860 3 года назад
Nakubari Mtumishi nakuelewa saana Mungu akutie nguvu simama kwenye with wako
@theotimumuhairwe1693
@theotimumuhairwe1693 3 года назад
Ni kweli mtumishi
@amanishiughaaa6345
@amanishiughaaa6345 3 года назад
Amina mtumishi wadog zake Roho mtakatif ni weng San
@elyudsaleh6044
@elyudsaleh6044 3 года назад
umenikumbusha na kunielimisha zaidi mtumishi. barikiwa.
@juliusgidion3983
@juliusgidion3983 3 года назад
Chapakazi, Kama Mungu anakuelewa inatosha hata Kama wao wasipokuelewa 👍👍👍🎤🎤🎤
@DaudiMazengoMasterDTEM
@DaudiMazengoMasterDTEM 3 года назад
"Master DTEM" anasema, kazi ya Mungu ni ya Mungu na si Wanadamu. Mungu azidi kukusimamia.
@juliusgidion3983
@juliusgidion3983 3 года назад
Ameeeeeeen
@kennethngoleka517
@kennethngoleka517 3 года назад
Napendaga majibu yako,mchungaji anatumia maneno ya Mungu ili mtu aone mwenyewe kubadilika na siyo kama kukamata watu kwa mateke kuwabadilisha,nakukubali.
@jicholafursa7058
@jicholafursa7058 3 года назад
Acha Yesu akutetee kaka usipoteze muda wa kujibu mwanadamu.
@mariachengula5166
@mariachengula5166 Год назад
Amina ubarikiwe mchungaji Mungu azidi kukuinua
@xmaramoja362
@xmaramoja362 3 года назад
Nakuelewa Ng'wana wane. Wengi ni wanafiki wanavaa suti na kujifanya watakatifu lakini ndani ni mbwa koko. Uko poa masanja uko wazi hii inadhihirisha usafi ulio ndani yako.
@blessingsingers9921
@blessingsingers9921 3 года назад
God bless you pastor
@sifaelymoses7642
@sifaelymoses7642 3 года назад
Kama tumitwa kutafta utukufu waetu sawa ila kama ni wa Mungu acha kujitafutia haki ya kibinadam tafuta Mungu sana na ukubari kukosolewa
@prophetmlokozi4633
@prophetmlokozi4633 3 года назад
Na bado awajasema usiogope
@upendokameno2455
@upendokameno2455 3 года назад
Umenenaaa Mtumishi wa Mungu, Kuna Mahal umenitoaaa
@sikilamtaki853
@sikilamtaki853 3 года назад
Kinanda kipo juu sana kuliko saut ya mtumishi
@dostovan5142
@dostovan5142 3 года назад
Neno liko juu zaid
@marcomayalla5138
@marcomayalla5138 3 года назад
Umeitwa na wazungu sio mungu wakweri
@adoniaceisaya700
@adoniaceisaya700 3 года назад
Wakweli Amemuita wakweri hajamuita!!!
@stevenmsaaada.msaada.389
@stevenmsaaada.msaada.389 3 года назад
Nimeamini biashara matangazo hakika. Uyu mdada mahipsi uyu atapelea waumini wengi sana kanisan kwa masanja.
@brownhenry1916
@brownhenry1916 3 года назад
Ndio ulichokiona ibada nzima?
@lusungukitago9000
@lusungukitago9000 3 года назад
Huyo wa kinanda anapiga kelele sanaaaaaaa
@adamzachariakinyekile6948
@adamzachariakinyekile6948 3 года назад
True kinanda apunguze
@fridahkarimi5510
@fridahkarimi5510 3 года назад
🇰🇪Nikiwa Kenya huwa nafuatilia mafundisho yako,God bless you vessel of God,😀😂 Amen yesu ametutengeneza kwa Neema
@mackfasonmoshi4629
@mackfasonmoshi4629 9 месяцев назад
Yes F Karimi ila tumia herufi kubwa kuandika Yesu.... Barikiwa mnoooo... Tz tunamshangilia Mungu kwa Watumishi kama Massanja... Ataeleweka tuuuu. Amina...
@johnmaganya920
@johnmaganya920 3 года назад
Mungu akutunze Mtumishi
@arafaswalehe4660
@arafaswalehe4660 3 года назад
Nliwahi kusema kuna wewe ni Mtumishi mzuri ila kwa MTU Mwenye dini bila ufunuo WA roho mt hawezi jua,baada ya kuisikiliza hii tu nmetiwa moyo kumbe ni MUNGU alikua anasema ndani Yangu,tatizo ulokole wamapokeo sio wokovu WA kristo halisi,chaps Kazi,Na ni vzr kumsikiliza Mungu.
@jacobnkondola9252
@jacobnkondola9252 3 года назад
Barikiwa saana,...
@julianamganwa9917
@julianamganwa9917 3 года назад
Piga kazi kaka, kwa Mungu mbali sn sio km binadamu wanavyodhani
@gadyjohn3815
@gadyjohn3815 3 года назад
Aisee nimekuelewa sana, Mungu anisamehe nilikuwa mmojawapo kati ya hao, nikubali tu, Mungu anisamehe, now i support you brother
@justineonline6556
@justineonline6556 3 года назад
Nashkuru kwa kunielewa kaka , huyu mtumishi bado hajamuelewa Mungu vizur ipasavyo , Sasa IPO siku Mungu atamfunulia live , hatoamini macho yake ,maana Mungu achezewi ,ataniwi, na pia Mungu huwa apendi mzaa , Sasa haya yanayofanyika kanisani mwake nin ? Kama sio mzaa ? Basi Ipo siku Mungu atanena nae , na ataongea kwa hasira na hasira yake Mungu ukitoka salama Basi hutabakia Kama ulivyo , ipo siku tuu ,tupo hapa Mungu atamjibu tuu ,
@lameckbinigo2897
@lameckbinigo2897 3 года назад
Ubarikiwe kaka mana umetambua
@festochristopher7293
@festochristopher7293 3 года назад
DAaah aseee safi saana nimeupenda ujumbe wako mtumishi
@vagasonmwani5122
@vagasonmwani5122 3 года назад
Msaka tonge huyo .Mungu ni mtakatifu Mungu hawezi kufata kama sisi tunavyo taka .Mungu anatutaka tuishi tufate kama yeye anavyotaka.
@mlawimweusi8473
@mlawimweusi8473 3 года назад
Maandiko yanasema kua tukijiita watakatifu tunamfanya Mungu kua ni muongo
@gorethisalimu6351
@gorethisalimu6351 3 года назад
nimekwelewa mchungaji masanja. mungu azidi kukutumia. mimi nime badilika kupitia maubili yako.
@isackibrahimtz
@isackibrahimtz 3 года назад
Umenibariki Kaka Angu Mungu Akuwezeshe.
@merrynmwambene5109
@merrynmwambene5109 3 года назад
Barikiwa sana mchungaji tunapokea kwajina ra YESU KIRISTO
@elizabethlulandala5149
@elizabethlulandala5149 3 года назад
Barikiwa sanaa
@georgeswai9817
@georgeswai9817 3 года назад
Napenda sana yesu anavyotajwatajwa,sipendi wanavyotajwatajwa,wasanii wabongo freva
@gabrielkimario1891
@gabrielkimario1891 3 года назад
Karibu Sana mkesha wa vijana hapa Emus center ubungo,,, Katoliki church...njoo tukae pamoja na Yesu mpaka saa 10 alfajiri
@newchemchem567
@newchemchem567 3 года назад
Songa mbele ndugu
@zachariamigwiza9976
@zachariamigwiza9976 3 года назад
Mungu akupe uzima
@victaeliud948
@victaeliud948 3 года назад
MUNGU atuongoze kwenye haki yake,kweli na utakatifu maana ndiye atakayemhukumu kila mtu kwa kipimo chake
@heriethinnocent3283
@heriethinnocent3283 3 года назад
Ameeeeeeeeeeeeen baba. MUNGU akubariki sanaaaaaaaaaa kwa neno lenye uzima
@ezekielmligo6623
@ezekielmligo6623 3 года назад
Neno la uzima?
@alhaddajmohammed4768
@alhaddajmohammed4768 3 года назад
Mmmmh....! Huyo Yesu akirudi duniani sijuwi atafikia ktk madhehebu gani na siku ya hukmu/siku ya Kiama mbele ya Mungu Mola Muumba sijuwi atasimama na kundi la madhehebu/Kanisa gani?! "Mpanzi alikwishapanda mbegu njema lakini adui akaongeza kupanda magugu ktk mashina ya ngano alokeisha panda mpanzi, tusubiri siku ya mavuno....." Magugu hayooo... MWENYE MASIKIO ME ASIKIEE...
@adoniaceisaya700
@adoniaceisaya700 3 года назад
Okoka acha stori Kanisa Ni Moja Tu!! Mungu mmoja,Yesu mmoja na Roho Mtakakatifu
@emmanuelteemba8288
@emmanuelteemba8288 3 года назад
Nimekuelewa Sana mtumishi wa MUNGU
@rymondchale1177
@rymondchale1177 3 года назад
Ubarikiwe KAZI ya injili ni kumbadilisha mtu
@stadiusjustus6167
@stadiusjustus6167 3 года назад
Mungu akubatoki zaidi
@martinsimtenda2599
@martinsimtenda2599 3 года назад
Pastor Masanja piga kazi wanadamu hutawaweza wanamaneno mengi. Timiza wito wako aliyekuita ni Mkuu Sana
@cosmaskapinga8943
@cosmaskapinga8943 3 года назад
Nimebarikiwa sana
@dwldgospelorgenes3202
@dwldgospelorgenes3202 3 года назад
MPiga kinanda plz, we need to listen da word of GOD
@elisantennko7811
@elisantennko7811 3 года назад
Uko vizur pastor
@Mwakilasa51
@Mwakilasa51 3 года назад
Amen nimebarikiwa songa mbele ingeku Mimi ningekua na shaka lakini ukiona kunakupigwa mawe una kitu kikubwa sana Mungu akuinue kwa viwango vya juu walitamani uwe Kama wao lakini wewe SI Kama wao songa mbele katika zamu yako
@johnjuma3345
@johnjuma3345 3 года назад
Badilika kama kweli umeitwa na MUNGU wa kweli
@jaberjohn7556
@jaberjohn7556 2 года назад
Masanja the problem, people takes God's work and they apply to regular ,l wish they could let God do his work( judge). Tell them dressing will never take anybody anywhere. To make matter worse the people saying that are born again people. So l wonder where are we going? Keep up the good work Masanja
@varmandavarmtv8999
@varmandavarmtv8999 3 года назад
Kweli ujaitwa kama walivyoitwa maana walioitwa hawajawai kutupa neema kama utoazo ww unaubili lililokweli
@bishopfestobenjamin6118
@bishopfestobenjamin6118 3 года назад
Upo sawa mtumishi
@jumahamic9104
@jumahamic9104 3 года назад
Usiache kuja kanisani na kimini mhhh
@pastormoseschami7208
@pastormoseschami7208 3 года назад
Umesema kweli kabisa Pastor tunaipata hiyo taabu Sana
@methodp4950
@methodp4950 3 года назад
Mungu akubariki mtumishi!
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 3 года назад
amina sanaa MWANA WA MUNGU
@alexmbembati7738
@alexmbembati7738 3 года назад
I get you pastor keep it up an big up
@salvatorealexander997
@salvatorealexander997 3 года назад
dont know if you guys cares but if you guys are stoned like me during the covid times then you can stream all the new movies and series on Instaflixxer. Been watching with my gf for the last couple of days =)
@merrickjagger1704
@merrickjagger1704 3 года назад
@Salvatore Alexander Definitely, have been using InstaFlixxer for months myself =)
@evangelistregnath5765
@evangelistregnath5765 3 года назад
Ubarikiwe pastor kitambo sana npo azania secondary nakuona jangwani na mito ya baraka
@edwinbyamungu2350
@edwinbyamungu2350 3 года назад
Yesu alikuja kwa ajili ya wenye dhambi. Acha wazinzi, wachawi waje ili wapate neno ili waokoke,
@armanyabdallaofficial7110
@armanyabdallaofficial7110 3 года назад
Frm kenya 🇰🇪 ijst love this pstr anaongea ukweli mtupu
@armanyabdallaofficial7110
@armanyabdallaofficial7110 3 года назад
Tunaomba mialiko baba
@hdmusicsounds2601
@hdmusicsounds2601 3 года назад
Mpiga kinanda apunguze sauti ilituwe tunasikiliza vzr maneno ya MUNGU
@hadassahmakuna7954
@hadassahmakuna7954 3 года назад
Kelele zimekuwa nyingi za kinanda ushauri Muda wa neno asipige labda pale penye point hiyo itakuwa nzuri zaidi
@aetiusaugustine395
@aetiusaugustine395 3 года назад
Wekeni link jaman ili tusambaze hujumbe kwa ulimwengu umjue Mungu
@julliusmasai-kanyosa6889
@julliusmasai-kanyosa6889 3 года назад
Ubarikiwe mwana one!
@jaydenlameck8080
@jaydenlameck8080 2 года назад
Mungu akubariki
@priscambwambo1030
@priscambwambo1030 3 года назад
Kabisa kwa swala ls kutobagua watu nasimams na wewe mwanawane uko sshihi . YESU HSKUJA KUFIA WATAKATIFU SLITUFIA WAZAMBI.
@dicksonlaston2175
@dicksonlaston2175 Год назад
Waambie mtumishi maana kuna wanajifanya wameokoka kuliko wenzao
@leonardjoseph4206
@leonardjoseph4206 3 года назад
Ubarikiwe sana maan yapo makanisa ni kusemana tu et kaavaje wanazani kanisan waje walio Safi tu wakat kanisan ni kama gereji kila aina ya gar bovu lije ili litoke limepona co mm huwa nakuelewa sana
@danielkamendu2153
@danielkamendu2153 3 года назад
NAKUELEWA SANA BRO MUNGU AKUPAISHE
@daudmshimbe4642
@daudmshimbe4642 3 года назад
Kwakwel pastor nimekuelwa sana unazungumza vitu vya kiroho kabisa. wasio na Roho mtakatifu hawawez kukuelewa
@erickassenga2991
@erickassenga2991 3 года назад
MUNGU akubariki sana mtumishi wa Mungu nimebarikiwa sana kwa Neno unalo hubir
@happinessmwenda2773
@happinessmwenda2773 3 года назад
MAKANISA LAZIMA YAWE MENGI KULIKO MABAA.YESU AINULIWE
@mnchaneltz
@mnchaneltz 3 года назад
UBARIKIWE MTUMISHI WATU WAJUE KANISA NI KARAKANA INA KILA AINA YA CHOMBO KUNGEKUWA KUNAENDA WATAKATIFU KUSINGE KUWA NA SAABU YA KUABUDU MUHIMU KUISHI KWA MISINGI YA KI MUNGU
@felixbigboy451
@felixbigboy451 3 года назад
Amina sana nimebarikiwa sana na mahubiri yako mtumishi wa mungu na nimejifunza pia
@kafunajohn5021
@kafunajohn5021 Год назад
Asante mungu
@GilgariMinistryTanzania
@GilgariMinistryTanzania 6 месяцев назад
Nakuelewa sanaaa sanaaaa
@esajesi
@esajesi 3 года назад
Asante wajina pastor wafbue macho we are free in Jesus name
@lilykimisa3841
@lilykimisa3841 3 года назад
Amina pst 👏👏👏
@tumainshaban5772
@tumainshaban5772 3 года назад
Ubarikiwe.sana.mungu.akutunze.karibu.majimoto
@esajesi
@esajesi 3 года назад
@@tumainshaban5772 asante
@nehemiahparadox8488
@nehemiahparadox8488 3 года назад
Good,,,, Ila kinanda apunguze kdg
@augustinomwanantala3989
@augustinomwanantala3989 3 года назад
Am blessed by your Massage , Barikiwa Bro n Pastor Masanja
@gooddeeds162
@gooddeeds162 3 года назад
“Message “ 😊
Далее
Pastor Masanja: JITENGENEZEE NAFASI
1:11:17
Просмотров 3,4 тыс.
MCH MASANJA Anena Mazito Kwenye Msiba wa Mama Shigongo
43:52
شربت كل الماء؟ 🤣
00:31
Просмотров 11 млн
НОВАЯ ПАСХАЛКА В ЯНДЕКСЕ
00:20
Просмотров 153 тыс.
HUU NDIO WOSIA WA MBARIKIWA KWA WATOTO WAKE.
14:15
Просмотров 9 тыс.
Evelyn Wanjiru - Inuka (Official Video)
3:15
Просмотров 100 тыс.
Elewa Kitabu Cha wimbo ulio bora: Ambwene Mwasongwe
8:07
можно
1:55
Просмотров 281 тыс.
MACAN - Я хочу с тобой  feat SCIRENA
3:18
Просмотров 150 тыс.
Malohat
3:35
Просмотров 761 тыс.
JJAM
3:06
Просмотров 1,4 млн