Haleluyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Masanja , nimemuona Mungu aliye hai ndani yako!!!!! Baba, Baba, Babaaaaaa! Wewe ni Jembe la Yesu! Yaani Mungu amekukusudia! Yaani kwa wewe Mungu anasaga saga na kuponda ponda maadui. Masanja, kwa kuvuka huo mtego aliouandaa shetani, Umeongezewa nyota ,na cheo Mbinguni kwa Jina la Yesuuuuuu!
Masanja bora hao wanakuja na vimini na jinsi makanisani wanajulikana kuliko wanaokuja wamevaa nguo ndefu kumbe ni malaya adabu hawana wezi na dhambi zote hapa duniani zao. Hivi Yesu akija hapo kanisani atawahukumu hao wenye jinsi, wale wakuu wa makanisa na makanzu yao Yesu aliwaumbua maana walikuwa wanawahukumu watu sana mmoja wao akasema amefuata amri za Mungu tangu utoto, Yesu akamwambia bado moja hujafanya uza ulivyonavyo ukawape maskini yule kuhani roho ilimuuma sana, Yesu akamwambia ni rahisi kwa ngamia kupita ktk Tundu la sindano kuliko tajiri kuurithi uzima wa milele, kuhani alijiona ni mtakatifu na amefuata sheria zote kumbe hatupo chini ya sheria tena na bali chini ya Neema.
Amen Mungu akushike mkono wake ukushike nakuomba usome Isiya 41:1 InatoshaYesu alisemwa itakuwa sisi sisi? Mungu ana wewe Pastor Masanja. Tunakuombea mpaka shetani ashindwe.
Kaka masanja uzidi kubarikiwa jamani nawish kuudhuria kwenye madhabau yako hakika u watofauti sana Mungu azidi kukutia nguvu na akuongezee BARAKA kila iitwayo leo
Kabisa!!.Wao wanafikiri wabaya sio wa kwao. Pastor Emma kusanya wabaya wote uwaombee. Siku ya mwisho wataulizwa sijui watajibu nini? Kazi ya Yesu iliyomleta dunia kwani ni ipi? Watujibu hao wachungaji.
🤣🤣🤣🤣🤣 kabisa masanja ni mtumishi wa mungu ila anatuigizia sana move, ila ni sisi tuyafate yale neno la mungu linasema basi. hayo mengine tumwachie apitae majina yote 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Napendaga majibu yako,mchungaji anatumia maneno ya Mungu ili mtu aone mwenyewe kubadilika na siyo kama kukamata watu kwa mateke kuwabadilisha,nakukubali.
Nakuelewa Ng'wana wane. Wengi ni wanafiki wanavaa suti na kujifanya watakatifu lakini ndani ni mbwa koko. Uko poa masanja uko wazi hii inadhihirisha usafi ulio ndani yako.
Yes F Karimi ila tumia herufi kubwa kuandika Yesu.... Barikiwa mnoooo... Tz tunamshangilia Mungu kwa Watumishi kama Massanja... Ataeleweka tuuuu. Amina...
Nliwahi kusema kuna wewe ni Mtumishi mzuri ila kwa MTU Mwenye dini bila ufunuo WA roho mt hawezi jua,baada ya kuisikiliza hii tu nmetiwa moyo kumbe ni MUNGU alikua anasema ndani Yangu,tatizo ulokole wamapokeo sio wokovu WA kristo halisi,chaps Kazi,Na ni vzr kumsikiliza Mungu.
Nashkuru kwa kunielewa kaka , huyu mtumishi bado hajamuelewa Mungu vizur ipasavyo , Sasa IPO siku Mungu atamfunulia live , hatoamini macho yake ,maana Mungu achezewi ,ataniwi, na pia Mungu huwa apendi mzaa , Sasa haya yanayofanyika kanisani mwake nin ? Kama sio mzaa ? Basi Ipo siku Mungu atanena nae , na ataongea kwa hasira na hasira yake Mungu ukitoka salama Basi hutabakia Kama ulivyo , ipo siku tuu ,tupo hapa Mungu atamjibu tuu ,
Mmmmh....! Huyo Yesu akirudi duniani sijuwi atafikia ktk madhehebu gani na siku ya hukmu/siku ya Kiama mbele ya Mungu Mola Muumba sijuwi atasimama na kundi la madhehebu/Kanisa gani?! "Mpanzi alikwishapanda mbegu njema lakini adui akaongeza kupanda magugu ktk mashina ya ngano alokeisha panda mpanzi, tusubiri siku ya mavuno....." Magugu hayooo... MWENYE MASIKIO ME ASIKIEE...
Amen nimebarikiwa songa mbele ingeku Mimi ningekua na shaka lakini ukiona kunakupigwa mawe una kitu kikubwa sana Mungu akuinue kwa viwango vya juu walitamani uwe Kama wao lakini wewe SI Kama wao songa mbele katika zamu yako
Masanja the problem, people takes God's work and they apply to regular ,l wish they could let God do his work( judge). Tell them dressing will never take anybody anywhere. To make matter worse the people saying that are born again people. So l wonder where are we going? Keep up the good work Masanja
dont know if you guys cares but if you guys are stoned like me during the covid times then you can stream all the new movies and series on Instaflixxer. Been watching with my gf for the last couple of days =)
Ubarikiwe sana maan yapo makanisa ni kusemana tu et kaavaje wanazani kanisan waje walio Safi tu wakat kanisan ni kama gereji kila aina ya gar bovu lije ili litoke limepona co mm huwa nakuelewa sana
UBARIKIWE MTUMISHI WATU WAJUE KANISA NI KARAKANA INA KILA AINA YA CHOMBO KUNGEKUWA KUNAENDA WATAKATIFU KUSINGE KUWA NA SAABU YA KUABUDU MUHIMU KUISHI KWA MISINGI YA KI MUNGU