Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Safi sana maana kama shea mseveni una weza hukanda nashida hakufanya kama hakujui hukiwa na pesa hapo ndio hata kusadia shida yao nilijuwa sisi wabongo hadi kwa wanungwi du!kweli nyinyi mashea mlikuwa vikwazo kwa wananchini wa nungwi.kutoka kwenu mpaka watu wamefanya serehe
Yaani nungwi acha tu maisha yamechange Sana'a ...yaani wakipata maji wataanza tena ubaguzi kutubagua wabongo ...now wanadili na maji .wamesahau hata kutubagua maana mmmhhh hapana ..Allah atawaletea tu mahitaji yao