Waandishi WA habari za kijamii, wakati WA kupoteza Imani ama kujenga Imani Kwa jamii NI wakati huu ambapo mnapotakiwa KUSIMAMIA ukweli na sio KULETA siasa NA kukwepa kusema ukweli hadharani. Hamuonesh misimamo na weledi kama watu mlio na dhamana ya kupaza sauti ya umma. Na HIVI mnafanya mara chache Sana.
@@RajabuKitalambo-q2u UZALENDO NI KITENDO CHA MTU MMOJA MMOJA SIO KUNDI TUKIWA WAZALENDO NA NCHI YETU Akuna atakaekuja na kusema juu yetu au kutuwekea sheria ndani ya nchi yetu KIJANA AMKA Sio neno ni vitendo tufanye kazi piah tuishinikize taifa kutotoa vibali vya bidhaaa zinazoumiza vijana na kutoa vibali vya kuwafanya vijana wafanye kazi atakama awajaajiliwa ilihali tupo ndani ya sheria kwaimani yangu vijana tutafanya kazi kwel kama taifa linavyotaka ILA kwa sharti la kuishi wenyewe bila kuingiliwa mahamuzi na nchi za nje ilo litatudukuma kuelekea kwenye kilele cha mafanikio makubwa
@@RajabuKitalambo-q2u JAMAN WAZALENDO KIJANA ONGEA NA MWANAMKE ILI TUFANYE MAENDELEO YA NCHI NA TUSIWE VIBALAKA.WANAWAKEmwanamke akielimishwa na akiwa mzalendo bas maendeleo yatapatikana tu atakama kikiendelea chama tawala akuna shida kikubwa ni?uzalendo na misingi ya nchi kwanza itakayo leta maendeleo
Sipend siasa, ila mtu akifanya mazur huonekana, ukiwa kiongoz wakat mwingine jiandae kufanya maamuz magumu. Sisemi kwakuw ametangulia ila miongon mwa mazr yake, hakuogopa kufanya maamuz magumu. Kamanda kama huyu siotu kubadilishiwa majukum, mtazamo wngu hafai kuwa kwenye chombo kikubwa kama jeshi la polisi.
Mmbwa hawa ndo muone huyo mamaenu anaeupiga mwingi watu wake hawa mxiuuu misimamo kama hii ndo tunaihitaji huyo askali kwanza hafai hata kuwa askari ni upuuzi mtupu anaongea yan
@@AhamedyKibarati JAMAN WAZALENDO KIJANA ONGEA NA MWANAMKE ILI TUFANYE MAENDELEO YA NCHI NA TUSIWE VIBALAKA.WANAWAKEmwanamke akielimishwa na akiwa mzalendo bas maendeleo yatapatikana tu atakama kikiendelea chama tawala akuna shida kikubwa ni?uzalendo na misingi ya nchi kwanza
@@AhamedyKibarati UZALENDO NI KITENDO CHA MTU MMOJA MMOJA SIO KUNDI TUKIWA WAZALENDO NA NCHI YETU Akuna atakaekuja na kusema juu yetu au kutuwekea sheria ndani ya nchi yetu KIJANA AMKA Sio neno ni vitendo tufanye kazi piah tuishinikize taifa kutotoa vibali vya bidhaaa zinazoumiza vijana na kutoa vibali vya kuwafanya vijana wafanye kazi atakama awajaajiliwa ilihali tupo ndani ya sheria kwaimani yangu vijana tutafanya kazi kwel kama taifa linavyotaka ILA kwa sharti la kuishi wenyewe bila kuingiliwa mahamuzi na nchi za nje ilo litatudukuma kuelekea kwenye kilele cha mafanikio makubwa
Ingekua vema kama kila media mngekua mnafanya uchambuzi WA kina kama anavofanya #odemba. Mbna mnafanya uchambuzi WA magazeti??, taarifa za nje??, udaku??, Kwann mnabaki kusoma post za watu na sio kuchambua na kutoa elimu stahiki Kwa jamii ili kufanya watu wawe aware na kukemea Kwa nguvu??
Wanafki tu wanajifanya kutaka haki kwa kile kinachowapendeza juz kuna watu wamenyimwa uhuru na kupigwa wote wamekaa kimya zaid ya Soggy na A.Y ndo walokemea. Mungu amtendee haki dada aliepata mtihani na sheria ichukue mkono wake
Pumbavu mnapenda kujitokeza kwenye stori za kutrend mbona mtoto albino kakatwa viungo na kauliwa hamjapaza sauti takataka nyie si jasema kama binti hajakosewa
Hawa wanachukulia watu kama mang'ombe, wanaona kama vile raia ni mambuzi wanaweza wakawaongoza wanavyotaka, ngoja ipo siku, hilo nitukio kubwa linalofahamika hayo yasiyofahamika yanaendeshwa vip? IT'S VERY DANGEROUS TO BE RIGHT IN A WRONG, watanzania sisi niwaajabu sana wenzetu wanapotezwa, wengine wanatekwa na ushahidi wawazi upo tumekaa tu kama makondoo hakuna action yotote
Mi nashangaa sioni kiongozi yeyote wa kuliongelea kwa uchungu na kulikenea kwa nguvu kama wana yofanya kwa mengine, kulikoni???????? Mi naomba mheshimiwa Rais wetu atoe kauli katika hili !! Ili mioyo ya watanzania itue mzigo wa maswali na maumivu yaliyojaa mioyoni mwa akina mama
I don’t think we Tanzanians are truly focused on those men already in police custody. Yes they committed the crime but what we really want to know is who orchestrated it. We’ve repeatedly asked to know who the mastermind ?is the woman who organized this crime. She’s the one who directed these five men, paid them, and showed them where to find this girl to commit this atrocity against her. What we really want is to find the mastermind, the woman who orchestrated this crime against this young girl. That’s what all Tanzanians want. I believe a large percentage of us want the authorities to find the mastermind the woman who directed these five men showed them where to find this young girl and instructed them to rape her. We want justice, and that means finding the mastermind.
Hao wangekua Saudi Arabia wangekua washazikwa kitambo Saudi hamnaga kesi za kijinga kotini hawana mda ukipatikana na kosa they deal with u na kosa lako ukiua unauliwa na ukibaka ni panga pia hakunaga makesi kesi za kufatiliwa eti sijui Mahakama inachunguza warabu wapo busy Africans ss ndio tuna ujinga huo kusubiri kesi iamue for wat na Kuna videos all over hio ni evedince tosha
Mabinti waache kudanga bhana unatembea na mme wa mtu unategemea nn angekuwa kafanyiwa mwanaume wala haya makelele yasingekuwepo kwa vile kafanyiwa mwanamke basi mnataka huruma za kijinsia me kwangu naona kapata malipo yake yanayomstahili hebu polisi fanyeni mambo mengine bhana
@@lilyanmongi1075 Hilo sijali ila huo ndo uhalisia asingetembea na Mme wa mtu yangemkuta haya kama angebakwa kwa tamaa ya wanaume tu hapo angehitaji msaada mkubwa ila Kwa starehe yake tu na kama na ww unatabia kama yake ubadilike yatakukuta kama haya halafu msumbue watu
Kwaza hakun mume wa mtu ili awe mume wa mtu kidin lazim itimie 4 alafu huwa hawesemi km anamke unatemgemea nn alafu kos L mwanmk nini nakatika yeye kafwata ajafata km kosa bc liwe LA mwanaum
Taifa letu serikal yetu yaan ni bora tujiongoze wenyew me hata sion umuhumi wa kua na serikal maana awajui kazi yao wala sheria 😢 watuache tujiongoze wenyew kwa kila jambo