Тёмный
No video :(

Matangazo ya Dira ya Dunia TV Ijumaa 12/07/2024 

BBC News Swahili
Подписаться 610 тыс.
Просмотров 10 тыс.
50% 1

Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Опубликовано:

 

11 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 13   
@NoelyLaizer
@NoelyLaizer 23 дня назад
Nawapenda bure
@jimmyromani1339
@jimmyromani1339 23 дня назад
Nawapata nikiwa Burundi hivi viongozi wetu wa African mtaacha lini kuwa watumwa Kwa wazungu
@ombeniyohaneaustin8415
@ombeniyohaneaustin8415 23 дня назад
Tupo pamoja toka cape Town
@muthomimunyua9062
@muthomimunyua9062 22 дня назад
🎉
@user-xc5vf6tt9z
@user-xc5vf6tt9z 23 дня назад
Nawapata mubashara nikiwa luansha Zambia
@user-xj8vt6ur3x
@user-xj8vt6ur3x 23 дня назад
Hujambo
@danwayne786
@danwayne786 23 дня назад
Shukran BBC. Uchambuzi wa kusisimua wa soka. Hispania noma.
@hamuzaelias211
@hamuzaelias211 23 дня назад
Nawapata vizulisana nikiwa kahama BBC kiboko😂
@PeterA.Meshack-mu5rw
@PeterA.Meshack-mu5rw 23 дня назад
Naitwa Peter Meshack Nipo Ohio ,usa Nawapenda saaana Ronclife, Peter, baaj ,salim ,Elizabeth (mwanangu? Zuhura ,na wengine wengi Tuko pamoja
@gosbertrwezahura3645
@gosbertrwezahura3645 23 дня назад
Waafrika tuache upumbavu huu wa daima kuweka nguvu zetu zote kwenye kandanda ya Ulaya na kushindwa yetu. Tunajua kuchambua timu zao na kuzifurahia utadhani ni timu za Afrika. Ukiwauliza wazungu juu ya soka la Afrika hawana habari na wala hawana mpango wa kulifuatilia. Waafrika sijui nani alituroga? Tuko kama mazezeta. Tunaishi Afrika lakini daima macho yetu yako Ulaya na Marekani. Kazi ni kusifia vya wazungu. Nao wanatumia vyombo vyao vya BBC,DW, SAUTI YA AMERIKA kuhakikisha tunaendelea kuabudu ngozi yao na utamaduni wao. Sijui ni lini Waafrika tutazinduka usingizini?
@user-fh9nx9xq8u
@user-fh9nx9xq8u 23 дня назад
Bbc nawapata mubashara nikiwa dar es salaam tz
@AbdulhaamidSoud
@AbdulhaamidSoud 23 дня назад
Kujiuzulu kwa iyo general ni sehem ya uwajinikajo,uwazi na democrasia ambayo Tanzania na mataifa mengine Africa mashariki haipo wajifunze kuwa wasikivu kwa raia wao
@florianflorian9606
@florianflorian9606 22 дня назад
miiili hiyo yote ni sehemu ya Ile ya maandamano ya gen z,
Далее
Matangazo ya Dira ya Dunia TV Ijumaa 02/08/2024
28:11
WEATHER FORECAST 05.08.2024
1:44
Просмотров 4
Matangazo ya Dira ya Dunia TV Alhamisi 01/08/2024
28:20
BABA YANGU KIPOFU Full episode /23/ #love
28:53
Просмотров 88 тыс.