Unyenyekevu ni ile hali ya kumuonesha mwingine kwamba thamani yako si chochote mbele zake. Zoezi hili huambatana na hisia zinazooneshwa kwa lugha ya mwili mfano kupiga magoti au kuweka mikono kifuani nk. Lugha ya mwili ni kielelezo kuwa unachosema au kuonesha kinakutoka moyoni Heshima ni hali ya kumuonesha mwingine kuwa yeye pia ana thamani mbele zako bila kujali hali zake. Nimetaja hali zake nikijumuisha kila upande mfano kiuchumi, kiafya, kielimu, kicheo nk Hence; Heshima ni kumuonesha mwingine kwamba yeye pia ni wa thamani kwako unyenyekevu ni kumuonesha mwingine kwamba thamani uliyonayo si chochote kwake
Hello AYO TV; Naitwa BAKHESA Wa DRC ; Mjini LUBUMBASHI... Napendaga sana iyo Chanel Yenu ; Zaidi Zaidi iyo Kipandi Ya Appli Fire;....Nawapendaga;... Big UP Sana Kwenu!.🎉🎉🎉.
Yani miradi niivi tajiri ukimueshem tajiri ukaongeza na kumunyenyekea sana kunamufanya tajiri ajisikie fulaha zaini kuwepo wwe apa ndipo tajiri anaamua kukupa pesa