Тёмный
No video :(

Maziko ya Bosi wa Freemason Yatikisa Dar 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 1,6 млн
50% 1

Jana Mikocheni Makumbusho jijini hapa katika eneo maalum la kuchoma maiti, mwili wa aliyekuwa kiongozi wa Jumuiya ya Freemason Afrika Mashariki, Sir Jayantilal Keshavji ‘Andy Chande’ (89) aliyefariki dunia, Aprili 7, mwaka huu jijini Nairobi Kenya, mwili wake unachomwa moto mpaka kubaki majivu.

Опубликовано:

 

6 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 324   
@abuutheymiin5498
@abuutheymiin5498 7 лет назад
Kuchomwa kwake moto ni ishara ya kuwa mtu wa motoni milele, Allah amzidishie adhabu kwa ukafiri wake.
@zainabswaleh4907
@zainabswaleh4907 7 лет назад
subhanallah !hivi hi maneno ya freemasoon Ni kweli mm nadhani ni maneno tuu ya mitaani walahi hata siamini mm
@herikaniugu
@herikaniugu 7 лет назад
acha roho mbaya
@shabanabdallah7496
@shabanabdallah7496 7 лет назад
Ajali ya watoto wa lucy vicenty
@mamujally3814
@mamujally3814 7 лет назад
Abu utheymiin Ameen
@mamujally3814
@mamujally3814 7 лет назад
shaban abdallah wanawamaliza viumbe wasio na hatia kwa fanikisha yao ila Mungu nae anawasubiri
@blessingvictory1095
@blessingvictory1095 5 лет назад
Yesu Kristo ndiye njia ya kweli na uzima
@missxexykenya6028
@missxexykenya6028 7 лет назад
mm siamini kama kuna fremason duniani ...i believe in my God the creator lets God judge
@saleemsuleiman2220
@saleemsuleiman2220 Месяц назад
Kama huamini kwanini unaangalia hii video
@ummusamira3518
@ummusamira3518 7 лет назад
Innalilahi wainnailaihi rajiuni laanatullahi alahi finnary jahaannam yarabi yarabi mtie jaahannam pamoja Na firauni
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 5 лет назад
(Kwa uwezo wa mungu)Na Akhera pia ateketee
@gazagal5959
@gazagal5959 7 лет назад
Wah maajabu hayo! na kweli hapo Kulikua na mwili au ni gogo tu!!!
@ansmsimbe1423
@ansmsimbe1423 7 лет назад
Mwili ni mavumbi lakini roho ni uzima wa milele, kama hakutubu na kumpokea Yesu aokolewe kwa neema, kuchomwa moto ni lazima.
@monicaelias3801
@monicaelias3801 7 лет назад
Nikweli kabisa kufa nilazima na baada ya kifo ni Hukumu ya milele kama hakumpa Yesu maisha nakutubu madhambi yake yote Jehnam ni halali yake moto kauanzia duniani na baadae milele na milele nawashauri wote ambao hawajampa Yesu maisha watubu wamfuate ili baada ya maisha ya hapa duniani wapate kuulithi Uzima wa Milele kwa Mungu aliye Hai.
@metalcombat4470
@metalcombat4470 7 лет назад
Laanatu Llah alayhi, Walmalaikatu, Wannaas ajmayn! Ameen!
@munirayusra91
@munirayusra91 7 лет назад
Moto huo ni mtoto subiri wa Allah funzo kwa wengine shetani aki atakua na wenzake Pesa zako ziko wpi ss
@mwanaishambili241
@mwanaishambili241 7 лет назад
waidi kuchomwa ni dini hayo eee mungu tuepushe na tamaaa za dunia kwani waja wako tunapotea
@mashallah9380
@mashallah9380 7 лет назад
Mwanaisha Mbili amin
@masseanadir2904
@masseanadir2904 7 лет назад
wamemchoma moto duniani bado moto wa Mungu
@estherwangare9759
@estherwangare9759 7 лет назад
mamaaaaa #njooni muone wanaomwabudu shetani huwa wanathani wataishi milele haya ndio huyo kiongozi wenu ...msipo badilika mtamfuata mwende muanze group lenu la wassup kuzimu
@carolinajane3745
@carolinajane3745 7 лет назад
Esther Wangare well said mundu wa nyumba
@Teksani
@Teksani 7 лет назад
Boss, msaidizi, sekretari, mtunza hazina, sijui nani na nani wa Freemason, wote lazima wafe. Shetani hana rafiki, kazi yake ndo hiyo anawasubiria na hao wengine muda wao ufike.
@MohdRashid-cu9qb
@MohdRashid-cu9qb 5 лет назад
Kutesa kwa zamu katesa duniani sasa anakwenda kuteseka yeye kwa Mungu laaaana ya Allah iwe juu yake daima milele
@yusufubaraka6113
@yusufubaraka6113 7 лет назад
Wallahi dunia imekwisha Yarabi tunusuru
@neemaelia6642
@neemaelia6642 6 лет назад
Yusufu Baraka
@user-vv5xd3ye4i
@user-vv5xd3ye4i 7 лет назад
Shindwa freemason , shindwa shindwa shindwa Freemason...
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 5 лет назад
Mungu awangamize
@husseinyhassany5696
@husseinyhassany5696 4 года назад
@@shifaaal-baity4503 ameen
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 4 года назад
@@husseinyhassany5696 ya rabb
@husseinyhassany5696
@husseinyhassany5696 4 года назад
@@shifaaal-baity4503 ashindwe na shetani wanaa budu shetani
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 4 года назад
@@husseinyhassany5696 tena ni wabaya sana ni mashetani wa kibinadamu
@fatumahalifa6623
@fatumahalifa6623 7 лет назад
allah akbar ,allah akbar ,
@mbodzebemasika7477
@mbodzebemasika7477 6 лет назад
Kwa Allah huyo bado nyama ni nzimaaa👌anangojwa Allahu akbar
@EcoEssence_wellness
@EcoEssence_wellness 7 лет назад
Okay
@jagrosarah8070
@jagrosarah8070 28 дней назад
Heee yani huyo amemkufuru sana mungu ata maombi akustahil
@akilyemily5788
@akilyemily5788 24 дня назад
Wanaisi wakichoma moto watakuwa wamesha mtoroka Mungu.
@sikojuma7882
@sikojuma7882 6 лет назад
Aende tu, ili wanao kwamisha maisha ya watoto wa MUNGU wapunpue .
@emmanuelmoshy8464
@emmanuelmoshy8464 7 лет назад
Kitu pekee chenye uhakika wa kutokea mda wowote ni kifo. Hata mm kitu ninachoamini kwa asilimia zote ni kifo Ila sina uhakika wa kesho yangu. Hivyo naamini kabisa anayestahili kutoa hukumu ya mwsho ni yeye aliyeumba uhai.. Na siyo sisi watalii.
@miriamabineri9585
@miriamabineri9585 7 лет назад
unajua kila mtu analipwa hapa duniani kutokana na alichofanya...hivyo malipo ya kwa mungu hatuyajui yana utamu gani ,lakini kwa kuangamiza rohi za watu nadhani pana doge nono LA adhabu.
@simontumbi4010
@simontumbi4010 7 лет назад
Miriam Abineri
@hirathsanayaniyusif6457
@hirathsanayaniyusif6457 6 лет назад
Subuhanallah
@jamilaismail5227
@jamilaismail5227 7 лет назад
Laanatullah, Allah amchome vizuri na kesho siku ya hukum ndo achomwe kisawasawa kwenye moto wa Hawiya. Leo yuko wapi na uo ufremason wake watu wanacheza sana na Allah wetu mtukufu wanamuonaje sijui sasa haya ndo malipo yao wanajichoma wenyewe apa apa duniani na kesho akhera ndo watachomwa vizuri. kwann uo uchawi wake asifanye akazuia kifo? kakubalije kufa na yy ni freema?😂😂😂😂😁😁🙌🙌🙌chezea!!!!!!!
@BimkubwaJuma-ew5dg
@BimkubwaJuma-ew5dg Месяц назад
Yarabiii tunusuru utupe mwisho mwema mola wetu tusamehe mola wetu tusiingie humo
@halalwaithaka8988
@halalwaithaka8988 7 лет назад
kwani ni mwislamu? bona anashindikizwa na waislamu ilhali dini ya uidlamu siyo ya freemason. ..may Allah guide us to that which is best. ..i seek refuge in Allah from the devil
@bargelaperera2149
@bargelaperera2149 6 лет назад
hii ni dini ya kihindi huvaa nguo nyeupe wakizika
@SashaKelly
@SashaKelly 7 лет назад
Mungu tuepushie pia na vizazi vyetu
@augustinofelix5825
@augustinofelix5825 7 лет назад
Wanakufuru xna mungu wa kihindi
@mimitijara4806
@mimitijara4806 6 лет назад
Moto mapema ww mpaka cku ya kiyama muongopeni mungu moja hana mshirika wala hashirikishwi na chochote dunia ni yake pekee yake
@metalcombat4470
@metalcombat4470 7 лет назад
Pole Diamond Platnumz
@habelmasinjisa8820
@habelmasinjisa8820 7 лет назад
Acha Wafu wawazike Wafu wenzao.... KWA YESU KRISTO UZIMA UPO
@neemaadammakiponya8319
@neemaadammakiponya8319 7 лет назад
Amina
@vidaelimanase2110
@vidaelimanase2110 6 лет назад
chanda
@joshuamgaya4269
@joshuamgaya4269 6 лет назад
Hakija kW Yesu uzma n tele
@hawata7614
@hawata7614 6 лет назад
Habel Masinjisa huo uzima Kwa yesu sahau Allah alomuumba ndo mweny uamuzi na so hana mshirikika kama umekataa maamrisho ya Allah bc unahasara dunian na akher
@alimuhamed1830
@alimuhamed1830 4 года назад
Ilalilah wainailah rajiun jamani unakuafa kisha adhabu unaiyanza hapa hapa duniani hawa jamaa wamajabu sana viereje unauogopa moto wakibirti tu kunguza kidole chako leyo umekufa unazikwa kwakuchomwa moto huohuo kweli hiyi niakili jamani
@allyfaraji6472
@allyfaraji6472 7 лет назад
Ndio funzo kwa wengine, ameacha magari, majumba, viwanja, mashamba, pesa, na vinginevyo! kwa nini asingewaomba hao freemason wake wamsaidie aishi milele? hapo ndio tupate ufaham kwamba rizika na kile ulicho kipata. nyie wengine mliobaki mtambue kesho kuna moto, na mungu apokei rushwa
@fedhasalum5476
@fedhasalum5476 6 лет назад
Nyie wambea sana wakat mwengine wahindi ndo wanavyozika kuchomana moto
@jacksonninja4380
@jacksonninja4380 7 лет назад
noma xnaaa ,boc w Freemason mbn hatar kchz
@munirabdi5827
@munirabdi5827 7 лет назад
Laana Tullah
@idayagangs124
@idayagangs124 7 лет назад
mungu amsamee tu
@mhoogooalhpsi9656
@mhoogooalhpsi9656 7 лет назад
Rukiya Bongo amsamehe kwa lipi huyo hasamehewi tena cz milango yatoba ishajifunga amekufa kafir jahannam ndiyo makazi yake mpaka parapanda lipulizwe na siku ya hesabu huko ndiyo kuna moto kuliko huo aliyochomwa hapo tumuombe ALLAH atujaalie mwisho mwema siku hiyo ni nzito sana jamani watu wanaona kma mchezo
@felistermtega8337
@felistermtega8337 6 лет назад
pole wema
@barick
@barick 7 лет назад
Napenda kuchomwa pia.
@AaAa-rs6iq
@AaAa-rs6iq 7 лет назад
mungu amueke milele motoni shitani ww
@daudimakeseni5886
@daudimakeseni5886 Год назад
Jaman tumu ombee mungu safari bado mbichi ivi amjui kwamba hakuna dhambi ndogo Sasa Kama hakuna dhambi ndogo na Kum danganya mtu pia ni zambi ivi Kuna mtu kweli adanganyi apa dunian
@halimaekuwamhussein633
@halimaekuwamhussein633 7 лет назад
kufa kabisa ibilisi mkubwa ,bado moto ya jehanamu lakungojo,tokomea mbali na wana wa mungu
@lupakisyomwakyolile7111
@lupakisyomwakyolile7111 7 лет назад
Tarehe 7/4 INA siri kubwa kwa hawa watu! naona member wawili waliofahamika wamefariki tarehe hiyo!
@idrisakambi4594
@idrisakambi4594 7 лет назад
kwani Freemason wanakufa? wao si no mungu pia? au mungu hawawameishiwa nguvu? basi badilikeni .mliobakia na muhujue uwepo wa mungu wa kweli .
@janewacera7812
@janewacera7812 7 лет назад
Dah!!
@nohatredbutlove5786
@nohatredbutlove5786 7 лет назад
Waache wamchome moto hapo na moto wa Mungu unamsubiri laanatullah, kafiri kubwa. 😅😅😅
@saidkhantz2525
@saidkhantz2525 7 лет назад
Seif Abdullah mashallaaaaah Akhy kwa maneno yako mazuri,,, wanadhani wakichoma hivyo kazi imekwisha,,, hawajui kama nafsi imetangulia kabla ya kiwili wili
@nohatredbutlove5786
@nohatredbutlove5786 7 лет назад
Seid Salim tumshukuru Allah kwa kutujaalia neema ya Uislam
@saidkhantz2525
@saidkhantz2525 7 лет назад
Wallah Akhy tuna haki ya kumshukuru Allah
@saidkhantz2525
@saidkhantz2525 7 лет назад
Tunatakiwa kuringa na kutoka kifua mbele,,, haina mashaka na Qur an imetuambia suratul imrani kama sikosei aya ya kumi na moja au 12 hakuna dini mbele ya Allah isipokuwa uislam
@hopechidera
@hopechidera 7 лет назад
Wacheni ujinga sababu freemason siyo dini,ila ni timu kama la mpira,watu wama dini zote wako kwa timu la freemason
@jamalraja6153
@jamalraja6153 7 лет назад
Wanjua kuhusu azabu ya kaburini ndomana muchoma moto na azabu yamwenuye zimungu huwezi kui epuka
@Egidiomussa
@Egidiomussa 3 дня назад
Makafiri moton
@rosallyfideline797
@rosallyfideline797 5 лет назад
Wakuchome vizuri kabsa na mwoto wa milele unakusubiri. mbona sasa mwakubali kufa kama nyinyi mna uwezo...?
@nakaferofortunate4530
@nakaferofortunate4530 7 лет назад
laana za mungu zimshukie ata kama umekuwa majivu amepoteza umma sana kafiri mkubwa sana uyo mbona uyo shetani wao awarudishi
@mamujally3814
@mamujally3814 7 лет назад
wajue Boss ni M'Mungu tu,kama boss kweli angekufa? kazi kupotosha umma tu Laanatullahi alal kaafireen
@ronnieolang8765
@ronnieolang8765 6 лет назад
Judgement day a waits them, that's the kind of live he chose so be it.
@prettyakoth4306
@prettyakoth4306 7 лет назад
uuwiih! freemason hua n ukweli, tena alikufia KENYA in my country heeee maajabu haya
@carolinajane3745
@carolinajane3745 7 лет назад
Miriam Akoth imagine our country
@carolinajane3745
@carolinajane3745 7 лет назад
Miriam Akoth alikuwa anafanya nini Kenya. .ashidwe in Jesus name
@metalcombat4470
@metalcombat4470 7 лет назад
Alienda kumuaga "beshte" yake Kibaki, Carolina Jane.
@carolinajane3745
@carolinajane3745 7 лет назад
Metal Combat was he one of them? ?....God forbids
@flomrembowakenya5524
@flomrembowakenya5524 7 лет назад
Miriam Akoth Ati what
@emelyomusinde7321
@emelyomusinde7321 5 лет назад
yesu tosha
@tzommyoriginali9144
@tzommyoriginali9144 7 лет назад
aisee nomaa sana
@danielimsokwa4838
@danielimsokwa4838 7 лет назад
hiyo. sio dini.
@samsonleonard7415
@samsonleonard7415 7 лет назад
Daaa hatar sana
@Doacl
@Doacl 7 лет назад
na anamoto unaomngoja
@davidmsia4322
@davidmsia4322 7 лет назад
mbona hamna kipya? baniani wote wanazikwa kwa staili hiyo
@abdallahhamza9689
@abdallahhamza9689 7 лет назад
kazikwa au kachomwa? semeni kilichopo bana
@sibawayhisalum2707
@sibawayhisalum2707 7 лет назад
subuhanaAllah
@hamidahamida1473
@hamidahamida1473 4 года назад
ALHAHUMAJILINIMINANALI
@rehemamajaliwa4886
@rehemamajaliwa4886 6 лет назад
safi
@salmasaid7254
@salmasaid7254 7 лет назад
fremanso ndio nini jameni mhh naskia tu kwa mitandaoo
@zubedarichard2311
@zubedarichard2311 3 года назад
Endelea kuskia
@cliffmalik5633
@cliffmalik5633 7 лет назад
Duuuh afe kabisa huyoo
@iviejustified8109
@iviejustified8109 7 лет назад
cliff malik nani hatokufa dunia hii???
@husnangapu502
@husnangapu502 7 лет назад
Nijuavyo mm baniani au wahindi wakifa lazima wachomwe moto, hizo ni mila zao na tamaduni zao, na majivu huwa yanatupwa baharini
@musawambura5832
@musawambura5832 7 лет назад
noma sana
@shyneplatnumz2583
@shyneplatnumz2583 7 лет назад
Post zake Insta zinadhihirisha n m Freemason kuchomwa n uhindi
@anitajairos2664
@anitajairos2664 7 лет назад
hawo ndomira zao kuchoma moto
@emmanuelmasai2378
@emmanuelmasai2378 7 лет назад
bola ufe maaan nyie hua mnaamini hiyo dini mkijiunga labda mtaishi milele kapambane na mashetani wenzio uko
@kilolitsimion8745
@kilolitsimion8745 5 лет назад
W
@bernadetanyendo5769
@bernadetanyendo5769 4 года назад
Yap
@flomrembowakenya5524
@flomrembowakenya5524 7 лет назад
what Kenya wacheni maneno
@sphrb1063
@sphrb1063 7 лет назад
makubwa!!
@tulizojonson8255
@tulizojonson8255 7 лет назад
madogo yana fuu yanabebeka
@jhonthomas93
@jhonthomas93 7 лет назад
ROSE muhando
@MaryamMaryam-nt5so
@MaryamMaryam-nt5so 7 лет назад
heee kumbe iyo dini ipo kweli na mm nataka niwatowe roho wanga
@saudahmedsaudahmed7074
@saudahmedsaudahmed7074 7 лет назад
Maryam Maryam hahahaha
@hopechidera
@hopechidera 7 лет назад
Maryam Maryam freemason siyo dini,ila ni timu,watu wama dini zote wako kwa timu la freemason
@saudahmedsaudahmed7074
@saudahmedsaudahmed7074 7 лет назад
Hahahaha nimecheka uwatowe wanga bora
@user-de7nf8pp3w
@user-de7nf8pp3w 7 лет назад
hakuna msamah kafa kafir finnar jahannam khalidina fihaa
@herikaniugu
@herikaniugu 7 лет назад
kwani wewe ni mungu
@mwanaidihussein1462
@mwanaidihussein1462 7 лет назад
Kani Veri jahanam hiyo iko wazi hapo hamna ubish dini gan inayoruhusu mtu akifa achomwe moto😆😆 nacheka km mazuri😢😢
@hadijakapombe7576
@hadijakapombe7576 7 лет назад
Mwanaidi Hussein Kwan si muhindi huyo au hujui Mila za kihind
@saumuhassan1365
@saumuhassan1365 7 лет назад
fii nar khalidina fih abadan w
@omand1761
@omand1761 7 лет назад
kweli ni kiongozi wa freemason hata kuna gazeti walimtoa anawaambia watu kwamba freemason ni shimo la hela wasiogope.Na ndo mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya kiwanda cha kioo limited kilichopo Dar.Hata wafanyakazi wote tunamjua kwa kujitangaza hadharani wala hakuhofia huo ufreemason wake.Sababu freemason watu wa dini zote wapo,waislam wakristo hata wapagani.Freemason ni mambo tu ya kidunia.Ni kweli alikuwa freemason.Mungu atunusuru
@alimaalima6016
@alimaalima6016 7 лет назад
mmhh
@kevohwapipelinetransami4351
@kevohwapipelinetransami4351 7 лет назад
kama wao n freemason basi wakifa wacha pia wachifufue kama wako na nguvu kuliko Mungu??? achomwe kabisa na Mungu pia akija atachomwa pia potelea mbali na ushetani wenu.........
@MaryamMaryam-nt5so
@MaryamMaryam-nt5so 7 лет назад
mhh mwanzo nilizani mdhaha kumbe sawa subili namie nijiunge huyo dini kisha nitowe wanafiki na mashoga na vibaka na majambazi au watakuwa hawatakiwi
@mhoogooalhpsi9656
@mhoogooalhpsi9656 7 лет назад
Maryam Maryam hahahah
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 7 лет назад
+Maryam Maryam,wanatakiwa,pia ukifanikiwa toa na wabakaji pia
@brianchacha2433
@brianchacha2433 7 лет назад
kachomwa na bado......
@arafsaaa8844
@arafsaaa8844 7 лет назад
kumbe hii freemason ipo.kwel😩😩😩
@nurahfedrick9677
@nurahfedrick9677 7 лет назад
Loo hamxikani mwachoma
@waltermwikali3213
@waltermwikali3213 5 лет назад
only Jesus can save
@must_m_chibu_6663
@must_m_chibu_6663 7 лет назад
hata usipokua FREEMASSON utakufa 2
@fedhasalum5476
@fedhasalum5476 6 лет назад
Yapo sio wote
@user-yp7go8vi6e
@user-yp7go8vi6e 7 лет назад
makubwa jamani
@mariammarco1554
@mariammarco1554 7 лет назад
Heeee! makubwa
@awessojuma9377
@awessojuma9377 7 лет назад
sio wahind wote wanachoma wengine huzikwa kama kawaida Ila kwa mabaniani tu
@tingbatuuka7278
@tingbatuuka7278 7 лет назад
Yupo anaipata fresh huko jehanam
@amanikapera6185
@amanikapera6185 7 лет назад
mnaukumu kwani nyinyi ndio watoa hukumu siajabu nyinyi mnaoshabikia aende motoni nyinyi ndio mkawa kuni mungu atazami dini unaifata VP anatazama moyo unasema nini mpoooooo
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 7 лет назад
+Amani Kapera,wewe nawe hujielewe,jua kua akhera Kuna maswali matatu,lakwanza,Nani MUNGU wako,pili hipi Dini yako,tatu niyupi nabii wako,vipi unasema mtu aangaliwi dini?kwa hiyo hawa wanaabudu ngombe na wanaamini huyo ngombe ndio MUNGU wao,je nisawa?
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 7 лет назад
+Amani Kapera,Pia wakati wanachoma mtu mwenye amekufau uwa wanasema, mungu kosa na Mimi nikose,hawa amini kua roho uwa hai na urudi kwa MUNGU
@claramndeme3871
@claramndeme3871 7 лет назад
hahaaaaaaa
@kalongaalex8262
@kalongaalex8262 7 лет назад
mbona Diamond platinum simuoni apo kwenye mazishi
@jonnieajaxmshairi7715
@jonnieajaxmshairi7715 7 лет назад
kumbe nao wanakufa
@destiny4life439
@destiny4life439 6 лет назад
sasa hao mnaosema wasanii freemanson jawaona kwa boss wao
@khalifahamisi702
@khalifahamisi702 7 лет назад
wamesgalaaniwa toka bado wapo hai hiyo kuchomwa moto hapa duniani haijalishi jahanam yamsubili
@jumawaziri6258
@jumawaziri6258 7 лет назад
Duu mungu kosa.. na mimi kosa
@jonijoshua5955
@jonijoshua5955 7 лет назад
i
@johnsarakai2972
@johnsarakai2972 6 лет назад
Uwongo mwezi wa nne bado mzee tafuta kikizingine
@SmilingAurora-wf4jt
@SmilingAurora-wf4jt 4 месяца назад
nawataka
@kasujamuhammed7354
@kasujamuhammed7354 6 лет назад
sawa
@sharifaramadhani8079
@sharifaramadhani8079 7 лет назад
mabaniani bwana mungu kosa na mimi kosa
@christinekababy324
@christinekababy324 6 лет назад
tenda wema nenda zako so hayo ndio malipo yake
@mtitagirloriginal9472
@mtitagirloriginal9472 3 года назад
Kumbe Kelvin ulikua huku
@mariuspatrick3556
@mariuspatrick3556 5 лет назад
peteyaajabu
Далее
Самое неинтересное видео
00:32
Просмотров 508 тыс.
MALKIA WA FREEMASON ALIVYOJISALIMISHA KWA KUHANI MUSA
23:55
Самое неинтересное видео
00:32
Просмотров 508 тыс.