Тёмный
No video :(

MAZINGE AMWAMBIA MCHUNGAJI NDACHA ~ UMEINGIA CHA KIKE WENZAKO WANANIKIMBIA ~ AMTWANGA SWALI LA MWAKA 

MASJID MTORO ONLINE TV
Подписаться 424 тыс.
Просмотров 358 тыс.
50% 1

SHEIKH: OTHMAN MAZINGE AMWAMBIA MCHUNGAJI NDACHA ~ UMEINGIA CHA KIKE ~ WENZAKO WANANIKIMBIA ~ AMTWANGA SWALI LA MWAKA ~ AMEKUBALI ANAOMBA URUDIWE TENA AJIPANGE
#Mtoro_Online_Tv #Mazinge #Ndacha #Debate

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 642   
@adamsalim587
@adamsalim587 3 года назад
Maa Shaa Allah, Allah awabariki masheikh ma daa'i wa kiislamu kwa kazi ngumu wanayofanya ya kuwaelimisha ngudu zetu katika ubinadam(wakristo). Katika maisha yangu nimemuomba sana Mungu amkutanishe mchungaji ndacha na Sheikh Al Habib Othman Mazinge katika mdahalo kwa maana huyu pastor huku kenya anawapotosha sana watu. Shk. Mazinge Allah akuhifadhi na akupambe kwa afya.. In shaa Allah mungu atawaongoza wakristo wote waione njia ya hakki na kuifata. Wabillah tawfiq.
@abuuaisha4738
@abuuaisha4738 3 года назад
Aaamin aamin aaamin
@marcbanyankirubusa135
@marcbanyankirubusa135 2 года назад
Mnapongeza , apo mazinge anasema kinyume na kinaco sababisha yesu aseme petro ni shetani , kwasababu mazinge anafahamu waislamu wanakalilishwa siwasomi, ndiomaana akawapotosha kwa maandiko, akasema yesu kusema petro nishetani nikwakusema yesu ni mwana wa Mungu akadanganya, ebu jisomee uwone kama walimu wenu niwaongo soma matyo 16:21-23 petro wakati aliposikia yesu atakufa musalabani na kufufuka Siku yatatu petro akakataa akasema asimpate Ayo mateso, yesu akamwambia toka nyuma yangu shetani wukikwazo kwangu yamungu huuataki bali ya wanadamu , wanao sema yesu hakufa niwale waliokuwa ndungu yashetani nao ni waislamu kwasababu mhamadi alimslimisha shetani akawa mwislamu, maneno ni yale yale shetani alipo nena ndani ya petro wakati petro bado haja okoka poleni sana waislamu ,lakini cungeni sana walimu wenu mujisomee vitabu wasiwasomee jisomee nyie wenyewe, yesu alisema mutapata ukweli ukweli nae utawakomboa.
@adamfundikira1620
@adamfundikira1620 2 года назад
@@abuuaisha4738 mazinge ni muongo mpaka anamzidi shetani kwa uongo duh yaani ni wakala wa ibilisi
@adamfundikira1620
@adamfundikira1620 2 года назад
@@marcbanyankirubusa135 ni muongo mbwa huyo
@abuuaisha4738
@abuuaisha4738 2 года назад
@@marcbanyankirubusa135 اللهم هدناالصراط المستقيم
@kawtharalbarwani1337
@kawtharalbarwani1337 3 года назад
Allah awabariki masheikhe wetu azidi kuwazidishieni nguvu na afya njema na umri mrefu inshaAllah amiin
@mtokaboys2175
@mtokaboys2175 3 года назад
Aamiii
@ghulamyassintv4825
@ghulamyassintv4825 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Eh1tMTW6PvU.html Ukhty Guzalink ☝️ ufaidike
@nurudinamchome6852
@nurudinamchome6852 3 года назад
Aaaaammmmmiiiiiiiin
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
Amiin
@mfaumeseifu8058
@mfaumeseifu8058 2 года назад
@@mtokaboys2175 7
@rhiophiri6857
@rhiophiri6857 3 года назад
Professor Mazinge is indeed fantastic, highly equipped with religious knowledge, congratulations Mazinge
@mohamedsimba5575
@mohamedsimba5575 3 года назад
You're absolutely right Mr Rhio Phiri, congratulations 🎊 sir
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 3 года назад
Mazinge ni muongo Yesu alikubaliana na Petro Ni vizuri kusema ukweli
@azizirubelwa2992
@azizirubelwa2992 2 года назад
@@noahwamalwa4385 tupe andiko
@issakawaya8315
@issakawaya8315 2 года назад
Mashaallah
@jigglejoo3482
@jigglejoo3482 2 года назад
@@noahwamalwa4385 mazinge ajui kitu, Soma Luka 1:35 St. Luke 1:35. The angel answered, "The Holy Spirit will come on you, and the power of the Most High will overshadow you. So the holy one to be born will be called the Son of God.
@zainulabideen6955
@zainulabideen6955 2 года назад
Barakaallahu laka ya SHEIKH MAZINGUE.....we love you, from Mozambique.
@bintmohamedmalevi3771
@bintmohamedmalevi3771 3 года назад
Maa Shaa Allah professor mazinge. Mola akupe umri mrefu wenye twaha
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
Amiin
@mahamuduhassan8511
@mahamuduhassan8511 3 года назад
Maa shaa Allah professor hua hamalizi muda Ustaadhi mazinge Allah akulipe jazaa njema hapa duniani na kesho akhera!!!!!
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
Amiin
@muhammadfadhil9835
@muhammadfadhil9835 3 года назад
WEWE SIO MAZINGE WEWE NI MZINGA UNGURUMAPO WATU LAZIMA WAIPATEPATE HABARI YAKO.
@sophiasophia4668
@sophiasophia4668 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mzinga kweri
@pmekenye5050
@pmekenye5050 8 месяцев назад
Matthew 16:13-20 Matthew 16:13-20 NIV When Jesus came to the region of Caesarea Philippi, he asked his disciples, “Who do people say the Son of Man is?” They replied, “Some say John the Baptist; others say Elijah; and still others, Jeremiah or one of the prophets.” “But what about you?” he asked. “Who do you say I am?” Simon Peter answered, “You are the Messiah, the Son of the living God.” Jesus replied, “Blessed are you, Simon son of Jonah, for this was not revealed to you by flesh and blood, but by my Father in heaven. And I tell you that you are Peter, and on this rock I will build my church, and the gates of Hades will not overcome it. I will give you the keys of the kingdom of heaven; whatever you bind on earth will be bound in heaven, and whatever you loose on earth will be loosed in heaven.” Then he ordered his disciples not to tell anyone that he was the Messiah. Pro. Mazinge that's what is in the scripture Mambo mengine ni yako. Junga rahana ya mwenyezi Mungu isikwangukie kwa kuwapotosha watu wanao itaji ukweli. Barikiwa Nyote.
@godfreycosta8483
@godfreycosta8483 7 месяцев назад
Sure kabisa , Yan ameunganisha script mbili tofauti , wakati the story iliishia verse ya 20 ye kachukua verse ya 23 which is different scenario
@rizikibashiru4680
@rizikibashiru4680 2 года назад
Nakupenda ost wangu mazinge kwa ajili ya Allah, uwe na umri mrefu wenye manufaa na mwisho mwema
@previneyoung8290
@previneyoung8290 2 года назад
Mazinge Haujafunguliwa na Mungu wa Mbinguni , siku utafunguliwa . Utamkubali Yesu . amina
@t7zkc5tpxgim28
@t7zkc5tpxgim28 3 года назад
Mungu akubariki sana pastor
@fatimafa3434
@fatimafa3434 2 года назад
Professor mazinge maisha malefu kwako 💙💙💙💙
@mshengeli2449
@mshengeli2449 3 года назад
Maashallah fantastic replying
@jumakhamis226
@jumakhamis226 3 года назад
Jazaka Allah khaira shekh mazinge
@masala8099
@masala8099 3 года назад
asante mtume Muhammad Kwa Elimu uliyotuachia
@mtokaboys2175
@mtokaboys2175 3 года назад
Sahihi
@rbagha5280
@rbagha5280 2 года назад
This Sheikh MAZINGE s Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, ALLAH in Arabic, wants you to do. So you too can be SAVED! Thanks. RAY FROM CANADA
@iddydaruwesh8650
@iddydaruwesh8650 2 года назад
Allahhumma Amiiini yaraabi. Call him professor mazinge
@Raya-em8wz
@Raya-em8wz 3 года назад
Nakipenda shekh kwa ajili ya Allah munguakuhifadhi
@mtokaboys2175
@mtokaboys2175 3 года назад
Amiin
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
Amiin
@saramss7262
@saramss7262 3 года назад
Yaani kiukweli Huyu Baba umepotokaaa UISLAM SIO DINI HATA MSEMEJEEEEE YESU NI BWANA NA MWOKOZI WETU UJIELEWIII UMEJAAA MAJINI MPKA MIGUUNI
@user-sq3pn4ef9g
@user-sq3pn4ef9g 4 месяца назад
Twakupenda sana Sheikh Allah Ukujalie kila Lakher
@petersulle1937
@petersulle1937 3 года назад
Mazinge anachanganya mada, Hakuna uhusiano kati ya jibu la Petro la kuwa Yesu ni Kristo mwana wa Mungu, na kauli ya Yesu ondoka nyuma yangu u shetani wewe.
@htvtanzania3483
@htvtanzania3483 2 года назад
Akili Kama haiwez kufanya Kaz vizuri huwez kuelewa una takiwa uwe na roho mtakatifu ndio uelewe maandio
@abdullatifyahya646
@abdullatifyahya646 2 года назад
Subiri ufe ndo utajua hujui
@consolatamedard6593
@consolatamedard6593 2 года назад
Yani anajibu kitoto sasa sana wakati Yesu anamwambia petro Toka nyuma yangu nipale Petro alipo mwambia Yesu hakika Bwana wangu haya hayatakupata kwaiyo Yesu aliona kilichondani ya Petro Nishetani anaemtumia Petro na sio kwamba Yesu kamwambia Petro kuwa ni Shetani apo anajibu kufiraisha uma tu
@RinoMajembe
@RinoMajembe 4 месяца назад
Wewe hauna akili yakufikilia ndio mana huelew
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 2 года назад
Allah azid kuwapa nguvu mashekh wetu Allah akulinde na Shar za waja Mazinge. na wao Mungu awabadilishe awaongoe
@omarshee7501
@omarshee7501 2 года назад
Allah awaongoze na a2fishe waislamu
@khalfansharji9790
@khalfansharji9790 3 года назад
Ndacha kama petro vishetani hivi Shukran sheikh mazinge kwa elimu.
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 2 года назад
Maashaa ALLAH Tabaaraka Allah.
@DawaUnityGroup
@DawaUnityGroup 3 года назад
Masha Allah. Ongera sana ustaz Amzinge.
@cabylake2320
@cabylake2320 Год назад
Mashaallah vizur mazing mungu akuzidishie umuri
@ismailibrahim9365
@ismailibrahim9365 3 года назад
Duu MashAllah Allah ibarik shekh mazinge
@husseinsalum677
@husseinsalum677 2 года назад
Pppopppoppppppppppppppppppp
@njerithiongo7901
@njerithiongo7901 2 года назад
Mwenyezi mungu akuzidishie shifaa na maarifa Professor, mapenzi ya dhati toka Nairobi, Kenya.
@johntay8813
@johntay8813 3 года назад
Ukweli utabaki kuwa ukweli yani utabaki kuwa uislam ndio dini ya ukweli nakupendeni walimu zatu waki islam
@alexnimubona3539
@alexnimubona3539 2 года назад
One question who is muhammad?
@nassorhaji2637
@nassorhaji2637 2 года назад
@@alexnimubona3539 we hujui kua Muhammad S.A.W ni mtume Wake Allah SW..na nimjumbe na ndo Mtume wa mwisho kuja kwa umati huu wa Muhammad S.A.W
@mchopaluka4319
@mchopaluka4319 2 года назад
Uislamu ni dini ukweli mbele za Mungu mwenyezi au Shetani?
@beautifullnasheed8373
@beautifullnasheed8373 2 года назад
@@mchopaluka4319 ni dini ya kweli ndio maana mpaka mungu kaitaja kwenye quran Swali linakuja wapi bibilia au kitabu chochote kinasema ukristo ni dini
@flova7022
@flova7022 2 года назад
@@beautifullnasheed8373 nawewe kumbe ni mjinga...hivi afrika kabla ya ukoloni kulikua na hizi takataka za uislam na ukristo...madini ya wazungu yanatenganisha afrika Mungu Hana dini mjinga wewe...pokea elimu hiii ukristu na uislam ni vitu vya wazungu kugawanya waafrika..nimejAA Germany and Spain ..ndugu wazungu haya madini hawana mda nayo Tena wanatucheka Sana afrika Kwa uelewa mdogo juu ya haya madini yao
@tumadhrahtwarik993
@tumadhrahtwarik993 2 года назад
Sheikh uthman mazinge ALLAH azidii kukupa moyo na ujasiri uzidi kuwaingiza katika njia iliyo ya haki nakupenda kwa ajili ya allah
@KibokoNyamamayi
@KibokoNyamamayi День назад
Mazinge mungu aku zidishiye elimu ❤❤❤
@deulemwangolo
@deulemwangolo 7 месяцев назад
Mashekh wetu endeleeni kufunza umma,,,,, Pastor Ndacha Mwenyezi Mungu pia akuongoze uwe MUISLAMU
@SAITOTILENATIRI
@SAITOTILENATIRI Месяц назад
Mungu akusamehe kwa kubadilisha neno lake.
@khalidkhamis9195
@khalidkhamis9195 3 года назад
Kweli Clip amewekwa Mazinge Peke Yake...ila maelezo aliyotoa amejaribu kunukuu aya ambazo amezitumia Ndacha na akazitolea ufafanuzi mzuri na kuzichapa kwa muendelezo wa aya nyengine... Hii imefanya Sote tuelewe kwa Umakini zaidi na ikampa Credit 100% Mazinge.
@ramadhanisalum8321
@ramadhanisalum8321 3 года назад
Kweli kabisa
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
Kabisa
@saraabdulatif6171
@saraabdulatif6171 3 года назад
Kwakweli mjadala Yesu alitukuzwa sana mtabaki tu kuchaguwa vipande nakwavile dini yenu niyaushindani hakuna jina jengine zaidi ya Yesu pia nimegunduwa kitu muhamad kwao sawa na Mungu tafuta msahafu wa tafsir ya farsi usome majina ya Mungu wao halaf namajina ya Muhamad hayana tofaut
@masoudshaban6609
@masoudshaban6609 3 года назад
Kafie mbele hujui chochote...Allah ana majina mangapi...na mtume ana majina mangapi
@aishaiddy2192
@aishaiddy2192 2 года назад
🤣😂😂kafie mbele umepotea wew
@whitetigerprincy5882
@whitetigerprincy5882 4 месяца назад
Mtazidi kuwa watumwa wa waarabu kisa Muhammad muaji 😅
@yusuphngonyani8964
@yusuphngonyani8964 3 года назад
Wakristo wa Tanzania wataingia Moroni Kwa uzembe , Mazinge Allaah akurehemu Kwa kazi unayoifanya ngumu ,
@victorianyange9281
@victorianyange9281 2 года назад
Pole kwa kufuata uongo wa mazinge na kuacha ukweli wa Mungu
@allyjumaallyjuma692
@allyjumaallyjuma692 2 года назад
@@victorianyange9281 Wewe mwendawazimu kweli hebu tupe huo ukweli wako maana hata wachungaji wenu wamechemka hapo wewe bdo2 unakua kiburi kuamini ukweli
@flova7022
@flova7022 2 года назад
@@allyjumaallyjuma692 hivi mchungaji ndio Mungu..hapo wate mnaoshadidiaa ukristu na uislamu wapumbavu ..Mungu Hana dini...hivi Kuna sehemu quran Una sema Allah ni muislamu au Kuna sehemu biblia inasema Mungu ni mkristu ..pendaneni wanadamu wote katuumba Mungu haya madini yameletwa na wazungu..fungukeni waafrika...Mimi mroman mke wangu muislam..tunaishi..vizuri na wale waliku WANASEMA OOH UMEOLEWA NA KAFIRI SASA TUMEONA WOTE WAMESHAAACHANA..SISI TWADUNDA TU SIJUI SASA NANI KAFIRI HAPO...kueni kifikra waafrika haya madini yameletwa na wazungu tu
@AAA-zu1vy
@AAA-zu1vy 10 месяцев назад
Allahum Amiin
@user-kv5dy3ck2o
@user-kv5dy3ck2o 4 месяца назад
Mungu akuremu sana mazinge macho ya watu yatakuingiza motoni' maana ukweli unaujuwa
@johnmathew2769
@johnmathew2769 3 года назад
mazinge mungu akusamee kwa kubadilisha maandiko
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 2 года назад
Yesu mwenyewe alimuita Mungu Baba
@salwamohammed9218
@salwamohammed9218 2 года назад
Ushahidi tunaomba
@CK-ii5cc
@CK-ii5cc 2 года назад
Furahisha wengi chomekeni pamoja. Mazinge anafurahisha tu waislamu ila anajua ukweli
@allyjumaallyjuma692
@allyjumaallyjuma692 2 года назад
Hahahaa!!Imekulakwako ikiwa hukuelewa hapooo!!!.Pole ndugu ktk Adamu
@martinbarua9962
@martinbarua9962 8 месяцев назад
Wewe Bado umelala
@hassanounAbdul
@hassanounAbdul 4 месяца назад
Utakuja kufurahi vizuri siku ya hukumu wakati unachochewa kuni hujielewi ww😅😅😅
@Mpogozi
@Mpogozi 2 года назад
Eee mwenyezi mungu wasamee waislam maana hawajui walitendaro Ameen🙏🏻🙏🏻
@swalahuomar5314
@swalahuomar5314 2 года назад
Mngu akuongoze SSI hatuwakashifu tunataka kuwafundisha na kuwaonesha dini ya kweli
@ramajuma1173
@ramajuma1173 2 года назад
Yani nyie ndo mmepoteya dhahirii,
@mtokaboys2175
@mtokaboys2175 3 года назад
Maashallah
@ghulamyassintv4825
@ghulamyassintv4825 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Eh1tMTW6PvU.html Guzalink ☝️ tufaidike kiongozi
@Zubaiba
@Zubaiba 23 дня назад
Mashaallah mashaallah Allah awabari mashehe weru
@shuwenaghandi9253
@shuwenaghandi9253 2 года назад
LONG LIVE PROFESSOR MAZINGE
@qoslayekicheko4934
@qoslayekicheko4934 2 года назад
Masha allah bro waislamu mkuu
@qoslayekicheko4934
@qoslayekicheko4934 2 года назад
Madugu mosilamo mdugu mojo wislamu
@qoslayekicheko4934
@qoslayekicheko4934 2 года назад
Jisas cissa ni moslamu
@fuminozanzibar.6402
@fuminozanzibar.6402 2 года назад
Allah give more power Alhabiib Mazinge
@eliasfesto4604
@eliasfesto4604 2 года назад
Hapo mazinge umechemka kwanza umechanganya maada,swali la Yesu kuwauliza wanafunz wake yey ni nan na Petro kuambiwa toka shetani ni mada mbili tofaut zilizozungumzwa ila umetumia uongo kuwadangany wasiojua bible
@davidimmael1300
@davidimmael1300 2 года назад
Kabisa Maana alimwambia rud nyuma yangu shetani pale petro alipo mwambia Kristo hatakufa.....Mazinge amekanusha hiyo scenario
@saidkipalo4427
@saidkipalo4427 2 года назад
Sikieni ndugu zangu wakristo yesu inawezekana akawa mwana wa MUNGU lkn Maana yake sio yesu kwamba ni mtoto wa kuzalia hapana jamani yesu ni mtoto wa MUNGU kwa Maana ya mapenzi ....mfano yesu anasema yohana 20;17 ninapaa kwenda kwa baba yanga nae ni baba yenu kwa MUNGU wangu nae ni MUNGU wenu, mbona ni simple Sana kwa iyo na sisi pia si ni watoto wa MUNGU Kama yesu? Nadhani hapo mmeeelewa ndugu zangu lengo ni kuelimishana sisi wote ni watoto wa Adam, thanks 🙏
@user-hp6gz6ln4k
@user-hp6gz6ln4k 3 месяца назад
Tulia.... Yohana 17:5 Quran inakuchanya wewe na wenzako Allah kasema atakuwaje na mwana na hakuwa na mke? Mfano mtu anafariki Kisha waulize mwanawe yupo wapi? Babake marehemu atasema atakuwaje na mwana wakati hakuwa na mke.... Yesu ni Mwana wa Mungu, mazinge muongo anachanganya Mada... Ajielewi
@allyshomari7417
@allyshomari7417 Год назад
Ustaadh. Mazinge mwenyezi mungu muumba. Akupe nuur. Na mwisho mwema. Nakuombea duwaa!! Kwa ku ufikisha!! Ukweli kwa hojja zilizo hai!! Takbiir Allah Akbar!!
@delefantasticali8377
@delefantasticali8377 3 года назад
Mashaaallah
@ghulamyassintv4825
@ghulamyassintv4825 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Eh1tMTW6PvU.html Guzalink ☝️ tufaidike
@ghulamyassintv4825
@ghulamyassintv4825 3 года назад
@Yusuf Sahal mbona wacheka
@victorianyange9281
@victorianyange9281 2 года назад
SHETANI ANAJUA YESU NI MWANA WA MUNGU: Mathayo 8:29 [29]Na tazama, wakapiga kelele, wakisema, Tuna nini nawe, Mwana wa Mungu? Je! Umekuja kututesa kabla ya muhula wetu? BINADAMU WOOTE TUNAJUA YESU NI MWANA WA MUNGU:Mathayo 14:33 [33]Nao waliokuwamo ndani ya chombo wakamsujudia, wakisema, Hakika wewe u Mwana wa Mungu. Marko 1:1 [1]Mwanzo wa Injili ya Yesu Kristo, Mwana wa Mungu. YESU KRISTO ALIKIRI YEYE NI MWANA WA MUNGU: Mathayo 27:43 [43]Amemtegemea Mungu; na amwokoe sasa, kama anamtaka; kwa maana alisema, Mimi ni Mwana wa Mungu.
@igasiradji1676
@igasiradji1676 2 года назад
Ni yohana alisema ,ebu niambie pahari mungu alisema yeye mwenyewe
@victorianyange9281
@victorianyange9281 2 года назад
@@igasiradji1676 Mungu mwenyewe alisemaje?
@victorianyange9281
@victorianyange9281 2 года назад
@@igasiradji1676 Yohana alisema Yesu ni Mwana wa Mungu katika ufunuo wa Roho Mtakatifu. Yohana alifunuliwa hilo ndipo akasema Yesu ni mwana wa Mungu. Sio Yohana tu aliyesema bali hata Yesu na Shetani walisema
@mohabro9521
@mohabro9521 2 года назад
Nyamazaa wewe
@mohabro9521
@mohabro9521 2 года назад
Yohana alisema si Mungu alisema
@sadahramadhani6046
@sadahramadhani6046 2 года назад
Huyu ndiyo PROFESSOR MAZINGE bana
@zainulabideen6955
@zainulabideen6955 2 года назад
Allah bless you with long life, only defendind islamic RELIGIAN
@Mrbariye
@Mrbariye 2 года назад
Mathayo 3 17 na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.
@maimunafzaka880
@maimunafzaka880 2 года назад
Alisikia sauti ya shetani... yesu alisema hujawai ata siku moja kusikia sauti ya mungu
@allykeita704
@allykeita704 2 года назад
Nani alisema kuwa tazama sauti kutoka mbinguni?
@georgemheluka3122
@georgemheluka3122 2 года назад
Maandiko ya Biblia ukitaka kuyatafsiri kama unavyopenda wewe ama akili yako inakopenda lazima upotoke, Mungu mwenyewe lazima akufunulie kuelewa ndo utapata maana sahihi ya kilichoandikwa. Mungu mwenyewe ameweka wazi sehemu nyingi tu kuwa Yesu ndie mwana wake na ndio njia ya kweli na uzima.mtu haendi Kwa Baba Ila kupitia kwake
@allykeita704
@allykeita704 2 года назад
@@georgemheluka3122 Kaka hahahaha nimecheka sana ebu tulia kuniletea Hadith za uongoo ilo Chaka ambali huwa mnapenda kujificha eti oooo bibilia sio Kama gazeti inatafasiri yake ebu nambie mapumbu Nini maanake imeendakwa
@georgemheluka3122
@georgemheluka3122 2 года назад
@@allykeita704 itoshe kusema tu Yesu yu hai na anatenda kazi hata sasa,,na uzuri wa Yesu yeye watu wote anawapenda wakimtafuta tu wanampata,ndio maana hata wengi walio waislam wanakuja kwetu mambo yaliyoshindikana kwenu lakini Kwa kupitia jina la Yesu kristo mwana wa Mungu alie hai wanapokea suluhisho la mateso yao,,Ameeen
@mchopaluka4319
@mchopaluka4319 2 года назад
Yesu ni njia kweli na uzima na atakuja kuhukumu sijui sura yako itakuwa wapi
@ahmadyahya6576
@ahmadyahya6576 2 года назад
Nani kakwambia ww anaehukumu ni Allah ww
@kelvinmakala5338
@kelvinmakala5338 2 года назад
Mazinge kasoma Mathayo 16:13-17, then karukia mstari wa 23, akasema anayesema Yesu Mwana wa Mungu ni Shetani, halafu Waislamu wakashangilia. Yani kama hawana vichwa. Hapo Kati Kuna mstari wa 19-22 umemezwa,ambao unaonesha kwann Petro ameambiwa nenda nyuma yangu Shetani. Hawa watu kwa hii tabia ya kusoma maandiko nusu watawapa wengi mno wasiosoma maandiko, maana wapo tayari kudanganya.
@aishahmd2559
@aishahmd2559 2 года назад
Mazinge mashaallah hongera kwako Allah akupe umri mrefu akuepushie na hasadi uzdi kuitangaza dini ya haki
@hafsaali7976
@hafsaali7976 3 года назад
Mashaallah
@biramsakh9212
@biramsakh9212 2 года назад
Mazinge 👍👍👍🇹🇿😍
@abubakardarema7050
@abubakardarema7050 2 года назад
Allah Akulipe kheri
@zahrathassan5199
@zahrathassan5199 3 года назад
Allah akupe umri mrefu wenye mwisho mwema ust mazinge
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
Amiin
@rahma_bint_djuma
@rahma_bint_djuma 2 года назад
Allah akuhifadhi Sheikh wetu
@najashkesi2892
@najashkesi2892 2 года назад
Mungu Umpemwishomwema
@mwanahamis5487
@mwanahamis5487 3 года назад
Mazinge makafiri hawamuwezi.. Makafiri hata muwe Mia hapo hamchomoki
@ghulamyassintv4825
@ghulamyassintv4825 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Eh1tMTW6PvU.html Guzalink ☝️ tufaidike ukhty
@davidkifalu6812
@davidkifalu6812 3 года назад
Siku ya mwisho uta jua kafili ninani
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
@@davidkifalu6812 atajulikana
@user-qq9gi3gs3q
@user-qq9gi3gs3q 5 месяцев назад
Allah akuongezee umri sheikh"Mazinge"
@beatricezacharia1737
@beatricezacharia1737 2 года назад
Mazinge utadaiwa roho za watu wengi kwa kuwapotosha ukwel kuwa uongo
@binahmedjuma8681
@binahmedjuma8681 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-aQA0-gRqKsA.html Kama unaona Ndacha anaongea ukweli basi sahau!! Pitia hiyo link maana Ndacha huyu huyu pia anasema Yesu sio mwana wa Mariamu!
@jumahamad9463
@jumahamad9463 3 года назад
NDACHA ANACHEZEA KICHAPO KILA UPANDE KWA SHEIKH YUSUF NA KWA USTADHI MAZINGE BALAA KICHAPO TU KWA NDACHA
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 3 года назад
Hahaaaaaa
@nurudinamchome6852
@nurudinamchome6852 3 года назад
Alimtaka mwenyeweeeee,,,
@jumahamad9463
@jumahamad9463 2 года назад
@@nurudinamchome6852 NDIO HIVYO MTOTO AKILILIA WEMBE NA ZA WEMBE WA NACET MPE AKIJIKATA AKIJICHINJA NDIO ATAJUA WEMBE SIO WAKUCHEZEA
@allymaliki5996
@allymaliki5996 3 года назад
Mazinge unanifurahisha sana
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 2 года назад
الحمدلله على نعمة الاسلام.
@strong8534
@strong8534 2 года назад
Amiin
@ommynako5587
@ommynako5587 2 года назад
Baba mazinge mungu akuweke sana sana akubarik sana
@innocentshilla8677
@innocentshilla8677 2 года назад
kaka mnazingua nyie
@jaaffarabuu6750
@jaaffarabuu6750 2 года назад
Mazingeeeeeeeeee
@hawaamkubwa2020
@hawaamkubwa2020 3 года назад
Allah akbar Allah akuzdshie elimu shekh mazinge Allah akuzdshie afia na umri mrefu 🤲
@ghulamyassintv4825
@ghulamyassintv4825 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Eh1tMTW6PvU.html Guzalink ☝️ tufaidike ukhty
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
Amiin
@presenttruthloudcryforthel5338
@presenttruthloudcryforthel5338 3 года назад
Mwongoo wa Mwisho Yesu hakujibu simoni petro, ameruka mpka ishirini na tatu mwongo aliambiwa damu na mwili havikukufunulia bali Mungu aliye hai,,mazinge mwongo wa mwishoo
@jumakumala1337
@jumakumala1337 3 года назад
Allah awaifadhi waadhiri wetu nyote na kesho QIYAMA awalipe Pepo fridhausi
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
Amiiin
@sandalalutubija235
@sandalalutubija235 2 года назад
Mm namjua mungu nawahubili amana
@shabanadam9150
@shabanadam9150 2 года назад
Shekhe mazinge mungu akupe umri mrefu
@tvfoa7115
@tvfoa7115 3 года назад
Ce très beau
@martinbarua9962
@martinbarua9962 8 месяцев назад
Ostazi mazinge anajuwa kiukwel 😅😅🇹🇿🇹🇿
@mohamedibrahim7732
@mohamedibrahim7732 2 года назад
Ndacha amepatikana leo ahsanta profesa mazinge
@akimanayusra4853
@akimanayusra4853 2 года назад
MashaAlllaah
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 2 года назад
Fundisho huwa linajengwa kwa kuzingatia biblical hermeneutics huwezi kujenga doctrine bila kuzingatia biblia inasemaje. Wakatoliki walipotangaza kuwa Yesu ni mwana wa Mungu huko Nicea Uturuki. Walikuwa wamezingatia msisitizo wa Maandiko ya Agano jipya katika Biblia
@DaudEmmanuel-fy8hs
@DaudEmmanuel-fy8hs Год назад
Mwalimu ndacha barikiwa sana watoe matongotongo machoni wapate kuona nduzetu
@islamic_tv_tanzania
@islamic_tv_tanzania Год назад
Takbiir, Allahuakbar
@jonahmburu9738
@jonahmburu9738 2 года назад
Mazinge jibu swari unakwepa
@jacksonmusyoka8837
@jacksonmusyoka8837 2 года назад
Ndacha uko vizuri
@user-zq9cv3dm4u
@user-zq9cv3dm4u 4 месяца назад
Mimi nilikuwa na subili uyo mchungaji haaaa mpaka anadiliki kusema mtume muhammadi eti mpinga kilisto daaa tukishiba tusikufulu jaman😢😢😢
@elizabethsidi5574
@elizabethsidi5574 Год назад
Mazinge wew ni vichekesho tuu lakin acheni mzaha Dunia inaisha sije mkajuta
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 2 года назад
Mashallah Allah
@FranciscoAtanasioGabriel-eq4fj
@FranciscoAtanasioGabriel-eq4fj 11 месяцев назад
Amen,Ndacha nguvu,mazinge ana kitu uyo.
@mussatugulu1222
@mussatugulu1222 2 года назад
Very good only
@francismauya9209
@francismauya9209 2 года назад
Bibilia huwezi kuielewa Kama ww mazinge unavyo isoma Kama unasoma gazeti Roho mtakatfu lazima ahusike kukufunulia
@binahmedjuma8681
@binahmedjuma8681 2 года назад
Katika kusoma kwako Biblia ni lini ulishawahi kushukiwa na roho mtakatifu? (kujidai huwezi kuielewa biblia bila kuwa na roho mtakatifu ni namna ambavyo mnaitumia kujilinda dhidi ya madhaifu ya biblia)
@ruwaidaal-ismaily9099
@ruwaidaal-ismaily9099 3 года назад
ماشاءالله
@furahakonde4921
@furahakonde4921 3 года назад
Amen
@ghulamyassintv4825
@ghulamyassintv4825 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Eh1tMTW6PvU.html Guzalink ☝️ tufaidike ukhty
@leonardamani4026
@leonardamani4026 2 года назад
Mazinge mbona unatumia nguvu sana.... huu ni mjadala toa point za kueleweka.....(umenitaka ndo nn)
@alfrednyamnini7352
@alfrednyamnini7352 3 года назад
Mazinge Acha kudanganya watu hukumu yako itakuwa kubwa Sana . Mathayo 3.17 Bibilia inasema Na tazama Sauti kutoka mbinguni ikisema huyu Ni mwanangu mpendwa wangu ninayependezwa naye. Hiyo Ni Sauti ya Mungu Mwenyewe. Wewe Mazinge Wewe.!!!!!!!! Waislamu shitukeni Mazinge anawadanganya.
@eliakimjoakim7393
@eliakimjoakim7393 3 года назад
Tena muongo hatari yesu alimwambia kaa nyuma yangu shetani mara baada ya petro kumkataza yesu asiende kuteswa
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
Kumbe Yesu si Mungu?
@saidosaido5647
@saidosaido5647 3 года назад
Ala kumbe yesu si mungu sasa nyinyi wenyewe munakubali kua yesu sio mungu na bado tu kilasiku yesu ni mungu nyinyi muko Sawa lakini
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
@@saidosaido5647 kabisaaa. Umeonaa ees.
@adammj6258
@adammj6258 3 года назад
😂😂😂😂sauti ikatoka Mbinguni, wape hao Wachungaji labda hawaijui hiyo Aya 😂😂😂😂
@juliusmungai5319
@juliusmungai5319 10 месяцев назад
Matthew 3:17 And suddenly a voice came from heaven, saying, “This is My beloved Son, in whom I am well pleased.”
@LouisianaRiri
@LouisianaRiri 8 месяцев назад
The voice is not God
@user-ce6xn3ig2j
@user-ce6xn3ig2j 5 месяцев назад
Amina
@alluabdallah6893
@alluabdallah6893 2 года назад
Mashallahh Allah Akbar
@juliusmatonya9132
@juliusmatonya9132 2 года назад
Hawa jamaa wanauhakika wakula kila siku.wote ni vipofu hapo....hakuna ukweli wowote hapo njia mungu hazichunguziki.....
@hasreeyasini
@hasreeyasini Год назад
Neno limekuingia hauna pa kutokea
@moshantoj
@moshantoj 3 года назад
Huyu hata Hana kitu eti anakuja na kitabu cha wakatoliki vitu ambazo hata hakuna Kwa Bible na kujipiga kifua.
@piereyraymondy2161
@piereyraymondy2161 2 года назад
Huyo mazinge na huyo mchungaji wote wahuni tuu..
@hilmialiomar1983
@hilmialiomar1983 2 года назад
Mazinge is Ahmad Deedat of Tanzania
@rehemahassan4339
@rehemahassan4339 3 года назад
Mashallah mazinge Allah akuweke inshallah 🙏🙏🥰
@christianmaseka7161
@christianmaseka7161 3 года назад
Waislamu mkita mhadalo wa kweli mleteni mtu anae ijua biblia acheni propaganda. Huu mnao ufanya ni uhuni. Yesu ni mwana wa mungu na tena ni Mungu sasa hili ni fumbo na nyie hamwezi kuelewa hadi neema iwafikie
@emmanuelshayo4703
@emmanuelshayo4703 3 года назад
Hawa wasikuumize kichwa, unasikiliza unaondoka zako
@kulthumyousuf1552
@kulthumyousuf1552 3 года назад
@@emmanuelshayo4703 ukweli mchungu 🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣Si mmesowea kudanganywa nyie maana wakristo kwa maneno tuu hamuwezekani ila kwa Maandiko hoja hamna🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
@kizibomikogo6915
@kizibomikogo6915 3 года назад
Mjadala mzuri Sana aiseeeeeeeeeeeee Kuna mengi Sana ya kujifunza
Далее
Wife habit 😂 #shorts
00:16
Просмотров 61 млн