Тёмный

MAZISHI YA SHE.SAID BIN NYANGE MAKKA😭😭😭😭😭😭😭😭😭 

sheikh said bin nyange online tv
Подписаться 2,5 тыс.
Просмотров 48 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

22 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 124   
@mustafapandu5189
@mustafapandu5189 12 дней назад
Sheikh nyage alikuwa vizuri sana nafasi ya kufa huko na kuzikwa huko haki yake alikuwa sheikh wa tabia njema.
@umsoud3306
@umsoud3306 11 дней назад
Allaah Awarehem wote Wa Islam, Awapuzishe Katika JANNATUL FIRDAUS Amiin
@shamusathebeautifully5945
@shamusathebeautifully5945 11 дней назад
Allah amsammeh makosa yake na amjaalie Ljannat Firdaws na sisi Allah atupe Khusnil Khatima ameen
@medimisi6930
@medimisi6930 12 дней назад
mawaidha tosha ni kuzika hivyo, sio kule kufinika shuka, allah amlipe kheir nasi atupe mwisho mwema. 🤲
@IssaAli-wz5jh
@IssaAli-wz5jh 11 дней назад
Ni kweli ila haina maana ya kuwa haifai kufunika sababu hizo ni Ikhtilaafu za kimadhehebu huko Wanafuata madhehebu ya Hanbal huku kwetu ni Shafi kwaiyo nawao ni lazima wafate sheria za huko.
@IssaAli-wz5jh
@IssaAli-wz5jh 11 дней назад
Ila masalafi wa leo tunasema haifai kufuata madhehebu tumejifanya kuw sisi ndio wasomi zaid kuliko salaf swaleh wa karne zilizopita. Allah atuongoze Inshaallah.
@Naw89
@Naw89 11 дней назад
Innalillahi wainna ilayhi raajiuun MAA SHA ALLAH kwa kweli Naamin kila anaeitetea jamii kwaajili ya Allah hufanikiwa sana kuipata Pepo huyu sheikh alikua akikemea sana wapiga vinanda watoto wanaharibika kwa qaswida za haramu wanacheza michezo ya haramu eti ndio uislam wengi walikua wakimkejeli kupitia hii mada lakin angalia Allah alivyomsalimisha Subhaanallah
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 11 дней назад
Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun Mwenye Enzi Mungu amrehemu amlaze pema peponi amjaalie kauli thabit yaarab amjaalie katika as'habul yamiin ampe kitabu chake kwa mkono wake wa kulia amsamehe makosa yake. Allahumma Ameen Yaarabil Aalamiin
@HalimaSalym-jl2ui
@HalimaSalym-jl2ui 12 дней назад
Yaa Allah na sisi tujaalie mwisho mwema. Anmyna
@MohammedBakari-pn9yg
@MohammedBakari-pn9yg 11 дней назад
Aamin
@user-yi4xo1jh3v
@user-yi4xo1jh3v 5 дней назад
Hafii ila alie msafi bila shaka alikua msafi,nasi tupe mwisho mwema Mola wetu Amiin
@user-iy7xy1np7c
@user-iy7xy1np7c 12 дней назад
Inna lillahi wainna ilaihi raajioun.Allah amsamehe makosa yake amtilie nuru na barka katika maisha yake mapya ya kaburini na awape Subra wafiwa
@diyembarak5506
@diyembarak5506 11 дней назад
Allahuma Amiin
@khadijomary6033
@khadijomary6033 11 дней назад
Amiin
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 11 дней назад
Amiin 🤲🤲
@MwashambaAmeir
@MwashambaAmeir 7 дней назад
Allah amlipe malipo mema na makaaz jannatun-naim
@mariamnjiku5045
@mariamnjiku5045 11 дней назад
Inna lillahi wainna illahi raajioun. Allah amsamehe madhambi yake na amjaalie kauli thabit, amjaalie pepo yake tukufu aamiin. Nimeshtushwa sana na kifo chake kwani ni sheikh niliyeanza kumfualia hivi karibuni tuu na nikapenda darsa zake yaani haizidi miezi miwili ama mitatu toka nijue darsa zake. Kwa hakika hapa duniani tunapita Allah atujaalie mwisho mema aamiin
@mwanaishamasoud
@mwanaishamasoud 12 дней назад
Innalilah wainailaihi rajiuun Allah ampe kaulthabit amsameh makosa yke na ss atupe mwisho mwema
@southunguja
@southunguja 10 дней назад
Mashaallah mashaallah mashaallah ALLAAH ampe noor alanoor inshaallah na ss ALLAAH atupe safari njema inshaallah
@umsoud3306
@umsoud3306 11 дней назад
Ya Rab, na sisi Atupe Husniy Alkhatimah Amiin
@RayaRashid-qc8cn
@RayaRashid-qc8cn 11 дней назад
Inna lilahi wainna ilaihi rajiuun,Allah amjaalie nuru kwenye kaburi lake na amsamehe madhambi yake na amjaalie Pepo 🤲
@binmasoud4150
@binmasoud4150 11 дней назад
Allahumma thabbit-hu bilqauli tthabit, Alikuwa mweye kujitahid kwenye dini na kuwaidh watu.
@ayshahajj8888
@ayshahajj8888 11 дней назад
Innalilah wainna illaih 😢ya Allah mlipe Yale yaliomstahiki,, sheikh wng
@rehemamahendeka-rm2ek
@rehemamahendeka-rm2ek 12 дней назад
Innalillahi wainna ilayhi rajiun,Rabbi amswamehe pale alipotekeza/ampe wasaa ndani ya mwana ndani/ampe kauli thabiti,Aamin !
@farijalakhalid5558
@farijalakhalid5558 12 дней назад
Kuna watu wanazali kwelikweli. Unaende kuzikwa alipo zikiwa maswahaba. Mungu ampe qauli thabiti
@user-bs2ei5wh7r
@user-bs2ei5wh7r 12 дней назад
Hakika sisi sote ni wa Allah sw na kwake tutarejea
@Sherrymwinyi
@Sherrymwinyi 11 дней назад
mungu ailaze roho ya marehemu pemapeponi ameen
@KhamisSaleh-gg7ov
@KhamisSaleh-gg7ov 12 дней назад
Innalillahi Wainna Ilaihi Rajiuun. Allah Ampe Qawli Thabit Na Awape Subra Wafiwa
@ashasaid1235
@ashasaid1235 11 дней назад
Mwenyez mungu atupe mwisho mwema in shaallah😂
@user-tg4px6ld2b
@user-tg4px6ld2b 12 дней назад
Inna lillahi wainnaa alayh raajiuun kila nafsi huonja maut mugu amlaze Mahal pema peponi amiin
@user-ws6jq4in7q
@user-ws6jq4in7q 12 дней назад
subhaana llah innaalilah wainnaailayh raaajiuun allah amjaalie makaaz yake peponi kwarahma zake
@SoudShuraim
@SoudShuraim 10 дней назад
Bahati iliyoje kuzikwa na maswahaba
@user-up2ef7dc6k
@user-up2ef7dc6k 11 дней назад
Innallillah rajihun Mungu ampe nuru katika kabli yk amina
@user-lo4bv3lt6n
@user-lo4bv3lt6n 8 дней назад
Hakika sisi ni wa allah na kwake ni wenye kurejea🤲🤲🤲🤲
@user-wi6hv4tq8g
@user-wi6hv4tq8g 12 дней назад
Innalilah wainalilah rajiuni allah ampe kauli thabiti🙏🙏😢😢
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 12 дней назад
Inalillahi wainailahi rajuun. Allah amjaalie pepokwahurumawake. Amyn nasi Allah atupe kauli thabiti sikuya mwisho
@ismailmakame3972
@ismailmakame3972 9 дней назад
Jitihada zake zimeonekana mungu yeye mwenye kaliona Hilo. Nasi tumeliona Hilo. Nnamuomba mungu amlipe pepo na ampe neema nyingi humor kabrini amin. Nasi mungu atujalie mwisho mwema pia kama yeye. Ishallah.
@AminaIbrahim-qh2gn
@AminaIbrahim-qh2gn 10 дней назад
😢😢 innalillah wainnailaih rajiun. Allah Ampe salama shekh wetu ktk kabri lake n akhera pia
@diyembarak5506
@diyembarak5506 11 дней назад
Allah amjaalie kaul thabit
@aljalilatiba9873
@aljalilatiba9873 12 дней назад
MASHEKHE TUPENI MUONGOZO KUZIKA BILA YA KUTIA UDONGO KABIRINI AU MCHANGA YAANI KAMA MAKABURI HAYO YAPO WEZI JE INAFAA?
@user-qe9ot4kl9u
@user-qe9ot4kl9u 11 дней назад
Hapo amazikwa kwa muda tu hauzidi mienzi 9 kisha kuna dawa na chemical huekewa ili wahamishwe sehemu nyengine Hayo makaburi yapo enzi na enzi na nafasi ipo kwasababu maiti huwa zinahamishwa aidha miili yao au mabaki ya mifupa na hayo makaburi yako kwa line na nambo kabisa
@suleimanmalik8878
@suleimanmalik8878 12 дней назад
Innalillah wainali illahi rajiun Allah amfanyie wepesi katika safari yake inshaalah
@ramamavumba6187
@ramamavumba6187 12 дней назад
Innaalillaahi wainnaa ilayhirraajiun Allah amsamehe mwalimuwetu ampekilalakheri nasi atujaalie mwishomwema aamin
@user-of9gq3xj6h
@user-of9gq3xj6h 9 дней назад
Allah amfanyie wepesi mja wake kwa kumfutia makosa yake na kulitia Nuru kaburi lake na amlipe pepo yake Amiin
@fifo262
@fifo262 12 дней назад
Allah tujaalie mwisho mwema in sha allah
@medimisi6930
@medimisi6930 12 дней назад
na maswali mawili. ivi mait mikono yake hukunywa au hunyooshw akisikwa sina elimu ya hilo nisaidieni. la pili nilisikia anaekufa hija hua hatinikwi uso akizikwa je na hili liko vp
@IbrahimJuma-m3b
@IbrahimJuma-m3b 11 дней назад
Mikono inanyooshwa Martin anapozikwa na Hilo lapili sio sahihi I've ulivyoskia
@user-gp1sk9hg1y
@user-gp1sk9hg1y 12 дней назад
Kudumu nakubakia nikwake yy tu Allah ss niwakwake nakwake tutarejea Allah amlaze mahali pema
@mosihamisi663
@mosihamisi663 10 дней назад
Ya Rab na sisi Atupe husniy Alkhatimah Amin amin
@mwanakhamisiddi2228
@mwanakhamisiddi2228 10 дней назад
mashala Allah azidi kumjaza kheri zake amina
@mohammedomar2865
@mohammedomar2865 12 дней назад
Allah atupe mwisho mwema
@IddiBenta
@IddiBenta 11 дней назад
Inalilah waina ilayhi rajighun Alla amjalie makazi mema nasis pia
@ayshazambia6509
@ayshazambia6509 9 дней назад
Innalillah wainalillah tajuun allah awasamahe ndugu zetu wote waliyotangulia mbele ya haki😢😢😢
@user-fh7wu8vx1y
@user-fh7wu8vx1y 11 дней назад
ALLAH wajalie kauli thabiti
@user-mA17o
@user-mA17o 12 дней назад
إنالله وإنااليه راجعون😢😢😢😢
@Allyrumhy-ji2vo
@Allyrumhy-ji2vo 12 дней назад
إنا لله وانا اليه راجعون اللهم ثبته بالقول الثابت ،اللهم لا تحرمنا أجره ولا تفتنا بعده وغفرلنا وله.آمين😢😢😢
@aminandurya
@aminandurya 11 дней назад
Innalilahi wainalilah rajuon Allah ampokee Na kumhifadhi InshaAllah.ss pia atuajalie mwisho mwema InshaAllah.Familia ajalie subr Na awatie nguvu InshaAllah 😢😢😢
@balkissMuhammad-sk1ic
@balkissMuhammad-sk1ic 12 дней назад
Alhamdulillah innalilaii wainnailayhim rajiun
@omaryissa2562
@omaryissa2562 11 дней назад
innalillah wainna ilay rajiuuni
@nuhuamini1528
@nuhuamini1528 10 дней назад
Innalillah wainnna ilaih rajiun Allah awarehemu marehemu wote waliotangulia njia ya haq
@salmanassor8732
@salmanassor8732 11 дней назад
Innalilah wainna ilayhi rajiuni
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 12 дней назад
Innalilahi wainnaaileyhirajiuoni Allah Awasamehe Wote Maitizetu Walio Tangulia Yarabiy Nasisi Atujaaliye Khusnilkhatima Njema Yarabiy
@SharifaOman-bf1bn
@SharifaOman-bf1bn 12 дней назад
Innalilah wainailah rajuun
@TibaMatokeo-kk3mj
@TibaMatokeo-kk3mj 11 дней назад
Allah ampe kauli njema Innalilah wainallilah lajjun
@user-hm5jl1kh2t
@user-hm5jl1kh2t 12 дней назад
Innalillah wainailaiyhi rajiunn allah amswamehe alipo.kiseaa😢😢😢
@fahmikhalfan6818
@fahmikhalfan6818 12 дней назад
Innalillah wainailaiyh rajiunn
@MashaMbwana
@MashaMbwana 12 дней назад
Aamin😢😢
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 12 дней назад
Aamiin
@mozamasoud4711
@mozamasoud4711 12 дней назад
InnLilah wainnailay rajiun
@pataniabdallah9578
@pataniabdallah9578 9 дней назад
Innalilah wainna ilahim rajuun
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 12 дней назад
Innalilahi waina ilaihi rajiuun Allah amuhifadhi pema nasi atupe mwisho mwema
@mamaibra3817
@mamaibra3817 8 дней назад
Inna lillah wa Inna illah raji'un
@lusakaone7782
@lusakaone7782 12 дней назад
Innalillah wainna ilayhi raajiuun
@mussahamad8967
@mussahamad8967 11 дней назад
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun, Allahumma ghfir lahuu warhamhu,waskanhu filjannah.... Aamiin yaa Rabbiy.
@ShamimHassan-qm1et
@ShamimHassan-qm1et 12 дней назад
Innalillaahi wainna ilaih raajiun😢😢
@mornasaidtindwa3622
@mornasaidtindwa3622 12 дней назад
Innalilah wainnailah rajuun
@user-pd4qb7uz8b
@user-pd4qb7uz8b 11 дней назад
Innalilah wainnailaah rajiun
@HasinaKungulilo
@HasinaKungulilo 11 дней назад
Inna lillahi wa inna illahi rajiun Mwenyezi Mungu ampe kauli thabit. Amin
@umsoud3306
@umsoud3306 11 дней назад
إنا لله وإنا إليه راجعون
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 11 дней назад
Inalilah wanaileh rajuuni
@mealiipafu-wg7dx
@mealiipafu-wg7dx 11 дней назад
Innalillahi wainnailaihi rajiun
@shamtesultan
@shamtesultan 12 дней назад
Inalilah wainalilah rajiun
@NuruBomba
@NuruBomba 12 дней назад
Innalilah wa innalilah rajiun
@user-dq1lm2be2u
@user-dq1lm2be2u 12 дней назад
Inalilah wainailayh rajighuna
@user-ne7xi3bk3p
@user-ne7xi3bk3p 11 дней назад
Innalillahi wa inna ilaihi raajiuun Allah atupe mwisho mwema
@noot-oe2mw
@noot-oe2mw 12 дней назад
Inalilah wainalilah rajuuni
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 12 дней назад
May his soul rest in peace
@user-mA17o
@user-mA17o 12 дней назад
Innaa lillahi wainnaa ilayh raajiuun
@KhamisHaji-pw4jo
@KhamisHaji-pw4jo 11 дней назад
Innalillahi Wainnailaihi rajiun
@SaidJangoli-hr7ww
@SaidJangoli-hr7ww 12 дней назад
Inalilahi wainailayhi rajiuni
@asmaafamau9293
@asmaafamau9293 12 дней назад
Inalillah wainailahi rajiun
@JumaHeri-hn2bw
@JumaHeri-hn2bw 12 дней назад
🎉 inalilah wainalilah rajiun
@Zubaiba
@Zubaiba 11 дней назад
Innalillahi wainnalillah rajiun
@aminahassani-jh5rp
@aminahassani-jh5rp 9 дней назад
Innalillah
@MoyoNyenje
@MoyoNyenje 10 дней назад
Mbona maiti aifukiwi naudongo hii imekaaje
@mwajohari4385
@mwajohari4385 12 дней назад
Innalillahi wainna ilayhi rajiuun
@FatmaHaji-sf6xq
@FatmaHaji-sf6xq 9 дней назад
Inalilahi wainailah rajiuon
@AsaaSuleiman
@AsaaSuleiman 11 дней назад
Allah awalipe wote waliotqngulia
@omytifa6403
@omytifa6403 12 дней назад
Ina lilah waina ilah rajioon
@MeraiOmar-ok8bo
@MeraiOmar-ok8bo 11 дней назад
Inalillahi wainaillahi rajiun kz ya mungu Haina makosa😭😭😭
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 11 дней назад
Allah.Amrehem.lnnalilah.
@mohamedmichonjo5077
@mohamedmichonjo5077 12 дней назад
Inna lillahi wa llayhi ŕrajuna
@salhaomar5382
@salhaomar5382 11 дней назад
Innalilah wainna illah iraajiun
@user-pq1ln1gt7h
@user-pq1ln1gt7h 12 дней назад
Innaalillah wainnaailayhi raajiuun
@ZainabuYasini-ih7ro
@ZainabuYasini-ih7ro 11 дней назад
Innalilah wa Inna ilaihi rajuini. Anazikwa walipo zikwa maswahaba.
@AishaAisha-vt3ng
@AishaAisha-vt3ng 12 дней назад
Allah amrehem
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 12 дней назад
Innaalillahi wainnaa ilayhi raajiuun
@MuhidiniNassor
@MuhidiniNassor 11 дней назад
BACHU UKO WAPI? SUNNA MPYA HIYO
@khalifasaid0047
@khalifasaid0047 11 дней назад
Sunnah ipi kaka
@MuhidiniNassor
@MuhidiniNassor 11 дней назад
​@@khalifasaid0047kutiana sehemu bila ya mchanga karibuni watesema sunna
@user-xj2iv4gu3t
@user-xj2iv4gu3t 12 дней назад
Hakika ss ni wa mungu na kwke 2tarejea
@alkhalilmussa5633
@alkhalilmussa5633 11 дней назад
ويبقى وجه ربك ITABAKI DHATI YA MOLA WAKO
@MwarabuMwarabu-tm5hm
@MwarabuMwarabu-tm5hm 12 дней назад
Ina lilahi waina ilaihi rajiuni
@MuhidiniNassor
@MuhidiniNassor 11 дней назад
MNAOFATA MWEZI WA SAUDIA MSHAONA NAMNA MNAVYOTAKIWA MZIKANE?
@IbrahimJuma-m3b
@IbrahimJuma-m3b 11 дней назад
Inaonekana hujui Ata unalolifanya hapa ulimwengun, upon tu
@MuhidiniNassor
@MuhidiniNassor 11 дней назад
​@@IbrahimJuma-m3bوضدي
@issamwembe4245
@issamwembe4245 10 дней назад
Kuna dosari hapo?
@MbaroukSilima
@MbaroukSilima 9 дней назад
Acha ujinga ww!! Kwnza ulizia hlo kwa wnye uenyeji sio kuleta kauli za kipumbavu kwnye jambo kama hlo!!
Далее
YALIYOENDELEA SIKU YA ARAFA SEHEMU YA PILI
43:27
Просмотров 6 тыс.