Mwendo ameumaliza alhamdulillah tena kwa salama kabisaa 🥰🥰kazi ipo kwetu sisi 😢vp tutaondoka ktka mgongo wa ardhi 🤔na hali gani tutaondoka nayo allah atupe khatma njema aamin
Subhanallah si ni huu ni mziki hawa watu watu wa maulidi wanapinga nini,ebu waache haya mambo wanapotezeana muda hizi ni ngoma bwana wasisumbue watu ,hawa watu sijui wanataka nini ndio waelewe,tena mziki nyimbi zenyewe za taarabu anaye bixha abishe lakini hizi ni bidaa na upotevu wawazi kabisa tena upotevu mbaya sana,vijana au baro baro wengi hao wanapotezewa muda wao maskini ,na akili zao zimetekwa na ibilizi Allah atuongoze sote pamoja na waislamu wote kwa jumla hivi watu wamaulidi mnabixha nini angalie huu mzii vizuri na hiyo nyimbi inanfasi gani katika dini
Innalillahi wainna ilayhi raajioun. Sheikh Said Masha Allah. Allah akupe moyo wa kuthubutu uinyooshe jamii. Jamii zimeoza mno. Lkin pia Sheikh Said haya yote ymekuja kwa7 ya kuufungua mlango wa Bidaa yaani kusherehekea Mazazi ya Mtume Muhammad Swallahu alayhi wasallam. Mlango huu ndio waliopitia
Maulid hayajaanza leo na hatukushuhudia vitendo hivyo huko nyuma. Hayo ni mambo ya kileo usisingizie Maulid bure kama huwafiki Maulid tafute jengine lkn siyo kisingizio hicho. Tafuta elimu zaidi uelimike, elimu ni bahari.
Assalam alaykum nauliza huyu shekh anapatikana wapi nataka nihudhurie darsa zake nimezipenda san kwani zama hizi hali ni mbaya san,Allah akupe nguvu uzidi kuuzindua ummah amin
SHEKH AMESHA TANGULIA MBELE YA HAKI AMEFARIKI MAKKA ALIPO KWENDA KUHIJI NA KUWAONGOZA MAHUJAJI ALLAH AMSAMEHE MADHAMBI YAKE YOTE NA AMLAZE MAHALI PEMA PEPONI AMIN AMIN AMIN AMKUTANISHE NA MTUME WETU MOHAMAD SALALAHU ALAYHI WASALAM AMIN AMIN AMIN