Sheikh Saidi kafia Ardhi takatifu kwny Ibada takatifu na masiku matukufu...yaaa Allah mpokeee na umswamehe dhambi zake yeye na maiti zetu washaotangulia
Alhamdulillahi,Rabbi azipokee ibada za hujaji nyote mliofanikiwa kwenda Makka,nac atufanyie wepec/upana wa riziki ili tukafanye ibada inshaAllah. Nimejipata faraja sana kuckiza mahojiano haya,Alhamdulillahi !
Munajitahid kwenda makka ila ikifik siku za ushaguz mweny hak hapewi anapewa asie na haki na munajua kuwa mtu fulan hakushinda ila munatetea ili t ashind kuwen wakwli mtu akitok mji mtakatuf wa makka huwa mkwli siku zot hapend batli Allah akusimamie kwny ukwl Ayoub
Uwe na adabu kwenye Maongezi yako , culture ya wazanzibar watu wanaposafiri hujumuika airport kuwaaga na wanaporudi kuwapokea na sio kuwashangaa kama unavosema . Na Kuna faida nyingi zinapatikana katika mambo hayo hasa kwenye suala la maombi
@@kutailass6671 wemwenyewe na makafiri wenzio mmekosa maarifa mpk Leo watu mna madegegree yenu ya ilmu kichwani hayawasaidii kitu mnasema yesu Ni mungu mmeshindwa kujua Ni binadamu Kama ninyi alienda haja na aliona njaa Kama ww mungu gani anaona njaa