Тёмный

RC ATUA ZNZ KUTOKA MAKKA, APOKELEWA NA SHANGWE, AELEZEA KIFO CHA HUJAJI MTANZANIA AZIKWA, JOTO KALI 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 16 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 70   
@hamadsuleiman5177
@hamadsuleiman5177 9 дней назад
Sheikh Saidi kafia Ardhi takatifu kwny Ibada takatifu na masiku matukufu...yaaa Allah mpokeee na umswamehe dhambi zake yeye na maiti zetu washaotangulia
@mohamedaley5632
@mohamedaley5632 9 дней назад
Allahumma amin
@Aisha-lj8bu
@Aisha-lj8bu 8 дней назад
Amina yaarabbi
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 8 дней назад
@@robertphilip385kwa imani yako ya kigalatia,
@husna34562
@husna34562 8 дней назад
Amiin
@aliabdalla9297
@aliabdalla9297 8 дней назад
​@@robertphilip385sawa wewe usie na dhambi
@shersaid7988
@shersaid7988 9 дней назад
Hajj maqbuul na shukran kwa maelezo mkuu wa mkoa wa kusini Ayub Mohamed
@rehemamahendeka-rm2ek
@rehemamahendeka-rm2ek 7 дней назад
Alhamdulillahi,Rabbi azipokee ibada za hujaji nyote mliofanikiwa kwenda Makka,nac atufanyie wepec/upana wa riziki ili tukafanye ibada inshaAllah. Nimejipata faraja sana kuckiza mahojiano haya,Alhamdulillahi !
@ShakrinAliy-kz2el
@ShakrinAliy-kz2el 8 дней назад
Allah akupokelee hijja yko Allah akujalie mema dunian mpka akher wallah machozi yana nitoka kwa furaha ya mate ndogo yako Allah akuhifadhi
@hamadsuleiman5177
@hamadsuleiman5177 9 дней назад
Allah Akbar...Umeongea point Mkuu wa Mkoa
@aliymurid4433
@aliymurid4433 8 дней назад
Ma sha Allah. Allah akubarik na aikubali Hijja yako. Amiin
@AleiHadji-js3ed
@AleiHadji-js3ed 9 дней назад
Makka sio Lele mama Makka ni Kubadilika Tabia hakuna Hijja mbili hii ni Fursa ya Mwisho 😢😢😢😢😢😢😢
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 9 дней назад
Pole sana
@KhamisHaji-pw4jo
@KhamisHaji-pw4jo 9 дней назад
Masha Allah
@SARAHKATAGIRA
@SARAHKATAGIRA 8 дней назад
Allah akujalie uitumze hijja Ako nasi tuombee tuweze kwenda
@user-me5jv4fq4c
@user-me5jv4fq4c 8 дней назад
Mungu akuweke sana
@siriyangu4724
@siriyangu4724 6 дней назад
Innalilai wainna illah rajiun poleni...Inshaallah
@harithmohd6318
@harithmohd6318 8 дней назад
Munajitahid kwenda makka ila ikifik siku za ushaguz mweny hak hapewi anapewa asie na haki na munajua kuwa mtu fulan hakushinda ila munatetea ili t ashind kuwen wakwli mtu akitok mji mtakatuf wa makka huwa mkwli siku zot hapend batli Allah akusimamie kwny ukwl Ayoub
@maryamabdullah9169
@maryamabdullah9169 8 дней назад
Swadakta
@HashimSalim-qj7zn
@HashimSalim-qj7zn 6 дней назад
Allah ajaalie khutuba yako hii fupi iwabadishe viongozi wote na wawe waadilifu
@hassanhaj994
@hassanhaj994 8 дней назад
Na mshauri akarudishe na ardhi aliyowapora wananchi wa Kijiji cha Kilimajuu - Matemwe Kusini. Akiwa Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini ‘A’ Unguja.
@AleiHadji-js3ed
@AleiHadji-js3ed 9 дней назад
Zama za hijja Kua Ni Utalii ndio Hizii... Jamani Hija Hija Alihamdulilah
@makamekhalfan5968
@makamekhalfan5968 8 дней назад
subir kira utum maaskar muuwe wat kish usem ushahijj
@husna34562
@husna34562 8 дней назад
Mashallah tabarakallah
@cecilialivingstone9202
@cecilialivingstone9202 7 дней назад
unamacho lakini huoni
@alisharia6831
@alisharia6831 9 дней назад
Hatukatai lakini uwezo hatuna wanyonge sisi kiongozi
@abdulrahmanmohammed4449
@abdulrahmanmohammed4449 8 дней назад
Jamaa fasaha sana
@maase2023
@maase2023 8 дней назад
Wazanzibari bana washamba sana dah
@aishakhamis2996
@aishakhamis2996 8 дней назад
Mshamba mwenyewo hujielew ww ...!!
@user-cq4lp5rv1l
@user-cq4lp5rv1l 8 дней назад
Ukisema zanzibr washamba sasa nyiny wa tanganyika sjui tunakuonani vp nyiny huku
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 7 дней назад
Acha kuharibu amali zako kwa maneno machafu,hiyo lugha uliyotumia hapo sio sahihi,ujinga huo waachie wanasiasa.Ushamba wa wazanzibar ni upi hapo?
@maase2023
@maase2023 7 дней назад
@@walidmgonja3644 kutoka hajj mtu mnafanya matangazo????? Duh
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 7 дней назад
@@maase2023 huo sio ushamba,pia usihusishe na uzanzibar maana hata wasio wazanzibar pia wapo wanaofanya hivyo
@abdullhamid5868
@abdullhamid5868 8 дней назад
Huyu ndo raisi wa zanzibar
@IsmailJuma-zb5ni
@IsmailJuma-zb5ni 8 дней назад
Ndio Mujitahidi kutenda haki sasa
@Dulla_kite
@Dulla_kite 9 дней назад
Mashallh 🙏🏻
@maase2023
@maase2023 8 дней назад
Sasa mtu akitoka hajj kwao ni ajabu sana dah
@user-ql2om7qj3v
@user-ql2om7qj3v День назад
Mbona unawakumbatia wanawake. Hujuwi kama ni haram
@user-xc7qj7ze7m
@user-xc7qj7ze7m 8 дней назад
Mhh
@maase2023
@maase2023 8 дней назад
Hawa wazanzibari mtihani kweli ! Sasa hajj ni jambo la fardhi kwa muislam kutimiza sasa hawa sijui kinachowashangaza na kusifia sijui kitu gani
@nouraynaasheikhunkabir3749
@nouraynaasheikhunkabir3749 7 дней назад
Uwe na adabu kwenye Maongezi yako , culture ya wazanzibar watu wanaposafiri hujumuika airport kuwaaga na wanaporudi kuwapokea na sio kuwashangaa kama unavosema . Na Kuna faida nyingi zinapatikana katika mambo hayo hasa kwenye suala la maombi
@maase2023
@maase2023 7 дней назад
@@nouraynaasheikhunkabir3749 old fashion habit
@robertphilip385
@robertphilip385 9 дней назад
Ameenda kumpiga shetani wa saudia lkn amemwacha shetani wake nyumbani Kweli tunaangamia kwakukosa maarifa
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 9 дней назад
We mkristu unajuwa Nini kausha we una maarifa ya kusema yesu Ni mungu so kukosa maarifa nako
@HeboniBabu
@HeboniBabu 8 дней назад
Acha chuki uwondio mwanzo wa umasikini
@kutailass6671
@kutailass6671 8 дней назад
Huyu anachuk za kikafiri
@robertphilip385
@robertphilip385 8 дней назад
@@user-yj5on8cz3e ukweli unaumeee
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 8 дней назад
@@kutailass6671 wemwenyewe na makafiri wenzio mmekosa maarifa mpk Leo watu mna madegegree yenu ya ilmu kichwani hayawasaidii kitu mnasema yesu Ni mungu mmeshindwa kujua Ni binadamu Kama ninyi alienda haja na aliona njaa Kama ww mungu gani anaona njaa
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 9 дней назад
Hivi Allah ni Mungu? Dini za wakoloni shida
@masoudrashidmohammed4124
@masoudrashidmohammed4124 8 дней назад
Ni vyema kukaa kimya kwa mambo usio yajua
@user-dl1mg2qf4n
@user-dl1mg2qf4n 8 дней назад
Inamana wewe umetokea tu by nature? Hivi hata mwili wako haukupi dalili ya alie uumba?
@ameirmanzi2684
@ameirmanzi2684 7 дней назад
Chunga ndimi yako frauni kapiganiya ukafira usimame na kashindwa utaweza wewe kifuu tundu kwanza tafuta mungu yupi ataekufisha siku yako ikifika
@KhamisHaji-pw4jo
@KhamisHaji-pw4jo 9 дней назад
Masha Allah
Далее
ALICHOKIONGEA ALI KIBA Baada YA Kujenga MSIKITI
10:13
Просмотров 193 тыс.