Тёмный
No video :(

Mazito Yalitupata-Tulinusulika Kunyongwa au Kupigwa Bastora Nampula(Msumbiji)Gereza la Jeshi-Shafii 

Ustadh Shafii Online Tv
Подписаться 33 тыс.
Просмотров 73 тыс.
50% 1

usisahau ku subscribe channels hii

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 171   
@abudoeugenio6903
@abudoeugenio6903 Месяц назад
Aise mashekh wangu Mungu aliwajariya saaana daaaaahhhhh!! Mimi ni mtu wa msumbiji 🇲🇿, mkowa Cabo Delgado,wilaya ya Palma. Nnayajuwa vyema mada ya askari wa kwetu ususa ikiwa mada ya kuusishwa na jamaa wale. Alafu pale Mueda kuna shimo linakula watu Kila siku. Daaaaahhhhh! Aiseeeeh.
@abelmussamaulide8142
@abelmussamaulide8142 Месяц назад
Como que brow
@digalo373silentkiller7
@digalo373silentkiller7 Месяц назад
Mozambique ni nchi nzuri sana ila tatizo hakuna sheria,hakuna haki za binadamu,Mozambique wanakufunga bila kisa.
@Maingi-tm2si
@Maingi-tm2si Месяц назад
H​@@abelmussamaulide8142bo
@issaabdala864
@issaabdala864 Месяц назад
Mimi ni mtu wa Mozambique🇲🇿🇲🇿, Nasema poleni sana, Maana Muliyo yapitiya sio Madogo, Kwa Jinsi Navyo wajua Majeshi wetu! Inaonyesha Kuww Mungu Yupo Pamoja Nanyi!! Maana sio Rahisis Kutoka Mikononi Muao! Mungu Mkubwa Sana!
@ahmedomar804
@ahmedomar804 Месяц назад
Subhana llah mwenyzi mungu atakulipeni kila kheri kweli mlitoka katika mdomo wa Simba ni kisa cha kuhuzunisha kabisa
@MSIMBATIBoy-zd2rm
@MSIMBATIBoy-zd2rm Месяц назад
Poleni MASHEHE WETU, SISI tupo UKU NAMPULA 🇲🇿
@pastorafande142
@pastorafande142 Месяц назад
Uislamu hauruhusu mauaji ya kiholela bila sababu!!! Nanukuu maneno ya shafii, kwa hiyo uislamu unaruhusu kuua ila kuwe na sababu,my God
@FridayMwassa
@FridayMwassa Месяц назад
Kwaani wale wayahudi aliowaua Muhammad pale madini walifanya kosa gani
@AliAli-u7t4p
@AliAli-u7t4p Месяц назад
1 samuel 3. Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.
@mudinhomeshack9041
@mudinhomeshack9041 Месяц назад
Atakae ua kwa upanga nae auwawe na upanga
@AliAli-u7t4p
@AliAli-u7t4p Месяц назад
@pastorafande142 kwani ukiristo hauruhusu kuuwa kwa mwenye kosa la kuuliwa. Why is death penalty in Christian Country. Au hujuwi hilo
@pastorafande142
@pastorafande142 Месяц назад
@@AliAli-u7t4p nimenukuu shafii Wala sio maneno yangu, mkristo haruhusiwi kuua MTU, katika amri tunaambiwa usiue
@khamisathman7171
@khamisathman7171 Месяц назад
Shekhe Mwenyezi Mungu awajaliye kheir
@emmanuelandrea9794
@emmanuelandrea9794 Месяц назад
Uislamu sio ugaidi ,ila Kuna magaidi wanatumia uislamu vibaya na Watu wanaamini waislamu ni mgadai
@johariabdalla3319
@johariabdalla3319 Месяц назад
Ustadh Shafi hii story yako ni tamu mno,na yenye mazingatio na mafundisho makubwa ndani yake,watu wanapitia misukosuko na mitihani mingi,ndo hiyo siri au mtu aamue kuelezea,M Mungu akujaalie kila lakher.
@user-ug8hc4yh5k
@user-ug8hc4yh5k Месяц назад
Wewe Shafi muongope Allah acha kusema uwongo Kusikana na jihad kuwa muadilifu Wewe Shafi Wewe mwenyewe dini ujuwi Unahitajika kusoma dini
@saidijumahussein533
@saidijumahussein533 Месяц назад
Mbona hueleweki, kajiifunze kwanza kuandika vizuri ili ueleweke.
@ahmedomar804
@ahmedomar804 Месяц назад
Wewe umesoma wapi kwani hyo, basi kamsomeshe wewe unayejuwa
@hamisimshamu8968
@hamisimshamu8968 Месяц назад
Ebu tupe ukweli kwanza
@ramadhanimdillah67
@ramadhanimdillah67 Месяц назад
Hivi uwongo huyu sheikh uko wapi kwani huyu si anahadithia historia tu ya maisha yao ambayo hata wewe pia
@AmoIslamicTv
@AmoIslamicTv Месяц назад
Unalaana weee
@HamisiMdhamiru
@HamisiMdhamiru 14 дней назад
Allah atalipa Kila lakher
@OmanOma-xi3hm
@OmanOma-xi3hm Месяц назад
Allah akufishe na shahada
@user-mo8fn6yy5h
@user-mo8fn6yy5h Месяц назад
Poleni sana mashekh wangu mimi ni mtu wa uku msumbiji wilaya ya musimbwa Allah kawanusuru sana hawa hapo hivo
@abdallahkimbute1255
@abdallahkimbute1255 Месяц назад
Allah awalipe in shaa Allah
@ochuMay05
@ochuMay05 Месяц назад
Maashaallah M.Mungu akusimamie na akuongoze katika kuipigania Dini ya Kiislam..
@BintJahsh
@BintJahsh Месяц назад
Mwenyenz mungu hamtupi Mja wake
@user-jx7ed8cp8b
@user-jx7ed8cp8b Месяц назад
Shafi shekhe mungu ariwarinda amina
@timejames5099
@timejames5099 Месяц назад
M mungu akuhifadhi na Kila balaa sheikh
@user-bf3mm5wu1s
@user-bf3mm5wu1s Месяц назад
Daa poleni sana mashekh wetu
@AbasGwevu
@AbasGwevu 10 дней назад
Shaafii unasema kweli
@feisaldesign4156
@feisaldesign4156 Месяц назад
Polen sana Allah atawalipen khery inshallah
@antoniojovenssalassini6686
@antoniojovenssalassini6686 Месяц назад
Comment from Mozambique 4🎉🎉🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@MombaMapira
@MombaMapira Месяц назад
Pole sana uku kwetu siyo kuzuli
@rashidbusanya5843
@rashidbusanya5843 Месяц назад
Allah awalipeni kila la heri mnapambana sana
@user-du5wk9ns9m
@user-du5wk9ns9m Месяц назад
Uko sawa sheikh
@AmanzeAbdala
@AmanzeAbdala Месяц назад
Sheik wangu mbona iyonjia mriopita sio safi kabisa munge pita njia ya lichinga uku nakawale munge pita vizur sana❤
@user-ss6jm6jt3h
@user-ss6jm6jt3h Месяц назад
Mungu awalipe Kila jema Kwa mlopitia Kwa akili ya kazi ya allah
@CândidoAdrianoMaimba
@CândidoAdrianoMaimba Месяц назад
Poleni sana jamani
@user-gy6xz5xh3f
@user-gy6xz5xh3f Месяц назад
Poleni Sana Ndugu Shafi Na Wenzako Kwa Mitihani Mulio Ipata Lkn Maajurin IN SHA ALLAH
@yoramabubakar8012
@yoramabubakar8012 Месяц назад
Allah akuhifathi shekh wetu❤
@Hgd-jk6lh
@Hgd-jk6lh Месяц назад
Mwalimu shafii tunakupenda saan
@rayboyw.awakary4219
@rayboyw.awakary4219 Месяц назад
Duh pole sheikh
@TinaZimba
@TinaZimba Месяц назад
Ila inaruhusu kuuwa ni mungu yupi huyo
@abduladinane
@abduladinane Месяц назад
Pole sana nikiwa Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@zainulabideen6955
@zainulabideen6955 Месяц назад
kwely Sheikh, dr. sule amiaribu mengi kabisa...., comemment from Mozamquique
@mwamkosociety1725
@mwamkosociety1725 Месяц назад
Daaah Sheikh umenikumbusha Askari wa Msumbiji ase.
@BachooHassan-n8r
@BachooHassan-n8r Месяц назад
Poleni Sana mungu atakulipeni Insha Allah peponi Amiin
@khamiskasheshe2187
@khamiskasheshe2187 Месяц назад
Masha allah
@amourrajab6061
@amourrajab6061 Месяц назад
Vzr sana , ila unafaa kuisoma dini Shafii sio kusoma mahubir
@RonjoSalum
@RonjoSalum Месяц назад
Unawazim ww
@jalaphsaide541
@jalaphsaide541 Месяц назад
Mm ni mtu wa msumbiji hii mnona inaniumiza sana
@Ismailmusa-y6b
@Ismailmusa-y6b Месяц назад
Allah anakupenda sana na ndo maana anakulinda kwa Kila madhoruba lengo tu niuzidi kutulingania, Allah akujaalie umri mrefu na usije ukabadilika,
@ustadhshafiionlinetv
@ustadhshafiionlinetv Месяц назад
Allahuma Amiin
@musayosia4081
@musayosia4081 Месяц назад
Amiina 🙏
@user-gs3cu7xo8z
@user-gs3cu7xo8z Месяц назад
Pole sana mashekhe wetu insha allah Allah atawalipa 22:10 ,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ahmedmpimbi9684
@ahmedmpimbi9684 Месяц назад
Dah wallah pepo inatafutwa na kuna wanaume biidhnillah watapata pepo, Mwenyezi Mungu awape pepo
@user-vg6gp3bz1f
@user-vg6gp3bz1f Месяц назад
Subhanallah Allahu Akbar Anaelindwa na Allah kwamwe hawezi dhuurika
@user-vg6gp3bz1f
@user-vg6gp3bz1f Месяц назад
😢😢😢😢😢Allah azidi kuwahifadhi Mashekh zetu
@user-wu7vz8ot5i
@user-wu7vz8ot5i Месяц назад
Allah amewapigania kwa Kweli Alhamdulillah kama mpo salama
@BernaRazao
@BernaRazao Месяц назад
Maashala
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 Месяц назад
Umesikia ww shafii huwex kurlewa nini kimachoendelea Sera ya Ughaidi imeletwa na marekani kwa Lengo tu la kuuumiza Uislamu! *İslam tourturing* Mliteswa koz mlikuwa waislamu ! Nchi ya TZ ni imekaa kilristo mifumo yake kila kitu !
@maulidhatibu4859
@maulidhatibu4859 Месяц назад
Mwenyezi mungu huwalinda waja wake wema
@OmanOma-xi3hm
@OmanOma-xi3hm Месяц назад
Waambiemashelhe zet waleo hatar
@buanaquendaabdalaabdala8260
@buanaquendaabdalaabdala8260 Месяц назад
Pole Sana Shee❤
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 Месяц назад
Wallah mashaallah
@mustafapandu5189
@mustafapandu5189 Месяц назад
Nyinyi nakukubalini sana sio hawa vishekhe visharo vinavyojifaharisha n elimu ata ukucha hawajangoka kwa kupigania dini
@SintosamuelErnesio
@SintosamuelErnesio Месяц назад
Mugu awajaliye Mimi nimto wasumbiji palma poleni sana
@Athuman-rd4br
@Athuman-rd4br Месяц назад
pole sana upo safi sana dogo
@Pablolookman
@Pablolookman Месяц назад
Allah atakulipa ustadh shafii
@SHEIKH_AHMAD.
@SHEIKH_AHMAD. Месяц назад
Sasa vimepita tuko zetu huku
@husnashaibu1037
@husnashaibu1037 Месяц назад
Allah akulipeni kheri
@user-wc9vd7dg9o
@user-wc9vd7dg9o Месяц назад
Poleni San masheh wangu
@ManoAnsso-up6ib
@ManoAnsso-up6ib Месяц назад
Mimi Kutoka Mozambique Huku Kwetu Tunavyo Ishi Huku Pemba
@RaimoRaimo12
@RaimoRaimo12 Месяц назад
pole saná
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Месяц назад
Sheikh wangu umetowa simulizi Nzuri na yenye mafunzo.
@jaymapepefatma5936
@jaymapepefatma5936 Месяц назад
Kkkkk 😁😁 poleni. From Mozambique 🇲🇿❤
@mahmudumsuya3831
@mahmudumsuya3831 Месяц назад
MOLA akujaalie heri shehe shomari
@SophiaAbdallah-g4i
@SophiaAbdallah-g4i Месяц назад
mh shafih wewe unaelimu ya dini kuliko rogo wewe Au unafahamu kuhusu jihadi nashuruti zake kuliko shekh ilunga wewe bolaa ukae kimyaa to kama mm
@anraneamisse9243
@anraneamisse9243 Месяц назад
Na hio ndo shida kubwa hata ukivaa kanzu wakat una safir shida
@bostonbensonkapute5274
@bostonbensonkapute5274 Месяц назад
Pole Sana!
@barakamanga5502
@barakamanga5502 Месяц назад
Safi nikweli uislamu sio kuua
@FridayMwassa
@FridayMwassa Месяц назад
Kasome koran yako vizuri
@OmanOma-xi3hm
@OmanOma-xi3hm Месяц назад
Pole she shafi
@AllyFarouq
@AllyFarouq Месяц назад
Uko ndo kukomaa sheke
@mpefu_4936
@mpefu_4936 Месяц назад
Mungu atakongeza wewe fanya tu
@user-cu4hq3ui1d
@user-cu4hq3ui1d Месяц назад
Mimi Niko Mozambique tena cabo delgado hatari uku unabaati ostazy
@MochammdHadija-pn7nn
@MochammdHadija-pn7nn Месяц назад
Mashaallah
@shaleMakame-m7j
@shaleMakame-m7j 10 дней назад
Mimi ustazi sualiangu ni lama jihad inapigana jagwani no sio kwenhe mji sasa awa watoto na waze na wanawake wana toka wapi?
@yotehapatv7705
@yotehapatv7705 Месяц назад
Allah Akbar❤❤❤
@jacobnorbertchenga9465
@jacobnorbertchenga9465 Месяц назад
Yule Dr. Sule si ana Pete yule ndo maana machale yamemcheza 😢
@mikasailajr
@mikasailajr Месяц назад
Hahahahahah
@rosemary3816
@rosemary3816 Месяц назад
😂😂😂😂
@furaiNvita
@furaiNvita Месяц назад
Comment from🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🥰🥰
@IDRISSETHED14D14
@IDRISSETHED14D14 Месяц назад
ni kweli uyu nze anasema ukwelu
@odenmasebo9777
@odenmasebo9777 Месяц назад
POLENI SANA HII NDO DUNIA
@tolatz6827
@tolatz6827 Месяц назад
Poole saana shekh
@ramadhanmkandas5733
@ramadhanmkandas5733 Месяц назад
Shehe Kuna uhitaji mkubwa wa kutoa elimu juu ya watu wetu maana wengi hatuna elimu ya dini
@saudaumar3354
@saudaumar3354 Месяц назад
Allahu Akbar,Intansurullah
@Dearm-ome2in1huba
@Dearm-ome2in1huba Месяц назад
Shekhe shafi nampenda kwa ukweli wake. Huwapa watu daraja zao kwa wanavo stahili nihizo dara kama anavosema kuhusu sule
@maulidimanzi9964
@maulidimanzi9964 Месяц назад
Wew Allah amekuonesha kile nilchokuona wew
@maulidimanzi9964
@maulidimanzi9964 Месяц назад
Nilchokiona mm
@maulidimanzi9964
@maulidimanzi9964 Месяц назад
Nilchokiona mm
@SophiaAbdallah-g4i
@SophiaAbdallah-g4i Месяц назад
mh shafih wewe unaelimu ya dini kuliko rogo wewe Au unafahamu kuhusu jihadi nashuruti zake kuliko shekh ilunga wewe bolaa ukae kimyaa to kama mm 12:27
@mudidachi8616
@mudidachi8616 Месяц назад
Allah Akbar
@zainabuselemanimsalama2703
@zainabuselemanimsalama2703 Месяц назад
Askari wa huku sijui wakoje sisi pia tulikamatwa watnzania wengi waliuwawa wachache tulitoka Salama Ila wengi waliuwawa eti wanasema wale maalshababi wanaongea kiswahili pia Ila tuliteseka chakula wiki Mara 3 ukiwa na ndevu Au umevaa hijabu lazima ukamatwe
@AdremaneBahacha
@AdremaneBahacha Месяц назад
Mimi nnahamini nipo nsumbiji
@user-eb5lg7oj5x
@user-eb5lg7oj5x Месяц назад
Jihadi Zipo mbili. 1.Jihad ya kujilinda jihadu Ddifai. 2.Jihad ya kufungua Miji Jihaddu Twalab.
@MaabadiJuma
@MaabadiJuma Месяц назад
Una jua vp kama wale hawaja chokoswa
@mosesbarnabas3379
@mosesbarnabas3379 Месяц назад
Mozambique sio pa kuchezea wamekufa sana ndugu zetu na shida inakuja kwanini hao magaidi wanatumia kigezo cha uislam ? Wakristo wanachinjwa na waislam wanaachwa ? Hata ningekuwa mimi sikubali
@mariamally8548
@mariamally8548 Месяц назад
Leo amsifu juzi kamponda hawa watu kaa nao mita 200
@user-yn7vb9dd4c
@user-yn7vb9dd4c Месяц назад
Hiyo kweli
@abubakarmuhammadsaid3244
@abubakarmuhammadsaid3244 Месяц назад
bastoLa
@legendaction202
@legendaction202 Месяц назад
Allah awape pepo fi duniya wal,akhera
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 Месяц назад
Na huyu mwisho atamfata huyo mpumavu
@Athumanikaoneka
@Athumanikaoneka Месяц назад
Polesana
@AsaniZubeli
@AsaniZubeli Месяц назад
ataoo mulio wakuta sio ote ni magaidi anapa walejama walikua wanakamata kamata
@teonasjorgelimbwata9207
@teonasjorgelimbwata9207 Месяц назад
Muntafute Yesu muokoke Apa akuna Dini
@NammanaMobile
@NammanaMobile Месяц назад
Dini ni nn?
@mczido6554
@mczido6554 Месяц назад
Mhm
@starjay3052
@starjay3052 Месяц назад
duh 🙄 uyo askali alikua na moyo sana unajua mtu akitoka kuuwa anakua awezi kua na akili vizuli
@RashidiMakwamba-rn4wx
@RashidiMakwamba-rn4wx Месяц назад
Nampula
Далее
A Minecraft Movie | Teaser
01:20
Просмотров 19 млн
MCHUNGAJI ABADILI DINI NA KUA MUISLAMU,AFUNGUKA MAZITO
39:38