Aise mashekh wangu Mungu aliwajariya saaana daaaaahhhhh!! Mimi ni mtu wa msumbiji 🇲🇿, mkowa Cabo Delgado,wilaya ya Palma. Nnayajuwa vyema mada ya askari wa kwetu ususa ikiwa mada ya kuusishwa na jamaa wale. Alafu pale Mueda kuna shimo linakula watu Kila siku. Daaaaahhhhh! Aiseeeeh.
Mimi ni mtu wa Mozambique🇲🇿🇲🇿, Nasema poleni sana, Maana Muliyo yapitiya sio Madogo, Kwa Jinsi Navyo wajua Majeshi wetu! Inaonyesha Kuww Mungu Yupo Pamoja Nanyi!! Maana sio Rahisis Kutoka Mikononi Muao! Mungu Mkubwa Sana!
1 samuel 3. Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.
Ustadh Shafi hii story yako ni tamu mno,na yenye mazingatio na mafundisho makubwa ndani yake,watu wanapitia misukosuko na mitihani mingi,ndo hiyo siri au mtu aamue kuelezea,M Mungu akujaalie kila lakher.
Umesikia ww shafii huwex kurlewa nini kimachoendelea Sera ya Ughaidi imeletwa na marekani kwa Lengo tu la kuuumiza Uislamu! *İslam tourturing* Mliteswa koz mlikuwa waislamu ! Nchi ya TZ ni imekaa kilristo mifumo yake kila kitu !
Askari wa huku sijui wakoje sisi pia tulikamatwa watnzania wengi waliuwawa wachache tulitoka Salama Ila wengi waliuwawa eti wanasema wale maalshababi wanaongea kiswahili pia Ila tuliteseka chakula wiki Mara 3 ukiwa na ndevu Au umevaa hijabu lazima ukamatwe
Mozambique sio pa kuchezea wamekufa sana ndugu zetu na shida inakuja kwanini hao magaidi wanatumia kigezo cha uislam ? Wakristo wanachinjwa na waislam wanaachwa ? Hata ningekuwa mimi sikubali