acha unafiki. sema pia budget ya kilimo na afya imeongezwa kwa kiasi gani. Mbowe wewe ni Mpuuzi tu. unawezaje kusema ndege sio mojawapo ya vipaumbele wakati #Gwajima anaweza kununua ndege yake. ile chopa mnayotumia wakati wa Campeign mliinunua kwa kutumia nini. au mliipata bure.!?
mawazo mbadala ndio kazi ys upinzani,ni kweli ,wkti mwingine mkisema hivi mnadia nchi ,ulichosema ni sawa Mh.Mbowe Huu ndo upinzani wa kweli kutoa mawazo Mbadala!!!!!! Mpeni rais ushirikiano ,tutafika tuu cku moja km nchi
Nimesha jifunza wapinzani hampaswi kupewa mkoa wilaya kata kijiji wala mtaa waaina yoyote niwannafik ""''";; aliyepokia kijit kaz iendelee amewaongeza mishahara atawapa nakatiba mpya maana hiyo itaongozwa na maraika toka mbinguni
adestino mwilinge kaka kipi kibaya hapo,unahitaji asifie kila kitu,ametoa maoni yke na ni mawazo mbadala,tuwe km wenzetu nchi zingine tuache unafiki,ameongea mambo mazuri tuu
ezekiel kiyeyeu wap wew wananchi wana umia wew una sema unajenga nchi saw ni wapinzan lakin kuna muda wanaongea kwer tuache siasa za majukwaa kushangilia mala naludisha iki mala kile wakat mambo ta msing akuna wew shangilia sjui ata kam huna huo uwezo wa kupanda ndenge maisha yetu tuna yajua wenyew acha utoto usiwe bendera fata upepo mbona mtakubalit
Tunaomba kujua Elimu yako km Empty Certificate maana Ungelikuwa na Diploma,Degree,Master na PhD ungeongea mantiki.Serikali ni Pamoja na ww je, ww Unasaidia nn ss ninyi tumewachoka Umburura huu jamani Ungejua kuwa Climatic Change is the source of all this Unfortunately Ur not aware about this because of blindness km pesa zakosekana mtaani jitolee xx Ulinazo hta kidogo ukawawekee mfukoni tumechoka na kiki za kifara maana hamkupewa dhamana ya kuongoza kutokana na Umbuju wenu!
Mungu wangu magu mwanaume maana umefanyia kazi Sera zote ona hao wanavyo tapatapa heti Leo Sera imekua kilimo mmeishiwa kweli tozo zote zilizofutwa zilikua zann au zamaji