Тёмный

MBUNGE ANNATROPIA - "BAJETI GANI HII? NI MANUNUZI ya MAGARI ya GHARAMA -WATUMISHI WANAUZIANA MAGARI" 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 10 тыс.
50% 1

MBUNGE ANNATROPIA - "BAJETI GANI HII? NI MANUNUZI ya MAGARI ya GHARAMA -WATUMISHI WANAUZIANA MAGARI"
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

19 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 83   
@globaltv_online
@globaltv_online 15 дней назад
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@amosmachibya1800
@amosmachibya1800 12 дней назад
Hongera dada ang natamani sana kuwa kiongozi ktk nafasi yoyote ili nilitumikie taifa langu.
@johnsonsabanya5860
@johnsonsabanya5860 15 дней назад
Pole Dada umeongea kwa uchungu mnooo simuwakatae Hao mawaziri kila siku wanatajwa wapo tu mi sielewi Nani yupo nyuma yao mmmmmmh😢😢😢 R I P Magu.
@hadijasufiani6167
@hadijasufiani6167 15 дней назад
Hongera sana upo vizuri matumizi ya fedha za maskini
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 10 дней назад
Dada uko vizuri Sana sana magari yenyewe baada ya muda wanauziana kwa bei nafuu nimesikiliza hadi roho inauma
@issazalala4907
@issazalala4907 10 дней назад
Daaah aisee kweli masikini ana umizwa na masikini mwezie 😢😢😢😢😢😢
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 15 дней назад
Mimi ningekuwa rais mkuu wa wilaya angetumia RV4,
@Worldunite
@Worldunite 10 дней назад
Mi ningempa land-rover 109
@alexmatt9504
@alexmatt9504 9 дней назад
Hapana,Mkuu wa Wilaya anatakiwa kumpa Double -Cabin Pickup,na hiyo RAV4 atumie RC
@jeanbaraka1008
@jeanbaraka1008 10 дней назад
Safi sana hii nchi ina uonevu mkubwa sana, nchi ilio piganiwa na Babu zetu hii, leo ukiwa mpakani basi si mtanzania... Kipindi wanyarwanda walio jipachika usukumani leo ni makamu waziri mkuu, na wengineo wengi walikupo wakimbizi wakinyarwanda ngara wakaamia Doroma wengi wao leo nima waziri Bungeni vipi hii Tanzania? kila mweshimiwa ageuka kuwa mpambe wa msanii asie soma, wasomi wamegeuka kuwa washabi ya walala hoyi... Huruma sana na pole kwa wote walio mwaga damu yao kwa future ya TZ...
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 13 дней назад
Mwigulu nchemba ni mchumi wa tumbo lake
@user-ry3zq8vp5c
@user-ry3zq8vp5c 7 дней назад
Nimekupenda sijasikia kuunga mkonohoja ubarikiwe
@ErastoMaridadi
@ErastoMaridadi 12 дней назад
Hongera mbunge kijana,hawa watu wanaendesha nchi kama ni nchi tajiri 2:14 wamesahau walikotoka wako wako kwenye upigaji hawajui masikini wengi nchini hawawezi kujitibu,watoto wanasoma ktk mazingira magumu,walimu hakuna,madaktari hakuna,ila kuna mwisho
@axmedcumar6196
@axmedcumar6196 13 дней назад
Ni upigajiii tuu hamna Chengine Umeongea Madini makubwa dada
@user-fl8jf5zn9j
@user-fl8jf5zn9j 10 дней назад
Dada yupo vizuri sana yeye ndo anastahili kuwa waziri wa fedha
@lusungumkolla6672
@lusungumkolla6672 7 дней назад
Kudos
@user-di8dt1ih4w
@user-di8dt1ih4w 9 дней назад
Tunatamani sisi wana kyerwa uwe mbunge wetu
@PaschalGerad-xq4lw
@PaschalGerad-xq4lw 10 дней назад
Wana karagwe tumsapoti sana muheshimiwa katuwakilisha vizuli hongerazake jaman
@johnsonsabanya5860
@johnsonsabanya5860 15 дней назад
Mafisadi wapo humo humo na mnawalea Sasa unafikiri tutafika kweli mtoto jambazi baba na mama wa nampigia makofi kuna nini sasa
@Joseph-lu4yj
@Joseph-lu4yj 8 дней назад
Jaman jaman jamaniiiiiiiiiiiii .........Kutoka bilion 4 kipindi cha Jpm mpaka billion 500 cha mama shamia duuuu ! makala ilitakiWa apewe aieshity inatosha
@NicIbrahim
@NicIbrahim 14 дней назад
Magari vijana hatuna ajira hii serikali wameshidwa kufikiri
@faustinebahenobi3412
@faustinebahenobi3412 9 дней назад
Safi mama umeongea fact
@user-no2ut7yd3e
@user-no2ut7yd3e 15 дней назад
Mh.ukweli ni huo na ndo tunaenda kuwachagua na wengine machawa hawarudi tena Bungeni kuwapeleka wenzao kwenye maadili.
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 15 дней назад
Changa moto ipo sana kwa sababu hakuna anajali wanainchi wataka kutumaliza kabisa, wanata viwanda vife wanainchi wakose ajira kwa kuwa wao wanamashangingi hawana shida na pili sukari wafanyabiashara wameisha mpa rushwa Bashe. Ana shangingi ana marupurupu ya ubunge, na marushwa zinazotoka kwa waagiza sukari ili mashamba ya miwa ife na watoto wetu wakose kazi itakuwa furaha ya wabunge wa CCM ili umasikini ywafanye wawachague kwa rushwa ta elfu kumi. Ninyi kwa mfano Bashe atakuwa amepewa rushwa na waigaza sukari. Na yeye Bashe ataweza kuwaonga vijana watakaokuwa wamepunguzwa kazi kwa sababu ya mashamba ya sukari yatakapo kuwa yanachechemea kufa.
@user-hj4sy9fy4g
@user-hj4sy9fy4g 15 дней назад
Akili zimelala kwenye matumizi tuu, bila kufikira kuwekeza kwa vijana!
@Worldunite
@Worldunite 10 дней назад
Safi sana,umetisha sista
@WilbertChambilo-yl1kc
@WilbertChambilo-yl1kc 14 дней назад
Uko vzr na ni hoja nzuri sana. Ni ukweli mtupu
@user-eb2el9kw6m
@user-eb2el9kw6m 13 дней назад
Now wanajaribu kuongea cz wamesense uchaguzi waonekane. Jiandaeni kutoka bungeni
@farajapeasonmagota8226
@farajapeasonmagota8226 15 дней назад
Mungu mpe maisha mema
@shabanponera2895
@shabanponera2895 15 дней назад
Magari Magari Magari Magari
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 13 дней назад
Mwigulu nchemba hamna kitu kichwani
@josephmathayo5139
@josephmathayo5139 9 дней назад
Unaongea point za maana lakini Mwisho unaishia kuunga mkono hoja. Hapo ndo mnatuchanganya sisi walipa Kodi
@user-zu8ou2oe4c
@user-zu8ou2oe4c 13 дней назад
Kwa hotuba hiyo hamia chadema kama unaweza kash kash hongera sanaaa
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri 11 дней назад
Samahani jamani mhe spika shida ya Sukari nionavyo ni usimamizi hafifu wa Wizara inayohusika. Kwakuwa utashangaa watu wameficha Sukari na ushahidi ni kupewa vibali na kutokuingiza Sukari ambapo maana yake ni huo ni uharibifu na uhalifu mkubwa kiasi kwamba walitakiwa kufunguliwa kesi japo hata za uongo na kweli tu. Lakini hakunaga anaeguswa na kila miaka na ajabu ni upofu wa wabunge kumsifu Waziri Bashe badala ya hapo kumsema tu juu ya makosa anayofanyaga kuja kuagiza Sukari Late kama vile kukumbuka shuka kumekucha kabisa.
@gasperswai6963
@gasperswai6963 13 дней назад
Well say mhe mbunge
@MathewsSikazwe-up4qd
@MathewsSikazwe-up4qd 10 дней назад
2025 mast gooooo
@user-oy5dz5xl8s
@user-oy5dz5xl8s 12 дней назад
Yaani serikali hii kila mwaka unaanza uwendeshaji wa nchi hii upya kila mwaka. Ni sawa na kuweka garama ya ujenzi wa nyumba mpya kila mwaka. Ni ushenzi wa serikali hawana uchungu na fedha zetu.
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 13 дней назад
Kwa kweli wanyinge tunanyingwa wenzetu wanagawanya au kuoeana pesa kama njungu ila mungu aliyeko juu atanyiosha mkono waķe. Dada umesema point lakini wenzako wanaona unapoteza muda wapanda shangingi.
@PaschalGerad-xq4lw
@PaschalGerad-xq4lw 10 дней назад
Huyu mama anajirambuwa sana apewe heshimayake
@boscomakala.3923
@boscomakala.3923 10 дней назад
Dada angu anaongea pointi sana ila kwa bahati mbaya hana wanaomuunga mkono,mbwa n mbwa tu hata akifa mama yake atamla nyama.
@MohamedRashid-py7ro
@MohamedRashid-py7ro 8 дней назад
Huyo Dada ni kichwa wanatakiwa wabunge kama hawa nchi Tanzania wa kusema ukweli hao mawaziri wanataka kuchangisha dola kuzitolosha nchini na kufungua Acount zao nje tu
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 12 дней назад
Kweli uongozi huu wa Tz ni aibu, yani gari ya rasi milion 300???, ivi huwa wakitembelea magar ya kawaida inakuwaje jamani na wengine hata mlo mmoja kwa siku ni taabu.
@user-di8dt1ih4w
@user-di8dt1ih4w 9 дней назад
Pambana dada yetu unaweza
@elianyigu5500
@elianyigu5500 15 дней назад
MWIGULU SIJAWAI ONA 😢HATARIII TZ
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 12 дней назад
Gari ya Rasi milioni 300, bado apewe dereva, , mlinzi, mafuta, posho, mshahara, yani kiumbe mmoja atatumie hela ambayo inaweza kulisha mkoa mzima ndani ya mwaka, viongozi mnatuumiza, alafu hata kazi hamfanyi ipasavyo. Inauma sama
@domymerinyo8165
@domymerinyo8165 15 дней назад
Wanunue Rav4, Suzuki vitara na Prado kwa wakuu wote
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 15 дней назад
Shida ni kwamba tumerithi ukoloni kujisheheneza wakati sisi siyo wapita njia .ni nchi yetu .Sisi siyo wanyonyaji😢.Kwanini magari kwa wabunge.Wazungu hawafanyi hivyo .Unasema kweli ndugu😮
@user-ry3zq8vp5c
@user-ry3zq8vp5c 7 дней назад
Dada nimeamini hakunakiongozi ngaziyawaziri ambae anauchungu nataifahiri naamini upinzani ukichukuwa taifahiri tunaweza kupigahatuwa
@PaschalGerad-xq4lw
@PaschalGerad-xq4lw 10 дней назад
We mama kwanungu una kitichako
@hassankongolilo8408
@hassankongolilo8408 8 дней назад
hongera dada. nchi imeozaa fuck
@mbikamtanganaki
@mbikamtanganaki 12 дней назад
Hata chadema ni wachumia tumbo hawatufikishi mahali
@Shemahonge-ku7xx
@Shemahonge-ku7xx 15 дней назад
Nikweri mtoto anafanya vibaya shureni unampa zawadi kubwa sinikumtia jeuriafanye ujingazaidi una changa 100 unatakiwa upewe 20
@OscarAsukenie
@OscarAsukenie 13 дней назад
Hayo magari yananunuliwa kutoka nchi gani? Na nchi hiyo ina mkataba gani na tanzania? Hapa utapata jibu kuwa nini kinaendelea.
@BabuGga-td3mg
@BabuGga-td3mg 9 дней назад
Kichwa hiki, hiki ndicho chakuwezeshwa sasa
@zidatv1122
@zidatv1122 15 дней назад
Hawa ccm hawasikii
@user-zu8ou2oe4c
@user-zu8ou2oe4c 13 дней назад
Na ww ndio mbunge pekee umechangia bilz kuingiza uchawa wa kumsifia samia
@user-mo3pp2tu2r
@user-mo3pp2tu2r 11 дней назад
elimu ilipo inajionyesha dada umesoma
@hadijasufiani6167
@hadijasufiani6167 15 дней назад
Matumizi mabaya fedha
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 15 дней назад
Nimetumia Bundle langu Vizuri...Kanda ya Ziwa Kuna Vichwa Sana.
@simonmagige8991
@simonmagige8991 15 дней назад
Kanda ya ziwa mpaka tukupeleke bungeni tumekipima uwezo wako sio kwende kusizia bungeni na kuunga mkono kwa kila jambo
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 15 дней назад
Mjapani mmoja aliwahi kuniambia kwamba hayo magari hayapo kwenye barabara zao. Kuna mataifa kukuta mtu kavaa dhahabu lakini analala barazani
@user-oy5dz5xl8s
@user-oy5dz5xl8s 12 дней назад
Kubalini tuu kaeni pembeni ili msaidiwe na wengine kunusuru nchi
@elibarikilaizer
@elibarikilaizer 10 дней назад
Ninyi wabunge punguzeni mishahara yenu ni pesa nyingi mnalipwa
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo 10 дней назад
Dada hapo ulipo sipo nawe utatengwa hayo majizi ni sugu
@NicIbrahim
@NicIbrahim 14 дней назад
CCM wamechoka Kwa mawanzo
@user-jc8vt7ct9t
@user-jc8vt7ct9t 12 дней назад
Huyu mama anastahili kuwa Rais
@user-jc8vt7ct9t
@user-jc8vt7ct9t 12 дней назад
Sisi ni shida
@Focusm-se2sd
@Focusm-se2sd 14 дней назад
Watu kama nyie ndiyo mnaitajika poa sna aa
@d.family.choir1799
@d.family.choir1799 10 дней назад
JAman mlikuaga wap watu wenye akili hv
@HellenMacha
@HellenMacha 13 дней назад
Uwaziri iwe ajira tu..kazi itangazwe wataalam waombe kazi...othws hamna hatua tutapiga, bla bla
@noahmadali7150
@noahmadali7150 13 дней назад
Mbuzi anapigiwa gitaa
@user-ry3zq8vp5c
@user-ry3zq8vp5c 7 дней назад
Dadahongerasana
@Nedjadist
@Nedjadist 12 дней назад
Ubovu uko kwenye kichwa.
@JadiliMasambo
@JadiliMasambo 6 часов назад
wewe ndo mbunge,tunasikia point yako
@maombikonga
@maombikonga 13 дней назад
😜😜😜ATAUNGA MKONO HOYA
@NicIbrahim
@NicIbrahim 14 дней назад
Chadema ndio suluhisho 2025
@sallyshakusally3592
@sallyshakusally3592 14 дней назад
Wakupe mama yako mhe
@JohnJoseph-qq7ow
@JohnJoseph-qq7ow 13 дней назад
Tunataka wabunge kama wewe na mpina
@davidjohn9535
@davidjohn9535 12 дней назад
Upewe maua yako
@user-fl8jf5zn9j
@user-fl8jf5zn9j 10 дней назад
Dada yupo vizuri sana yeye ndo anastahili kuwa waziri wa fedha
@axmedcumar6196
@axmedcumar6196 13 дней назад
Hawa viongozi wangekuwa wanafanya kama ulivyoongea haya Madini tungekuwa mbali sana leo
@nurdinkassim
@nurdinkassim 14 дней назад
Hao mawaziri sio wazalendo kwa taifa lao ndio maana waleta mawazo na mipango isio saidia
@user-oy5dz5xl8s
@user-oy5dz5xl8s 12 дней назад
Mwigulu ataua taifa hili wenzake wanajifanya hawamwoni .
Далее
FARUX RAIMOV AVJIGA CHIQDI - JAVOHIR🔥
01:01
Просмотров 1,7 млн
Впервые дал другу машину…
00:57
MPINA YUPO TAYARI KWA LOLOTE 'ATOA TAMKO ZITO'
1:14:28