Тёмный

BASHE AJICHANGANYA, AINGIA KWENYE 18 ZA LISSU, WIZI KWENYE SUKARI, RAIS SAMIA ATAJWA, JE KUJIUZULU? 

Mwanzo TV Plus
Подписаться 158 тыс.
Просмотров 30 тыс.
50% 1

#TANZANIA: Bashe ajichanganya kwa Lissu, sakata la wizi kwenye uagizaji wa sukari nchini, Rais Samia atajwa, je kujiuzulu?
Zaidi: • BASHE AJICHANGANYA, AI...
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RU-vid Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Опубликовано:

 

16 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 35   
@DullahKalanje
@DullahKalanje 18 дней назад
Hongera sana mwamba tuombe katiba mpya ipite tu
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 5 дней назад
Hongera mwambia kila kitu wanatengeneza na viongozi na wenye makampuni ujanja ujanja tu
@omaryyusuph7877
@omaryyusuph7877 3 дня назад
✌️
@user-on5cj4mj6s
@user-on5cj4mj6s 18 дней назад
Ni pamoja na mafuta machafu ya Korie Badala ya kutumia mafuta ya Alizeti!
@MagrethKatondo-qs9oz
@MagrethKatondo-qs9oz 4 дня назад
Mungu wangu. Mmmmh ee mungu tuonee huruma sisi wanyonge ambao tupo hapa duniani kwa mpango wako. Kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa tuhurumie mungu.
@valerianmtowe7822
@valerianmtowe7822 5 дней назад
Daaa ila hii ichi mmh ina,watu wa,hovyo xana kweli kama haina raisi vile dah shida kweli
@MatayoLekitonyi
@MatayoLekitonyi 8 дней назад
Uglier Wamasai ndugu zangu watanzania natumaini kwamba sana mambo vpi wazima usiku mwema kwako kila mtu ❤😮
@AthonySaimon
@AthonySaimon 17 дней назад
Hivi haya maambwa ya CCM hayana huruma kwa wananchi😢😢😢😢
@zhaozlyoung
@zhaozlyoung 21 день назад
❤❤❤❤❤
@SalambaPeter
@SalambaPeter 21 день назад
Ccm ni mchwa tusipojiepusha nao watatumaliza ,lkn watanzania sijui nani ametuloga utaona tuawashangilia pamoja na wizi huu ee mungu utondolee ccm inatuangamiza
@zuberisalum2004
@zuberisalum2004 19 дней назад
Mungu wangu duuu tutakoma
@obednyagani506
@obednyagani506 20 дней назад
Pambana lissu tunakutegemea
@kisinza6077
@kisinza6077 15 дней назад
Shida ni moja, TULIA spika ni moja ya wanamapigo, hadi yamtandike ndiyo akumbuke shuka kama NDUGAI, jamani hii nchi inahitaji jambo fulani lifanyike. MABEYO ulipo Mungu anakuona.
@user-uh3eg5cj2r
@user-uh3eg5cj2r 21 день назад
Kina Abdul tena! Dah! Ee MOLA utusaidie!
@aloycemruma6552
@aloycemruma6552 19 дней назад
Shida
@user-hj3ky9zy6y
@user-hj3ky9zy6y 15 дней назад
Du! Hatari
@daudysanga8492
@daudysanga8492 20 дней назад
Huyu jamaa akili kutwa sana
@othmarluwawilo8308
@othmarluwawilo8308 18 дней назад
Soma gazeti la MWANAHALISI LA JUNE 20, UONE UCHAFU WA BASHE NA CCM YAO.Watanzania amkeni, pigeni chini Samia na manyang'au wake .
@user-jn2qj5wf6c
@user-jn2qj5wf6c 8 дней назад
Abdul naye🤔🤔🤔😂😂😂😂
@Mwalazanyi
@Mwalazanyi 7 дней назад
Tutajuana tu
@binismail2029
@binismail2029 20 дней назад
Alipokuwepo Mzee Magu hamkuwa mnakejelikejeli. ILA nyny mlipaswa kukosoa kwa nguvu MOJA lakini sio kutoa maneno machafu
@amosdickson6318
@amosdickson6318 19 дней назад
Mbona unakuwa mjinga kwenye suala la kizalendo Acha ulevi huooo
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 21 день назад
Hatar kubwa hii
@user-uh3eg5cj2r
@user-uh3eg5cj2r 21 день назад
Jamani wanyonge tunapigwa nje ndani! Nchi sijui tutaponea wapi lkn tubadike tu watanzania tuwajaribu na vyama vingine tuwe wapumbavu Watz! No way out Bila hivyo twafaaaaaaaaa!
@zuberisalum2004
@zuberisalum2004 19 дней назад
Viwanda vyetu viko WAP masikinn hata. Mungu hawaogopi
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo 21 день назад
Serkali hiii!! "
@amosdickson6318
@amosdickson6318 19 дней назад
Hii serikari itajifunza lini
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 16 дней назад
Mkuu kesi ya nyani utampelekea ngedere?
@martinisadru9899
@martinisadru9899 21 день назад
👍🇹🇿💪🔥
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 8 дней назад
KUNDULISU shujaa
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 13 дней назад
LISSU amekuwa KASUKU tu,kazi kurukia maneno!!
@juliuskitomari3057
@juliuskitomari3057 20 дней назад
Sisemi tuandamane,lkn wenzentu Kenya wanaandamana kupinga Bujeti,sisi tunapiga makofi tuu hapa huku wajanja wanakula vyetu
@zuberisalum2004
@zuberisalum2004 19 дней назад
Wewe mama tuoneee huruma kdg duuuuu
@allymusira2153
@allymusira2153 18 дней назад
Siasa za kijinga kwahiyo mlitaka afanyeje
Далее
Редакция. News: 124-я неделя
52:01
Просмотров 1,8 млн
TANZANIA WAUNGA MKONO MAANDAMANO YANAYOENDELEA KENYA
7:00