Тёмный

Mbunge Mrisho Gambo Akasirika Vibaya Mbele ya RC Makonda, DC "Asinichokonoe Sitaki Kugombana Na.. 

Tiki Tv
Подписаться 419 тыс.
Просмотров 77 тыс.
50% 1

Mbunge Mrisho Gambo Akasirika Vibaya Mbele ya RC Makonda, DC "Asinichokonoe Sitaki Kugombana Na..
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
#MBUNGEGAMBO #MRISHOGAMBO #gambovsmakonda
#rcmakondaarumeru
#ARUSHAYASIMAMA #MKASAWAKUSIKITISHA #RCMAKONDA #rcmakondamonduli #rcmakondamonduli #MAKONDALIVE #makonda #makondaleo #makondakaratu #karatu

Опубликовано:

 

30 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 71   
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 4 месяца назад
Sisi wengine hatuko Arusha , lakini tuna fuatilia habari za Arusha kwajili ya makonda tuuu nahao walio dhulumiwa hakizao , wala sio kwaajili ya Gambo, wala Huyo Dc kwanza wengine tuna muona kwajili ya makonda, hawa wote wanatembelea nyota ya Rc Makonda , kama umeona wanatembelea nyota ya Rc Makonda, weka like za kutosha,
@TwalibHusseinteni-qz8tb
@TwalibHusseinteni-qz8tb 4 месяца назад
Wakuu WA mikoa 😮wote fanyen hivyo
@FurahaMwajeka
@FurahaMwajeka 4 месяца назад
Daa natamani mama angenipa ukuu wa mkoa ningefanya kazi kwa weledi kama wewe mh. Makonda ila sio mwanasiasa daa
@salumsimai642
@salumsimai642 4 месяца назад
Hawatembelei nyota wanasaport
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 4 месяца назад
T M U... Team Makonda Ukombozi... Mungu azidi kuwatangulia....kuwalinda na kuwaongoza... Makonda ni mtumishi wa Mungu aliye hai, asante mama Samia kwa hii zawadi...Ma ko mda❤
@samwelshedrack631
@samwelshedrack631 4 месяца назад
Mnafik tu mbon we umewahi kuwa mkuu wa mkoa lkn hukufanya kitu?ebu muache makonda apge kazi tunatamn makonda akae arusha milele
@AlimasiLukomba
@AlimasiLukomba 4 месяца назад
Ktk comment zotw Yako ndo nzuri kuliko Zote
@sophsoph4740
@sophsoph4740 4 месяца назад
😂yan gambo mkorofi
@kashindisimon5265
@kashindisimon5265 Месяц назад
Kwa hiyo. Kabla makonda hajaenda Arusha ilikuwa chini ya serikali ya TLP??😮😮😮😮😮😮😮😮
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 4 месяца назад
Kazi hii Kama itafanywa na Wakuu wote wa Mikoa nchini basi nchi hii ingefika mbali sana!lkn inaonesha wazi kwamba viongozi wengi hawaungi mkono kazi hii adhimu na muhimu kwa wananchi.Hivyo ni vyema Mh Rais akafanya uteuzi moya kwa Wakuu wa Mikoa
@EgallSamsam
@EgallSamsam 4 месяца назад
Makonda anaulizi wa Mungu na Mungu akuongoze.
@mkambamaulid447
@mkambamaulid447 4 месяца назад
Ss kwanini viongozi wote msifuate mfano wa Kijana mwenzetu mzalendo Mako yaani mpaka apite mako ndio mshituke 💪🏽🙏🏼TZ inamambo kweli kweli Mungu akutangulie Mh.Makonda utakuwa Rais imekuwa mitano mitano mitano tena🤣🤣🤣🤣🤣
@FurahaMwajeka
@FurahaMwajeka 4 месяца назад
Your my best natamani niwe mkuu wa mkoa nifanye kazi kama wewe makonda
@HashimuAbubakar-ej8gc
@HashimuAbubakar-ej8gc 4 месяца назад
Hiyo ni nyota ya makonda na mungu wake makonda ipo siku utakuwa rais wa nchi hii
@AsiaNgoleka
@AsiaNgoleka 4 месяца назад
Ni kweli
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri 4 месяца назад
Hongera sana Mhe Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu jamani mpenzi wangu kwa ueledi wako na usikivu maendeleo ya Arusha na Nchi nzima yanaonekana Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani mke wangu jamani mpenzi wangu.
@EmanuelMarandu-o2q
@EmanuelMarandu-o2q 2 месяца назад
Ww ni kuma
@lordymawoiya5818
@lordymawoiya5818 2 месяца назад
Kwani Makonda ni Akimu alosomea sheria?
@lordymawoiya5818
@lordymawoiya5818 2 месяца назад
Kwani Makonda ni Akimu alosomea sheria?
@kudramkoma8438
@kudramkoma8438 4 месяца назад
Mheshimiwa makonda ipo siku ,mwezi,mwaka atakuwa raisi wa Tanzania hii
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 4 месяца назад
Supana juu ya Supana 😂😂😂
@zariadunia6328
@zariadunia6328 4 месяца назад
Kusema ukweli hata mimi nilikuwa simuelewi Gambo ila baada ya kuona haya yote yanayoibuka baada ya makonda ya ubadhilifu kiukweli Gambo was and he is right Arusha kuna shida ya wizi wa pesa
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 4 месяца назад
Kiki za uchaguzi ngoja uchaguzi upite mtaona kitakachoendelea
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 4 месяца назад
Mrisho Gambo unaona namna kazi zinavyofanywa na RC Makonda?? Je wewe uliwahi kuwasadia Wananchi kwa lipi zaidi ya kulinda cheo??
@khadjamhozya
@khadjamhozya 4 месяца назад
Kwani huyu ndo arikuwa mkuu wa mkoa kabura ya makonda
@SamoMgore-x3v
@SamoMgore-x3v 4 месяца назад
​@@khadjamhozyamkuu Kuna R na L daah Sasa arikua kabra ndonini
@sabinahobe3478
@sabinahobe3478 4 месяца назад
Jmn mbona ana majungu huyu Gambo?
@EliudMtamanyirwa-v3p
@EliudMtamanyirwa-v3p 4 месяца назад
Dr Samia,shikamoo mama yangu,nakuomba huyu makonda umtengue Mara kwa Mara na umteue Mara kwa Mara,namaanisha Kila mkoa ahudumu hata kwa miezi miwili miwili na sisi Mara huku tumfaidi ili mamungu watu wayapishe maendeleo na migogoro ziishe.ahsante.
@khadjamhozya
@khadjamhozya 4 месяца назад
Kama mrijuwa machinga wanateseka nahio migogoro mrifanya nini muda wote
@EmmanuelJacobo-l3s
@EmmanuelJacobo-l3s 4 месяца назад
nilichogundua baadhi ya viongozi wa ccm wanafki sana 😢 huyu jamaa anasifia tu na yeye alishawahi kuwa mkuu wa mkoa mbona hujafanya kama anavyofanya makonda? makonda hana ata miezi mitano lakin anavyowajibika ni kwa moto kila mahali arusha, yaani inavutia sana huyu makonda ni raisi wangu miaka kadhaa mbeleni
@EzekiaMyila
@EzekiaMyila 4 месяца назад
Huyu makonda awe mtu anayetaka ugonvi na watanzania hatukubali ambao si raia wa nchi ndiyo wanaotamani makonda wapishane hao hatuwataki waende kwenye nchi yao
@sabinahobe3478
@sabinahobe3478 4 месяца назад
Huyu Gambo ni mkorofi jmn
@JosephatMagumba
@JosephatMagumba 4 месяца назад
Tuko pamoja na makonda wewe ulizaliwa kuwa kiongozi na Wala siyo uongozi wa kujifunza
@priscairene4605
@priscairene4605 4 месяца назад
Makonda jembe
@khatibumtaki7425
@khatibumtaki7425 4 месяца назад
new magufuli wewe ni jpm mpya wa badae
@mgalulamatongo4079
@mgalulamatongo4079 4 месяца назад
Manene unafaa kuwa rais wetu uchaguzi ujao
@mpambanajitz7026
@mpambanajitz7026 4 месяца назад
Nikipata ukuu wa wilaya tu.... Nitafuata nyayo zako Makonda. Makonda MUNGU AKUTANGULIE MKUU WANGU nimekuelewa SANA 🙏🙏🙏🙏
@namsamson3443
@namsamson3443 4 месяца назад
Make sure kiwango cha barabara kinakuwa kama zile barabara za Maguful ziwe imara maana nyingi zinakuwa sio imara
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 4 месяца назад
Makonda atakuja kuwa l Raisi wa nchi hii Yani alipata nafasi hata kula watu wasilige apewe tu uraisi makondaaaa mungu ampe jhai yajayo yanafurahisha
@tumainiellyimo4657
@tumainiellyimo4657 4 месяца назад
Ni vyema Makonda akabaki kuwa mkuu wa Mkoa wa Arusha ila Mbunge hapana.
@OdenBidili-lj5qi
@OdenBidili-lj5qi 4 месяца назад
We gambo ulikua mkuu wa mkoa hapo mbona hukufanya chochote acha kupiga siasa hapo mwezi wa 10 kuna uchaguzi ndio maana unadanganya watu
@RastaSuma
@RastaSuma 4 месяца назад
Gambo jifunze kazi kwa Rc makonda
@AbdulMwengwa
@AbdulMwengwa 4 месяца назад
Mhe mbunge nimekuelewa kwa lugha ya kufikisha ujumbe wako kwa jamii
@MzeeAbdallah-gx9sd
@MzeeAbdallah-gx9sd 4 месяца назад
Allah atakulimda kwakweli
@AsiaNgoleka
@AsiaNgoleka 4 месяца назад
Hii ndio kazi tunayoitaka wananchi chama na viongozi wetu wafanye.
@aganolamotoeliya2027
@aganolamotoeliya2027 4 месяца назад
Huyu makonda anastahili kupewa nchi tu.
@kwisa4899
@kwisa4899 4 месяца назад
Gambo anatengeneza shida
@dismaslalubare4196
@dismaslalubare4196 4 месяца назад
Piga spana makonda mimi nina paiprench na tailiva sijui nikuletee hapo mkuu uwapige kweli kweli
@laizermaasai6759
@laizermaasai6759 4 месяца назад
Kagambo ni kanafikk sanaa na kichonganishi. Na hakuna chochote alichowah kufanya
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 4 месяца назад
KWANI AGIZO LA MACHINGA KUFURUSHWA LILIKUWA NI AGIZO LA RAIS
@lawrencegwerino1656
@lawrencegwerino1656 4 месяца назад
Wambie mitalo yote ifunikwe isikae wazi
@MasungaJooji
@MasungaJooji 4 месяца назад
Makonda mungu akubaliki tunamuomba samiya akulente mwanza kunaukilitimba wahaki mzawanyoge kama arusha
@abaskhatoon9425
@abaskhatoon9425 4 месяца назад
Taka huku ni shida gari hazipiti
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 4 месяца назад
Huyu Gambo hovyo kabisa boya tu
@williammassana
@williammassana 4 месяца назад
Kaka Mungu akubariki,wewe ni mtu wa Mungu
@baruaninombo291
@baruaninombo291 4 месяца назад
Gambo wewe ni hamna kitu, kajeuri na kakorofi sana, wewe ndo uliyesababisha leo hii arusha tusiwe na stand kubwa. Enzi ukiwa mkuu wa mkoa ulikuwa na bifu kubwa na mkurugenzi wako mkawa mnagombana kila mtu akitaka stand ijengwe eneo analotaka yeye. Hadi pesa zikarudi hazina na magufuli ndo akaja kuwasuluhisha na akawasema sana kwa kuwacheleweshea maendeleo wana arusha.
@MarthaGambaloya
@MarthaGambaloya 4 месяца назад
Gambo aache kujikomba
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 4 месяца назад
Asante….. Dr. Rais Samia Oyeeeeee Arusha
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 4 месяца назад
Arusha wamepata Rais
@albartdastani3412
@albartdastani3412 4 месяца назад
On fact GAMBO
@odhiambojames8578
@odhiambojames8578 4 месяца назад
We Mambo ulifanya nini
@nkwabidonald4277
@nkwabidonald4277 4 месяца назад
Congratulaton leader
@sarahjames2287
@sarahjames2287 4 месяца назад
Huyu Gambo??? ni
@JohnChatila-z7c
@JohnChatila-z7c 3 месяца назад
Hatar sana
@JoyceManyuka-ot7sg
@JoyceManyuka-ot7sg 4 месяца назад
Makonda ishiiiii
@RehemaBukuku
@RehemaBukuku 4 месяца назад
Makonda salute
@ElishaOisso
@ElishaOisso 4 месяца назад
Watu
@princesschii4090
@princesschii4090 4 месяца назад
Mpenda majunguuuu
@fredmbossa-kc3qn
@fredmbossa-kc3qn 4 месяца назад
huyo dc ana mapito makubwa...huyo gambo nidhamu mbovu ccm wanatakiwa wamuajibishe kwenye kamati ya nidhamu
@baruaninombo291
@baruaninombo291 4 месяца назад
Sasa leo hii gambo unaugomvi na dc. Hii inaonesha wewe ni mkorofi. Unapenda migogoro
Далее
Ко мне подкатил бармен
00:58
Просмотров 165 тыс.
Qalpoq - Amakivachcha (hajviy ko'rsatuv)
41:44
Просмотров 437 тыс.
МОЮ ТАЧКУ РАЗБИЛИ...!
39:06
Просмотров 366 тыс.
Ко мне подкатил бармен
00:58
Просмотров 165 тыс.