Mtu utamjuwa kama ni mzuri akianza kazi maana wakati wakuomba kazi lazima awe mwema na hawa wenyesiasa usiwaamini sana wakati huu uwaamini wakishi chaguliwa ukiwaona wakitimiza yale waliokua wanayasema
Acheni ujinga wa kuandikika vichwa vya habari vya kitapeli tapeli na kijinga jinga vya kuwavuta watu ili wasome habari ! HAKUNA ALIYESEMA MAKONDA UONDOKE
@@mallowmduhu4933KWA chama chake sio kwa Taifa na itikadi tofauti ndio maana hata sikukuu ya kuzaliwa ccm haipo ki Taifa kwa watu wote Bali ipo ki ccm tu Wala sio kiserikali japo ccm ndio tawala
UJINGA NI HUU HUU, WE MAKONDA NI TAIRA KAMA HUYO BIBI YAKO SAMIA, MNAFIKIRI MTAENDELEA KUWADANGANYA WATANZANIA, TUMEWACHOKA NA USHUZI WENU MNAOUFANYA NA KODI NA MALI ASILI ZA WANANCHI
Ndugu mwandishi ieshimu kazi yako acha kuandika Taito ya uongo katika hii video nimwananchi Gani aliemwambia mweshimiwa makonda atoke nakuonya ifute hii video au badirisha taito cheza na wengine sio mweshimiwa makonda kaka utaitia pilipili hii kazi yako sasaivi
Hivi haya maigizo yanayofanywa kipindi hichi kabla ya uchaguzi ,yangefanywa kila mwaka mara moja tuu na wangeunda kamati nchi nzima ya kushughulikia kero na madai ya wananchi na wangezishughulikia ingependeza sana.
Nchi yetu haitaki mtu mwenye maamuzi magumu maana hata aliyepita alikuwa na mambo zaidi ya mazuri lakini mwisho wa siku alionekana ana mambo ya kinyama baadae watu wanaanza kumkumbuka wakati ameshatangulia mbele ya haki. Sisi ni watu wa kulalamika tu hatuna jema
Kwaza tunakushukulu mamaetu kipezi samia. Kutuletea makonda ushauli kwa viongo ivoizikero za. Muwemnaweka kila mwaka mwezi wa 12. Mnawasikiluza shidazoa sio adi kampeni za uchaguzi samahani kama nimewakera🙏🙏
Hii migogoro inatakiwa itatuliwe KISERIKARI na wala sio KICHAMA watanzania tusiwe mazwazwa... yaan mnakaa na kumsikiliza mtu aliyevaa nguo ya chama si UJINGA HUOO..!! Mambo ya chama yanamalizwa kichama ndani ya chama.. Shituken nyinyi.. msipelekwe pelekwe tu
Tatizo Makonda Una Act kama Rais au Kiongozi Mwenye Ngazi nyuma ya Rais wakati wewe ni Katibu Mwenezi tu.. Wakati Mwingine mihemko yako Angalia isikugharimu, naona kama Unajaribu Kuiga Moyo wa Magufuli unasahau yule alikuwa Rais sio Katibu Mwenezi wa Chama cha Matapeli.
ni muenezi ana haki zote ndo anashikilia chama na ni wajibu wachama kutatua matatizo ili raisi na serikali waendelee kuwepo,bila ccm Samia atakuwa rais?yuko sawa,sio katibu mwenezi tu,sio cheo kidogo hivyo unavyo dhani,practically ni mkuu sana na hayo ni sawa
Watu hawajitambui hii kaz sio ya rais mbona atachoka sasa kaz ya mwenez ndio hii kujua shida za wananchi wake ili chama chake kiendelee kukaa madarakan.sasa afanye raisi ki vip mbona hata jpm alikua anasema hiz kaz unatakaje wafanye wasaidiz wangu .nyie nao na chuki zenu kwà makonda hazisaidii ameshakubalika hata mkimchukia haisaidii
Watu hawajitambui hii kaz sio ya rais mbona atachoka sasa kaz ya mwenez ndio hii kujua shida za wananchi wake ili chama chake kiendelee kukaa madarakan.sasa afanye raisi ki vip mbona hata jpm alikua anasema hiz kaz unatakaje wafanye wasaidiz wangu .nyie nao na chuki zenu kwà makonda hazisaidii ameshakubalika hata mkimchukia haisaidii
Waziri mkuu kama mtendaji mkuu wa shughuli za serikali ana kazi Gani!? Majukumu yake ni yapi!? Na katibu mwenezi CCM ana kazi Gani na majukumu yake ni yapi!? Yani mwenezi wa chama CCM anatoa maagizo Kwa watendaji wa serikali ambapo kimsingi ama kidemocrasia anaowapa maagizo sio kwamba wote ni CCM pamoja na ukweli kwamba watumishi na watendaji wote wanatekeleza ilani ya chama kilichopo madarakani. Kwa Nini mwenezi anatoa magizo ambayo kimsingi yalitakiwa yatolewe na mtendaji mkuu wa shughuli za serikali ambae ni waziri mkuu? Mambo ya ajabu eti katibu mwenezi CCM anajua Kila kitu?? Amemfunika adi Bosi wake Mwenyekiti wa chama CCM na makamo Wake 😂😂.
Ally hapi ana skendo ya kufira mashoga, kwani hujamsikia yule shoga dayon aliehojiwa na mange kimambi? Ally hapi hawez kua kiongoz tena, ana skendo mbaya sana
Ni aibu kwa n'nchi iliyopata uhuru miaka zaidi 60 na kushindwa kutoa ajira kwa vijana wake. Boda'boda ni kazi hatari sana, na inatuletea vilema vingi siku zijazo.
Of course 😊 ninapenda utatuzi wa kero hizi Sasa mm kinacho nifikirisha kwann Hawa watu uwa wapo tu apo kwambele kwann asiwe Ana chukuwa nawatu kutoka nyuma kabisa
Tusemeni ukweli Mh Makonda Madini anayoo ya kutoshaa alifanya kosa kubwa mno Mh marehem Rais magufuli kuendelea kumuacha kipindi kile chote cz jamaa anamadini adimu ata tukimpa miaka 10 bado ata Roho hajayatumia
Makonda anacheza na akili za wajinga ambao ni watanganyika hiyo anayoifanya inastahili rais ndio aifanye na maamuzi anayotoa hayafanyiwi kazi kwanza makonda siyo mahakama acheni upumbavu
HII NI KAMPENI YA 2025 KUIPA KIKI CCM SABABU WASHATUONA VILAZA TUNASAHAU MAPEMA....SHIDA ZA WANANCHI HAZISIKILIZWI JUKWAANI NI UPUUZI MTUPU NA KUDHALILISHA WATU
Jamani ebu msitufanye tuwe wendawazimu mazuri yalipita je kuna baya gani hadi mnamkamata na kufanya tusimuone ebu mpelekeni kwao mwachisheni kazi au mnataka uchaguzi uishe ndio mtangaze,?
Haya maigizo hatuyataki tunataka maendeleo halisi tengenezeni viwanda muwezeshe wakulima pamoja na kutafuta masoko ya uhakika ndio suluhisho la ajira siyo bodaboda siyo kuleta maigizo na mkumbuke kila mnavyozalisha wananchi wasiokua na ajila ndoo mnavyozalisha mnatengeneza bomu litalolipua nchi mjitafakali mapema
Huyu bwana ananyota sio poa wasio mkubali ni wasio penda maendeleo,, nawambia hivi mama anakubalika ila akitoka mama tanzania kua raisi basi makonda kw utashi wake na upendo wake kw nchi yake na raiya wake ndio Raisi wetu mama apige10yake makonda atafata mutakuja kuniambia.