Тёмный
No video :(

KIMEUMANA! MENEJA WA TANROAD ASHINDWA KUMPA MAJIBU MAKONDA, ATAKA KUSAIDIWA "UMELIPWA MSHAHARA?" 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 148 тыс.
50% 1

KIMEUMANA! MENEJA WA TANROAD ASHINDWA KUMPA MAJIBU MAKONDA, ATAKA KUSAIDIWA "UMELIPWA MSHAHARA?"
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

6 фев 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 429   
@rosesilio9008
@rosesilio9008 2 месяца назад
Makonda nakuomba uwe unakula chakula unachopikiwa na mpishi wako mwenyewe,, na microphone uwe nayo ya kwako,, kila kitu usipewe ovyo ovyo big up sana mkuuu we ndo rais wetu baba🙏🔥 we ndo pacha wake na mh marehem magufuli 🙏🔥🔥❤❤
@ProudB719
@ProudB719 Месяц назад
Hapo nakuunga mkono 100% Hata chakula cha mpishi asile maana anaweza kula rushwa . Mke wake ndie ampikie. Ajitahidi kabisa.
@George-jz3jg
@George-jz3jg 6 месяцев назад
Makonda nilikuelewa sana ukiwa mkuu wa mkoa lakini sasa ukiwa mwenezi na kwa kazi hii kubwa unayoifanya imenifanya nikuelewe vizuri zaidi
@user-ml2bt4nx4o
@user-ml2bt4nx4o 6 месяцев назад
Ahsante Sana mwenezi wenye Nia mbaya nawe washindwe katika jina yesu mungu akubariki Sana.
@SaidHassan-wz1px
@SaidHassan-wz1px 6 месяцев назад
Allah akuhifadhi Kaka makonda nakupenda sana kuna watu majinga sana hao
@asnathlaizer4603
@asnathlaizer4603 6 месяцев назад
Naona roho ya magufuli kwa makonda Mungu akulinde wasikuue
@user-ob8yz1dv8h
@user-ob8yz1dv8h 6 месяцев назад
Kaka makonda kwa kweli unatujali. Allah Akuhifadhi.
@user-ty6oz1gl8q
@user-ty6oz1gl8q 6 месяцев назад
Aise mwacheni mungu aitwe mungu tunakushukulu sana Allah kutuletea huyu kiumbe aliye kubali kuvaa kiatu cha mpendwa wetu magufuli Allah ampumzishe maali pema peponi nahuyu makonda Allah tunaomba utulindie ❤❤❤❤❤❤❤❤amin
@omaryramdhani9823
@omaryramdhani9823 6 месяцев назад
Sema mpendwa wako sisi tunae MH RAISI MAMA SAMIA MSIKIVU SULUHU MSULUHISHAJI AU MTENGENEZAJI HASANI MWEMA PIA NI KIONGOZI NA SI MTAWALA KAMA LILEEEEEEE NIMELISAHAU JINA LAKE
@sabinamachange6040
@sabinamachange6040 6 месяцев назад
Makonda umegundua Nini katika ziara zako???? Ni kuwa Ccm haitakiwi kabisa kutawala Tena matatizo na uonevu Kila Kona ya Tanzania 😢😅​@@omaryramdhani9823
@user-ut3gf1tg2n
@user-ut3gf1tg2n 6 месяцев назад
We acha uchoko mtoto wa kiume ​@@omaryramdhani9823
@sundaystanley5322
@sundaystanley5322 6 месяцев назад
Kwani wewe umelazimishwa kumpenda,ndiyo mimi pia namkubali makonda
@user-co2ed6dj6p
@user-co2ed6dj6p 6 месяцев назад
​@@omaryramdhani9823unaonekana na ww umepigwa na kitu kizito mbwa ww
@kingallydj2667
@kingallydj2667 6 месяцев назад
Hongera makonda Sasa umekuwa uncle magufulii mtetezi wakwelii ubarikiwe
@thabitdaudi9815
@thabitdaudi9815 6 месяцев назад
Makonda kamfunika had magufuli. Apewe nch tu kama vp
@talents7934
@talents7934 6 месяцев назад
​@@thabitdaudi9815kamfunikaje usiwe unasifu kupitiliza
@BABAGIFTBOY
@BABAGIFTBOY 6 месяцев назад
Weee aki naeza Cheka mpaka mbavu ziume yaani jamaa hataki uruke swali lake ata moja ... Genius
@verajohn3457
@verajohn3457 6 месяцев назад
Kazi nzuri Mwenezi, Mungu aendelee kukutunza,nakupenda sana Makonda,Njoo na huku Mwanza,tuna mengi, asante sana Mama Samia,huyu anatufaa sana
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 6 месяцев назад
Makonda 😂😂 "eti we mzee una ndugu wizara ya fedha? "
@aminashayo9263
@aminashayo9263 6 месяцев назад
Mheshimiwa Makonda huko mikoani usikubali kuvalishwa migolole wala chochote cha kimila wasije wakakukabidhi kwa miungu mingine si unajua Yesu hachangamani na miungu mingine asije akakaa pembeni akakuacha, chonde chonde Komredi wa CCM
@yusuphmsuya8336
@yusuphmsuya8336 6 месяцев назад
Hongera sana dada unasali wapi
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 6 месяцев назад
Umeona eee na Mimi nilimwambia
@mtatapharaoh5174
@mtatapharaoh5174 6 месяцев назад
ACHA imani za kikoloni wewe muafrica uliopotea, kwahiyo yesu mweupe mzungu ndo unaona wakuabudiwa, nani aliwaletea dini,, umesahau walikuja wakawapa biblia na Quraani kisha wakachulua ardhi yenye rutuba,... UNASAHAU kwanini jina lako ni AMINA ni jina la kiarabu na nikwasababu watanzania walitaaliwa na waarabu na ndio maana ukanda wa pwani wengi ni waislamu na .. utawala wa jerumani na waingereza ulikuwa nyanda za kusidi, kaskazini na ndio maana waislam wengi maeneo hayoo.. JILA LAKO la mwisho ndo jina la kujivunia MISS shayyo, jina la kimila , la kiafrica.. acha kudharau muingu yetu ya kiafrica, hakuna tofauti kati ya MUHAMMAD(mungu wa warabu) & YESU (Mungu wa wazungu ) na miungu yetu ya waafrica.. ni imani tu,, swali kabda MISSIONARI HAWAJAJA TANZANIA NA africa ulikuwa unaamini nini?
@mtatapharaoh5174
@mtatapharaoh5174 6 месяцев назад
​@@yusuphmsuya8336 akili zenye matandu ya kikoloni ..
@gfvh7282
@gfvh7282 6 месяцев назад
Kwni yesu ni mungu wawapi ?😅😅
@antonydamian8906
@antonydamian8906 6 месяцев назад
Kaka makonda hongera kwa kufanya kazi kwa uaminifu mkubwa 2025 kura zote chukua
@HamsiHusna-nf3vg
@HamsiHusna-nf3vg 6 месяцев назад
Ila makonda mungu akilipe na akutie nguvu kiukweli anafanya kaz nzuri sana mambo mengi yamejificha
@doiabel3793
@doiabel3793 6 месяцев назад
Huyu ndo makonda tuliye kuwa tunampenda toka akiwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam
@chachajulius4481
@chachajulius4481 6 месяцев назад
Kweli kabisa
@user-vt8yq7xv1q
@user-vt8yq7xv1q 6 месяцев назад
Makonda respect 😅😅
@ssalimsalim3864
@ssalimsalim3864 6 месяцев назад
Ukiwakuta ofisini ukiingia kwenye anga zao wanakua jeuri na mitumbo yao ila wakiwekwa corner hua wanajikojolea pamoja na kigugumizi "damn"!!!
@naturelle1097
@naturelle1097 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂
@user-co2ed6dj6p
@user-co2ed6dj6p 6 месяцев назад
Kwakweliii
@Zuu673
@Zuu673 6 месяцев назад
Mungu akuweke mbali na husda baba magu yuko na amani huko aliko
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 6 месяцев назад
2016 Rais alikuwa nani kwani?
@sanaanimaisha4072
@sanaanimaisha4072 6 месяцев назад
Hakika kubwa
@user-wx1pq7gh6d
@user-wx1pq7gh6d 6 месяцев назад
@@murattywamuratty9778magufuli
@user-tv7yx8nt5k
@user-tv7yx8nt5k 6 месяцев назад
Uyo ni meneja kivuli atolewe. Maana anababaika tu hapo mtu anapokea mshahara kutoka serikalini na hajui kazi yake ni nini . Ndugu MH. Makonda hao ndio wakutazamwa sana wananchi wanalia wao wanajaza vitambi .😢😢
@meshack3266
@meshack3266 6 месяцев назад
Mtoto wa mama Kizimkazi uyoooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@dannywillson5874
@dannywillson5874 6 месяцев назад
Kaz za connection hiz mtoto wa mjomba kaaa hapa😂😂😂😂
@tabyabelemwenebenga2311
@tabyabelemwenebenga2311 6 месяцев назад
We jama madako yako 😊😂😂😂😂😂😂😂
@tobosha3236
@tobosha3236 6 месяцев назад
Mwezi wa kwanza hoyeeeee😂😂😂😂😂 makonda Mungu akulinde wasije kupulizia sumu
@user-co2ed6dj6p
@user-co2ed6dj6p 6 месяцев назад
Duh kwakweli mungu amlinde sana
@user-rg7tx2cc1l
@user-rg7tx2cc1l 6 месяцев назад
Uyu jamaa nomaaa🎉🎉🎉makonda❤❤❤
@DorosellaBuchwa
@DorosellaBuchwa 6 месяцев назад
Kumbe,ccm..ninzurihivi!!!mungu akubariki makonda
@jesaminzo
@jesaminzo 6 месяцев назад
Uzuri wake upo wapi sasa? Huoni hapo Makonda anajijenga mwenyewe binafsi?
@talents7934
@talents7934 6 месяцев назад
​@@jesaminzokama anajijenga na wewe jiunde JEALOUS PPO NVER WIN😢
@user-co2ed6dj6p
@user-co2ed6dj6p 6 месяцев назад
​@@jesaminzonendagaa uko anajijenga binafsi ulitaka awabebe viongozi au kwendraaa
@EmmanuelMoses-pb1zh
@EmmanuelMoses-pb1zh 6 месяцев назад
Hapo umezinguaaa boss​@@jesaminzo
@UKWELI-TV
@UKWELI-TV 6 месяцев назад
Huyu mzee itakua ana pressure ndio shida kinacho fuata anajaribu kucontrol pressure yake
@sangajaffar7419
@sangajaffar7419 6 месяцев назад
HAPO MAKONDA UMEONGEA KIUME
@kabibijohn2939
@kabibijohn2939 6 месяцев назад
Wew ni mwamba mzee ❤❤❤❤❤
@HusseinKibega
@HusseinKibega 6 месяцев назад
Good mh makonda njoo uku Kenya 🇰🇪 jamani mbona uku 🇰🇪hawazaliwi viongozi kama hawa?
@emakoresahili
@emakoresahili 6 месяцев назад
Nafkiri wapo hata Kenya Ila kupata nafasi kama hii ndio kazi sana that's why unaona kama hawapo
@humphreydagaa-ds3nj
@humphreydagaa-ds3nj 6 месяцев назад
Kwenye Accounting, makonda position ya Forensic Auditor ingemfaa sanaa, he asking very technical questions 😁😁
@humphreybilly7437
@humphreybilly7437 6 месяцев назад
Mimi nilivunjiwa Salon yangu na nilikuwa nimewekeza pesa nyingi mpka sasa ni hasara na atuna pakulalamika.
@user-xc6wt1lf6u
@user-xc6wt1lf6u 6 месяцев назад
Makonda Kabla Ya Kuwahoji Kuwa Na Doctor Anawapima pressure... Bila ivyo Ipo Siku Atakufa Mtu 😅😅
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 6 месяцев назад
😂😂😂
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 6 месяцев назад
Kabisa,,, maana sio kwa moto huo😂😂😂
@maryamsulyman9426
@maryamsulyman9426 6 месяцев назад
😀😀😀aibu aona mimi wallah
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 6 месяцев назад
Wafe tu hivi miaka sn watu hawajalipwa jmn this is not fair
@tabyabelemwenebenga2311
@tabyabelemwenebenga2311 6 месяцев назад
We jama madako yako 😂😂😂😂
@lingsonKasomwa-ho1tf
@lingsonKasomwa-ho1tf 6 месяцев назад
Kazi nzuri ndugu Makonda. God bless you
@jamesmongelwa8625
@jamesmongelwa8625 6 месяцев назад
Brother Paul you are doing well nakupongeza sana sana good job Ombi langu Mungu akuongezee hekimi na Afya umsaidie mama mbele daima nyuma mwiko big up
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 6 месяцев назад
Makonda ame vaa viatu vya magufuli 😢 wasije waka muua😢
@guyasidotto1198
@guyasidotto1198 6 месяцев назад
Huyo Meneja wa TANROAD Yuko sahihi amesema wametumwa watu wanaotakiwa kulipwa fidia wizarani kwahiyo suala la pesa Ni la wizara kuleta ndo maana Meneja anasema alijibie naibu Wazir ni lini watalipwa maake ndo wanaleta hela Makonda umemng'ang'ania tu mzee wa watu jamani😂😂😂😂
@hajihassan5433
@hajihassan5433 6 месяцев назад
Kosa lake Meneja anajichanganya alitakiwa asimamie alichoamini na aseme Wizara ndio inahusika na Malipo.
@guyasidotto1198
@guyasidotto1198 6 месяцев назад
@@hajihassan5433 Meneja Yuko sawa maake swali hapo je Ni lini mtawalipa Sasa anashindwa kutamka maake hela haziko kwenye akaunt ya Mkoa ndo maana anataka ampe naibu Wazir ajibu lakn Mwenezi anamkatalia atamke yeye ungekuwa wewe ungefanyaje?ndo maana anajichanganya😆😆😆😆😆
@FatmaAbushir
@FatmaAbushir 6 дней назад
Muheshimiwa makonda upo vizur baba unaenda mule mulee kwa magufuri yaaraby mpee afya njema furah nguvu nyingi kweny maisha
@mhagamachas8974
@mhagamachas8974 6 месяцев назад
Huyo meneja akikaguliwa lazima atakuwa ameharibu/kuchafua hali ya hewa!!! 😅😅😅
@khadija5761
@khadija5761 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂
@nestymushi6489
@nestymushi6489 6 месяцев назад
Huyu jamaa mbona lofa kwani Meneja wa Tanroad kosa lake linatoka wapi, ndo ulibebe hilo uende kulipeka kwa Mh raisi kwani huyo mzee anatoa pesa mfukuni mwake
@zaitunirashidi5532
@zaitunirashidi5532 6 месяцев назад
Atleast ww una akili sana ,,Kuna mijinga uko juu inaropoka sana
@jessykadaraja2691
@jessykadaraja2691 6 месяцев назад
No.. Kosa lake hafatilii miaka 8 ni mingi sana... Si ajabu pesa inatoka wanapiga
@zaitunirashidi5532
@zaitunirashidi5532 6 месяцев назад
@@jessykadaraja2691 ni kweli miaka 8 ni mingi sana,,hela ya serikali Ina mlolongo nyie,,sawa labda kunaweza kuwa ni uzembe wa kufatilia lkn tusihukum mno,,Hawa watu wa juu uko kwenye hela wana milolongo mno wakati mwngine
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob 6 месяцев назад
😂😂😂Makonda unataua watu kwa pressure angalia na Afya za watu, Kabla huja wabana😂😂😂
@user-yh4vv7gi6n
@user-yh4vv7gi6n 6 месяцев назад
Watu wenyewe wanakula sana wachawatumbuliwe😅😅
@user-oh6pc7zd4s
@user-oh6pc7zd4s 6 месяцев назад
MAKUFULI ALIMTELEKEZA MAKONDA LAKINI MAMA AKAMUONA ANAFAA.ASANTE MAMA SAMIA KWA KUTULETEA MAKONDA ASANTE SANAAAAA
@edwingideon3606
@edwingideon3606 6 месяцев назад
Hapana, Magufuli alikuwa anampenda sana Makonda, Magufuli alimkataza makonda kustaafu ukuu wa Mkoa, alitaka ubunge na Uwaziri, Makonda angesubiri angekua mbali sana.
@user-ym6eh5fh3k
@user-ym6eh5fh3k 6 месяцев назад
Magufuli hajamkataa makonda ila makonda aliutak ubunge alafu wananchi wakamuangusha
@SelemaniNyunza
@SelemaniNyunza 6 месяцев назад
Makonda kakiwasha
@AishaTarimo
@AishaTarimo 6 месяцев назад
Safi sana makonda
@hellenngwilla550
@hellenngwilla550 6 месяцев назад
Ubarikiwe sana Makonda
@user-zr1yc6jr6z
@user-zr1yc6jr6z 6 месяцев назад
safiiii sana makonda mungu aendelee kukulinda 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@ROBERT75376
@ROBERT75376 6 месяцев назад
Unaona, sasa. Aliyekua na majibu ni huyo msemaji wa pili.
@habibabarker1644
@habibabarker1644 6 месяцев назад
Tumbo limejaa dhuluma ajielewi
@sayibaba8566
@sayibaba8566 6 месяцев назад
Mh hongera kwa kazi nzuri ya kuwahudumia wananchi..nilikua na ushauri kidogo hawa viongozi wa taasisi wakati mwingine wanakua hawana majibu ya papo kwa papo na maswali mengine yanakua juu ya uwezo wao ndiyo maana hata kujieleza inakua changamoto wanajikanyaga..kama pesa zimetumwa toka wizarani kwaajili ya hiyo kazi ya kulipa fiidia ni dhahiri ingekua imefanyika hivyo..Tunawapa tention wananchi kwa kuona wakuu wa taasisi hawawajibiki lkn sivyo..
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 6 месяцев назад
Ingekuwa wewe ungeweza subiri miaka saba hujalipwa fidia?????hao viongizi wanafanya kazi gani???????
@dismasmgaya5114
@dismasmgaya5114 6 месяцев назад
Meneja Mkoa ndo mlipaji? Si amruhusu Naibu ajibu? Meneja kashamaliza kazi yake ya tathimini....Walipaji sio wao
@dismasmgaya5114
@dismasmgaya5114 6 месяцев назад
Hapo sijaona kosa la Meneja zaidi alitaka kumdhalilisha tu Meneja lakini hana kosa lolote
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 6 месяцев назад
Mmh makonda ni kichwa mungu akilinde sana kichwa hiki😅😅😅
@johnbwire8301
@johnbwire8301 6 месяцев назад
Mweshimiwa mwenyezi😂😂 mtasema vizuri
@edisonpeter3894
@edisonpeter3894 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂
@tabyabelemwenebenga2311
@tabyabelemwenebenga2311 6 месяцев назад
We jama madako yako 😂😂😂😂😂
@huldamichael4445
@huldamichael4445 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mwezi wa kwanza😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Makondaaaaaaaaaaa
@fatumamilimo7336
@fatumamilimo7336 6 месяцев назад
😅😅😅😅😅😅
@salumsimai642
@salumsimai642 6 месяцев назад
Kiukweli raisi "SSH" Hakukosea kumpa hii nafasi huyu mtu na 25 InshaAllah akimpa uaziri mkuu nchi itanyooka InshaAllah
@habibabarker1644
@habibabarker1644 6 месяцев назад
Leooo utakoma kudhulumu aibu
@elipidhugotesha1909
@elipidhugotesha1909 6 месяцев назад
Nashauri kuhoji hao viongoz kuwa na utaratibu ili msiwauwe na presha huyo ni Eng mtamuuwa mpaka unamchanganya
@festokemibala5832
@festokemibala5832 6 месяцев назад
Kama walivyomuua Mkurenzi wa Jiji miaka hiyo pale darajni Kigamboni eti wanamtumbua! Haya ni mazingaombwe, kwani wenye dhamana hawapo kiasi cha kutoa takwimu kwa mtu asiyehusika?
@obednyagani506
@obednyagani506 4 месяца назад
Tunakusubiri kibaigwa kongwa kwa ndugai madudu kibao karibu mwenezi nahama chadema ukija mungu akubariki
@kassimmuktarymurji4242
@kassimmuktarymurji4242 5 месяцев назад
Makonda unawakati mgumu kusimamia haki unatengeneza maadui kibao,na watu unaowapambania wanyonge,un oganise,hawa wala rushwa wamejipanga,sana piga kazi chama chetu kinataka haki na haki tutatoa CCM
@erickabel6201
@erickabel6201 6 месяцев назад
Duuh makonda ni atareee 🔥♣️♥️
@IssackLeonardBakekela
@IssackLeonardBakekela 6 месяцев назад
😮 wow mbona makonda anafuata nyayo za jpm🤔 maana mahojiano ni hapo kwa hapo kiasi kwamba ananikumbusha kipenzi chetu❤
@AllyGibu-cz2vo
@AllyGibu-cz2vo 6 месяцев назад
Makonda ni jembe
@UKWELI-TV
@UKWELI-TV 6 месяцев назад
Dadek kujiamini kwa makonda imenifanya nimpende makonda, kura yangu kwa CCM
@gideonmwalusamba6861
@gideonmwalusamba6861 Месяц назад
Brother l respect u unakula mshahara kihalali sn me nadhani uongezewe
@NABILMOHAMMEDABDULLAH
@NABILMOHAMMEDABDULLAH Месяц назад
Zaidi ya hayati mh makufuli,mh makomda hongera kwa kazi nnzuri
@user-yj5yp7js5f
@user-yj5yp7js5f 6 месяцев назад
Hakika mama samia anajua vyombo vya kazi asante makonda
@mercyassy5469
@mercyassy5469 6 месяцев назад
😂😂😂january oyeeeee
@user-ti8xr5sd7h
@user-ti8xr5sd7h 6 месяцев назад
Uwanacheka Sanaaaaa nkiona bos wangu kakutana nabos wake
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 6 месяцев назад
😂inafurahisha hatareee
@charleselijah-vq3hq
@charleselijah-vq3hq 6 месяцев назад
Nikweli kabisa Mweheshimiwa Poul Makonda najua wengi hawatakupenda kwa staeli hii yako ya Chama kusikiliza kero za papo kwa papo. Imebidi Chama Cha Mapinduzi.ccm safi sana .ila zidi kukaza buti hayo ndio maana CCM ilikosa mvuto Ndugu yangu Bwana Poul Makonda rudisha imani ya Chama chetu cha ccm kwa wananchi
@Charleslsk
@Charleslsk 5 месяцев назад
Your our next president makonda wile love you so much❤❤❤❤❤❤❤
@isacklaurent8948
@isacklaurent8948 6 месяцев назад
mimi na2wambiaga vijana wenzangu chama sio hovyo watendaji ndo wanakuaga wa hovyooo
@user-xm5hg9oy4b
@user-xm5hg9oy4b 6 месяцев назад
Makonda viva
@user-hj6my7sz8h
@user-hj6my7sz8h 6 месяцев назад
Hii nchi kunawatu wanaajiriwa hawajuii hata wanafanya nn
@msafirikushama2193
@msafirikushama2193 6 месяцев назад
Our president is coming back; she is doing her work now.
@tigejuma9865
@tigejuma9865 5 месяцев назад
Hawa ilikua kiboko Yao n mafunguo yani makufuli...cc wakenya yye ñdio alikua raisi pendwa east Africa nzima ...yani dunia nzima kwa ujumla....hakutatokea Raisi shupavu na mtenda kaz kma yye....may his soul continue resting in peace...😢😢
@kimchi-91
@kimchi-91 6 месяцев назад
Aiseee kazi za serikali hizi nikudhalilishana kila siku bora uwe mjasiriamali kuliko kudhalilisha huku.
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 6 месяцев назад
Hudumia wananchi kwa nafasi ulionayo.co kutesa wananchi. Unajua maana ya UHURU
@KhalfanSaid-mo9jh
@KhalfanSaid-mo9jh 4 месяца назад
Anacho kifanya MWENEZI MAKONDA...nikuwatetea wa TANZANIA....kuwa karibu na Wananchi,halafu eti Chadema inataka madaraka.....Mbowe usijidanganye CCM hamuiwezi
@saleheluvanga9929
@saleheluvanga9929 6 месяцев назад
Roho ya MAGUFULI Naiyona hapo hakika wewe ni jembe makonda oyeeeee❤❤❤❤
@user-dd8oc6yw9n
@user-dd8oc6yw9n 6 месяцев назад
Asante kaka❤️❤️
@josephmaina1748
@josephmaina1748 5 месяцев назад
Hongera watazani hiyo dio jia mwafaka yawanaishi mwedele hivyo hivyo
@joshuamtindya8683
@joshuamtindya8683 5 месяцев назад
Huyo jamaa alipata kazi kwa njia ya connection 😅
@user-fs6lp3op1x
@user-fs6lp3op1x 6 месяцев назад
Songwe kinabaridii lakn kaswet kama yupo daaa ahahahaa
@ROBERT75376
@ROBERT75376 6 месяцев назад
Nafikiri kuna haja ya kutafuta root cause badala ya kuinterrupt maelezo ya anayeulizwa. Yawezekana kulikopelekwa vitabu ndiko shida iliko. Frontline people wanaweza kuwa hawana majibu. Anayetoa hela huenda kachelewesha naye anahitajika atoe majibu.
@jesaminzo
@jesaminzo 6 месяцев назад
Watanzania huwa tuna tabia ya kushangilia ili mradi kuna anayeaibishwa, haha! Hayo ya root course unayajua wewe hard thinker
@tazrywiser5126
@tazrywiser5126 6 месяцев назад
Yaani shauri la mwaka 2016 ndio mwaka jana wamepeleka halafu unasema kuna root, huko wizarani watalipa bila kupelekwa madai? Acheni mambo yenu huyo ni meneja wa tanroad mkoa halafu hana majibh
@RobertChacha-hb9re
@RobertChacha-hb9re 6 месяцев назад
Tuna baadhi viongozi miyeyusho kweli
@charlesurio3395
@charlesurio3395 6 месяцев назад
Jimbo la Meru hukupitia mwenezi kuna udanganyifu unyanyasaji wa kupindukia
@FunnyCamping-sf7yq
@FunnyCamping-sf7yq 5 месяцев назад
Njooo na meru mkuu
@EricEricsaid
@EricEricsaid 2 месяца назад
Wonderful wallay
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 6 месяцев назад
Tanroad ndio zao wamepitisha grader kwa ajili ya barabara kwenye viwanja vilivyopimwa na mpaka leo bado barabara ya vumbi Dodoma ni kama km 22 toka Msamvu round about kuna barabara mkono wa kushoto inaitwa Mawasiliano / Njovu toka 2018 December mpaka leo tupu
@user-wf7dp3ni5p
@user-wf7dp3ni5p 6 месяцев назад
Kaka makonda mungu akubaruki Kwa kufanya kazi nzuri sana kunamajitu yapo tyu kudhulumu watyu tu
@FunnyCamping-sf7yq
@FunnyCamping-sf7yq 5 месяцев назад
Kura yangu chukua mda wa mungu ukifika
@KelivinFransis
@KelivinFransis 6 месяцев назад
Mzeee ata kaa arudiye kujileta kwenye mkutanonwa makondo 😂😂😂😂😂😂
@khadija5761
@khadija5761 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@ndabarinzesamuel9333
@ndabarinzesamuel9333 6 месяцев назад
Bwana Makonda Mwenyezi Mungu akubariki kwa maswali unayouliza huyo tapeli anayedhulumu Mali za wanainchi.
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 5 месяцев назад
😂😂😂wizara ya fedha imepeleka fedha. kwenye wizara ya fedha. Duuu hii Kali 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ernestkija6428
@ernestkija6428 6 месяцев назад
Mmh mengine magumu kuyaelezea
@tinkybellah6634
@tinkybellah6634 6 месяцев назад
Weee makonda wewe!! kumbe unawawezaaaa!! Matumaini yangu baadae baada ya mama etu mpendwa Dr Samia Suruhu Hasani Mungu akujalie Rais uje kuwa wewe.
@evaemil856
@evaemil856 6 месяцев назад
Mmh kwa nini msitumie eneo lingine kujenga huo mradi maana wananchi wameshajiendeleza hapo. Kulipa bilioni nne na hamuoni km ni upotevu wa pesa za walipa kodi?
@ashuramhandoashuramhando6798
@ashuramhandoashuramhando6798 6 месяцев назад
Mijitu ya Fisiemu inajaa mitumbo tu kwa ajili ya Dhulma Mungu atawalipia kwakila mlitendalo😭😭😭
@Zuu673
@Zuu673 6 месяцев назад
Dadeki makonda akuepushe na wabaya mugu still alive
@SAIDIMUKSIN-iy2op
@SAIDIMUKSIN-iy2op 6 месяцев назад
Izo hela serkalin zipo lkn au mnawanyanyasa watumishi tuu
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 6 месяцев назад
Ufwatiliaji
@user-gy6xz5xh3f
@user-gy6xz5xh3f 7 дней назад
MUNGU AKULINDE MAKONDA NA AKUPE UMRI NA AFYA NJEMA
@bichwajonas6030
@bichwajonas6030 6 месяцев назад
Nchi hii inakosa kabisa watendaji weledi, wale wenye uwezo mzuri wamefifizwa wapo sekta ndogo sana au wapo mtaani tu sababu hawana ndugu au rushwa ya kuwafikisha kwenye nafasi mahususi kama hizo. Bogus kabisa
@bashakhamis5563
@bashakhamis5563 4 месяца назад
Sasa hela Bado wizara ya fedha hawajaingiza vipi boss wa barabara atatoa ahadi ya kulipa Wananchi ni kumzonga tuu
@user-wk5fm4nv9h
@user-wk5fm4nv9h 2 месяца назад
mwenyezimungu akulinde bro makonda
@nestymushi6489
@nestymushi6489 6 месяцев назад
Yani nikama vile watu baking kumbe ni ccm ndo inachelewesha malipo huu ni usenge, na aache kujaji mishahara ya watu
@evaemil856
@evaemil856 6 месяцев назад
2016-2019=3 fidia ilicheleweshwa baada Ya miaka mitatu. Samia akasitisha 2021 ili tathimini ifanyike upya ili kufidia gharama za maisha kupanda.
@habibkway1053
@habibkway1053 5 месяцев назад
Huyu makonda Mungu atamlaani kitendo cha kuwadhalilisha watu kama vile hatujui serikali hii ya ccm inavyochelewesha malipo na haki za watu leo anamdhalilisha mzee wa watu na wakati anatoa majibu sahihi but he just ask stupid questions
Далее