Facts speaks volume...ila kinachosubiriwa zaidi ni uwanjani na siyo alikotoka. Wapo wachezaji hufanya vizuri eneo moja na kuchemsha eneo lingine. Muhimu ni kuyfanyia kazi changamoto zake.
@@africanbeez3644 kaka mkitufunga this time kwenye ngao .. nakutumia elfu 10..... Pale dube kushoto chama kulia Paccome inside 10 Aziz ki .... Baleke Baleke anampokea naniliii 😂😂😂
Huwa unamsikiliza vizuri mpaka mwisho Mzee wa Data? Mbona kila mchezaji huongelea mazuri yake kwa mujibu wa facts zilizopo na kisha huelezea changamoto zake kwa facts pia? Hebu tukumbushe ni mchezaji gani kamuelezea mazuri yake tyu mwanzo mwisho bila kuelezea changamoto zake...uklifanya hivyo utakuwa um,etuisaidia maana tutamuomba Mzee wa Data arudie uchambuzi wa mchezaji huyo. Ila kumbuka: Humu Mbwaduke Stats maoni hutolewa kwa kuzingatia facts zilizopo na siyo maneno matupu bila ushahidi...
😂😂😂 wakati wenu huu kujigamba na kutambaa... Ligi ikianza mtajua wenyewe lawama mzielekeze wapiii kwa moamed, wachezaji , kocha au mtamtupia lawama Murtaza Ali Mangungu 😂😂😂😂😂😂