Тёмный
No video :(

MC GARA B AMUWASHIA MOTO MWIJAKU / NYUMBA YAKE YA KAWAIDA APUNGUZE KELELE / WATU WANA MAGHOROFA 

Manara TV
Подписаться 264 тыс.
Просмотров 25 тыс.
50% 1

MC GARA B AMEMCHANA MWIJAKU KUHUSU NYUMBA YAKE ILIYOPO KIGAMBONI ALIYEIZINDUA JANA PAMOJA NA MARAFIKI ZAKE NA NDUGU ZAKE WA KARIBU TAZAMA FULL INTERVIEW HAPA
#manaratv #mcgarab #mwijaku #zamaraditv #babalevo #diamondplatnumz

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 57   
@alfredrutaguza7506
@alfredrutaguza7506 7 месяцев назад
Kaka galab you very very smart the way you talk(wew hukununua vyeti kaka)
@user-eq2wg9hx6o
@user-eq2wg9hx6o 7 месяцев назад
Garab ana nyumba nzuri sana,ya mwijaku wala uwezi kuifananisha na nyumba ya garab
@malichanda3146
@malichanda3146 7 месяцев назад
Mwijaku kajitahidi Sana maana wasani hawana nyumba zaidi ya alikiba ana ghorofa na mwijaku kajenga gorofa hongera Sana mwijaku
@ikramalmas7039
@ikramalmas7039 7 месяцев назад
Zile za diamond hujaziona
@bennamush4616
@bennamush4616 7 месяцев назад
Mtangazaji kama sijakuelewa kuwa comfortable kidogo
@user-eq2wg9hx6o
@user-eq2wg9hx6o 7 месяцев назад
Gorofa kitu gani bwanaa,mimi nina gorofa nimeipangishia naishi nyumba ya kawaida na ninaiona ni nzuri zaidi ya iyo gorofa,
@user-ir2bw9dy6s
@user-ir2bw9dy6s 7 месяцев назад
Nimempenda kaongea kwa busara sana kuliko hata huyo rafk wa Mwijaku
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 7 месяцев назад
Mc wangu wa taifa enjoy kaka yangu nina jambo langu Inshallah sooon tutakuwa pamoja
@jokhaynamohammed
@jokhaynamohammed 7 месяцев назад
Ila jmn mwijaku kajitahid tumpongezen tu ni mfano wa kuigwa umeweza baba
@SashaOscar
@SashaOscar 7 месяцев назад
Ni kwl kajitahid lkn haina maana kuanz kudharau nyumba za wenzake, maana hata wao wamejitahd kulingana na uwezo wao
@hellenelias24
@hellenelias24 7 месяцев назад
Hongeren san
@shadiwaigwa9230
@shadiwaigwa9230 7 месяцев назад
Mwijaku ni mshamba sana, kwani ni wangapi Wana nyumba and they don't show off
@agapemunyi2095
@agapemunyi2095 7 месяцев назад
Kawaonesha walikuwa wanamdharau kuwa Hana kitu half anachofanya na namna avopata pesa hafanani na hao wasioonesha ,wengi hela zao za wizi ,madawa ya kulevya, dhulma hivyo huficha Mali zao hta ivo kila mtu anaish maisha yake aliyoyachagua
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 7 месяцев назад
Sio mshamba mnamsimanga sana
@congratulationmayunga3833
@congratulationmayunga3833 7 месяцев назад
Wacha awanyooshe msiompenda Muumie zaidi mtu chake bhana alaa
@yusternyirenda7231
@yusternyirenda7231 7 месяцев назад
Nyumba ya mwijaku ni ya kwaida sana hakuna bilion 1 . 3 ni uongo wake mwijaku, labda milion 500 au 600 tu million 1 .3 ya kuandika chini au? asitutishe tuogope kujenga
@joelsamwel2580
@joelsamwel2580 7 месяцев назад
😂😂😂 milioni 500 sio kweli ile ni 150 au 200
@judyngowi391
@judyngowi391 7 месяцев назад
Haifiki 500
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 7 месяцев назад
Mwijaku for the life umeupiga mwingi mdogo wangu hongera
@stanleybulla
@stanleybulla 7 месяцев назад
Mbona nyumba ya kawaida sana aisee we mwijaku,
@SashaOscar
@SashaOscar 7 месяцев назад
Angepunguza maneno
@daudminzi-pb3je
@daudminzi-pb3je 7 месяцев назад
Jitaidini wekeni crip fupi za dakika 8 Hadi 10 zinakuwa nyingi kwenye tv yenu kuliko kuweka ya dakika 20 inatuchosha hatuna muda mwingi wa kuangalia
@abdulkadirgafla3889
@abdulkadirgafla3889 7 месяцев назад
Mwaja kufanya nn huku watu wakutumia data😂😂😂😂
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 7 месяцев назад
TULIZA KOMWE ilo mwenzako tunajifunza na aswa Hawa ndio role model wetu so kama bundle kidebe pita kushoto WENZAKO tunaangalia hata iwe masaa mawili atuchoki
@princemuhidin3067
@princemuhidin3067 7 месяцев назад
Usizarau kit ulich kuw hun c unasem ya kawaid hlf wew unaishiy kukodi
@user-vj7fx4bh2t
@user-vj7fx4bh2t 7 месяцев назад
HUKU MTANGAZAJI JAUUUUU Hajui kuhoji na Muoga
@khalimahema6931
@khalimahema6931 7 месяцев назад
Elfu mbili sio mbiri 😂
@benedictinelusambo069
@benedictinelusambo069 7 месяцев назад
Ety nyumba ya kawaida yenu Iko wap? Acheni kuponda hata kama 600M so Haba kajitahidi sanaaaaaaaaaa
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 7 месяцев назад
Na wenyew hawajielew kwan kuna nyumba ya ajab zote si nizakawaida tofauti ni gorofa 1 2 au 3 had 10 na chazai labda raman muonekano na mapambo na mazingra iliopo.
@benedictinelusambo069
@benedictinelusambo069 7 месяцев назад
@@user-uo8xw9kr4b ni sahihi kabisaa🙏🙏
@wadhhasuleiman2621
@wadhhasuleiman2621 7 месяцев назад
Ww mtangazaji ploud ploud ni proud
@Rogathe-Rogathe
@Rogathe-Rogathe 7 месяцев назад
😂😂
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 7 месяцев назад
Kama mnamwona mwijaku ni mshamba lkn sisi tunampongeza
@user-vj7fx4bh2t
@user-vj7fx4bh2t 7 месяцев назад
HUKU MTANGAZAJI JAUUUUU
@vibetz9991
@vibetz9991 7 месяцев назад
Low key hater na roho mbaya
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 7 месяцев назад
Huyu kaka anahekma sana
@benedictinelusambo069
@benedictinelusambo069 7 месяцев назад
Huyu mtangazaji anamchukia sana mwijaku
@judyngowi391
@judyngowi391 7 месяцев назад
Mtazamo wako tu
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 7 месяцев назад
Nyie mnaoonyesha mafanikio yenu na kujitakama mwajua kuna kitu kinaitwa *HUSDA*????
@user-zu8dk2zo8b
@user-zu8dk2zo8b 7 месяцев назад
Hawajui hao
@user-zu8dk2zo8b
@user-zu8dk2zo8b 7 месяцев назад
Namba zinaongezeka na uhai nao unapungua
@williampanga2818
@williampanga2818 7 месяцев назад
Ndugu mtangazaji punguza kutazama sana camera muda wa mahojiano
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 7 месяцев назад
Akutazame wewe?
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 7 месяцев назад
​@@fatmafatu1128😂😂😂😂
@Rogathe-Rogathe
@Rogathe-Rogathe 7 месяцев назад
​@@fatmafatu1128😅😅😅😅😅
@RehemaMasunga-ml7kt
@RehemaMasunga-ml7kt 7 месяцев назад
Nyie mnaosema nyumba ya mwijaku ni ya kawaida tuonyesheni zenu tuanze na wewe gara b ghorofa yako iko wapi. Usiseme tu nyumba ya fulani ni ya kawaida na wakati huna hata kibanda
@kheiramour2973
@kheiramour2973 7 месяцев назад
Una uhakika km hana kband
@RehemaMasunga-ml7kt
@RehemaMasunga-ml7kt 7 месяцев назад
@@kheiramour2973 nimesema hivi nyumba ya mwijaku sio nyumba ya kawaida elewa kiswahili
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 7 месяцев назад
Nenda ayo search nyumba ya GAR_B UTAIYONA
@scholamodestus9386
@scholamodestus9386 7 месяцев назад
Mmh we nae mgeni kumbe
@RehemaMasunga-ml7kt
@RehemaMasunga-ml7kt 7 месяцев назад
Muonyeshe nyumba zenu sio mnasema tu za wenzenu ni za kawaida. Zenu ziko wapi haijalishi hata kama kajenga mke wake kama wanaheshimiana ana haki ya kujivunia na kusema nyumba ni yake
@malilacollins11
@malilacollins11 7 месяцев назад
😂😂
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 7 месяцев назад
Ila kweli jamaa anamchukia mwijaku stori zote anajaribu kumsema.
Далее
МЕГА МЕЛКОВЫЙ СЕКРЕТ
00:46
Просмотров 291 тыс.
ОБЗОР ПОДАРКОВ 🎁 | WICSUR #shorts
00:55