Тёмный

KAKA YAKE MWIJAKU AKIELEZA ALIVYOMCHANGIA TAA MWIJAKU/SIPENDI TABIA YA KUCHEZA NA KUVUA NGUO 

ZamaradiTV
Подписаться 251 тыс.
Просмотров 31 тыс.
50% 1

Usisahau ku"SUBSCRIBE" RU-vid channel yetu kwa videos nyinginezo
KAKA YAKE MWIJAKU AKIELEZA ALIVYOMCHANGIA TAA MWIJAKU/SIPENDI TABIA YA KUCHEZA NA KUVUA NGUO
#zamaraditv #mambonimengi

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 48   
@AngelMbaga
@AngelMbaga 9 месяцев назад
Wasanii kwa maisha ya kugezana, nimelipenda hili zoezi la wasanii kuanza kuonesha nyumba walizojenga, bora muanze kugezana manbo ya maana. Waja mna maneno 'kaongea uongo jamani', hata kama wewe utasemaje hizi taa kaka yangu kanipa. Kaka yake mwenyewe kasema amembariki. Alivyosema ni sawa tu. Ni aina ya mtu alivyo, hata alivyokuwa anawataja wengine ktk maelezo ya nyumba yake sio sawa, unafikiri ana shida nao. Nyumba iwe ya kheri na familia yake, na Mungu amsaidie.
@Fx_expertmoneymaker001
@Fx_expertmoneymaker001 9 месяцев назад
😂😂😂😂Et anavyocheza ndo broo anachukia. Na mm ndo napendaga nimuone anavyoingia ofisin akicheza, hata kipind nisiposkiliza ila nimuone mwijaku anacheza 🤣🤣.
@joycekalago532
@joycekalago532 9 месяцев назад
Waha wengi wakichoka maisha kigoma wanakimbilia morogoro😂😂😂
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 9 месяцев назад
Kaka yuko vizuri
@RehemaMandai
@RehemaMandai 9 месяцев назад
Jaman kuhusu taa msishangae huyu jamaaa kila angle yupo kazin sema nyny hamuelewi, iyo taa zmetoka china bas iyo china ndio uyo kaka yke😂😂😂😂
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 9 месяцев назад
Anatangazaaa bisha yake watu waajuwee kuwa morogoro kunadukaa zuri la taa ni nzuri sana
@samiramohamed5925
@samiramohamed5925 9 месяцев назад
Bro handsome MaashaAllah
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 9 месяцев назад
Kbs yupo vzr😝
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 8 месяцев назад
Nawe Kaka Umezingua Bola Ukae Kimia Mambo Mengine
@zuwenaabdallah7748
@zuwenaabdallah7748 9 месяцев назад
Kaka ni handsome hebu tueleze unafanya kaz wap?😊
@RehemaMandai
@RehemaMandai 9 месяцев назад
Inamaana mkiziitaji hizo taa kaka yke atawauzia apo pia keshakuwa chawa wa brother ake
@bulugubujashi6378
@bulugubujashi6378 9 месяцев назад
Huyu ndio kasema ukweli sasa😂😂😂
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 9 месяцев назад
Saleh mimi nataka taa ya mzee wa ngenga nimeilewa na feni humo humo 😂
@fahadfahmy
@fahadfahmy 9 месяцев назад
hata mimi nimepanda lile feni pamoja nataa
@Ummukuruthum-m1m
@Ummukuruthum-m1m 9 месяцев назад
Mm pia ni nzuri mno
@nigamo9645
@nigamo9645 9 месяцев назад
Na mziki pia mwenyewe nimelipenda
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 9 месяцев назад
Kasema taa amenunua china moja laki7😂😂
@Aiisha901
@Aiisha901 9 месяцев назад
na kafanana nae kila kitu mpaka simama yake kutotulia
@rashidkatundu9674
@rashidkatundu9674 9 месяцев назад
Siyo kila kitu uyu anakoremeo
@hidayamotto7210
@hidayamotto7210 9 месяцев назад
😂sasa Mwijaku kwann atudanganyee woi
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 9 месяцев назад
Wow! Brother handsome ❤
@aliaden5512
@aliaden5512 9 месяцев назад
hata mimi handsome
@samiramohamed5925
@samiramohamed5925 9 месяцев назад
Very handsome
@aliaden5512
@aliaden5512 9 месяцев назад
Am more hansome than him try me you will know what i meant
@Ummukuruthum-m1m
@Ummukuruthum-m1m 9 месяцев назад
Kumbe taa zimetoka kwa broo 😂😂😂
@moriscollins4494
@moriscollins4494 9 месяцев назад
Taa za China mwana anaongea mnoo kumbe taa za msamvu
@StellarmamottoFlowersMam-ms1nz
@StellarmamottoFlowersMam-ms1nz 9 месяцев назад
Wemeshanza kujichanganya. Mara taa zitoke china mara zitoke morogoro.....suala la muda tu
@MariaSengo-cn5bx
@MariaSengo-cn5bx 9 месяцев назад
Nakuona Nuba Batton hongereni
@dottomsuya6597
@dottomsuya6597 9 месяцев назад
Kaka nae yaleyale tupigieni picha tuwape bei ya hizo taaa
@fatmamansour676
@fatmamansour676 9 месяцев назад
Ka ka ushaharibu mwenyewe kajigamba kanunua pesa si kidogo atachambwa ndugu yako
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 9 месяцев назад
Huyo atakae mchamba stakua fala km ww, we mjumba unatisha ule alfu ufungue domo lako!!!??😂😂
@alexjosephmambo6990
@alexjosephmambo6990 9 месяцев назад
Kaka yake Yuko sahihi Hana Kona kona
@kadibebe7128
@kadibebe7128 9 месяцев назад
Izo Etage hamtiye njia ya watu wenye matatizo ya migu, siku weye mwenye nyumba utakuwa na shida ya migu, utapanda aje? Utahama awo utaishia cini. 😂😂, swimming ya ju 😂😂 tia njia ata kilema aweze kupanda. Nyumba utayikimbia we mwenyewe.
@kizegakizega8073
@kizegakizega8073 9 месяцев назад
wadogo zangu hao mtaa wa uhuru
@fahadfahmy
@fahadfahmy 9 месяцев назад
yule Mwemba (Mwijaku) kaongea uongo alipoulizwa kuhusu taa,kumbe karibia zote amepewa bure na Brother wake.
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 9 месяцев назад
Sasa hata kama kapewaa Bure lakin brother kanunua ndioo maanaa Katia Hisabu nyote
@fahadfahmy
@fahadfahmy 9 месяцев назад
@@rizikiabdalla2501 Uongo kiisilamu nimbaya kuliko zinaa
@OfficialA83640
@OfficialA83640 9 месяцев назад
​@@rizikiabdalla2501ulimsikia lkn alivyosema kachagua china taa gani anunue akanunua badae kapewa huyu kanunua yy elewa maneno yao 😂😂😂
@Mainda-q5b
@Mainda-q5b 9 месяцев назад
Hawa jamaa wasikuumize kichwa
@halimaamani8958
@halimaamani8958 9 месяцев назад
Uongo upi? Maana hata huyo alompa kasema zimetoka china na bei ni laki7 kama alivyosema mwijaku
@andrewmachage9102
@andrewmachage9102 9 месяцев назад
Kaka taa za 30,000 zpi tn taa mwijaku kanunua china moja 700k ww tn unasema umemubark tn ambazo zpo out of time?😂
@princekarani7836
@princekarani7836 9 месяцев назад
Bro kuna taa kampatia mdogo wake za laki saba,kuna za laki nane,na nyingine ndogo ndogo za elfu 30,
@halimaamani8958
@halimaamani8958 9 месяцев назад
Na wala hajasema out of time Bali kasema ni taa za kisasa ambazo zimekaa muda mrefu dukani kwake sababu watu wameshindwa kununua kutokana na gharama za hzo taa kuwa kubwa
Далее
Find The Real MrBeast, Win $10,000
00:37
Просмотров 34 млн
Women’s Free Kicks + Men’s 😳🚀
00:20
Просмотров 9 млн
WACHAGUA NYIMBO KWA DAU USIKU WA MWANAHAWA
11:39
Просмотров 17 тыс.