Тёмный

MAMA YAKE MWIJAKU AFUNGUKA, AKIWA KWENYE MJENGO MPYA "NILISHAMKANYA, ASIINGILIE, MAISHA YA WATU" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 37 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

4 янв 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 77   
@mchumiajuani1993
@mchumiajuani1993 6 месяцев назад
Mama shkamooo, anajua kuongea kwa staha, asante sana mamangu
@mutalemwa-woerle
@mutalemwa-woerle 6 месяцев назад
Mwijaku ana mama mwenye busara sana mpaka amenifanya nimuangalie Mwijaku kwa jicho la pili…(I now think he is not who most think he is) Hongera Mama!
@rajimuashirafa8265
@rajimuashirafa8265 6 месяцев назад
Mama kabarikiwa sanaa kuongea vizuri
@OnlyRuky
@OnlyRuky 6 месяцев назад
Mashaalah mama ana ongea vizuri kwa hekima
@mawazoaliselemani
@mawazoaliselemani 6 месяцев назад
Mama yake mzuri Masha Allah,
@rerisamba
@rerisamba 6 месяцев назад
Wow mama mzuri sana anaongea vizuri sana anakaa roho safi
@alibinali_
@alibinali_ 6 месяцев назад
Masha'Allah Mama
@user-wb2xo2lv7n
@user-wb2xo2lv7n 6 месяцев назад
Mama unabusara sana kweli ❤
@nzeyimanamwavita1904
@nzeyimanamwavita1904 6 месяцев назад
ManshaaAllah Mama
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 6 месяцев назад
Wewe ni mama bora sana nimekupenda bure
@omanmct135
@omanmct135 6 месяцев назад
Mashallllah
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 6 месяцев назад
Mama mashallah ❤❤
@beatricepallangyo2821
@beatricepallangyo2821 6 месяцев назад
Hongera sana Mama!!!!
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 6 месяцев назад
Mama mwenye busala zake mashallah❤️Hongera sana Mwijaku na męko 🙏🙏
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 6 месяцев назад
MashaAllah mama mzuri hongera sana Mungu akutunze ❤❤❤❤
@vincentmokenye4465
@vincentmokenye4465 6 месяцев назад
Hongera jamani mama yupo vizuri
@starjay3052
@starjay3052 6 месяцев назад
tanzania bado maisha magumu kwaiyo unaweza ukawa na elimu lakini ikawa ujinga tu bado akuna mifumo mizuli yakuwafanya wasomi wawe na ela ma profesa wenyewe wanaishia kwenye kujenga bah awo wenye alimu watatumiaje elim zao kua pesa we kama umepata bahati shukulu mungu
@Am-vo5cu
@Am-vo5cu 6 месяцев назад
Napenda watanzania. Hawaachi kumtaja Mwenyezi mungu. Mama shikamoo. Inshalla.
@saidnhoathuman1014
@saidnhoathuman1014 6 месяцев назад
Hongera yake
@renatusjeremiah
@renatusjeremiah 6 месяцев назад
Jamani hivi sasa hivi wazazi ni mama tu na baba tumewakosea nn watoto maana kila mtu mama mama kwa kweli wazaz wa kike mnatukera sana mnapotuchonganisha na watoto wetu ili nyie tu ndo muonekane wema na wazuri kwa watoto hili linaniumiza sana mimi kama mzaz wakiume
@jestinaluvanda-jm4tc
@jestinaluvanda-jm4tc 6 месяцев назад
Pole! mwanamke ni mrithi wa Neema. Hahitaji nguvu kuipata
@saniaidrisa3920
@saniaidrisa3920 6 месяцев назад
Kuchukiwa mnakutengeneza wenyewe baadhi ya wanaume mnajiweka mbali sana na watoto wenu mnahisi ukali ndo heshima Sasa Kama baba unamnyanyasa mke mbele ya watoto, wakikuomba kitu unasema muombe mama yenu unampa mke pesa halafu yeye ndo awape watoto watoto hawajui kama wewe ndo umetoa wanajua ni mama,na mengine mengi yani wewe ukija ndani kila mtu anakimbilia chumbani Sasa hao watoto wakikua kupendwa sahau
@maryamudunga1094
@maryamudunga1094 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂ss ndo tupo
@marianyange3013
@marianyange3013 6 месяцев назад
Mama wa kizigua yuko vizuri,Hongera mama
@simbajumanne9718
@simbajumanne9718 6 месяцев назад
Hongeraa.lakin yumba aifik bilion 1.usiwakatoshe vijana😊
@user-kz7ys5qw2h
@user-kz7ys5qw2h 6 месяцев назад
Mmmmmh cna hakika
@omanoman2044
@omanoman2044 6 месяцев назад
Kwan mwinjaku asijenge kwa nn ridhiki anatoa mungu kujenga mbon nikawaida tuy mange aongee tuy lakin ndo kashajenga
@user-me5ec4xp2j
@user-me5ec4xp2j 6 месяцев назад
Yupo vizuri Kama my mom alivo
@ibrahimomari2458
@ibrahimomari2458 6 месяцев назад
Nyuma ya unaemjua kuna vitu usivyovijua
@mawalasparepart6868
@mawalasparepart6868 6 месяцев назад
Mama mwijaku mlembo sana
@bakariomari8758
@bakariomari8758 6 месяцев назад
Ktk yote nimependa neno mama kalitamka wala sio kwa ujanja wao nimungu tu.
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 6 месяцев назад
Mwinjaku umewafunga wengi midomo. Tunamsubiri baba Levo
@MichaelJames-tp6co
@MichaelJames-tp6co 6 месяцев назад
Huyu mama mashallaaa mama amejawa na hekma
@RehemaMasunga-ml7kt
@RehemaMasunga-ml7kt 6 месяцев назад
Hata mimi nitajenga kama hiyo Mungu anisaidie
@omanmobile5746
@omanmobile5746 6 месяцев назад
AMIIN🤲🤲
@kibulajumakibulajuma3448
@kibulajumakibulajuma3448 6 месяцев назад
ALLAAHUMMA AAMIYN
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 6 месяцев назад
Aameen inshaAllah hubibty ❤❤❤😊
@mwanahamisinyenzi-vo6mj
@mwanahamisinyenzi-vo6mj 6 месяцев назад
Nimekupenda bureee
@kilimanjaro77international26
@kilimanjaro77international26 5 месяцев назад
Bado mbichi huyu Dada, tulete mang'ombe?
@happyminja-kb1ow
@happyminja-kb1ow 6 месяцев назад
Kama ni pesa ya jasho sio ya short Kati MUNGU ambariki aisee
@kilimanjaro77international26
@kilimanjaro77international26 5 месяцев назад
Banda la njiwa
@venusmakbel4679
@venusmakbel4679 6 месяцев назад
Mi najiuliza kitu kitu kimoja ile nyumba ina vyumba vitatu tu kimoja cha mwanae kingine cha kwake na kingine kafanya ofisi hakuna chumba cha wageni😊 au dada wa kazi atalala kwa matiasi😂😂
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@ShekiyaoHussein-ki4ty
@ShekiyaoHussein-ki4ty 6 месяцев назад
Mama nimempenda kwa mazungumzo yake Mashalla
@user-mb4si9nm3c
@user-mb4si9nm3c 6 месяцев назад
Kwahiyo mange na mwenye nyumba Nani atakuwa mkweli na mange akisema sio yake ndio ataaminika hatuombeane kheri jamani
@mathewungani9724
@mathewungani9724 6 месяцев назад
Huu ni Ushamba
@angelsblackboard8008
@angelsblackboard8008 6 месяцев назад
Subiri Mange atatupa za ndani.
@aisharamdan8358
@aisharamdan8358 6 месяцев назад
Zandani kwamba nyumba sio yake au
@bakariomari8758
@bakariomari8758 6 месяцев назад
Yaani maskini unawatoa ufahamu ndio maana mnarogana sana watz
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 6 месяцев назад
Hahahahaaa yaan mtu mzima usubiri mange aje kukuambia nyimba ni yake au la. Ama kweli kiazi
@rosemuhandoofficial5676
@rosemuhandoofficial5676 6 месяцев назад
Kwa kweli​@@bakariomari8758
@omanmct135
@omanmct135 6 месяцев назад
Maskin wamwche kilamtu nariski yake mungu kampa
@mawalasparepart6868
@mawalasparepart6868 6 месяцев назад
Kumbe mama mwijuku pisi kali
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 6 месяцев назад
Mange njooo.huku utuhakikishie hili jambo
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 6 месяцев назад
Weunamtumikia shetani ndio maana wamuamini mange kimavi
@user-uc8ei8kn3l
@user-uc8ei8kn3l 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂kabsa kimambi wap
@KALULUALLI
@KALULUALLI 6 месяцев назад
DOTTO MAGAR ATATWAMBIA NYUMBA YA NANI TUNAMSUBIRI
@victoremanuel29
@victoremanuel29 6 месяцев назад
Ameshajibu huko kuwa amechafua kiwanja hiyo siyo nyumba😂😂😂
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 6 месяцев назад
Dada wa Taifa karibu Kuna huyu Jamaa analidanganya Taifa
@TheBastarrrd
@TheBastarrrd 6 месяцев назад
😂😂😂😂
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂jaman mnamakusudi
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 6 месяцев назад
Dada mange njoo bwana huku kuna jambo hatuna uhakika nalo njoo utie neno😂
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 6 месяцев назад
Dada mange njoo bwana huku kuna jambo hatuna uhakika nalo njoo utie neno😂
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 6 месяцев назад
Wivu
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 6 месяцев назад
@@fatmafatu1128 wivu au tuhakikishiwe wivu wanini sasa wakati mie mwenyewe japo kibanda ila sidaiwikodi upo
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 6 месяцев назад
@@fatmafatu1128 ukae.kwakutulia
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 6 месяцев назад
@@sofitanzanian955 acha uswahili uhakikishiwe kama nani? Endelea kukaa kwenu eti hudaiwi Kodi umeulizwa nanani kama wadaiwa au lah fata maisha yako yakubangaiza acha roho ya kisokoro kwino,
@aaa64sa13
@aaa64sa13 6 месяцев назад
Fikra na Akili zako ni ndogo sana.
Далее
The tactic worked 😂#shorts by  Leisi Show
00:26
Просмотров 3,7 млн
Самое Романтичное Видео ❤️
00:16
Каха и суп
00:39
Просмотров 1,2 млн
The tactic worked 😂#shorts by  Leisi Show
00:26
Просмотров 3,7 млн