Wacha mzee nikujuze jambo huyu mtu alipo ingia mamlakani kwanza aliondoa kazi kwa vijana pesa za wazee mlo shuleni kwa wasionjiweza huduma hospitalini acha zifurugha yani amehalimbu kila kitu na tusisahau amepeleka watoto wetu haiti kwahiyo hatumchukii bule huku maisha nikusononeka tu
Mchungaji uko vizuri kuliko hawa watafiti wa kusoma vitabu na kuandika tafiti "mwotesho". Hili ni somo zuri kwa Wah Wabunge. Huu ndio ukweli. Viongozi dini na serikali na wazazi wasikilize hii kwa makini.
"Utamaduni wa mazungumzano kuanzia ngazi ya familia. Walioko juu wawasikilize walioko chini na wachininwawaheshimu walioko juu wasiwapuuze walioko chini na wachini wasipuuze walioko juu. Tusipuuzane Watz. Tuipende nchi yetu kwa amani."
Tatz waliojuu Hawana utamaduni wa kuwackiliza walio chini wkt ndio ndio waliowaweka apo juu kwa kura na ridhaa zao lkn wakipata huwasahau na mara nyingi walilalamika solution huwa kuwachapa viboko na kuwanyamazisha.
Nimekuelewa mzee wengi hatujui km Kuna maendeleo vitu na Maendeleo watu kwaiyo kinachofanyika ni kuleta Maendeleo vitu tyu bila kujali Maendeleo watu ni muhm zaidi kwasabb ni rahc Maendeleo watu kuleta Maendeleo vitu lkn una una soko lkn huna uwezo wa kuweka bidhaa.
Ba b a waambie wa n asiasa wa Tanzania pia waanze kujitambua vinginevyo mwakani ni hayo hayo ya Kenya.Sasa tatizo la Tanzania elimu ndogo sana,kwa vijana hata baadhi ya wanasiasa😢😢 Kitakuwa kisanga wajinga watupu kupambana😢😢
Usichukulie powa kujiajiri lazima selikari itengeneze mazingira ili wananchi wake waweze kujiajiri.Nchi nyingi hazina iyo mifumo ndio maana watu wengi wanakuwa jobless