Тёмный
No video :(

MCH.HANANJA AFICHUA CHANZO MAANDAMANO KENYA,RAIS RUTO APEWA MBINU UKIFANYA HIVI UMEMALIZA 

Maks Media
Подписаться 140 тыс.
Просмотров 3,5 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

3 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 12   
@user-gi3io1ew8e
@user-gi3io1ew8e Месяц назад
❤🙏🇰🇪📢 Amina kabisa true
@jenifferwanjira6124
@jenifferwanjira6124 Месяц назад
😂😂😂😂😂
@user-es9ye1tj7u
@user-es9ye1tj7u 27 дней назад
Niboraa muongee nyiee wachungjii,,wendaa watawasikiaa,,sioo kusemaa vijanaa hawataki kazii isipokuaa watu wahari yachini wanafanya kazii miaka mingi hata pakulala anakua hana ,,anachokaa ,,uchumi kila kikuchaa unapandaa ,,anashindwaa kujibajetii,,,tatizoo mfumoo wa waafrikaa ni wakilonii,,wa kimyaa kimyaa ,,,
@MaryMatereadvicer011
@MaryMatereadvicer011 Месяц назад
Ukweli mchungaji kusikiliza watu is very important, kiburi ya ruto inatisha but alie juu mngojee chini tumempea muda 😢
@lenniefei6710
@lenniefei6710 Месяц назад
waKenya hatungoji mwanasiasa chini, tunamfuata alipo ! WaTZ mbona mumezembea sana kuchezwa shere na wanasiasa kila uchao ! Munauiziwa Amani, wao wakipakua mali !
@MaryMatereadvicer011
@MaryMatereadvicer011 Месяц назад
@@lenniefei6710 tunaumia wote pia mimi n Mkenya lakini wamwache afanye kazi mpaka 2027 ndio tumtoe huko coz vijana wetu wanakufa sana tena wanajapwa na mapolisi aki 😭😭😭na ruto anaongeza wabunge mshahara wewe uoni hiyo madharau yake na uongo
@lenniefei6710
@lenniefei6710 Месяц назад
@@MaryMatereadvicer011 nakupata sana ila kama miaka 2 imekua hivi what about three more years ?! Let the people of Kenya decide on that
@nabiimgongolwa8728
@nabiimgongolwa8728 Месяц назад
MWALIMU NYERERE ABARIKIWE UBEPARI NASISI UNGETUFIKISHA KAMA KENYA.....LAKINI SISI ARDHI KUIPATA KILA MTU ANA UHURU.
@alexandermulilison5844
@alexandermulilison5844 Месяц назад
nikama mwenzangu haujaelewa kwa nini wanandamana. Kwanza ni uabikaji pili ni kuwa na mkono wa chuma tatu ni kuchukua mkopo unaotajirisha watu wachache
@TatuOmar001
@TatuOmar001 Месяц назад
RUTO TANO TENA
@MaryMatereadvicer011
@MaryMatereadvicer011 Месяц назад
😭😭😭😭
@JamesMoses-jd1yq
@JamesMoses-jd1yq Месяц назад
Ukabila utakumaliza
Далее
НАША НАСЫЩЕННАЯ ПОЕЗДКА В КИТАЙ
1:32:55
MCH HANAJA APIGA NONDO NZITO KUHUSU KIBOKO YA WACHAWI
28:20