Тёмный
No video :(

MCH HANANJA ATOBOA SIRI ZA MITUME NA MANABII, LEO NAONGEA UKWELI 

Mbengo Tv
Подписаться 1,5 млн
Просмотров 126 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 252   
@stephanomakala3984
@stephanomakala3984 Месяц назад
Nami nampenda Sanaaa Mchungaji Hananja kwa ukweli uliotukuka kwa Dizi zote mbili ya Uislamu na Ukristo. Mungu amuweke zaidi atufunze zaidi.
@kenanimwakanemela483
@kenanimwakanemela483 Год назад
"Huduma ya kinabii ipo ila ofis ya kinabii haipo". It takes maturity in God's word to understand this, Hongera pastor
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express Год назад
😁 Mchungaji Ananja anatikisa kichwa kwa kusikitika 😁 Huyu mchungaji anaongeaga ukweli bhana
@hermanfrank6727
@hermanfrank6727 Год назад
Mchungaji Hananja ninakupenda kutoka moyoni Kwa sababu ya ukweli wako kuhusu Biblia na umejitahidi kumeza maandiko,unatema nono la Mungu sio maneno.Wewe ni mfano wa kuigwa aisee❤
@user-nl8hs2nx9p
@user-nl8hs2nx9p 7 месяцев назад
Mungu akubariki Mchungaji kwa ukweli wa Mungu unaoleza.
@amonsekajingo6996
@amonsekajingo6996 4 месяца назад
Gifted man of God . Keep it up! Such 'minds' should at times be teaching in bible colleges.
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 Год назад
Yupo vizuri sana na anaujuwa ukiristo karibu katika uislamu
@KamiliusPius
@KamiliusPius 4 дня назад
Uko sawa, pasta Hananja, Waambie wasijie haponime kusikia umenena vema,
@bonnymwajombe779
@bonnymwajombe779 Год назад
👍very nice Hananja
@hastatz
@hastatz Год назад
Huyu mzee akamatwe apimwe akili asije kua ni YESU amerejea😂😂 mbona anasema ukweli sana
@PreciousMwajombo
@PreciousMwajombo 11 месяцев назад
Hey you spare my ribs
@VeronicaEugen
@VeronicaEugen 11 месяцев назад
For sure 😂😂😂😂
@paulinamariki3371
@paulinamariki3371 11 месяцев назад
Keel ndgu yang
@nellyhortensia2407
@nellyhortensia2407 8 месяцев назад
😂😂😂😂
@ibrahimcharles9842
@ibrahimcharles9842 8 месяцев назад
😂😂😂😂 nimefurah sana comment ako😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 Год назад
Mchungaji Hananja, nakupenda sana kwa maelekezo.
@phelisterswamalwa3295
@phelisterswamalwa3295 9 месяцев назад
Yote yatapita Neno la Mungu litasimama litangaze muchungaji,I like it
@matunzojr4862
@matunzojr4862 Год назад
huyu jamaa geneous sana mchungaj pekee aliyebaki kusimama kwenye ukweli
@isackmachiyanshoka6754
@isackmachiyanshoka6754 Год назад
Mchungaji hananja upo sahihi Mungu akutunze sana!🙏🤝
@user-zz4wg1kv1b
@user-zz4wg1kv1b 7 месяцев назад
Mzee una madini mengi Sana God bless you
@victorbugobola2276
@victorbugobola2276 Год назад
Kwl kila mtu anawakati wake saiv n wakati wa Hananja Kutrend hakika anatrend kwa ukwl wake,....Mungu akubarik ❤️ mtumishi AMINA...
@salomedarema304
@salomedarema304 6 месяцев назад
Eti kweli mtume anamikiki prado na kiyoyozi wakati paulo alijichimbia mahandaki akakaa huko yaani mmh hii mitume na manabii hewa Mungu awashughulikie
@georgemlonda4174
@georgemlonda4174 Год назад
Mungu akubariki ! Cjapoteza bando langu bure
@rajabamis1135
@rajabamis1135 7 месяцев назад
Huyu mzee mwenzangu Hananja ni real. Ni pastor wa kweli❤
@lionking3015
@lionking3015 Год назад
Napenda swagga ya huyu mzee yani anaongea kama wimbo yani anapiga verse Kisha anaweka chorus Enheeee Enheeeee😂😂
@PreciousMwajombo
@PreciousMwajombo 11 месяцев назад
😂😂😂 akh eeeeh
@mathiasswai7006
@mathiasswai7006 Год назад
Nice baba mchungaji,anabidi apewe PhD, ya heshima, na chuo kikuku
@ElipendoElias-no6ki
@ElipendoElias-no6ki Год назад
😅😅😅😅nimefurahishwa sana na maelezo ya mtumish huyu wa Mungu ana hekima yakimungu kwakwel..
@theophilwhiteheart1997
@theophilwhiteheart1997 Год назад
😂 sipingi hata kitu kimoja hapa father umemaliza kila kitu God bless you
@KamiliusPius
@KamiliusPius 4 дня назад
Amina Leo tunatoa Unabii kwanjia ya Neno,.
@ibrahimumtera7943
@ibrahimumtera7943 7 месяцев назад
Safi saana mchungaji sana apo uko sawa mimi ni mwadventista
@NemesiYustina-ye2vs
@NemesiYustina-ye2vs 7 месяцев назад
❤❤❤nimefarijika na ujumbe wako muadventista
@gertrudenyandwi8218
@gertrudenyandwi8218 5 месяцев назад
Asante sana mtumishi waMungu barikiwa sana
@user-ef8py8bt6r
@user-ef8py8bt6r 8 месяцев назад
Mimi ni muislam,ila nampenda Sana huyu baba🎉
@samweljumanne-wo2pu
@samweljumanne-wo2pu Год назад
Mchungaji Hananja Ni Proffesor akili mingi kichwa kimejaa mistari mitakatifu iliyojaa ukweli ndani yake hongera baba
@user-lm3xb9xy6z
@user-lm3xb9xy6z 6 месяцев назад
Nice teaching always mchungaji
@meshackkazimil6837
@meshackkazimil6837 Год назад
Hongera sana baba! Mimi nakuelewa sana sana
@gracesanga6489
@gracesanga6489 5 месяцев назад
amina mchungaji napenda sana mafundisho yako yananitoa hatua kwenda hatua nyingine
@yolbul1616
@yolbul1616 Год назад
Daah unapendeza sana dada love from south sudaness 🇸🇸🇸🇸🇸🇸
@RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny
@RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny 8 месяцев назад
Shukrani sana mzee wetu nakukubali pia❤❤❤❤
@amissitundula8568
@amissitundula8568 Год назад
Namuelewa sana mzee wangu
@jacquelinebaitani8370
@jacquelinebaitani8370 Год назад
Mungu unaye mbona kwenda kuchukua maji? Omba Mungu wako akuponye huwezi chukua vifaa vya kiroho hata upewe kinyesi chukua upone.Maana wewe hiamini Mungu uliyenaye kama ni muweza wa yote.
@catherinenicander7468
@catherinenicander7468 Год назад
Naye kanisa lake mbona anataka sadaka kwani,kanisa litaendeshwaje.hakuna nabii anayewalazimisha watu kutoa sadaka ni unavyoona wewe mwenyewe.kama anafunga wakati anaandama wenzake,si awaache Tu .kila MTU si atabeba mizigo wake,waache watumishi wa bwana.
@lucasprochesi
@lucasprochesi 9 месяцев назад
Huyu mtu ana akili kuliko kawaida.. jinsi ya kushika hayo maandiko tu inatosha kuwa umefunuliwa
@dankhany3385
@dankhany3385 Год назад
maisha marefu hananja ♡♡♡
@sostentulian9462
@sostentulian9462 Год назад
Namkubali sana mzee hananja
@ahmedalfan8075
@ahmedalfan8075 Год назад
😂😂😂😂 dah uyu mchungaji comedian sana 😅 water skukuu
@oscarngata5672
@oscarngata5672 10 месяцев назад
Mungu akubarki mchungaji❤❤❤❤❤❤❤❤
@IlyasaMohd
@IlyasaMohd Месяц назад
Allah akujaalie ungie ktk uislam amin
@user-ci9lj2vq9n
@user-ci9lj2vq9n Месяц назад
Eeeeeeehe wew nae
@deekibonga
@deekibonga Год назад
Huyu baba apewe TV tuelimishwe zaidi
@bainolatino3412
@bainolatino3412 Год назад
Sawa Sawa ilibidi waliona hilo japo wasafi au clouds au eatv au yeyote tuu a pate na masponsor
@engelbertkiondo4014
@engelbertkiondo4014 9 месяцев назад
mwalimu Hananja asante. watu hawasomi Biblia kabisa. wanakariri vimistari vichache
@florencemwanansao834
@florencemwanansao834 Год назад
Mungu akubariki mchungji
@rosendanshau2674
@rosendanshau2674 Год назад
Uko vizuri baba unajua neno songa mbele
@gertrudenyandwi8218
@gertrudenyandwi8218 5 месяцев назад
Uko vizuri sana mtumishi
@salmoncelestine6840
@salmoncelestine6840 Год назад
Live long baba,,unasema ukweli siku zote.I love you
@heronimomsefya3190
@heronimomsefya3190 9 месяцев назад
Safi sana barikiwa daima
@charlesmuyabi-nu9sv
@charlesmuyabi-nu9sv 5 месяцев назад
hongera mchunguji kwa elimu nzur
@fadhilichristine7734
@fadhilichristine7734 Год назад
Amen 🙏🙏
@obotelaurent1359
@obotelaurent1359 5 месяцев назад
Mashallah...
@khalid6264
@khalid6264 11 месяцев назад
ubarike sana ,mungu akuongoze
@LuckyBoy-pp2md
@LuckyBoy-pp2md Год назад
Mungu akulinde mzee wangu nakupenda unasema ukweli
@dausonedius4100
@dausonedius4100 Год назад
kweli kuna ukwel ndan yake baba amen
@user-ny7vl2jr8s
@user-ny7vl2jr8s 5 месяцев назад
Nakubali sana mzee wangu
@damasjoachim4451
@damasjoachim4451 Год назад
Mchungaji umekosea sana, matendo ya Mitume inasema,imani yetu imejengwa juu ya mwamba wake Kristo mitume n'a manabii, hapo mchungaji hajatajwa, Petro aligawa vitambaa n'a kupelekwa kwa wagonjwa n'a kipona, Mchungaji unakosea sana unapokosoa maono ya watumishi wa Mungu, Yesu alitumia udongo kuweka jichoni n'a kupona n'a mengi sana, hayo ni maono unakosea sana
@vaghoghontweki9827
@vaghoghontweki9827 8 месяцев назад
Acha kutuhumu mtu..ww ni ndugu yake Mungu hadi ufikie huko na kujua sana et.....
@athumanmbaraka5192
@athumanmbaraka5192 5 месяцев назад
Nampendagasana uyu dingiii❤❤❤
@LuckyBoy-pp2md
@LuckyBoy-pp2md Год назад
Poleni sana na samahani sana naona niliwakwaza wengi nawaomba mnisamehe maana sijui nilitendalo lakini by the way Karibuni kwa yesu
@wizdon6470
@wizdon6470 Год назад
Acha ushamba
@ElipendoElias-no6ki
@ElipendoElias-no6ki Год назад
Utajua hujui hata huyo usimuamin sana mpendwa
@shadraachshadinho
@shadraachshadinho Год назад
Acha hizo ni tittle tu kaka dini ni wewe mwenyewe haya makanisa yatatupotosha tu wengine wananjaa zao sio watumishi wa kwel
@frankzagalino9687
@frankzagalino9687 Год назад
Mimi ndo kanisa langu mtandaoni ! Vuka jordani ibada yenye nguvu za Roho mtaktfu WA Mungu.
@praykyara2604
@praykyara2604 Год назад
Kweli kabisa kaka💪💪💪🙏
@tojotv6414
@tojotv6414 Год назад
Mwandishi Leo umependeza tofauti na unavyovaaga
@kassianwilliam8257
@kassianwilliam8257 Год назад
Hapa nimeondoka na kitu chema na kikubwa sn, asnt Baba Mchungaji.
@AnneSampegete
@AnneSampegete Год назад
Hii ni kweli kabisa jamani tufunguke
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Год назад
Huyu ndugu anaongea ukweli Siyo mnafiki❤
@user-qc7ih4yi8p
@user-qc7ih4yi8p 11 месяцев назад
god bless u
@user-nf5zo5nm7p
@user-nf5zo5nm7p 8 месяцев назад
Ubarikiwe sana
@brendamontego6059
@brendamontego6059 Год назад
I love his teachings
@Peacemollel
@Peacemollel 7 месяцев назад
Jaman!!!
@princessprecious6995
@princessprecious6995 Год назад
Upo sahihi kabisa na Mungu akutunze kabisa hujaongopa wakorinto 8.8. chakula kwaajili ya tumbo na tumbo kwaajili ya chakula tusipokula hatupungukiwi kitu tukila hatupungukiwi kitu
@JaphetPeter-sc3pe
@JaphetPeter-sc3pe Год назад
Ameeeeeeeeeeen mzeeeee wang,
@juliusroko3051
@juliusroko3051 Год назад
Ubarikiwe kwa ufafanuzi mzuri kuhusu mfungo Mchungani.
@fredybanda2861
@fredybanda2861 Год назад
Kkkkkkkkkkkk moto kimbunga moto kkkkkkkk niubunifu kkkkkkkk you are the best
@servantofalmightygoddranth2511
Na kuhusu mwisho wa nabii, nabii wa mwisho aliyemtabiri YESU ALIE HAI na kunyosha mapito na kitengeneza njia nabii wa mwisho ni YOHANA Mbatizaji
@estonmnthali3719
@estonmnthali3719 7 месяцев назад
Amina kweri kabisa
@user-yk3yr2yt6o
@user-yk3yr2yt6o 7 месяцев назад
Agabo ni nabii agano jipya, ,huduma, ministry na ofisi , office, hapo ni lugha imekuchega mzee, manabii wapo na mitume wapo , isaya alienda kwa hezekia, elisha kumfufua mtoto wa mshunami, yesu aliitwa nabii, yohana 9:1___, paulo hata leso wagonjwa waliponywa , mafuta ya upako ,marko ,6:13, kwa nini musa anakabidhiwa fimbo na alitumia zaidi ya mara moja , kwanini eliya alitumia vazi zaidi ya mara moja, manabii ninachokiona wataurithi ufalme ,wachungaji wamejaa kujihesabia haki ,
@JonathanJustin-qu4pz
@JonathanJustin-qu4pz 10 месяцев назад
Ahsante sana
@mosesmtomo4311
@mosesmtomo4311 5 месяцев назад
Upo vizur sana aisee
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 7 месяцев назад
Safi sana mtumishi
@sirpleasureb
@sirpleasureb 8 месяцев назад
binti hongera kwa kujistiri kwako
@user-ss1bj4yj2q
@user-ss1bj4yj2q 10 месяцев назад
Bigup Mchungaji
@fatimafatima6796
@fatimafatima6796 Год назад
Kweli kabisa mtumishi wa mungu 🙏🙏
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Год назад
Ahsante sa n a baba
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Год назад
Mimi ninafuatilia sana maongezi yake Hananja.Anaongea logic na mantic.Siyo mnafiki
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 Год назад
Mm nilishudia mke wa boss wangu kontena lilishika moto akatoa mafuta kila akimwaga moto unazidi zimamoto wakamwambia mama moto hauzimwi kwa mafuta
@Cianadvd1
@Cianadvd1 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@GeorgeMkumbe
@GeorgeMkumbe 5 месяцев назад
Amen
@FrorianiMlandali-zi5vd
@FrorianiMlandali-zi5vd Год назад
Kweli mchungaji hananja anajua sana ukimsikilza kam wew ni kiongoz wa din unaweza ukazan anakutusi ila huo ndo ukweli na hajitungii coz vyote vipo kwnye bible
@KamiliusPius
@KamiliusPius 4 дня назад
Hapo umenena pasta Hiyo ndoo kweli,
@fatumaminyeko1875
@fatumaminyeko1875 День назад
Tuombee nyumbani kanisani shetani anafanya kazi sana
@Kobe_254
@Kobe_254 Год назад
Huo ni ukweli mtupu kuhusu dini 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏
@joycejackson2320
@joycejackson2320 Год назад
Kufunga ni kati ya mimi na Mungu wangu!! na wala sio kubadilisha muda wa kula! Mungu aliumba mchana na usiku kwa maana kubwa! usiku viungo vinapumzika ukivifanyisha kazi havifanyi kwa sababu ndio maumbile bure utaamka umechoka kwa mzigo uliobeba!! Majivu Hananja ni ukumbusho tu wa kwamba mimi ni majivu na mavumbini nitarudi! kama wewe unavyovaa mavazi ya rangi mbalimbali ukiwa kwenye lbada kama mchungaji yana maana mbalimbali! ni ishara flan so kila mtu ana theolojia yake hatuwezi kufanana kwa kila kitu! cha msingi ni kutenda matendo mema yale Mungu anapenda
@user-xj5ro3ze2x
@user-xj5ro3ze2x 7 месяцев назад
,kweli baba
@jesuspower2390
@jesuspower2390 Год назад
Yesu hakuwa na kanisa. alikuwa akihubiri katika makutano.
@jeanmuzaliwa9023
@jeanmuzaliwa9023 Год назад
kanisa manake nini?
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 8 месяцев назад
Wewe nawe uliza uelewe Nini maana ya neno Kanisa labda nukusaidie Kanisa Ni watu sio jengo
@chiaseeds6919
@chiaseeds6919 Год назад
Nakukubali sana mpendwa
@bonifaceferdinand566
@bonifaceferdinand566 Год назад
Ila kweli mchungaji hananja,Yani Imani za Sasa hivi ushirikina,njoo na udongo tuuombee,
@manjaruu1575
@manjaruu1575 Год назад
Mzee we nomaa
@user-xx5vs2dy7g
@user-xx5vs2dy7g 6 месяцев назад
Hananja uko juu
@SafariMsafi-um1pz
@SafariMsafi-um1pz 6 месяцев назад
Na wala haikatai ting tang tingtang
@geofreymkwelele3588
@geofreymkwelele3588 Год назад
Msema kweli
@joycekalembo2225
@joycekalembo2225 Год назад
Dah nimefarijika sana..unajitahd sana kuwaeleza wakristo ukweli,tatizo letu ckuhzi hatusomi biblia,jamani WAKRISTO BIBLIA ndio nguzo yetu sehem ya majibu yetu..jaman tusidanganyike na haya manabii wa uongo wanaotumia shetani.jaman jaman?!!
@mehboobdosa3719
@mehboobdosa3719 Год назад
Safi sana
@frankmushi8892
@frankmushi8892 Год назад
Nikweli kabisaaa
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 8 месяцев назад
Eti uwatemi mate😅😅😂hawawatemi mate kumtemea mate mchezo hananja bn uyo mstari wabibilia wakuwatemea mate wanajifanya hawaouni wawatemee mate
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 8 месяцев назад
😂😂😅hanjana uwa unanifraisha sana nakuelimisha Yani nakukubali mno eti unapiga uji
@AaziziMkambi-qf5mj
@AaziziMkambi-qf5mj 7 месяцев назад
Mchungaji umenifundisha jambo kubwa sana natamani nipate ata namba yako niwe nakutumia chochote kitu
@teniswai9689
@teniswai9689 8 месяцев назад
Huyo ni konki masta mi mwenyew namkubal
@katembenduto9560
@katembenduto9560 8 месяцев назад
Mafunzo bora kwa watu bora na wenye hekima.
Далее
when you have plan B 😂
00:11
Просмотров 5 млн
when you have plan B 😂
00:11
Просмотров 5 млн