Тёмный

MCH.KATEKELA:SIFA 3 ZA NABII WA KWELI WA MUNGU NA JINSI YA KUMTOFAUTISHA NA WAUONGO 

PROMOVER TV
Подписаться 152 тыс.
Просмотров 13 тыс.
50% 1

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.13322701
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 54   
@jastinmkoba
@jastinmkoba 3 месяца назад
Yaaaan ukielezea ivi Kila mwenye sikio lazima asikie na macho aone ....🤝
@Esthermordecai
@Esthermordecai 3 месяца назад
Uyu mchungaji amekuwa wa baraka Kwa watoto wa Mwenyezi Mungu,acha Mungu akulinde na familia yako
@patricialiveti3520
@patricialiveti3520 3 месяца назад
Mungu ni mwema katuletea wa kuambia kweli yake.
@nursechunga4470
@nursechunga4470 2 месяца назад
Sifa ya kwanza ya nabii wa kweli, asilimia 90 ya maisha yao wamewekeza kwa Mungu 🙌 Yesu akutunze mtumishi wa Mungu🙏
@RahmaR-y8p
@RahmaR-y8p Месяц назад
Barikiw sana mtumishi w Mungu mm nayapenda sana mahubiri yako
@aminathatwahir8462
@aminathatwahir8462 3 месяца назад
Hakika YESU ni Bwana
@FurahaCiza
@FurahaCiza 3 месяца назад
Heeeee. Mungu wangu. Tulinde na manabii wahuwongo
@NeemaChiyungu
@NeemaChiyungu 3 месяца назад
Ubarikiwe sana Mtumishi kwa kutufundisha haya yote na kutufunulia tusiyoyajuaa 🙏🙏
@LudovikLudovika
@LudovikLudovika 2 месяца назад
Ni kweli Mtumishi,Mungu akubariki sana,unatutoa kwenye upotevu
@FortunateAkaro
@FortunateAkaro 2 месяца назад
Amina Mtumishi naomba uje na huku Kilimanjaro wengine wametoka makanisa ya kiroho kukimbilia manabii
@annahmutune4866
@annahmutune4866 Месяц назад
Napenda mafunzo yako mwalimu❤❤natamani kumtumikia Mungu 🙏🙏
@MariaMwasyila-mq6yc
@MariaMwasyila-mq6yc 3 месяца назад
Kabisa Mtumishi wa MUNGU aliye hai
@edinahKwamboka-j2q
@edinahKwamboka-j2q 3 месяца назад
Haya mafundisho ni poa sana mtumishi be blessed ❤
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 3 месяца назад
Stay blessed man of God
@edinahKwamboka-j2q
@edinahKwamboka-j2q 3 месяца назад
Haya mafundisho ni poa sana mtumishi be blessed
@RodahAdonice-dz4sm
@RodahAdonice-dz4sm 3 месяца назад
Ni kweli kabisa watu hata hawastuki nabii unakuta anaombea mtu anataja in the name of prophet (..hapa anataja jina lake si jina la YESU KRISTO....) kuwa huru na watu hawastuki😢
@MarthaZakalia
@MarthaZakalia 3 месяца назад
Barikiwa mtumishiiiiiiii
@user-28Gerardineakimana
@user-28Gerardineakimana 3 месяца назад
Pasta Katekela amekuwa baraka kwangu
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya 3 месяца назад
YAAAAANNIIIII UPO SAHIHI SANAAAA. NAFAHAMU KANISA AMBALO HUWA WANATABIRIWA ULIZALIWA MWAKA FULANI UNAITWA FULANI KUMBE NI SHETANI KATAWALA. YAANI WATU WAKIPIGA MAKOFI NAWAONEA HURUMA MNO. KUWENI MAKINI WATU WA MUNGU
@user-28Gerardineakimana
@user-28Gerardineakimana 3 месяца назад
Mungu turehemu sisi niwenyezambi Nisame
@laita8218
@laita8218 3 месяца назад
Ameeeen
@GggyJhh-y4x
@GggyJhh-y4x 3 месяца назад
Ameen and ameen mtumishi wa mungu ubarikiwe sana kwa neno zuri la mungu nimebarikiwa and be blessed more
@upendomhagama3236
@upendomhagama3236 3 месяца назад
Hakika, mungu alikuchagua ukiwa tumboni mwa mama yako ili uje tuokoe mkononi mwa shetani ubarikiwe
@marthaumazi2197
@marthaumazi2197 3 месяца назад
Haleluya amen
@livinhillary9804
@livinhillary9804 3 месяца назад
Amen
@MeshackSamwel-sj6bn
@MeshackSamwel-sj6bn Месяц назад
Safi Sana mchungaji
@jastinmkoba
@jastinmkoba 3 месяца назад
Apo sasa upo korect
@IbrahimMgimba
@IbrahimMgimba 3 месяца назад
I got it🖐️
@rosemarymwanitega7926
@rosemarymwanitega7926 3 месяца назад
Amen Hallelujah
@eunicendunge-nb1qq
@eunicendunge-nb1qq 2 месяца назад
Yesu anikomboe toka kwao
@EZRA-b1c
@EZRA-b1c 3 месяца назад
Eh! MUNGU TUSAIDIE JAMANI Ee
@ellenatilio5666
@ellenatilio5666 2 месяца назад
Ameen
@JacklineMakungu-p9h
@JacklineMakungu-p9h 3 месяца назад
Amen mtumishi, umekuwa wa baraka kwa wengi mungu akubariki
@JaneKuyokwa-ng2qf
@JaneKuyokwa-ng2qf 3 месяца назад
Mungu akubaliki muchungaji
@PetroHassan
@PetroHassan Месяц назад
kuna watu hata wahubiriweje kuhusu ukweli huu hawataelewa mpk kufa yani mtu na hakiri zangu hata nipate shida kiasi gani niende kutafta miteremko kwa kina mwamposa jamn. yan huo ni uzembe wa kuomba na mm ninachokijua siku zote kabla ya kuiombea shida yoyote lazima uanze na kutubu kwanza sasa kirahisi tuu hata malaya akipata shida anakimbia kutafta muujiza hata kitubu hamna jmn jmn watu tuna shida gani? lkn hivi unaamini kizembe tuu utendewe muujiza kirahisi wakat hata kutubu hamna pia kumbukeni kuwa Mungu ni Mungu wa ayubu pia kwan ayubu mateso yooooote aliyoyapitia sisi badoooo jmn lkn Alimsubiri Mungu wake kwa wakat akatenda hivo.tukumbuke kutubu dhambi zetu alafu tumuombe maarifa na hekima hasa katika kumjua
@ElizabethRobart
@ElizabethRobart 3 месяца назад
Mungu akutunze
@DograsMussa
@DograsMussa 3 месяца назад
Amen🙏🙏🙏🙏
@TeclaEstevao
@TeclaEstevao Месяц назад
Pasta sema sisi tupone
@lilyg2134
@lilyg2134 2 месяца назад
HII NDO INJILI YA KWELI DUNIA INAYOITAFUTA, NA SIO WAUZA MAFUTA...HUYU NI BARAKA TOSHA TANGU NIKUJUE, NIMEKUWA KARIBU SANA NA MUNGU
@DAVIDMAGHANGA
@DAVIDMAGHANGA 2 месяца назад
Nakuunga mkono
@bahatiamandi5193
@bahatiamandi5193 3 месяца назад
Ila kuna nguvu ya Mungu ndani ya karama ya Mungu mafuta yapo kwa biblia mzeituni Wanafunzi wa yesu walitumia mafuta mtumishi Marko 6:12 Agano la kale Isaya 10:21 Biblia ina mafunuo mengi sana Sina upinzani na mahubiri haya Ila kupulizia watu pumzi watu kudondoka sio nguvu ya vitu vya kuzimu wewe pia unaweza kutumiwa na Mungu kulingana na ufunuo Mungu aliokupa na maandiko yapo mengi kwa biblia wewe mwenyewe Mungu alipo kuumba alikupulizia pumzi ukawa nafasi hai ndoo pumzi unayo hubiria leo alafu naomba kama ulivyosema kuna sifa za manabii ni kumi12 hauta sisema sema hapa wapendao mafundisho tujifunze wote
@JulianaTryphony
@JulianaTryphony 3 месяца назад
Ety baba kunamtumishi anauliza kwanini unasema inalilah wa inalilahi lajuuni..
@lilyg2134
@lilyg2134 2 месяца назад
hcho ni kiarabu, maana yake sisi ni wa Mungu na kwa Mungu tutarudi.....ni lugha kma zngne
@InjiliyaUfalmetv
@InjiliyaUfalmetv 3 месяца назад
Usicheke kwenye madhabahu huo Ni mzaha Mtumishi
@JosephinaLeonard
@JosephinaLeonard 2 месяца назад
🙌🙌🙌🙌🙌😢🙏
@EliyaMWAIJUMBA-i1n
@EliyaMWAIJUMBA-i1n 17 дней назад
Nabii anatabiri yanga na simba
@gilliansiara3324
@gilliansiara3324 3 месяца назад
Uzuri mnajitambulisha wenyewe,Sasa ubinaadamu tayari, madhabau hayalingani na karama pia
@femidayahaya9293
@femidayahaya9293 3 месяца назад
Ila baba ungetutajia majina yao kabisa ya hao waongo ili tuwajue me saiv naogopa kabisa habar za manabii maana kumjua mkwel na muongo co jambo dogo baba ang
@flm1530
@flm1530 3 месяца назад
Hata mkitajiwa mtawafwata tu
@femidayahaya9293
@femidayahaya9293 3 месяца назад
@@flm1530 sasa hapo utakuwa huna hatia juu ya mtu huyo maana cku ya mwisho atacmama.mwenyewe kujieleza..kuliko ukaacha kututajia tubak tu bila kuwajua plzzz baba tutajie tuwajue saiv mambo hazalan hakuna kuficha kitu wataje baba plzzzzz
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 3 месяца назад
Femida Yahaya, nikujulishe siri ya kuwa mkristo wa kweli ni.1 mwamini Yesu moyoni mwako kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yako 2 ufanyiwe maombi ya kufunguliwa vifungo vyako.3ubatizwe kwa maji mengi,4 ujazwe nguvu za Roho mtakatifu 5 ufundishwe kuukulia wokovu,6 uwe msomaji wa biblia, mwombaji na mtu wa mifungo na Ibadan nyingi. Ukiweza hatua hizi utakuwa na viwango vya juu kiroho hakuna kitakachokushinda duniani.
@edinahKwamboka-j2q
@edinahKwamboka-j2q 3 месяца назад
Haya mafundisho ni poa sana mtumishi be blessed ❤
@edinahKwamboka-j2q
@edinahKwamboka-j2q 3 месяца назад
Haya mafundisho ni poa sana mtumishi be blessed
@josephmutemi7494
@josephmutemi7494 3 месяца назад
Amen
Далее
MCH.KATEKELA:UKOMBOZI WA NYOTA ILIYOIBIWA
53:22
Просмотров 7 тыс.
🎙Пою РЕТРО Песни💃
3:05:57
Просмотров 1,3 млн
I Built a SECRET Lamborghini Dealership!
33:02
Просмотров 10 млн
HA-HA-HA-HA 👫 #countryhumans
00:15
Просмотров 3,5 млн
Китайка стучится Домой😂😆
00:18
KUZALIWA KWAKO KUNA MPANGO WA MUNGU  | NABII ESTHER
34:52
NGUVU INAYOZUIA MAFANIKIO YAKO.
54:51
Просмотров 196 тыс.
🎙Пою РЕТРО Песни💃
3:05:57
Просмотров 1,3 млн