Тёмный
No video :(

MCH.NDACHA ALIPUKA MBELE YA DR SULE DINI ZOTE ZINA MADHEHEBU WAKRISTO NA WAISLAMU ILA MUNGU NI MMOJA 

Maks Media
Подписаться 143 тыс.
Просмотров 9 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 97   
@mckobatz5861
@mckobatz5861 2 месяца назад
This is guy is so smart in the name of Jesus
@byoseasolokoci7257
@byoseasolokoci7257 2 месяца назад
Bwana YESU akubariki sana mchungaji
@majamberemoses6329
@majamberemoses6329 2 месяца назад
Love from USA 🇺🇸
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 2 месяца назад
Napenda unyenyekevu wa Ndacha......iwe heri kwako....maneno yako yanabariki
@joshuan.kaunde8803
@joshuan.kaunde8803 2 месяца назад
Wonderful I like it, congratulations
@wilsonm.7376
@wilsonm.7376 2 месяца назад
Hongera sana pastor ndacha
@user-fi4qy9se4r
@user-fi4qy9se4r 2 месяца назад
Ndacha pole pole utasilimu
@elder_kimondo
@elder_kimondo 2 месяца назад
Filipo akamwambia Yesu, “Bwana, tuonyeshe Baba yako nasi tutaridhika Yoh14:8-11. Soma hii aya ndivyo utakapojua kuwa hamna tofauti ya Baba na mwana. Yoh 4:2 Mungu ni roho,kwa hiyo roho wa Mungu , ni Mungu mwenyewe. Isa 9:6-7 Inatueleza kuwa,Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele. Wapendwa wa Kristu, hamna tofauti ya Baba, MWana na Roho mtakatifu.
@JamesKabodo
@JamesKabodo Месяц назад
Yesu ana sema mkiwa batiza kwajina lababa na mwana naroho mtakatifu
@kitwanajohn8237
@kitwanajohn8237 Месяц назад
BWANA azidi kukubariki kwa Baraka zote za rohoni na mwilini
@franciscomtambakuluca2830
@franciscomtambakuluca2830 2 месяца назад
NDACHA Ni Mtu Wa kweli
@mako331
@mako331 2 месяца назад
Huyu jamaa ana uelewa sana wa neno la Mungu
@JustineBosire-wm3kp
@JustineBosire-wm3kp 2 месяца назад
Mimi ni sda but nakufuata na ninakubaliana na wewe kabisa lakini siami sda na mungu ni mmoja akuna mwingine na yesu ni mwana
@stephen-S7n
@stephen-S7n 2 месяца назад
Bosire gwakanire pi😂😂
@JustineBosire-wm3kp
@JustineBosire-wm3kp 2 месяца назад
@@stephen-S7n why do we tangatanga makanisa juu huyu anaubiri ukweli tena nasikia akisema sda ilipewa ukweli haja gani nimufuate Kwa teebu ameazisha
@stephen-S7n
@stephen-S7n 2 месяца назад
@@JustineBosire-wm3kp sidhani kama ndacha ni dhehebu amefungua Bali kile najua reformers wako kila mahali?
@sophiaesmarcharo9775
@sophiaesmarcharo9775 2 месяца назад
❤❤❤🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@user-mc2xd4eu2p
@user-mc2xd4eu2p 2 месяца назад
Madhehebu elf 55 na hapo ukivo muongo umepunguza sasa kuna dini hapo uongo wa wazi
@Gastonkami
@Gastonkami 2 месяца назад
asant pasta ilanaomba unieleweshe utatu nini?
@user-xy1cj9wo7x
@user-xy1cj9wo7x 2 месяца назад
Ndacha unachokiongea ni Cha ukweli Ila waislamu hawawezi kukubali ukweli wao wanaabudu pamoja na mashetani wanaita majini wasafi no wangeitwa malaika bas
@barakampunga8121
@barakampunga8121 2 месяца назад
Unajua shida kuubwa ya uislamu ni kuwa ndugu na majin japo tu
@user-mc2xd4eu2p
@user-mc2xd4eu2p 2 месяца назад
Ahmadia sio waislamu babu mbona unapenda porojo wewe hata hija hawaendi hao
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 2 месяца назад
Usisemenumewafundisha na kuelewa sema umewadanganya na kudanganyika.😂😂
@mulendakigusile
@mulendakigusile 2 месяца назад
Hapo kwenye utatu nakuunga mkono mtume wa Mungu
@nassoroyahaya821
@nassoroyahaya821 2 месяца назад
Ndacha Mungu Roho yupo kwa mujibu wa Yesu huyo unae mwamini Yohana 4:24 Mungu ni Roho nao wamwanio yawapasa wamwabudu katika Roho na kweli
@user-zp5oo9gf1r
@user-zp5oo9gf1r 2 месяца назад
Wewe inaonekan hujui kiswahili,,,kusema MUNGU ROHO na MUNGU NI ROHO,,,unaona znafanana??
@dominicnyangweso4779
@dominicnyangweso4779 2 месяца назад
Wewe soma andiko vizuri iyo yohana 4:24 ijasema mungu roho imesema mungu ni roho yaani mungu ndio roho
@mussamohammedy8014
@mussamohammedy8014 2 месяца назад
shetani alikuzuilia ktk njia ya kweli kukutoa ktk kuufuata uislam dini ya haki na kukupeleka ktk njia yake ndo maana maswali hayata kuisha ya mashaka hata siku moja ila nakuombea ukue kweli sio wao tu hata wewe upo ktk makosa
@daudimichael7338
@daudimichael7338 2 месяца назад
Yoh. 4:24 inasema Mungu ni Roho. Kama ndivyo, huyo Roho atakuwa ni nani? Kwa vyovyote vile ni Mungu.
@ludovickmutalemwa7387
@ludovickmutalemwa7387 2 месяца назад
Inasema MUNGU ni roho siyo roho ni MUNGU! Elewa. Mungu an nature ya roho ila syo roho ni MUNGU.
@user-zp5oo9gf1r
@user-zp5oo9gf1r 2 месяца назад
Mfundishe naona haelewi kiswahili huyo😂😂
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 месяца назад
✌️👍👊.
@kelvinmgeta872
@kelvinmgeta872 2 месяца назад
ingekuwa heri kwa wote tukatoka katika eagt ,sda ,catolic lutheran, angrikan,n,k na tukawa wakristo
@stephen-S7n
@stephen-S7n 2 месяца назад
Ubaya tunapenda madhehebu yetu Saidi kuliko ukweli wa maandiki
@kelvinmgeta872
@kelvinmgeta872 2 месяца назад
@@stephen-S7n ukristo ni kuwa kama kristo na kristo alikuwa neno , leo watu wanachukua neno moja lingine wanaacha wakati siku moja kristo alisimama akasema mtu asipo ula mwili wangu na kuinywa damu yangu hana uzima ndani yake , kaka kinachotakiwa ni kula mwili wote wakristo sio kula mkono alafu then mguu unasema ni mchungu tunatakiwa kuka mwili wote wakristo ambao ni neno , kama neno limesema ubatizo ni kwa jina la BWANA yesu . basi tukabatizwe kwalo .kama neno limesema wanaume na wasalishe kila mahali .basi na tutende hivyo . kama neno limesema usipunguze wala kuingeza neno lolote basi na tulichukue hivyo hivyo
@rweyemamueustace4254
@rweyemamueustace4254 2 месяца назад
Ndacha Bwana Apewe Utukufu Nisaidie hapa; YOHANA 1:18
@user-zp5oo9gf1r
@user-zp5oo9gf1r 2 месяца назад
Isome kwa kiingereza,,biblia ya kiswahili wamekosea,,,"the only begotten son" kwa tafsiri haiwezi kuwa MUNGU MWANA bali ni "MWANA PEKEE WA MUNGU AU MZALIWA PEKEE "
@user-zp5oo9gf1r
@user-zp5oo9gf1r 2 месяца назад
Isome kwa kiingereza na uchukue hyo begotten son ucheki google maan yake uone
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u 2 месяца назад
Mchungaji uungunautatu kunatofautigani. ?
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 2 месяца назад
Ndacha hujui bibilia unadanganya Wakristo wenzako! Eti hakuna pepo msafi!! Kuna pepo mchafu na yupo pepo msafi. Soma Marko 5:2 " Na alipokwisha kushuka chomboni, Mara alikutana na mtu ambaye ametoka makaburini mwenye pepo mchafu." Sasa kwanini isiandikwe mtu mwenye pepo na iandikwe mtu mwenye pepo mchafu? Maana yake yupo pepo msafi. Ukisema Kuna mtu msafi maana yake yupo pia mchafu, ukisema Kuna mwanamke mzuri maana yake yupo mwanamke mmbaya. Ndacha pitia hiyo aya wacha uongo.
@jamesnjiru5928
@jamesnjiru5928 2 месяца назад
Majini pepo chafu na malaika pepo safi (jin is evil spirits and angels is right God spirits)
@user-qo2xd3hb8l
@user-qo2xd3hb8l 2 месяца назад
Msidanganyane hakuna Mwalimu wa injili, bwana yesu alikua na wanafunzi na aliwatuma wakafanye watu kua wanafunzi duniani
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 2 месяца назад
Sio Bure Umekunywa
@ezekiakamwela6280
@ezekiakamwela6280 2 месяца назад
Tupe habari
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m 2 месяца назад
Madhehebu hayatupeleki mbinguni
@bernardjohn8788
@bernardjohn8788 2 месяца назад
Tatizo la kushiriki midahalo ya kiislamu ,umashajichanganya. Umeshachukua mautopolo ya kina mazinge na sule na kuyaleta kuvuruga ukristu
@wesakawesaka3516
@wesakawesaka3516 2 месяца назад
Leta andiko acha swaga
@ludovickmutalemwa7387
@ludovickmutalemwa7387 2 месяца назад
Huyu ni mwanautatu anaumia
@user-zp5oo9gf1r
@user-zp5oo9gf1r 2 месяца назад
Kama anajiamin aombe mdahalo
@bernardjohn8788
@bernardjohn8788 2 месяца назад
@@user-zp5oo9gf1r Hakuna MKRISTU wa kweli anayependa kushindana kwenye midahalo ya kidini. Hayo ni ya Waislam na WASABATO waendelee na mashindano yao
@mhandoonthebeats8581
@mhandoonthebeats8581 2 месяца назад
@bernadjohn8788 Soma vizur maandiko umejificha huko kwa katholic njoo ujenge hoja kama utaweza 😂😂
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 2 месяца назад
hkn muislam ataiacha dini yke ya kwel akaingia kwnye ukafir isipokua ni yule aliyefirisika kiakili
@herimornchriston6083
@herimornchriston6083 2 месяца назад
wewe umejuaje kama amefilisika kiakili? je alioacha ukristu na kuingia katika uislamu sisi nas tunaona vile vile kama wewe uonavyo?
@JeanMuzaliwa-bs6qh
@JeanMuzaliwa-bs6qh 2 месяца назад
​@@herimornchriston6083kbs
@dasilvajr9647
@dasilvajr9647 2 месяца назад
Ni kweli yule aliyefilisika kwa majini ndiye atafanya maamuzi ya uhakika kuliko hao wanaoshirikiana na majini.
@ludovickmutalemwa7387
@ludovickmutalemwa7387 2 месяца назад
🤣🤣🤣 an waisilam shida tu. Eb waachen hao watu hawajui maandiko
@abdalahsuleiman8989
@abdalahsuleiman8989 2 месяца назад
Huyu kumbe mpuuzi kabisaa ukristo ni dini ya kiitalyano
@MajiTakaMaji
@MajiTakaMaji 2 месяца назад
Wwe mpuuzi !! Uislam ni mira ya kiarabu
@ludovickmutalemwa7387
@ludovickmutalemwa7387 2 месяца назад
Usituletee uislam hapa wew
@nassoroyahaya821
@nassoroyahaya821 2 месяца назад
This man is not smart at all but he has smartness in some points like he denays and not agree with trinity 3gods in one but he still believe in devine Jesus and also believe in one God the father, that is cntradiction there is no such believe still Islam is the best belief
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m 2 месяца назад
Kwahy ww ndacha bado utaingia motoni maana ww ni msabato na wasabato waamini utatu mtakatifu
@ludovickmutalemwa7387
@ludovickmutalemwa7387 2 месяца назад
Syo wasabato wanaamin utatu. No mm ni msabato na siamin utatu. Ko jua tupo sie wasabato wanamatengenezo
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m 2 месяца назад
@@ludovickmutalemwa7387 unabishana na ndacha
@abasmwika3432
@abasmwika3432 2 месяца назад
Huyu mwehu kweli umempeleka nani kwenye ukristo wewe
@profs.a5412
@profs.a5412 2 месяца назад
Punguza munkali, wapo walio funguliwa na kuelewa kuwa majini hawawez kuwa wazur hata cku moja , ukimsikiliza utamuelewa tu😂 na utajua kuwa kwenye Quran hakuna sehem ambayo Mungu anasema kwa kinywa chake kuwa kamtuma Muhammad kama mtume wake, hakuna Aya hata mojaa
@abasmwika3432
@abasmwika3432 2 месяца назад
@@profs.a5412 kale nguruwe ukalale huna unalolijua huyo mwenzenu yuko kwenye payrole nzuri ya kukupotezeni yeye ukweli anaujua. Tafuta ukweli kwa namna yako uongoke
@franciscomtambakuluca2830
@franciscomtambakuluca2830 2 месяца назад
Wewe ni mwehu
@profs.a5412
@profs.a5412 2 месяца назад
@@franciscomtambakuluca2830 tuambiee wew , Kuna Majin wazur sasaaa:? Au hujui chochote kuhusu majini😂
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 2 месяца назад
Majini wote ni waovu,​@@franciscomtambakuluca2830
@user-mc2xd4eu2p
@user-mc2xd4eu2p 2 месяца назад
Sasa ukitaka kujua ukristo sio dini ananukuu andiko mungu anasema usiwe na mungu mwengine ila yeye ukimuuliza anaesema hivo ni nani atasema yahwe! Je yesu ni mungu anatasema ndio sasa huyo aliesema usiwe na mungu mwengine nani? Ukimuuliza kwa hiyo mungu wa ngapi atasema mmoja sasa ndio nini hao madhehebu yote unasema yameanzishwa na watu ni kweli na hata hiyo SDA mwanzilishi wake mwanamke marekani Madhehebu elf 55 kha huu uongo wa wazi
@vincentdaud9954
@vincentdaud9954 2 месяца назад
Huyu jamaa muongo
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 2 месяца назад
Tatizo nyie MAKAFIRI mnachanga baina ya jini na shetani, majini ni viumbe wameumbwa na M/Mungu lkn wale waliowaasi ndo mashetan ambao ni MAKAFIRI km ivo nyie wakristo
@dasilvajr9647
@dasilvajr9647 2 месяца назад
Majini ni majini tu hakuna jini zuri wala baya majini wote ni mabaya tu.
@edwardmugendi-hb1tj
@edwardmugendi-hb1tj 2 месяца назад
sasa ukiyachukia majini ama ukayasema vibaya siyachakua kitabu chao quran
@qerysir4410
@qerysir4410 2 месяца назад
malaika walioasi ndio mashetani au majini
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 2 месяца назад
@@qerysir4410 ndo nikasema hamuna elimu ya maandiko, malaika ni viumbe watakatifu wa M/Mungu ambao hawamuasi mola wao, tambua M/Mungu ameumba malaika, majini na wanadam soma uelewe
@user-mc2xd4eu2p
@user-mc2xd4eu2p 2 месяца назад
Sasa ukitaka kujua hawa watu vichwa maji anasema andiko Mungu anasema usiwe na mungu mwengine ila mimi ukimuuliza huyo mungu aliesema hivo ni nani atasema yehova ukija ukiimuuliza je yesu ni mungu atasema ndio sasa yule mungu aliesema usiwe na mungu mwengine ila mimi ni nani ? Kwa hiyo yehova ndio mungu ndio yesu nae ni mungu ndio mungu wa ngapi mmoja sasa hiyo akili au matope
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 2 месяца назад
Upuuzi mtupu
@AlbertSabo-hp3ss
@AlbertSabo-hp3ss 2 месяца назад
Kwanini upuuzi Mkuu?
@paulmushi2428
@paulmushi2428 2 месяца назад
Unaumia kutoka dini gani?!
@CharoHarrison-lf3jc
@CharoHarrison-lf3jc 2 месяца назад
Imekuumaeee,umekuchomaeee,,, yesu kiboko yenu
@abasmwika3432
@abasmwika3432 2 месяца назад
@@CharoHarrison-lf3jc Yesu ni Muislamu nyie ndie kiboko yenu Yesu aliingia kwenye masinagogi akasali kwa kusujudu
@Anonymous-w9v-i1p
@Anonymous-w9v-i1p 2 месяца назад
​@@paulmushi2428😂😂😂😂😂
@salimchimwaga8384
@salimchimwaga8384 2 месяца назад
Ukiona mtu anaacha uislaam basi huyo kafuata ugari na njaa kali,uislam ndio dini ya kweli na asiyekuwa muislaam basi huyo makazi yake jikoni.
Далее
3d printed demon core vs real
00:24
Просмотров 6 млн
small vs big heart 💖 #tiktok
00:13
Просмотров 5 млн
NDACHA AOMBA  MSAMAHA KWA SHEIKH SHARIF WA MOMBASA
12:43
YUPI WA KUFUATA KATI YA YESU NA MUHAMMAD: BUKAVU CONGO
1:43:34
MCH.NDACHA AMLIPUA PASTOR MACKENZIE NA NABII EZEKIEL
22:40
3d printed demon core vs real
00:24
Просмотров 6 млн