Thank you so much Pastor!! this is sooooo true, no man can leave a woman( wife) to another and still the other woman who is taken by this man thinks she is loved more than the first woman!!never!!
Mimi baba yangu alikuwa na wanawake 2 amefariki akiwa na umri wa miaka 108, lakini nimezaliwa mpaka nimeoa mwanamke sijawahi kuona ugomvi wanagombana na sikujua kama kuoa wanawake wengi ni kosa.
WACHUNGAJI KUKATAZA WENZENU WASIOWE WAKE IDADI ILIYO AMBRISHWA NA MWENYEEZI MUNGU. ILA NYIE MUNAFUGA WANAWAKE WANJE NA NYUMBA KUWAPANGIA NA WATOTO WANJE KIBAOO. UKAR NA MKE MMOJA KWANI MAMAYAKO ? KWAHIVYO. MUNAONA BORA UZINZI ? HIYO NI AMBRI YA MWENYEEZI MUNGU NA KILA KILICHO AMBRISHWA NA ALLAAH. UJUWE KINA MAANA YAKE NA THAMANI YAKE. KWAHILO MCHUNGAJI KWA LEOO SI JA KU SUPPORT
Soma biblia bwana mke mmoja mpaka Kofi lakini unaweza kumuqcha mkeo kama muasherati lakini mwanaume akiishi na mwanamke mwingine anazini bure na mwanamke hivo hivo
Siku unayokufa ndio fainali ya ima mke mmoja anatosha au hakukutosha. Kheri ya muisilam si mnafik unaoa mpaka wanne na wote wanakurithi kuliko wakiristo unaoa mmoja unazini na mia moja na wote ukifa wakizuka wanarithi. Ssa si uchochezi wa zinaa huu?
Nakubaliana na wewe mchungaji tatzo waislam wa kiafrica kwenye dini wanaona suala la kuongeza mke Tu ndo dini ili Hali hao waarabu wako na mke mmoja na wanawe
Uisilam upo wazi oa mpaka 4 ili usije ukazini ukarithisha wasiostahili. Unakuta kwa mtizamo unakataza kuhangaika hali wanajua wazi w'me wote si swa. Ukiristo unajua km mke mmoja hatoshi lkn unakuozesha mmoja ili uzini na unaowajua ww na wanakuhakikishia ukifa wakija watakurithi. Maana unachochea uzinzi zaidi.
Mnawasoma kina Suleimani ni uisilam uo nyie mnasema mila zao. Wkt kila umma Allah aliruhusu wake wa kuoa. Ibrahim alioa 2 na wapo wengi tu walooa zaidi ya mmoja. Ssa mke mmoja mmepata wapi na Yesu hajaoa?