Nyinyi waislamu mnafikiria nyinyi ndio mnajua dini. Nimeishi na waislamu matendo yao hayalingani na vile wanaomba. Kumbuka imani yako na matendo ndiyo inakupeleka dmbinguni sio kanisa.
Kama wewe ni muislamu tambua una tiketi ya kuingia kuzimu na upo katika hasara kubwa Quraan 19:71 71. Wala hapana yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia(kuzimu). Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe. 71 Sababu waislamu mmemkataa Yesu. lakini ukiwa Kwa Yesu ni faida kubwa 1 Yohana 5:5 5 Mwenye kuushinda ulimwengu ni nani, isipokuwa ni yeye aaminiye ya kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu? Galatia 3:29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.
Ni kweli anawapa watu maarufu na kuna watu hawana hata kitu hawapewi .Nilichojifunza Geor davie anatoa kwa kujionyesha.Kuna watu nawafahamu wametuma maombi ya kuomba msaada ili walipe madeni na kupata mtaji lakini hajawawapa kitu.Kinachotia uchungu mtu anapigiwa simu kutoka ofisi ya Geordavi anaambiwa njoo uchukue majibu ya maombi yako ya msaada ulioomba,Mtu anakopa nauli anajua anakwenda kupokea fedha anapewa barua imewekwa kwenye bahasha ndani unaambiwa samahani sasa hivi tuko kwenye ujenzi misaada imesitishwa!
Sio za sadaka zile ni pesa za haramu hawa kutwaa wako marekani huko wanajambo wanafanya wanapewa hizo pesa naamini ni za kufadhili ushoga wanatumiliwa sana hawa akuu Wa makanisa kutwaa wako marekani kutwa wakirudi wanamapesa kwa mapolo
@@angeldejoice3202 za nini miye bora kulala njaa hakuna sadaka umaskini huu kwa kila wiki amiliki mapesa kama vile nani asiyejua kama makanisa yanafadhiliwa na wamarekani na hao viongozi ndo wanaotumika na kulipwa sasa kuweni makini na zawadi wanazozileta makanisani
Blessed mchungaji familia zimefarakana kutikana na hawa wachungaji wanaoibuka kila kukicha ,watoto wametengana na wazazi kisa imani zisizorasmi,baba tunaamini siku moja watu watafunguka akili,na hayo maono yamekua ni mitaji katika kutisha familia za watu na kujinufaisha watu..Tunaomba Mungu aendelee kukulinda ili kuendelea kifungua vichwa watu.
Nimekufuatiya san bab wanadam wa leo tunapend san miujiza kuliko kusoma neno la mung tueleweshe bab tupone ukitak kumuona mchungaji utoe pesa je yesu alikuw anaonewa kwa pesa
Bible inajieleza wazi every body can read hakuna kificho cha lugha wala nini mpaka bible ya kinyakyusa ipo neno la Mungu halifichwi na Lugha! neno lingefichwa nani angesimama na kuelezea wakati haelewi lugha?? lazima kuwa mpole upokee tu kinachoongelewa kila kitu kizuri lazima kiwe na challenge kwa sababu kiko wazi! kila goti litapigwa nakukiri kuwa YESU ni Bwana💪💪
Mchungaji nakufatilia sana,ila hi ndo comment yangu ya Kwanza,sio Siri wachungaji wote na hao wanaojiita manabii na mitume wanafaa wajifunze kwako natamani siku moja nikuone mchungaji,ubarikiwe sana
M JAMBO MZEE MTUMISHI NIKUSHAURI TU UWEMAKINI SANA NA HAO WATANGAZAJI NA KUJIHEPUSHA SANA NA MASWALA LA KUWAONGELEYA WATUMISHI WENGINE USIJE KUCHAFUKA BURE
nilikuwa simuelewi huyu mchungaji mwanzoni ila mbona kama vile anaongea point joo devi anawapa pesa watu maarufu maarufu tu au mtu kumsifia tu anatoa wakati hapo kanisani kuna watu wamekuja kumtumikia mungu kile hawana pakula mchana duh kweli
Hao Wana maombi sikuizi ndio wamekuwa wanasalimiana wenyew kwenye kanisa kwao ukikutana nao utasikia bwana yesu asifiwe mama flani wewe unaacha hapo utasikia habari
Halima Tambwe muslim are the once who always looking for Miracles utawakuta kwa mwamposa mara kwa kuhani musa mara kwa Geo dave they are not confident at all!!
mtangazaji unasema anahubiri Arusha kama sikosei yaani hujui hata mtu unaemfanya topic kwa undani,ivi nyie huu uandishi wa habari mnajifunzia waoi,au mkishajua kushika mic mnajiona mshakuwa waandishi wa habari
Hawa ndio watu mnafaa kuwafanyia interview kila kukicha. Uyo anaejiita nabii na mkali wenu walijuania wapi hadi kufikia kupeana magari. Nyie ebu fungue macho
Hakuna dini ya kweli hata moja. wote tumedanganywa na wazungu.dini ni biashara ya mtu binafsi Mungu hahusiki hapo .kristo wa kweli ni mweusi na Hana uhusiano wowote na Yesu .watu weusi ndio Wana halisi wa Israeli.( Taifa halisi teule la Mungu)biblia imechakachuliwa kwa mujibu wa Yeremia 8:8. kwa haya na mengine mengi mfuatilie Imani mcimbwa RU-vid utaijua kweli yote iliyofichwa na wazungu