Haya majamaa wa chadema hakuna kitu wana uroho na tamaa wa madaraka, mimi sasa naamini kuwa kuanzia uongozi wao wote ni tamaa tu ya madaraka ndio inawahangaisha. Hongera sana CCM chama imara na bora barani Africa.
Ndo vijana tufungue akili zetu siasa n hatar san kwa afya,wapo walio potezq maisha kwa ajili wa kuwapigania viongoz wa chadema mwisho wa siku kulud ccm mfano wapo walio potez maish kwa ajili ya lowqsa pia kwaajili msigwa
Kumbe na Msigwa ni chawa na changudoa wa kisiasa! Du, kweli kuna haja ya kuwaweka wanasiasa kama hawa kwenye kundi la makahaba. Njaa kweli kitu kibaya na humfanya mwenye kuiendekeza asione hata haya.