Nillikuwa wrong. Sikutegemea Kikeke angeanzisha media ya kuwakaribisha hata wapinzani wakaonekana! I am happy we happy we have Tv thai unbiasedly accepts all Tanzanians... Asante kaka, Salim!!
Sasa TLS waungane na vyama taasisi,wanaharakati na wananchi wote ifunguliwe kesi ya 👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍️🏿
Serikali kama inakataa amuli ya mahakama je wananchi na sisi tutaanza kukataa amli za mahakama sasa je serikali ya namna hii inafaa kutuomgoza waswahili mpo
Utawala ni km sauti ya radio kunawatu hupenda sauti kubwa ndio afurahahi moyoni mwake kunawengine hata sauti ndongo anafurahi Sasa Kuna tofouti ktk ya mtuu aliozoea sauti ndongo ukimpigia sauti kubwa huona unampigia kelele unamnyima uhuru wake na yule wa sauti ndongo huona unamnyima uhuru wake sauti kubwa akiweka ndongo unamnyima uhuru wake Sasa basi hata utawala ni hivyo hivyo ukitoa sauti ndongo wengine wanakuzarau mpaka sauti Kali mwengine hiyo hiyo ndogo anakuelewa tuu ndio mfumo wa kuitawala ktk nchi Sasa hao wanao lalamika ni wala rushwa wapiga deal hawapendi mtu mkweli na ndio wengi ktk mataifa yetu ya kiafrica
KWA NINI VIONGOZI WETU WANAWASAMINI SANA WAGENI KULIKO WAZAWA NA KUWAUZIA WAGENI ARIDH NA ASILIMALI ZETU KWA AWA WARABU NA WAZUNGU?UKU WATANZANIA WAKIWA MASIKINI WA KUTUPWA NA MALI ZETU ZIKIONDOKA NA WAGENI......