Тёмный
No video :(

MWABUKUSI AMVAA MWANASHERIA MKUU/ASEMA SIOGOPI, SIISHI KWA VYETI, AMTAJA CHONGOLO, HAMJUI MSANDO 

MwanaHALISI TV
Подписаться 306 тыс.
Просмотров 50 тыс.
50% 1

🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Опубликовано:

 

31 июл 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 142   
@abdyissaabdi108
@abdyissaabdi108 Год назад
Ujengewe sanam wakili😂😂🎉🎉🎉
@ambitiousholyspirit395
@ambitiousholyspirit395 Год назад
safi sanaaa! Boniface Anyisile kajunjumele Mwabukusi.
@hollojuma9538
@hollojuma9538 Год назад
Mimi sichoki kumsikiliza mwambukus namuelewa saaana 💪👍🙏🤝
@florianakhweso5749
@florianakhweso5749 Год назад
Asanteeeee Mheshimiwa wewe ndo Mheshimiwa na sio hao vichaa walio logwa WA ccm
@aikandeshoo5354
@aikandeshoo5354 Год назад
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana. Mungu hatakuacha, simamia hapohapo na taaluma yako inakulinda
@kahemachowdry7346
@kahemachowdry7346 Год назад
Ukiona baba anauza nyumba alafu watoto Wanashangilia kununuliwa Mandazi,Hao watoto sio Bure ni Machizi na Mateja
@kasiankillo6949
@kasiankillo6949 2 месяца назад
Mwabukusi uko vzr sana ila kwakuwa watu wanaona wote ni mbulula watanza
@kamalabuberwa2001
@kamalabuberwa2001 Год назад
AG kachemka hapo, bora anyamaze maana watanzania tunaelewa kinacho endelea. Bandari zetu haziuzwi. Tutasimama na Mwambukusi hadi kieleweke
@silverrichard1211
@silverrichard1211 Год назад
Safi huyu ndie mzarendo wa kweli
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Месяц назад
Wazalendo wazuri katika nchi hii wanayosifa. ya kupuuza ushauri was watu ambao siyo viongozi CCM na serikalini wanajua familia zao tu na wale machawa wanaojipendeza kwao ambao ni wachahe sana hawafiki hats milioni mbili walipobaki wanaonekana ni mbumbumbi hwaskilizwi
@IbuGang
@IbuGang 10 дней назад
Mimi sichoki kumsikiliza Mwabukusi ni mkweli na yupo wazi Mungu amlinde na amtuze na kila roho ya upinzani inayomfatilia ishindwe Katika jina la Yesu kristo ameen
@user-eq9lw9ju1l
@user-eq9lw9ju1l Год назад
Uko vizur bon mungu atakusimamia na wataanzania wote wanao jua haki zao na uzalendo wa nchi Yao.
@MeshackMwangwale
@MeshackMwangwale Месяц назад
Wewe songa mbele tunakuombea hatuna pakusemea MUNGU Akulinde.
@ezammwakisambwe-t8u
@ezammwakisambwe-t8u 10 дней назад
Makini sana kiongozi wetu tunakukubali mzee unatemaga madini TU aisee!! May God protect you
@kahemachowdry7346
@kahemachowdry7346 Год назад
Wafundishe Bro Big Up
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 Год назад
Hongera ndugu kazi yako Mungu anaiona,umejitoa sadaka Kwa akili yetu sisi wanyonge Mungu akuinue ktk jina kuu la Bwana Yesu,
@pillykimenyi846
@pillykimenyi846 Год назад
Mungu awe pamoja nawe nasi tunakuombea watanganyika tuko pamoja
@success-only
@success-only Год назад
Aisee, mwanaume na nusu Vyeti ni vithibitisho vya kwenda shule, Na siyo lazima uwe umesoma ndipo uishi na kuwa utashi kama Binadamu
@user-lu8ny2gu7t
@user-lu8ny2gu7t Месяц назад
Barikiwa baba Mungu aendelee kukuinuwa tena viwango vya juu
@JosephinaLuoga-lo9os
@JosephinaLuoga-lo9os 8 месяцев назад
UmewAzidi wote bro hakika wewe ni mzalendo. Pamoja sana
@violetn.finnvik373
@violetn.finnvik373 Год назад
🇹🇿🙏🙏😭.Mungu ibariki Tanzania. Kaka ubalikiwe🙏❤️
@AmosRugaimukamu
@AmosRugaimukamu 12 дней назад
Safi sana, nakukubali sana, uko viziri mwamba
@jumannesalumu8290
@jumannesalumu8290 Год назад
Hongera sana tupamoja towatamko
@elizabethringo7154
@elizabethringo7154 Год назад
Kwenye haki ya nchi sema ukweli mungu akutetee
@nelsonmwaipaja3727
@nelsonmwaipaja3727 Год назад
Daaaaah aibu imshukie huyo wakili mkuu Boniface hata mkimfungia vyeti haitowasaidia chochote tutasimama Na ukweli,nimeiona Tunduma iliposimama Na Boniface pale walipobomolewa nyumba Zai mpakani watu walilipwa fidia zao huyu kaka anamsimamo wenye manufaa makubwa ✍️
@balthazarkilasi9825
@balthazarkilasi9825 Год назад
Wakili wa Serkali amesema mkataba huo DP wamesema ktk. Kipengele kimoja ya kuwa TPA au WATANZANIA tukitaka kuendeleza Bandari yeyote nje ya tulizokubaliana. "LAZIMA TUWAARIFU" ....wao DP sikukuelewa,jee ni kweli tunatakiwa kufanya hivyo na ni utaratibu? tuelimisheni!
@anosiata8242
@anosiata8242 Год назад
Mwambukusi kiboko Uko vizuri
@rithaurassa
@rithaurassa 12 дней назад
Hakika ninhekuwa na ulinzi ningekuwekea .Ila nimekuwekea ulinzi wa MUNGU UNATOSHA KWA MAISHA YAKO YOTE.
@sadallahbataza1906
@sadallahbataza1906 Год назад
Ubarikiwe kakaa ulikuwa wapi ww miaka yote hii?!
@AbdalaKitangoma
@AbdalaKitangoma 9 дней назад
Jamani mungu ametuletea mkombozi mwingine tumshike mkono namungu amlinde
@hanscmakerdm9943
@hanscmakerdm9943 Год назад
Respect 🙌
@daudimchileg307
@daudimchileg307 Год назад
Tungepata hata watz 5 tu kama huyu, daaah tz ingenyoka
@gibsonsilungwe685
@gibsonsilungwe685 Год назад
People of Tanzania. I can assure you that ccm they are deeply devoted to God, but their devotion is not based on true knowledge. They have not known the way in which God puts people in right with himself, and instead, they have tried to set up their own way, and they did not submit themselves to God's way putting people right. Waroma 10vs1-4
@festoasanga5572
@festoasanga5572 Год назад
Nakupenda bure msemaji wawanyonge
@ClemoohPeter
@ClemoohPeter 2 месяца назад
Safi sana baba tutetee sisi ambao hatuna wa kutusemea hayo mana hawa viongozi sijui hili taifa wanataka kufilisi
@hamisiomari-k9z
@hamisiomari-k9z 12 дней назад
sana boss
@karushakamusa5525
@karushakamusa5525 Год назад
Safi sana msomi
@HassanSaburi-ge6ej
@HassanSaburi-ge6ej Месяц назад
Baba pambana tuko nyuma yako wameanza muda mrefu sana haya mambo Yao ya wizi
@thomasmmoka4884
@thomasmmoka4884 Год назад
Ingekuwa vema kama Mama Samia angemteua Mwambukusi kuwa AG badala ya Feleshi.Mwambukusi kawaumbua madalali wa DP World,sasa wanaona haya,kumchukia na kumfitini Mwambukusi!
@ofreyking5975
@ofreyking5975 Год назад
Hawa ndio wanatakiwa kua viongozi sio wapga dili miaka yote wawekezaji hawana msaada wowote kwnn maden yanaongezeka kila cku waache bandali kama wameshindwa watoto zetu watakuja kuiendesha
@mwamakaassely2260
@mwamakaassely2260 Год назад
Magu hakuuza bandari, elewa hilo
@kessydieselengineers3205
@kessydieselengineers3205 12 дней назад
Wanategemea police ndiyo wanawapa jeuri
@MartinSiimay-jj9jk
@MartinSiimay-jj9jk Год назад
Safi sana kamanda
@olemnakitende7637
@olemnakitende7637 Год назад
Yani naomba kabxa, thanks alot,kila mmoja ana haki
@SamweliHozza
@SamweliHozza 13 дней назад
Hili lijanaa ni very smart
@lunjeramadhani1295
@lunjeramadhani1295 Год назад
Mwenyezungu akupenguzaidi kaka
@user-ji1mq4sk1n
@user-ji1mq4sk1n Месяц назад
uwoga wetu haujawahi kutusaidia
@olemnakitende7637
@olemnakitende7637 Год назад
Mungu yupo nasi,ubarikiwe,sana
@Clement-px8eg
@Clement-px8eg 11 месяцев назад
Mungu akubariki sana
@VailettyShigerla-fw2sg
@VailettyShigerla-fw2sg Год назад
❤❤❤❤❤ san ww ni kichwa
@AkleyNziku-cv9lt
@AkleyNziku-cv9lt Год назад
Mwabukusi Mungu awe na Wewe Daima
@janiafaomaa5120
@janiafaomaa5120 11 дней назад
MWABUKUSI UNAOTA AU VIPI WAZANI KUNAMTU AU WATU WANAKUOGOPA WAMEPITA WATUKAMAWEWE NAKUPITA WEWE WEWENANI NIMUGU
@michaelkimweri1074
@michaelkimweri1074 Год назад
Kaka uko viziri hatuna hamu na ccm,tupo nyuma yako kimaonbi,hii no haki yeti.
@AbdulOthman-gy7nu
@AbdulOthman-gy7nu 11 дней назад
Unafaa kuwa rais wa Tanzania
@YoakimMsuha
@YoakimMsuha 12 дней назад
I see new TANZANIA
@Nancy-z8h
@Nancy-z8h Год назад
Watuachie bandari yetu titatusiadia katika muungano wa one african na putin wetu
@FloridaAdelinus
@FloridaAdelinus Год назад
Kweli kabisa Hata MAMA amekubali kwamba wanasheria wake wanaogopa wazungu ndiyo maana wakienda kututetea kimataifa wanashindwa kesi. Inavyoonekana hata katika kusaini mikataba wanaogopa wazungu hawasomi kilichomo wanasaini tu ndiyo maana wamesaini bila kusoma na kusababisha TZ yetu kuingia kwenye taaluki. Mchague Bwabukusi awe AG ambaye hawaogopi wazungu tuweze kushinda hizo kesi zingine zilizoko kwenye mahakama za kimataifa. MWABUKUSI OYEEEEE.
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 Год назад
bora mwanasheria mkuu wa serikali angekua mwabukusi anaeleweka kuliko.huyo swaza wa.mkatabata wakimagumashi, tunekuelewa mwabukushi❤
@swiftkatepa6131
@swiftkatepa6131 Год назад
😢
@robinilomo2887
@robinilomo2887 Год назад
Asante bro,kati ya Wasomi wachache Tanganyika wewe umo,Endelea na Mapambano tupo na wewe,Wameshazoea kutishana hao wachumia Tumbo,Wasomi wa Tanganyika wengi hawajitambui wanaendeshwa kwa tamaa sio Weledi cha ajabu wanajiita Maprofesa na Madokta
@yussuffadhil4522
@yussuffadhil4522 Год назад
Hahaha babdari itauzwa tuu
@yussuffadhil4522
@yussuffadhil4522 Год назад
Hahaha bandari itauzwa tuu...... na leo mnatambua km kuna Tanganyika?
@robinilomo2887
@robinilomo2887 Год назад
@@yussuffadhil4522 Kichwa Maji we hujitambui,kati ya hao majuha niliyowaongelea
@robinilomo2887
@robinilomo2887 Год назад
Tofauti ni kwamba we hujasoma,Failure
@user-nt4lp9dy6i
@user-nt4lp9dy6i Год назад
Haki yetu haki yetu haki Mali zetu uzalendo na Katina mpya vyote viwe wazi tutetee kaka yetu hatutaki tena kuwa watumwa
@VailettyShigerla-fw2sg
@VailettyShigerla-fw2sg Год назад
Damu ya yesu ikufunike
@HassanSaburi-ge6ej
@HassanSaburi-ge6ej 14 дней назад
Hivi watanganyika nao wanahuziria kwenye vikao vya zanzabr loo soyati ?
@rogattemba
@rogattemba 9 дней назад
❤❤❤❤❤❤
@barakamusapolekidoti957
@barakamusapolekidoti957 10 дней назад
Mkuu heshima kwako
@danielchacha1305
@danielchacha1305 Год назад
Hawa watu hawana aibu wala huruma hata kidogo.Kama wazee wetu waliilinda nchi yetu kwa gharama kubwa hadi uhai wao na ndio maana leo wanakula na kuendesha magari makubwa na wamejiona kuwa miungu isiyokosolewa! Daw ni kuwatoa madarakani kwa nguvu ya uma.
@kessydieselengineers3205
@kessydieselengineers3205 12 дней назад
Kaka piga kazi hao wote ni majizi tupu kupitia ww rais wa tls na lissu na sisi pia tunapata ukombozi
@JohnMagweiga-uu8fv
@JohnMagweiga-uu8fv Год назад
Usimwogope mwanadamu
@amosbirusha952
@amosbirusha952 Год назад
Kiongozi mzuri sana ni yule anaesikiliza maono ya anaowaongoza,na si vinginevyo
@jumarobert4929
@jumarobert4929 11 месяцев назад
God blass you baba
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 Год назад
Mainzi kijani watanzania tunamweleea San wakili mtajua hamjui
@evaemil856
@evaemil856 Год назад
Amen
@lalosalamanca7131
@lalosalamanca7131 Год назад
🔥🔥🔥🔥
@edithmwasulama7005
@edithmwasulama7005 19 дней назад
Mnyakyusa hapelekwi pelekwi kipuuzi hana unafiki na woga
@BoniventureMagina
@BoniventureMagina 26 дней назад
Huyu mwamba shikamooo
@alfrediaugustino1026
@alfrediaugustino1026 Год назад
Mapambano ya haki huwa haiombwi bro uko fiti ,okoa bandari zidi ya genge la wahuni serekalini.
@legendmmari8094
@legendmmari8094 Год назад
Kudra anatumika vibaya kwenye lipi soma mkataba acha kuwa mbumbumbu
@AshrafuMwalongo-km5fd
@AshrafuMwalongo-km5fd 9 месяцев назад
Mungu akupe maixha malefu
@jumannesalumu8290
@jumannesalumu8290 Год назад
tukopamoja tumechoka kuongopa
@olemnakitende7637
@olemnakitende7637 Год назад
Mungu yupo nawe kabxa,
@user-rp1ys6pw9f
@user-rp1ys6pw9f 11 месяцев назад
Mbona kila ukiongea siogopi ni mtanzania yupi uliomuona anaogopa unajiita msomi kweli umeenda shule lakini huna hekima na pia hujui kupanga maneno kuna watu wenye hekima wanakufatilia kukusikiliza ila tunahisi kuwa ww unaogopa sababu ajenda uliyopewa na wateja wako kimekuzidi uzito
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 2 месяца назад
We ni zero brain
@shalomchaula4420
@shalomchaula4420 Год назад
Hakika tunaitaji kuamka izo nchi za kiarabu kipindi tunapata uhuru zilikuwa na Hali mbaya kuliko sisi na ukilinganisha rasilimali zao ,ila Leo sababu waneendelea tuendelee kuwategemea ili tuendelee kuwa watumwa wa fikra ukweli watanzania wenzangu hii haiko sawa hata Kwa mtu yeyote chini kule huu mkataba wa bandari na mikataba mingine kuhusu Mali asili ,nishati za umeme , jeshi ipitiwe waarabu wamepenya ndani wameweza Sasa wakichukua na bandari ...ni mfano wa mwizi kaingia ndani na kapata ufunguo wa mlango mkubwa wa sebureni ule wa kutoka nje ....watanzania wengi nimeongea nao wanasema tuache tu tunaathirika na nin mbona hiko ivyo toka zamani najisikia vibaya maan uchumi tulionao sio sawa na hata maendeleo ya sekta zetu zote Bado afya,elimu, miundo mbinu na nk na Bado mtu unasema sawa aloooho tuamke sio sababu ya chochote ila tuweze kutoka katika Giza hili na kujua haki zetu onene wenzetu uko mbele wanavyoishi we need to change our mind tuondoe hofu
@muuminikidunda9214
@muuminikidunda9214 Год назад
Mbona wazungu wanamiliki migodi mingi ya dhahabu na kuendesha mashirika yanayosupport ushoga hao mawakili wapo kimya
@malackedson7706
@malackedson7706 12 часов назад
Mwamba huyuuu
@user-bx3em9jc6m
@user-bx3em9jc6m 11 месяцев назад
Mungu yu pamoja nawe hao ccm hawana dini
@AbdalaKitangoma
@AbdalaKitangoma 9 дней назад
Mwamvukusi nunua maik unawajua mtani tumepata jembe
@muuminikidunda9214
@muuminikidunda9214 Год назад
Wenzio walikataa SGR,bwawa la mwalimu nyerere wakamkataa na magufuli , amekufa upepo umebadilika leo wanataka magufuli awepo?
@digostjafety6070
@digostjafety6070 Год назад
Wanatumia pesa zetu vibaya wanawapa alikiba na diamond ili watu tusahau kusikiliza vitu vya msingi
@kingngojea
@kingngojea Год назад
Mwabukus saluti kwako mwamba wewe mtanzania wewe nakutukana wewe ni litanzania uliezaliwa Tanzania utakufa kwaajiri ya nchi Yako mtanzania mkubwa wewe
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 Год назад
Gwajima,Yuko wapi mbona Yuko kimya
@muuminikidunda9214
@muuminikidunda9214 Год назад
Tatizo njaa mnataka kitonga bandarini kuna wizi mkubwa ndio maana bandari kubwa maendeleo hakuna. Wacha waarabu wawanyooshe nyie wezi mawakili .hamtaki waarabu wawafundishe jinsi ya kuendesha bandari
@mimiraia2531
@mimiraia2531 Год назад
Watu wa Pwani watu wa hovyo sana. Kinachoisumbua nchi hii ni ushenzi wa watu wa Pwani…..wapuuzi wanaocheka cheka huku wakiuza nchi. Mbwa kabisa wale
@abiabi9353
@abiabi9353 Год назад
Sasa wewe mnafiki huu ushujaa wote ulionao ulikuwa wapi wakati magufuli anafungia watu kwenye viroba,ulikuwa wapi wakati magufuli akiamuru tundu lissu auliwe. Watu rabish kama huyu hawezi kunishawishi chochote
@kahemachowdry7346
@kahemachowdry7346 Год назад
Nchi hii hivi ,Vihiyo na vipaza mpaka lini
@kinkybanjukome217
@kinkybanjukome217 Год назад
Umeongea kweli alutakontinua mapambano yaendelee
@fatmaabdullah7516
@fatmaabdullah7516 Год назад
Mungu akulinde wewe na muheshimiwa bashe nyinyi ni wazalendo
@muuminikidunda9214
@muuminikidunda9214 Год назад
Tembelea upepo kaka, wenzio watakuacha upepo ukivuma upande mwingine
@kingngojea
@kingngojea Год назад
Tungekua na watu 50kama awa daaa
@juliussilvestar8988
@juliussilvestar8988 Год назад
Huyu bwana ha ha ha ha ha ha
@luckMwamwage
@luckMwamwage Год назад
Kyala aje nanungwe nkulumba.
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale 11 дней назад
Hamasisha usichoke kuwaelimisha watanganyika baba tupo pa1 hatuogopi matisho!!!
@habibrwegoshora6624
@habibrwegoshora6624 Год назад
MAWAKILI KAZI YENU UWA YA AJABU SANA..WAKILI ANAWEZA KUMTETEA MTU ALIYEMDHURUMU MTU MWINGINE ILI ILE HAKI AIPATE KWENYE KUDHURUMU..HILO JAMBO WASUBILI KIDOGO WATAKUJA KUMJUA M'MUNGU NI NANI..SIO MUDA MULEFU KWSSB MAISHA NI MAFUPI SANA..NA ELEWA HAKUNA MTU MWENYEJI DUNIANI TUNAPITA TU
@senyagwadickson9084
@senyagwadickson9084 5 месяцев назад
Wakili msomi waambie hao wasomi wajinga tu
@michaelmwakibinga1124
@michaelmwakibinga1124 Год назад
Kweli Magufuli alikuwa kiboko Walikuwa hawaongei enzi za uhai wake
@kassimkingu5512
@kassimkingu5512 Год назад
Huna lolote unajitafutia sifa bure sisi tunasonga mbele.
@louiskayange-kz7ec
@louiskayange-kz7ec Год назад
Dini inakusumbua ww
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 Год назад
mbele wanasongo wao.ww shida tupu , usoijielewa
@johngerald4677
@johngerald4677 Год назад
Mbwa we
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 Год назад
@@johngerald4677 mkund* WEE🐖 mafiisadi.wakubwa mmekomeshwa.myan'gau🍆
Далее
Вся Правда Про Хазяевов !
41:02
Просмотров 993 тыс.