Тёмный
No video :(

Meena Ally - Ajibu kuhusu Mahusiano yake na MillardAyo, Nimewasamahe wote waliosambaza Clip ya Uongo 

LilOmmyTV
Подписаться 546 тыс.
Просмотров 80 тыс.
50% 1

Meena Ali aongelea tetesi za Mahusiano yake ya Kimapenzi na Mtangazaji, MillardAyo hadi kuingia ukumbini Mlimani City wakiwa wameshikana Mikono kwenye Usiku wa Harusi ya Bill Nas na Nandy, Pia aongelea swala la video clip iliyovuja na kusema kishawasemehe wote waliohusika!
Tazama Full interview hapa, Subscribe channel hii #LilOmmyTV #MeenaAlly #Podcast
Part 1 - • Meena Ally - Nilidanga...
Part 2 - • Meena Ally - Asimulia ...

Опубликовано:

 

24 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 71   
@Omarymsangi-w6i
@Omarymsangi-w6i Год назад
she is positive and I didn't expect atajibi....ivi I really like her naatafika mbali sana....honestly kile ndo kipimo sahihi chakugundua the way alivyo strong....nakubali sana hustle zake......and I promise atafika mbali mara amsini yaalipo fikia....dua njema kwake
@pauldissoile658
@pauldissoile658 Год назад
Very positive hongera sana Meena Ally
@mohamadmngaro7187
@mohamadmngaro7187 2 месяца назад
True ❤
@francobebeto9195
@francobebeto9195 Год назад
Nimejifunza vitu Vingi kweli kipitia Meena Ally leo,Hongera sana bro @lilomy
@dullah__theking9529
@dullah__theking9529 Год назад
Meena Akili kubwa sana🙌🏽
@Roby-nw8sz
@Roby-nw8sz Год назад
Nakupenda saan my kipenz meena Ally mungu akubarki Katka maish yako yote na Kaz ya mkono yako❤❤❤
@fatumaibrahim8973
@fatumaibrahim8973 Год назад
Safi sana meena Ally umeongea kwa utulivu mashallah 💓
@mussaalilah6866
@mussaalilah6866 Год назад
Kizaz nakukubal an lilly ommy una inspire sn wallah
@ernestmakomere9014
@ernestmakomere9014 Год назад
The lady is truly cute
@upendofancy1781
@upendofancy1781 Год назад
Meena you are my favorite...keep it up sis
@yasmeenaal4191
@yasmeenaal4191 Год назад
Mi nawapenda mno sana mkiwa kwenye mahusiano
@amdunishomari2221
@amdunishomari2221 Год назад
Kizaz sana liliommy
@realnine..
@realnine.. Год назад
When two of my favorite meets........ #Meenaally #LilOmmy
@richmontana1296
@richmontana1296 10 месяцев назад
Dope
@user-lf6xo6sj7s
@user-lf6xo6sj7s 8 месяцев назад
Nakupenda meen all
@jazilambaji2789
@jazilambaji2789 Год назад
Nyote!!Nawapenda,,Mina Ally napenda ukivaa km leo kitumbo hakionekan
@ilhammohammed4192
@ilhammohammed4192 Год назад
Love you meena,unaongea vzr,unamajb smart,ur very humble Lady...Pambania ndoto zko utafik mbali sn Mamy.
@aureliayuktankabebwa5066
@aureliayuktankabebwa5066 Год назад
YOUNG AND BRAVE ,Meena
@johnaman7056
@johnaman7056 Год назад
Nakuelewa San mdad
@johnaman7056
@johnaman7056 Год назад
We ni mfano wa kuigwa kwa wengi San kiufup kinawe Ng wanajifunza kutoka kwako
@zacheevyizigiro9957
@zacheevyizigiro9957 Год назад
The MVP🇧🇮🇿🇦
@amsiabbas3809
@amsiabbas3809 Год назад
Yani huyu mdada nimdada ambaye anajielewa sijawahi kumdondosha Mungu ampe ujasiri
@ramlaamiri5601
@ramlaamiri5601 Год назад
Hpo kwa millard umetupiga meena bhn c useme ukwel tu😍
@leonidasifrance8903
@leonidasifrance8903 Год назад
Nimeipenda hiyo unabeba hiyo kutokana na Blood group A wapo hivyo
@oscarmkandya9032
@oscarmkandya9032 Год назад
Moja ya watu ninaowakubali na kuwafuatilia kwa ukaribu sana ni huyu mdada Meena Ally Mungu akutunze sana kwa kweli,najifunza vingi kupitia wewe.
@makatym6151
@makatym6151 Год назад
Big brains
@hafidhali4336
@hafidhali4336 Год назад
Askwambie mtu interview ili uinjoy umpate lily omy ,millad ayo ,salama na vido vidox.
@lastsimbatv1497
@lastsimbatv1497 Год назад
Nakubarii sana
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 Год назад
Kuna SNS pia
@hafidhali4336
@hafidhali4336 Год назад
@@ngwacahnyagwaswa9979 Ni kwel nao wapo vizur hasa hasa fedric bundala(sky worker) na criss feyvaz. wanahoji vizur
@kehlanianney7344
@kehlanianney7344 Год назад
jonijoo nae
@berthampandagoya7143
@berthampandagoya7143 Год назад
Na yule mkaka anaehojigi kwenye kipindi Chill na Sky hua yuko very smart kwenye kuhoji
@maskinijeuri8428
@maskinijeuri8428 Год назад
Meena Ally👏
@mwajabujumanne9025
@mwajabujumanne9025 Год назад
Lily Omy n mwamba San
@sasi_tv6702
@sasi_tv6702 Год назад
LILOMMY UKO VYEMA SANNA INTERVIEW ZAKO BUT SHIDA UNAINTERFERE SANNA MZUNGUMZAJI INASUMBUWA KIDOGO
@japhetjoseph1772
@japhetjoseph1772 Год назад
Hata mm siamin Kama ww unaujinga Kama ule
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 Год назад
Inter view ya mtangazaji kwa mtangazaji ipo km story flani km simahojiano iko poa san
@benjaminiavani8368
@benjaminiavani8368 Год назад
Benjamin ivan shabani💪
@raheemsammela5629
@raheemsammela5629 Год назад
Namuona mtangazaji wa take one action cha cluody midia
@yasmeenaal4191
@yasmeenaal4191 Год назад
Kwani chaa ajabu nini
@kondinhotv7091
@kondinhotv7091 Год назад
Kawasamehe vip si alibisha sio yy
@Lisa-wv4jn
@Lisa-wv4jn Год назад
Kuwa mulewa kasame Kwa wale walio sambaza uli video na kudai kuwa ni yeye
@janembalinga7074
@janembalinga7074 Год назад
kwan ayo si ameoa kwann asiwe anaenda na mkewe
@mmn7480
@mmn7480 Год назад
yule ww bhna
@IddyYussuph-iu9fm
@IddyYussuph-iu9fm 11 месяцев назад
Ukovizur mwana dada kwa kutangaza
@saidimtinge5037
@saidimtinge5037 Год назад
Dada fanyakazi wanawivutu binadamu pambana dada
@doktamathew
@doktamathew Год назад
👏👏👏👏👏
@charlesmasele8454
@charlesmasele8454 11 месяцев назад
🇹🇿🇹🇿
@homesaickofficial7407
@homesaickofficial7407 Год назад
Yule ni yeye sometimes ukiwa katika lile jambo la sex unaweza ukawa happy ata kwa kujulikodi ili iwe kama kumbukumbu ya furaha yako ikitokea gafra umegombana na mwenza wako anaweza akakuambisha tu.ili brand yako iwe mbaya
@africanproudly4004
@africanproudly4004 Год назад
Usijali ushapewa ruhusa ya kuamini ukweli wako
@ChoroTesla
@ChoroTesla Год назад
itoshe kusema ww ni msengeeeeee
@latiffah8771
@latiffah8771 Год назад
@@ChoroTesla 🤣🤣🤣
@Manswabu
@Manswabu Год назад
Eti siwezi FANYA ivyooo kwani hautombwi ww si mwanamke
@hopemoses9658
@hopemoses9658 Год назад
Unauwakika gni kma ni mwanamke😏😏😏
@benardmwaibabile776
@benardmwaibabile776 Год назад
😂
@agustinojoseph4450
@agustinojoseph4450 Год назад
😆😆😅🤣
@gracesilayo7670
@gracesilayo7670 Год назад
Mh 😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆😆😆aya bnhaaa
@hafidhali4336
@hafidhali4336 Год назад
Kuwa na busara
@ilungasalle
@ilungasalle Год назад
Ommy bado uko limbukeni sana, unasema watu wasichafue watu maarufu kwa hiyo watu wasiotaka umaarufu inakuwaje, halafu influencer na pesa nyingi vingereza vingi kichwani bado sana dogo
@ufugajiwetu7782
@ufugajiwetu7782 Год назад
He's poor in English kuna vimaneno amekalili had kero he is just reapeating all the time,too bored
@ilungasalle
@ilungasalle Год назад
Ahaa kumbe umenotice he is not real. Like to look American with his little cramed statement which makes him look like a cartoon to smart people. Ushamba wakati mwingine bana
@hafidhali4336
@hafidhali4336 Год назад
Wacheni ujinga bhana
@ilungasalle
@ilungasalle Год назад
Mjinga ni huyo anayetaka umarekani angekuwa anaishi huku kama sisi si angeshaukana u bongo kabisa
@deborambutu9547
@deborambutu9547 Год назад
@@ufugajiwetu7782 hivyo vijineno ndo vnanfanyaga ncmwangalie ad naona aibu mie anavyovirudiaga..🤣🤣....
@benjaminiavani8368
@benjaminiavani8368 Год назад
Bigap meen nakukubali sana young sisiter
@janembalinga7074
@janembalinga7074 Год назад
kwan ayo si ameoa kwann asiwe anaenda na mkewe
@japhetjoseph1772
@japhetjoseph1772 Год назад
Hata mm siamin Kama ww unaujinga Kama ule
Далее
Х.евая доставка 😂
00:23
Просмотров 703 тыс.