Тёмный

Meena Ally Afunguka Yote, Kujiunga Clouds, Familia Na Maisha Yake | SALAMA NA MEENA PART 1 

YahStoneTown
Подписаться 397 тыс.
Просмотров 87 тыс.
50% 1

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
MARASHI YA KARAFUU…
Jina lake halisi ni Muhaymeena Ally na kwa kifupi aliona Meena litamfaa sana na si Amina kama watu wengi wanavyodhani. Mzaliwa halisi wa Zanzibar na ni mtoto wa Stone Town kabisa. Kutoka alikozaliwa Meena na nilipozaliwa mimi si mbali kabisa, kwao Malindi karibu kabisa na bandarini na mimi kwetu ni Kiponda, wakati Meena anazaliwa mwaka 1993 mimi nilikua darasa la sita, msichana kabisa na pengine nilishaanza kuandikiana barua na kichimvi na kina Murad 🤣.
Mimi na yeye tumefahamiana hapa Dar es Salaam lakini, sina hakika kama wazazi wetu wanajua maana bado sijamuuliza Mama yangu ila nna hakika wa asilimia 99 kwamba Kaka zangu (ambao wengi wao ni wavuvi) wanawajua wazazi wake na pengine shangazi na wajomba zake, mtaa ambao Meena kazaliwa ndo njia wanayopita kwenda Pwani so uhakika huo nnao kwa asilimia hizo. Lately mimi na yeye tumekua karibu, uzanzibari pengine unachangia kwa kiasi kidogo ila binafsi zaidi ni kwasababu na admiration ya kazi zetu kwa kila mmoja wetu. Wakati Meena anakuja EATV mimi sikumbuki vizuri na nadhani zilikua ndo siku zangu za mwisho mwisho kuwa muajiriwa pale au pengine nlikua tayari nlikua nafanya mambo yangu pembeni kwa kupitia Mkasi TV.
Nilifurahia kila sekunde ya maongezi yetu haya kwasababu nilikua naongea na Rafiki yangu na ki ukweli ilikua inatakiwa yafanyike siku nyingi tu ila kama unavyojua, sisi binadamu tunapanga mambo yetu ila Mwenyezi Mungu ndo hutupa nguvu na wasaa wa kutufanya tuyatekeleze kwahiyo wakati huu ndo ulikua wakati sahihi.
Kama mwezi umepita Meena alipata mitihani kwenye mitandao ya kijamii baada iliyokua inalazimishwa iwe video yake akiwa anafanya ngono kutambaa mitandaoni. Kama Dada ilinishtua mara ya kwanza na uzuri ni yeye mwenyewe ndo alinitumia, ukimuangalia yule Dada kwa pembeni unaweza kudhani ni yeye ingawa kama unamfahamu Meena kwa ukaribu basi utajua kabisa yule si yeye. Mtihani ulikua mkubwa, mtihani wa kuwaelezea binadamu ambao baadhi yao walikua wanataka yule awe yeye nao walikuwepo lakini walikua hawataki kuamini nao pia tulikua wengi tu. Mawe mengi yalirushwa na ilihitaji Meena awe kwenye ubora wake, kuto panic na kufanya yote yaliyokua yanatakiwa kufuatwa ki SHERIA na mengine tuiachie Mamlaka inayohusika ambao naamini bado wanaendelea na kumtafuta aliyeanzisha uvumi ule na yangu imani watampata ili awe mfano kwa wengine.
Sina hakika sana na nasema hivi kwasababu kwa mtu mwenye imani na akili timamu hawezi kufanya unyama kama huu kwa mtu mwengine ambae hana ubaya nae. Madhara yanayokuja na shutuma kama hizi ni makubwa sana, ki akili na ki utu na ki biashara. Athari zake zinaweza kuwa za muda mrefu kuliko wengi wanavyo dhania.
Humu nilimuelewa vizuri, utulivu wake kwenye kujibu maswali na jinsi alivyokua amejibeba, mmoja anaweza kuangalia kwa kujifunza kutoka kwake, Meena ana kila kitu ambacho kinaweza kikamfanya yeye aweze kutimiza ndoto zake, kuwa chochote kile ambacho atapewa au atapata nafasi ya kukifanya, kuanzia kwenye filamu mpaka yote yale ambayo anatamani kuyafanya na anaweza kuyafanya kwa asilimia 100, ambayo sina shaka atayapa na pengine zaidi.
Humu tunamzungumzia Marehemu Bibi yake ambaye kifo chake kilimuathiri kwa kiasi kikubwa na jinsi ambavyo alijikwamua kutoka kwenye wimbi hilo la msongo. Maelewano yake na wazazi wake ni kitu cha kumfanya mtu ajifunze kutoka kwake, najua si kila mmoja wetu ana mahusiano ya aina hii na wazazi wake ila kwa kuskiliza naamini utapata ujumbe flani. Heshima na kujituma kwake anapokua anafanya kazi pia itaiskia humu, kujitoa kwake na jinsi anavyoangalia na kujifunza mengi kwa kuwasoma watu na nafasi zao kunamfanya aweze kufika mbali, na yangu matumaini nnayoyaona mimi kwake basi na yeye anayaona hivyo na zaidi. Kazi yetu sisi ni ku enjoy tu kwa kuangalia safari yake ya kikazi na kushuhudia mafanikio yake tele yajayo In Shaa Allah.
Enjoy hii session kama ambavyo umekua uki enjoy na kujifunza mengi kutoka kwa wengi waliopita na wengi wajao. Mungu katubariki na watu wengi wa aina hii ambao wako mbele yetu, maisha yao ni darasa tosha kwetu sote. Ni vyema yale tutakayo yapenda tukayaweka na sisi katika maisha yetu ili tufike mbali zaidi.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
‪RU-vid Link bit.ly/RU-vidS...
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Развлечения

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 98   
@bongotvonline4883
@bongotvonline4883 2 года назад
Unajua SALAMA wewe ni shida sana, sina la kusema kuhus wewe. Ila kwa wanaoelewa wanajua kazi ilivyo kumhoji MTANGAZAJI MWENZIO. All the best Salama.
@saidmohamed4619
@saidmohamed4619 2 года назад
Aisee leo nimeenjoy sana...two kids from Zanzibar in one place...hapo ni matani ya kikwetu tu...
@drwebangila
@drwebangila 2 года назад
Navutiwa sana Meena. Looks smart and intelligent. Kila la kheri Salama na Meena. Naamini Mkiungana Nchi itasimama.
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 года назад
Salama ''tuna omba Mlete bikilala! na mzee kikalala 😘na muwandishiw wao' wa kombolela 🔥🔥
@Wachuoni
@Wachuoni 2 года назад
I think this kind of Interview suits you better, naifananisha hii na Zuhura Yunus, imejaa upendo, utani, uhuru, ucheshi, hisia za ukweli kabisa kutoka moyoni. na kwa hii pekee nimependa sana vionjo vya lugha za Mina ... kama "Dada Judi acheke", .... it was great 👍.... keep it up !
@maryshirima1234
@maryshirima1234 2 года назад
I love the way Meena answers the questions... 👌💚
@Kevin_davi
@Kevin_davi 2 года назад
Salama naomba hichi kipindi cha salama na kirudi kwenye channel ya East Africa television kama ilivyokuwa hapo awali sisi wanyonge hatuna pesa ya kununua dstv bei yao ikoo juu sana
@iammichaellukindo
@iammichaellukindo 2 года назад
Nimefanya kazi na meena EATV na Clouds lakini baada ya kumsikiliza hapa nahisi kama sasa ndio nimemjua angalao. And hongera Meena. I know what happened to you EATV. Mungu amekupa nafasi keep Going
@antonymwaniki6248
@antonymwaniki6248 2 года назад
I really like Meena's voice.
@rodrickmataba8999
@rodrickmataba8999 2 года назад
Habari, Hujambo...😀😀😀 leo hii salamu hatujaipata
@badalichauchau6983
@badalichauchau6983 2 года назад
Nampenda sana huyu dada kwasababu hajawahi kuzungumza maneno ya ovyo
@mkaapwekekariakoo6417
@mkaapwekekariakoo6417 2 года назад
asante sana Salama.... natamani siku moja uingie mtaani utuletee mtu ambaye si maarufu lakini, ambaye ataweza kufanya usaili nawe. hata kama si kumfanya maarufu lakini itakuwa pia namna ya kuhamasisha watu kuwa kile wanaamini. Kazi nzuri sana, ni lini utajihoji hahahaaa
@mongai001
@mongai001 2 года назад
To be honest this young lady she always make me laugh peace and love
@odrianinicolaus5353
@odrianinicolaus5353 2 года назад
Tuletee, Yule Mbunge Kishimba wa Bungeni au Mhe.Msukuma Salama
@bish_daddiyao
@bish_daddiyao 2 года назад
Nice interview.. Bring Zuchu I have been Searching for Long🙌🏾🇰🇪💕
@جميلهخميس-ط5ث
@جميلهخميس-ط5ث 2 года назад
Can't wait salama na Millady
@stevennyondo2215
@stevennyondo2215 2 года назад
Kwenye lafudhi nakubali huyu dada. First time namuona nlijua chuga girl.
@mohamednaaman188
@mohamednaaman188 2 года назад
Masha Allah interview nzuri #Zanzibar 🔥
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Nakukubali sana Meena
@chiticollemans
@chiticollemans 2 года назад
Please bring Ghalib (GSM) and Flaviana Matata
@shahabdul1126
@shahabdul1126 2 года назад
when will you upload Salama na Zuchu? we need it here
@janethsuleiman2445
@janethsuleiman2445 2 года назад
Nimecheka sana
@bobanthony1326
@bobanthony1326 2 года назад
Quite funny; had a good laugh.
@chardoAmos4476
@chardoAmos4476 2 года назад
Mimi naomba ufanye interview na milard ayo please
@zhaujiakashindi6617
@zhaujiakashindi6617 2 года назад
Nawapenda sana…❤️❤️
@didahbebe3866
@didahbebe3866 2 года назад
I really like the answers za meena and she's so smart ma sha allah
@victormwakipesile6990
@victormwakipesile6990 2 года назад
Tunaomba ya Dina marious
@neemapetro8188
@neemapetro8188 2 года назад
I love mena jmn uwii❤️❤️❤️❤️
@yetromtambulo3452
@yetromtambulo3452 Год назад
Keep it up
@lastsimbatv1497
@lastsimbatv1497 2 года назад
U kill it salama i love u mwaaaah beautiful
@davidnchoji
@davidnchoji 2 года назад
I love you Da Salama, am here just for you and that beautiful Lady Meena❤️🙌🏽
@mtanzaniahalisimungunimwem673
@mtanzaniahalisimungunimwem673 2 года назад
Nawapenda sana wote jamani
@loysirikwa5052
@loysirikwa5052 2 года назад
Upload Salama na Adam Mchomvu
@mohamedhamad2374
@mohamedhamad2374 10 месяцев назад
Sister salama mambo nimefatilia mahojiano unayofa nya naona unafanya na watu ambao ni maarufu vipi wasio kuwa maaarufu
@princessbim6096
@princessbim6096 2 года назад
Salama naa zuchu ndo umeificha shoga yngu
@el-chicosfootballdevelopme7411
@el-chicosfootballdevelopme7411 2 года назад
Iyo lafudh anayoigiza ni ya joti si ya kizanzibari. Wazanzibari hawaongei hvo.
@maryshirima1234
@maryshirima1234 2 года назад
Ace jay keep up the good work...👌💚
@dilipdab3714
@dilipdab3714 2 года назад
Kweli.leo.munachoweyaa
@alphonsinedusabe3590
@alphonsinedusabe3590 2 года назад
🤣🤣🤣 jmni meena wew 💥😍
@rosegideon336
@rosegideon336 2 года назад
Mfike Mbali.
@lareineminah1353
@lareineminah1353 2 года назад
Salama na zuchu lini?
@ishakafaki3501
@ishakafaki3501 2 года назад
Rangi nyekundu Kwa asie onaa nikumwambia afinge macho then awashe tochi machoni mwake then utamwambia hiyoo ndio rangi nyekundu
@santruninichamy4974
@santruninichamy4974 2 года назад
Umetishaaa... We kichwa
@fahadfahmy
@fahadfahmy 2 года назад
Wazenji united.
@oscarmwakibinga1142
@oscarmwakibinga1142 2 года назад
Aliezaliwa haoni kwani anajua rangi ya damu?
@bjzee1981
@bjzee1981 2 года назад
Karo za chooni sio round but ni oval
@fortunathabarabara8471
@fortunathabarabara8471 2 года назад
salama na wema sepetu
@oyay2821
@oyay2821 2 года назад
Haya maneno ya kuzungu kama inferior, insight au relate waTz wanafahamu?
@kdloon2030
@kdloon2030 2 года назад
Tueleze wewe mzungu
@alantonio855
@alantonio855 2 года назад
Mwijaku next time
@الرعدالصغير-ت1ش
@الرعدالصغير-ت1ش 2 года назад
My love meenaally😍😍😍😍
@meky9404
@meky9404 2 года назад
tunamwomba na msuvaaaa
@sabraridhwan2858
@sabraridhwan2858 2 года назад
Salama badilisha nguo hizo kila Siku nyeusi kama upo msibani
@salumbabu
@salumbabu 2 года назад
Acha makasiriko,,, 😁😁😁😁
@shedyali964
@shedyali964 2 года назад
Samahan salama darajan hamuna round kuna nondo na harufu mbaya
@dilipdab3714
@dilipdab3714 2 года назад
Ww.meena. salam.leo.munanichekesha.kweli
@ycb_yakoub3584
@ycb_yakoub3584 2 года назад
Swala la kurithi lafuzi hii ni kawaida kwa wamwambaoo asilimia 75% wapo hivo
@bjzee1981
@bjzee1981 2 года назад
Kumbe tuko wengi. Na ndio kilicho nifanya nijue lugha nyingi.
@ayeeshasuleiman8826
@ayeeshasuleiman8826 2 года назад
Hahaaa nimefurah
@dilipdab3714
@dilipdab3714 2 года назад
Sie.hivyo.vilikuwa.ndio.yeyetu.vifundo.vya.miwaa.salama.na.meena.lakini.sahivi.kifundo.kinalipwaa
@Boaz22
@Boaz22 2 года назад
Alisikiaje baada yakuhusishwa kwenye video ya Ngono???😩
@maryshirima1234
@maryshirima1234 2 года назад
Part 2 kajieleza.
@fatumahilaly9911
@fatumahilaly9911 2 года назад
SALAMA KIPENZI MBONA YA ZUCHU HUJAIPOSTI JAMANI IPOSTI BASI JAMANI🥺
@keifatuke99
@keifatuke99 2 года назад
Nimeosubiri ya Zuchu mpaka nimechoka
@kharounngavason8012
@kharounngavason8012 2 года назад
Kwa MEENA tena ufika hapo
@hamedabashir9
@hamedabashir9 2 года назад
Tunaomba ya zuchu
@abdullahhamed2197
@abdullahhamed2197 2 года назад
Tunaomba ya salah wa GSM
@jean-Robert
@jean-Robert 2 года назад
Tunaitaji interview yako na zuchu aipo youtube kwanini?
@tofikijafary8470
@tofikijafary8470 2 года назад
Mmm
@dilipdab3714
@dilipdab3714 2 года назад
Salama.lakini.hapo.zamani.kama.hujaokotoa.vifundo.forodhani.bc.hakuzaliwa.zeji.itakuwa
@faizadiriye1384
@faizadiriye1384 2 года назад
Salama mbona humuweka zuchu
@barikilangoy4737
@barikilangoy4737 2 года назад
Utuletee na diwani wa mama ashura
@jrsaid4270
@jrsaid4270 2 года назад
We kijana acha masihara 🤣🤣
@barikilangoy4737
@barikilangoy4737 2 года назад
@@jrsaid4270 sio masihara naona kama zinaendana tufanye kama hii episode 1 afu ya diwani wa ashura episode 2
@jrsaid4270
@jrsaid4270 2 года назад
@@barikilangoy4737 🤣🤣🤣🤣 Mr Pimbi he!? 🤣🤣
@tamrikznz7583
@tamrikznz7583 2 года назад
Nyinyi Wapemba Mnaitwa Huku Kwenu.
@tuesdaymeli8458
@tuesdaymeli8458 2 года назад
😄😄😄😄😄😄😄😄 hawa wote mm nawapenda
@josephmuchiri3180
@josephmuchiri3180 2 года назад
Mbona sasa anachekacheka
@alphredinaalphonce7043
@alphredinaalphonce7043 2 года назад
💕🥰
@mariagodfrey2028
@mariagodfrey2028 2 года назад
😀😀😀😀😀
@razackkalanje5049
@razackkalanje5049 2 года назад
Tuwekeeni ya zuchu
@mwanaidikhatibu4726
@mwanaidikhatibu4726 2 года назад
Tunamumba dinaa marios
@saidahmed9688
@saidahmed9688 Год назад
meena tunakupenda
@dilipdab3714
@dilipdab3714 2 года назад
Wanaokota.vifundo.sio.miwaa
@razackkalanje5049
@razackkalanje5049 2 года назад
wekeni ya zuchu
@mwanajumamohammed6327
@mwanajumamohammed6327 2 года назад
Meena ni mtoto wa master j ama mm ndio sijui
@fathimaf1048
@fathimaf1048 2 года назад
Hapana dear meena ni mtu wa Zanzibar na Master j ni mtu wa kilimanjaro wapo kikazi
@mwanajumamohammed6327
@mwanajumamohammed6327 2 года назад
Asante dear...sikuona ubaya kuuliza...maana sijui na misio Mtanzania...ni mkenya na pia cko Kenya niko safar
@mtanzaniahalisimungunimwem673
@mtanzaniahalisimungunimwem673 2 года назад
@@mwanajumamohammed6327 mhhhh
@bjzee1981
@bjzee1981 2 года назад
Hiyo hata sio kichekesho. Bora mgombea urais wa Kenya wajakoya
@ashurantandu1799
@ashurantandu1799 2 года назад
Kuongea kingereza ndo kupotezana mada
@talazain1017
@talazain1017 2 года назад
Binafsi
@dilipdab3714
@dilipdab3714 2 года назад
Kifundo.chamuwaa
@fahadfahmy
@fahadfahmy 2 года назад
Kiswahili fasaha
@kingkinye1419
@kingkinye1419 2 года назад
Singeli hii Kali sanaru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-NuyIw0_KqBs.html
@christopherpeter3112
@christopherpeter3112 2 года назад
Zuchu lini
Далее
НЕ БУДИТЕ КОТЯТ#cat
00:21
Просмотров 600 тыс.
ОВР Шоу:  Семейные понты  @ovrshow_tnt
07:21
USIYOYAJUA KUHUSU KARIAKOO || KARIAKOO HISTORY!!
33:03
Shajara ya Coy Mzungu | Afungua Kurasa za Maisha Yake
57:52