Huyu mnafki, Ndio aseme kweli mwenyewe Hana kitu ndio maana nakunywa vi juice vya watoto.....shirt yenyewe imekufa 😂😂😂ajue kulipa mafundi kwanza ili ashonewe vizuri nguo😂😂😂
Huyo meneja wa wapi huyo walinganisha range rover hata iwe ya mwakahuu hiwezi fananisha na mashine za simba escalade Rolls-Royce culinam Benz sprinter van we waota bro chibu yuko ligi ya kina Devido
Diamonde pata hizogari hatamimi nimetokea Africa hizo nigari zamatajiri baba we asimbie mtu wenda 50 cent ma rickross ndo wenye nazo Diamonde kipatahizo giri basi watapi manishana na rickross kwapesa
Kuwa kwenye game sio hoja,nikujituma konde asingekuwa hapo kama sio mondi, mbona Ali kiba kamtanguliya kwenye game , na mondi kisha mshinda kimaisha nisio kiba tu mondi wengi walimtanguliya ila kawashinda lewo , nahiyo uiseme je
Hivi huyu huwa anakunyaga na kuchamba vyema kweli? Akili yake na wadudu! Akiamka ni dai akilala ni dai, sasa ana manage saa ngapi njomba nchumali? Mshamba kweli ye na msanii wake