Тёмный

MFANYABIASHARA EDA ASIMWE, ALIANGUKA MARA 7 NA KUPATA HASARA KISHA AKAJIPATA NA KUSIMAMA MARA YA 8 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 78 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

10 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 220   
@millardayoTZA
@millardayoTZA Месяц назад
WALE MNAOULIZA KUHUSU NAMNA YA KUMPATA EDA NA INSTAGRAM YAKE NI 0735-28-28-11, 0747-75-35-66 INSTAGRAM NI @classic_finishesTZ @mkeka_wa_mbao-original DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI
@givenessdavid3743
@givenessdavid3743 Месяц назад
Àsante Millard Naamini umetubariki wengi
@RoncyMroki
@RoncyMroki День назад
Nitakutafuta ukatuwekee nyumbani kwetu lushoto ❤❤❤❤❤ nimeupenda mkeka wa mbao ❤❤❤❤
@lydiaaugustino6417
@lydiaaugustino6417 Месяц назад
Hongera sana CEO kwa kutupatia solution ya afya zetu kwa kuleta mkeka wa mbao na bedhaa ambazo ni unic 🔥
@classicfinishestz
@classicfinishestz Месяц назад
Asante sana
@yusuphkayuni8188
@yusuphkayuni8188 Месяц назад
Napenda sana moment kama izi uwe unatupa mara kwa mara
@RutaEmmaMachumu
@RutaEmmaMachumu Месяц назад
Nimeipenda sana ni nzuri, tupe kazi hiyo Madam Eda
@dominiclyochindilla1093
@dominiclyochindilla1093 Месяц назад
Helloo my dada! I bless you... Tunashukuru kwa kujitolea Mkeka kwa Kanisa letu!!! God bless your family and your business!!
@melchiadepaschal3097
@melchiadepaschal3097 Месяц назад
Welldone sister, Nina kibiashara changu usafirishaji, semi trailer. Tujuane, niwenasafirisha mizigo yako,
@yama_virginhairthequeen1065
@yama_virginhairthequeen1065 Месяц назад
Correct ur words sister don't say kabiashara
@jerenestinaelieza8705
@jerenestinaelieza8705 Месяц назад
Toa namba dear
@EliberthaKazaula
@EliberthaKazaula Месяц назад
Eda kama Eda very smart hongera sana my Met Ngaza1 hiyooo
@givennsamweli
@givennsamweli Месяц назад
Hongereni sana, wale tunaofanya interior designing na ujenzi tuwashauli wateja wetu wachukue hizo bidhaa nzuri na adimu, binafsi nimezikubali, unique & bright ideas za madam
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly Месяц назад
MashaAllah 🙏🙏🙏kila kitu ni hatua,if you dont jave the patience and passion for something lazima utapata ugumu katika harakati za maisha. Tatizo sio mtaji,bali passion na uelewa wa kutosha wa biashara iyo,ukiongeza na uvumilivu na ustahimilivu ,ukamtegemea Mungu lazima utoboe. God's time is the best time,as long as bado upo hai usikate tamaa,
@Djso26
@Djso26 Месяц назад
Kongole kwako dada Eda,kweli mtafutaji hachoki… furahia matunda ya juhudi na kutokukata tamaa💪
@MtegekiKaijage
@MtegekiKaijage Месяц назад
Biashara ni ngumu sana mwanzoni usipotuliza akili unaweza kuchanganyikiwa na pia kuanguka ni kawaida wakati unaanza biashara mimi pia nilifanya biashara zaidi ya nne ndo nikaja kupata ramani, vingine nilikuwa nafunga mpk baadhi ya vitendea kazi vipo nyumbani. Ila niwaambie wapambanaji wenzangu ni mara chache sana kuanza biashara ya kwanza ukatoboa kupitia hyo hyo aisee. Biashara za awali kabla hatujasimama zinakuwa zinatupa lesson
@user-qe4yi8hl6n
@user-qe4yi8hl6n Месяц назад
atamimi biashara mbili sasa
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Месяц назад
Safi sana. Kuna mengi ya kujifunza kwake
@classicfinishestz
@classicfinishestz Месяц назад
Asante sana
@habaritvtanzania5562
@habaritvtanzania5562 Месяц назад
Kaka mkubwa
@johnjulliusntwenya4713
@johnjulliusntwenya4713 21 день назад
@@classicfinishestz hongera sanaa sanaaa
@ishekellyfredy9714
@ishekellyfredy9714 Месяц назад
Kitu kizuri sana👏 sema wabongo kama tunavyo wajua wakiona hiii watu wengi wataiga mnooo tutarajie kuletewa feki za china sasa😂😂😂
@vom84
@vom84 Месяц назад
CHINA hizo zipo na ndio wazalishaji , ulaya wananunua china pia,
@hannahriichie2004
@hannahriichie2004 Месяц назад
She is so inspiring ❤
@mrambadiana9678
@mrambadiana9678 Месяц назад
She is 2 natural cutieee❤🙌
@leaherasto929
@leaherasto929 Месяц назад
Very beautiful with brain
@SarahtzWilliam
@SarahtzWilliam 29 дней назад
huyu dada ana background nzuri sana na anajisoma pia ana moyo wa kuelewesha wengine
@marthahiliyai5181
@marthahiliyai5181 Месяц назад
God Bless you
@samnyambabe2529
@samnyambabe2529 Месяц назад
She is so cute
@DosianaLulakuze-bv7fg
@DosianaLulakuze-bv7fg Месяц назад
Da Mungu nione na Mimi nimeteseka sana kuthubutu nathubutu sana
@allenmushema5844
@allenmushema5844 Месяц назад
Mungu akusaidie sana 🙏🏾
@beatricemnkeni2670
@beatricemnkeni2670 Месяц назад
Jifunze unakosea wapi? Endelea kuthubutu. Utatoboa.
@engineeragri293
@engineeragri293 Месяц назад
Unatuinspire Wengi Boss 🔥🔥
@mamelithaemmanuel2976
@mamelithaemmanuel2976 Месяц назад
Vizuri sana mdogo wangu ubalikiwe ❤❤
@classicfinishestz
@classicfinishestz Месяц назад
Asante sana
@isunga1964
@isunga1964 Месяц назад
Mume wa maana kabis😂😂😂
@janethmustapha5727
@janethmustapha5727 Месяц назад
😂😂
@user-ru6ct4rh3t
@user-ru6ct4rh3t Месяц назад
Waaooo!🎉❤
@revocatusmishelyludovick
@revocatusmishelyludovick Месяц назад
Enough to inspire ! #GoBigEda
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 Месяц назад
Wooww kumbe kunahamishwa
@lotionetv2833
@lotionetv2833 Месяц назад
Inaamsha akiri, Hongera Eda
@user-xn8jh1yw1h
@user-xn8jh1yw1h Месяц назад
Hongera sana Asiimwe.
@mercyipokela
@mercyipokela Месяц назад
Dada wewe umetisha maana mtu aliyewaza kufanya kitu kama Nicholas, kila siku naangalia movie za Kenya najiuliza hizi Floor ni marumaru au ni floor ya kawaida, now iam happy
@classicfinishestz
@classicfinishestz Месяц назад
Thank You so Much
@spency2371
@spency2371 Месяц назад
Aiseee so impressive 😊❤
@user-nf5gi2ff6i
@user-nf5gi2ff6i Месяц назад
Bei ya huo mkeka wa mbao ni sh ngapi? Mfano chumba cha mita 3x3x room 4?
@aloycemathew3926
@aloycemathew3926 Месяц назад
Boss wanguuuuuu
@victoriabuzuka266
@victoriabuzuka266 21 день назад
Nganza moja hiyoo congratulations Eda😊❤
@CpbKizota
@CpbKizota 5 дней назад
Hongera sana dada.nazidi kujifunza
@joycekaje8755
@joycekaje8755 Месяц назад
Zipo huku Europe, hilo ni kapet la plastics lkn kuna mbao kabisa ambazo ni LAMINAAT
@deboramsuya2940
@deboramsuya2940 Месяц назад
Hongera sana Eda
@noeljacob9644
@noeljacob9644 Месяц назад
Leads elewaha hapo mtaji alipata kwa kupata support kwa ndugu na jamaa😂😂
@praxedababyebonela1954
@praxedababyebonela1954 17 дней назад
Hongera sana Asiimwe!
@AluminiumMandela
@AluminiumMandela Месяц назад
Vijana wengi Wana uwezo shida ni mtaji
@user-ex6vo5wu2x
@user-ex6vo5wu2x Месяц назад
Shida sio mtaji @AluminiumMandela vijana wengi hawana uwezo wa kufanya biashara wengi tumekosa elimu ya kuendesha biashara h
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Месяц назад
@@user-ex6vo5wu2x uko sahihi Saaana tena saaana
@classicfinishestz
@classicfinishestz Месяц назад
Uko sahihi pia
@erickashindi2666
@erickashindi2666 Месяц назад
​@@user-ex6vo5wu2xukweli ndo huo pia hakuna uwaminifu
@pceodhc
@pceodhc Месяц назад
Congratulations!
@allenmushema5844
@allenmushema5844 Месяц назад
that winning mind >>>
@fidesbernard4835
@fidesbernard4835 Месяц назад
Hongera sana❤
@alexmwalingo5020
@alexmwalingo5020 Месяц назад
Hiyo nzuri sana❤❤
@girabayanyambeta9001
@girabayanyambeta9001 Месяц назад
Good struggling
@user-pr8cm5ne5c
@user-pr8cm5ne5c Месяц назад
Hongera mno dada
@yaredamos7664
@yaredamos7664 Месяц назад
Hongera
@classicfinishestz
@classicfinishestz Месяц назад
Asante sana
@nasrahozza9231
@nasrahozza9231 Месяц назад
Hongera sana
@sirizavitabu
@sirizavitabu Месяц назад
Yes kuanguka mara nyingi ni lazima ili usimame🎉
@classicfinishestz
@classicfinishestz Месяц назад
Kabisa Asante sana
@MtegekiKaijage
@MtegekiKaijage Месяц назад
Ni kweli kaka mimi pia nimefanya biashara nne naanguka since 2020 nilipoamua kuacha kazi na kujiajiri mpaka nilipokuja kukaa kwenye mstari last year. Mungu mwema japo kuna waliokuwa wananikatisha tamaa, kunicheka, na mengine mengi. Ila kwa vijana wenzangu wapambanaji mkae mkijua kuwa ni mara chache sana kuanza na biashara moja na ukatoboa kupitia biashara hyo hyo, so ingine inakuwa km mafunzo ya awali downfalls ni kawaida kwenye utaftaji
@internmoses
@internmoses 24 дня назад
Vijana sasa tuelewe kwa sabab Ana watu waliomsaidia nyuma lkn angekuwa anahustle mwenyewe sio kirahisi
@judithsimon7892
@judithsimon7892 18 дней назад
Kuna tofauti kubwa Sana Kati ya kujitafuta na kijipata na kushikwa mkono na ndgu zake pomoja na mumewe
@SomoKidawa
@SomoKidawa Месяц назад
Naona nzi jamani amefikaje hapo shenzi huyuuu?
@anthonyjoseph1675
@anthonyjoseph1675 Месяц назад
Nice
@hassankongolilo8408
@hassankongolilo8408 Месяц назад
maashaallah
@trecygohy7847
@trecygohy7847 Месяц назад
That's nice, nimeona wanawake wana improve sana kuliko men
@classicfinishestz
@classicfinishestz Месяц назад
Asante sana
@jrsaid4270
@jrsaid4270 Месяц назад
Improve na wewe
@trecygohy7847
@trecygohy7847 Месяц назад
@@jrsaid4270 hahahahahaha, usijali
@isikesamike
@isikesamike Месяц назад
Most of wealthy people in the world ni wanaume. Wewe hiyo research yako ulifanyia wapi?
@trecygohy7847
@trecygohy7847 Месяц назад
@@isikesamike wealthy people n wanaume yes I agree ila unajua hata wanawake pia wana hela ?
@neemamkami2029
@neemamkami2029 Месяц назад
Wengi tumeanguka sanaa ila tunazidi kupambana hatukati tamaa
@mozaathman7861
@mozaathman7861 Месяц назад
@HonorathaKimambo
@HonorathaKimambo 8 дней назад
Mkeka wa mbao nikitaka kupata nitapataeje,nipo mkoani.
@Hellostranger-wy1gx
@Hellostranger-wy1gx Месяц назад
❤❤
@user-fi3hc5gt3i
@user-fi3hc5gt3i Месяц назад
Yeye mwenyew amebeba ajira Kwa iyo anajiajiri tu
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 Месяц назад
Smart
@janethmihali1381
@janethmihali1381 10 дней назад
Inatia moyo kwa wale tulioanguka mara nyingi
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 Месяц назад
dada asante nimedaka kitu hapa
@chrisswaller960
@chrisswaller960 2 дня назад
Dah tunaotafutaga kuajiliwa tunaonekanaje sijui dah wanangu kuajiliwa usenge
@ahadisalum1989
@ahadisalum1989 Месяц назад
Part two please
@vanessapatrick4542
@vanessapatrick4542 Месяц назад
SAHIHI KABISA BORA MKOMBOZI UMEKUJA CEMENT NA MCHANGA SOMETIME NI GHARAMA BORA TUMEPATA SOLUTION NITAWATEMBELEA DUKANI KWAO KUPATA ELIMU ZAIDI ....NIMEONAA VITU VIZURI SANA
@girabayanyambeta9001
@girabayanyambeta9001 Месяц назад
Leta branch kahama
@seifkulwa3346
@seifkulwa3346 Месяц назад
Nyuma ya Biashara ya a mwanamke Kuna mwanaume awe baba/Mme/hawara/kaka nk
@nicodemvenant9855
@nicodemvenant9855 Месяц назад
Tafadhali Milard nipatie connection nae nahtaji fursa hyo
@jacobsimon9649
@jacobsimon9649 Месяц назад
bei yake inaendaje
@mohammedkhimji7505
@mohammedkhimji7505 Месяц назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@user-pu6gy2nh4q
@user-pu6gy2nh4q Месяц назад
Toto kafanana babake.cheus beauty
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Месяц назад
🎉
@user-rx7te2px5d
@user-rx7te2px5d Месяц назад
Hii itawaamsha wengi walo lala
@redemptaanisio2770
@redemptaanisio2770 Месяц назад
Tunaomba namba yake ili waje watuwekee kwenye nyumba zetu
@millardayoTZA
@millardayoTZA Месяц назад
DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI, 0735282811 na 0747753566
@rosinamtauka9933
@rosinamtauka9933 Месяц назад
naomba namba zake za simu
@millardayoTZA
@millardayoTZA Месяц назад
0735282811 na 0747753566
@karlschrader4026
@karlschrader4026 Месяц назад
Inaitwa vaino flo sio vino froling
@azzaalmalki41
@azzaalmalki41 Месяц назад
Arusha mko sehemu gani
@silivestatesha9262
@silivestatesha9262 Месяц назад
Chali yamta utajikomboa mwenyewe
@user-jf7is4fk2v
@user-jf7is4fk2v Месяц назад
simu yake
@efraimjohn4956
@efraimjohn4956 Месяц назад
ulikuwa nazo maana wengine akianza biashara na akapoteza mtaji kupata tena ni issue
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b Месяц назад
Ni kweli wengne wana wat wakuwashika mikono hat km sio pesa ila akadhamin upate pesa mahal.
@homeandaway2811
@homeandaway2811 Месяц назад
Ni kweli nami nimeona hilo mtaji alikuwa nao au alikuwa na watu wa kumsaidia. All in all hongera kwake kwa juhudi mana pesa bila juhudi haisaidii.
@JoelKakizibaJK
@JoelKakizibaJK Месяц назад
Exposure ni kitu muhimu sana
@DevothaMhaiki
@DevothaMhaiki Месяц назад
Hongera, Tuambie Duka liko Kariakoo Mtaa Gani. Duka linaitwaje. Tunaomba Namba ya Simu
@engineeragri293
@engineeragri293 Месяц назад
Kariakoo, mtaa wa kiungani na nyamwezi
@millardayoTZA
@millardayoTZA Месяц назад
DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI, 0735282811 na 0747753566
@khamisswalehe
@khamisswalehe Месяц назад
mimi nina miaka zaidi ya kumi sjajipata
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 Месяц назад
Ni kama mimi 😂😂😂😊
@khamisswalehe
@khamisswalehe Месяц назад
@@aishaabrahaman9957 usikate tamaa mimi sasahiv nasumbiliwa na mtaji tu lakin nimepata idea moja ya kuniinua sana
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 Месяц назад
​@@khamisswalehetushee mawazo ndh
@hellenmassawe7284
@hellenmassawe7284 Месяц назад
Utajipata tuuu
@KefliniDaudi
@KefliniDaudi Месяц назад
Uliposema mabinti nmejihisi mm jamn
@kibibiproductszanzibar9085
@kibibiproductszanzibar9085 Месяц назад
Kwani hii sio carpet
@NageMsuya
@NageMsuya Месяц назад
No plz plz
@davidlelo6192
@davidlelo6192 Месяц назад
Unapatikana wapi dd
@user-zu3wp3wx8u
@user-zu3wp3wx8u Месяц назад
Bei yake ni shilingi ngapi?
@kevinmary7129
@kevinmary7129 Месяц назад
Husband business in her name
@marykennedymarwa1641
@marykennedymarwa1641 Месяц назад
Niko belgium, hilo ni plastic tena halihamishiki , good idear kwa matumizi ya kitchen floor, and birthroom floor sababu iko na water resistant. Sema sio kitu cha kudumu na kinaharibika haraka na ni cha bei rahisi. Tofauti na laminaat.
@razackaigarula2291
@razackaigarula2291 Месяц назад
Usitutishe na Belgium Yako bhn😅
@CasmirKiwale
@CasmirKiwale 24 дня назад
Kwa hiyo mda huu unapoandika upo ubegiji 😂😂
@jacqueisaac8155
@jacqueisaac8155 17 дней назад
Birthroom you mean labor room or? Carpet za plastic za kawaida tunahama nazo sasa why mkeka wa mbao tusihame nao? Be positive na biashara za watu
@FredinadGlory
@FredinadGlory 14 дней назад
Umenifunza jambo mpaka sasa nina biashara 3 nilizofanya mpaka nikachoka ila narudi
@mpefu_4936
@mpefu_4936 Месяц назад
Weka simu au Arusha mko wapi
@millardayoTZA
@millardayoTZA Месяц назад
DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI, 0735282811 na 0747753566
@KhadijaAli-zd8jq
@KhadijaAli-zd8jq Месяц назад
Naomba namba zako mm naitaji
@elikananzibanka4186
@elikananzibanka4186 Месяц назад
Vipi kuhusu moto? Mkeka wa mbao ukiangukiwa na Kaa la moto una resist vipi?
@asiamalonji5962
@asiamalonji5962 Месяц назад
Uwe unaleta story kama izi sawa Millard ayo
@Thomas-wj6dx
@Thomas-wj6dx 15 дней назад
Watu watasema fre.....on hahahaha
@beatriceclemence
@beatriceclemence Месяц назад
nimedrop hii 4th times
@edwigashayo2127
@edwigashayo2127 28 дней назад
Bei yake ikoje? Niko Arusha nikitaka?
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 Месяц назад
Wewe dada huwezi kuweka plastic juu ya tiles nzuri, hizi kwa nchi za watu wengine zinawekwa jikoni kwenye nchi zenye carpet lakini uweke hiyo kwenye nyumba zenye tiles za ghali
@Bless-sk8uv
@Bless-sk8uv Месяц назад
Mme nani?
@MouhammedSeif
@MouhammedSeif Месяц назад
Hem ww dada tuache unapewa mtaji na unajaribu tena wakat mm nimeli mara tano na maraya mwishi nikabdi nilipe maden ndo nitfte mtaji niakuza bandalang apo ndio nmeona njia siaba tuache unajua kupambana na kujirski wacha kusumbua ww si unadanga tu
Далее
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
The ECB Decision and Press Conference
52:11
Просмотров 7 тыс.
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40