WALE MNAOULIZA KUHUSU NAMNA YA KUMPATA EDA NA INSTAGRAM YAKE NI 0735-28-28-11, 0747-75-35-66 INSTAGRAM NI @classic_finishesTZ @mkeka_wa_mbao-original DUKA LIPO KARIAKOO MTAA WA KIUNGANI NA NYAMWEZI
MashaAllah 🙏🙏🙏kila kitu ni hatua,if you dont jave the patience and passion for something lazima utapata ugumu katika harakati za maisha. Tatizo sio mtaji,bali passion na uelewa wa kutosha wa biashara iyo,ukiongeza na uvumilivu na ustahimilivu ,ukamtegemea Mungu lazima utoboe. God's time is the best time,as long as bado upo hai usikate tamaa,
Biashara ni ngumu sana mwanzoni usipotuliza akili unaweza kuchanganyikiwa na pia kuanguka ni kawaida wakati unaanza biashara mimi pia nilifanya biashara zaidi ya nne ndo nikaja kupata ramani, vingine nilikuwa nafunga mpk baadhi ya vitendea kazi vipo nyumbani. Ila niwaambie wapambanaji wenzangu ni mara chache sana kuanza biashara ya kwanza ukatoboa kupitia hyo hyo aisee. Biashara za awali kabla hatujasimama zinakuwa zinatupa lesson
Dada wewe umetisha maana mtu aliyewaza kufanya kitu kama Nicholas, kila siku naangalia movie za Kenya najiuliza hizi Floor ni marumaru au ni floor ya kawaida, now iam happy
Ni kweli kaka mimi pia nimefanya biashara nne naanguka since 2020 nilipoamua kuacha kazi na kujiajiri mpaka nilipokuja kukaa kwenye mstari last year. Mungu mwema japo kuna waliokuwa wananikatisha tamaa, kunicheka, na mengine mengi. Ila kwa vijana wenzangu wapambanaji mkae mkijua kuwa ni mara chache sana kuanza na biashara moja na ukatoboa kupitia biashara hyo hyo, so ingine inakuwa km mafunzo ya awali downfalls ni kawaida kwenye utaftaji
SAHIHI KABISA BORA MKOMBOZI UMEKUJA CEMENT NA MCHANGA SOMETIME NI GHARAMA BORA TUMEPATA SOLUTION NITAWATEMBELEA DUKANI KWAO KUPATA ELIMU ZAIDI ....NIMEONAA VITU VIZURI SANA
Niko belgium, hilo ni plastic tena halihamishiki , good idear kwa matumizi ya kitchen floor, and birthroom floor sababu iko na water resistant. Sema sio kitu cha kudumu na kinaharibika haraka na ni cha bei rahisi. Tofauti na laminaat.
Wewe dada huwezi kuweka plastic juu ya tiles nzuri, hizi kwa nchi za watu wengine zinawekwa jikoni kwenye nchi zenye carpet lakini uweke hiyo kwenye nyumba zenye tiles za ghali
Hem ww dada tuache unapewa mtaji na unajaribu tena wakat mm nimeli mara tano na maraya mwishi nikabdi nilipe maden ndo nitfte mtaji niakuza bandalang apo ndio nmeona njia siaba tuache unajua kupambana na kujirski wacha kusumbua ww si unadanga tu