Wafanyabiashara wa soko la Simu 2000, wamefunga barabara ya kuingia na kutoka katika kituo cha Mabasi pamoja na Maduka yao wakiishinikiza Serikali kutoa tamko juu ya taarifa iliyotolewa na manispaa ya Ubungo kuwa eneo lao la biashara kuchukuliwa na mradi wa Mabasi yaendayo haraka(DART), huku wao wakiwa hawana taarifa.
Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
6 окт 2024