Tundulisu Lissu ni Mwalimu asiekuelewa ni Mjinga wa mwisho Mungu nakusihi endelea kumkumbatia Huyu mwanao aliekufa ukamrudisha maana risasi moja watu wanakufa hivo kwa risasi Hizo hapo umetuthibitishia jinsi gani ulivyo Mkuu hufananishwi kabisaaa🙏🙏
Wachangiaji tusiwaonee haya ccm wanatuchelewesha nakuhalibu vizazi vyetu Tanzania co masikini kivile vyanzo vikubwa ni vya mapato ya nchi iii mafisadi wamegawana leo wanakusanya Kodi kweli kwa bibi zetu mamazetu wajane wtt yatima ,mageti kuweka vijijin nikuwanyonya masikini hata ss wanaharakati tunaunga mkomo majambazi nchi imeshindwa kujiendesha inaendeshwa na nchi zingine Katiba mbovu
Kwa maelezo yako hutaki Kodi kwa wananchi? Nchi yoyote huendeshwa kwa hela za raia wake, labda elimu ndogo ya rais unao waambia ndio watahisi wanaibiwa, Kwa wenzetu hata nyumba ya mtu ipo kwenye mfumo wa kodi, tena ni nchi zilizo endelea😢
HichibKokokotoo cha a miaka 30 kwani atakuwa Rais ni mmoja tu Tanzania? Hizi Sentensi hizi Ukweli Labda wajinga tuu wataamini. Kwenda hospital na kuambiwa kwenda Kununua Dawa pharmacy hata Marekani inafanya hivyo na sio Tanzania tuu. Marekani mtu unaulizwa ni Pharmacy gani unayotumia ili Prescription zitumwe kwenye hiyo pharmacy mtu akifika ananunua Dawa alizoandikiwa unless Isurance inalipia. Hivyo mambo ya kulipia Dawa sio Tanzania tuu tuache kudanganyana.