Viongozi wa CHADEMA wooooteee nawapenda sana MUNGU BABA awakumbatie,awafunike na DAMU YA YESU awalinde awatunze, SHETANI kwenu achomwe kwa damu ya YESU AMINA
Sijawahi kukosa kufuatilia hutuba zako kamanda lissu na huwa sitamani umalize kuongea. Mungu akubariki sana na kukulinda kila upitapo. Kura yangu unayo iwe ubunge au urais
Tundulissu ndiyo kiongozi ambae kwa sasa ana msimamo wa kusema ukweli,tumuunge mkono katika uchaguzi huu 2024/2025, Mwananchi unaejitambua amka usilale muda ndiyo huu, tusichague ccm ikrudi madarakani ni shida na mateso kwa Wananchi.
Lisu kamanda mkoa wa arusha kumbukeni huku tunawasubiri hukutunaambiwa eti ccm ndo wanajifanya wanazibiti wezi na wazembe wakati ccm ni ileile Yani atujui hii danganyatoto chuga wameitoa wapi arusha elimu ilishawafikia siku nyingi awasikilizagi sarakasi lisu karibu
kwa kweli kama lisu asemavyo ,wakati mwingine watu wa ccm tena masikini wakubwa wanaonyanyasika kwa ukubwa ndio wanaowapa kura ccm na mwishowe wanalia na kufa hovyo na presha za maisha magumu msongo wa mawazo na woga wa maisha