Тёмный

WAZIRI SILAA AMWAGA MACHOZI BAADA YA JAMAA KUTAKA KUJIUA KWA SUMU "WAMENIONEA" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 74 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 152   
@hildajoel5
@hildajoel5 3 месяца назад
Kuna nyakati unaweza kupita kama huna mtu sahihi wa kuongea nae haki unaweza kufanya maamuzi ya ajabu. Huyu kaka alifika mwisho wa akili yake ya kawaida ni nadra sana kumuona mwanaume analia hivyo mbele za watu.Uchungu aliobeba ni mzito.Mwenyez Mungu tujalie kila mwenye changamoto iliyomzidi uwezo amuonyeshe neema na njia ya kupita iliyo sahihi.Haya maisha yana mambo mengi sana😢Nyumba amejenga zaidi ya miaka 19 inavunjwa kimakosa na watu hawana habar aiseee😢😢😢
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 3 месяца назад
Mungu akuepushie hayo mawazo mabaya aisee na wote waliokosa majibu na utatuzi wa matatizo yao😢
@augustinesombi6285
@augustinesombi6285 3 месяца назад
Utendaji kazi wa Mh. Jerry na Rc Makonda, naomba watumishi muige,, tuache kujijali wenyewe kwa mamlaka tuliyopewa, kuna kifo na hukumu, tusisahau.
@kulwankuba2785
@kulwankuba2785 3 месяца назад
Makonda na huyu mkuu silaa mungu awasimamie katika maisha yenu.
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 3 месяца назад
Hongera sana Mheshimiwa kwa kufanya kazi zako kwa moyo wako wote, kutumia taalama, na kwa kufuata haki. Umejaliwa usikivu, na hiyo inakusaidia sana. Kila la kheri 🙏🏽
@johasaeed391
@johasaeed391 3 месяца назад
Aisee kwakweli nimelia
@user-kf9pu3cl9g
@user-kf9pu3cl9g Месяц назад
Yaani mama Sania Rais wetu mpendwa hakika Mungu akubariki, akusamehe mapungufu yote kama mwanadamu akulinde uendelee.kutuongoza mama. Kama kuna faraja umetupatia ni outuletea kijana mh. Waziri Silaa waziri wa Ardhi na makazi. Kijana msomi, mnyenyekevu, muungwana mwenye hofu ya Mungu.na nchi pia. Barikiwa mama tunakupenda, Barikiwa Silaa tunawaombea. Endele3ni iuwatetea watanzania.
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 3 месяца назад
Duuuh huyu waziri mbona naona huruma😢😢😢😢😢 Mungu Baba wa Mbinguni Akutunze MHESHIMIWA❤❤❤❤
@susanwambui6361
@susanwambui6361 3 месяца назад
Kazi nzurii mhesimiwa👏👏
@rehemaadam4102
@rehemaadam4102 3 месяца назад
Mdogo wangu Silaa Mungu akubariki kwa upendo wako mimi nilizurumiwa eneo langu la biashara Mikumi na mama mmoja wa kichaga na nilimshinda kesi Mahakama ya Rufaa Kilosa kwa pesa yake nikanyinwa haki yangu😭
@christainc.5217
@christainc.5217 3 месяца назад
Mutafute makonda kaka atakusaidiy
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 3 месяца назад
Muheshimiwa M/MUNGU akulinde sana na aendelee kukupa hekima uliyonayo kazi njema
@vickyshayo7880
@vickyshayo7880 3 месяца назад
Jerry kaletwa Na Mungu tuendelee kumuomba jamani pole Sana mwanangu kwa kweli umeumia
@neemanziku5403
@neemanziku5403 3 месяца назад
Hongera Sana jerr silaa tunakupenda mno Mungu akutunze
@mwanakombopopo5117
@mwanakombopopo5117 3 месяца назад
Duh paka machozi yanitoka 😭😭😭 ya Allah tuhurumie waja wako hasa ss wanyonge na atujalie kupata tutakacho weza kunitumia kwa njia ya haki sio chakudhumu watu wasio na atia
@user-sx1xi4yb2z
@user-sx1xi4yb2z 3 месяца назад
Waziri hongera na mungu akubariki,,, Naomba uje na kwetu kibaha,,,kata ya kidimu, Tumezuiwa kujenga ili kupisha ujenzi wa bara bara nane,,miaka Sasa imepita,,Hadi tuna zeeka,Kila siku tunapigwa tarehe tuu ya kulipwa pesa zetu za fidia,, Baba tunaomba uje kibaha jamani,,
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 3 месяца назад
I love this man
@ireneimbuhira7759
@ireneimbuhira7759 3 месяца назад
Feel his pain 💔 😢👏 pole sana kaka
@malietamaliet
@malietamaliet 3 месяца назад
Nyie nimejikuta nalia jmn 😢bduuh hii Dunia mwenyezi Mungu atusaidie aki pole kaka etu baba etu alifariki 2003 akatuacha na mama pekee ndugu zake wakachukua Kila kitu mashamba alikua na maboti wakachukua ila adi sai Mwenyezi Mungu kamsaidia mama angu adi kutufikisha apa azid kumpa maisha marefu mama angu mzazi 🤲🙏 amen 🙏
@fatmamati5246
@fatmamati5246 3 месяца назад
Allah akubarik muheshimiwa na akulinde na kila hatua unayo piga amiin
@ashuramuhammed3257
@ashuramuhammed3257 3 месяца назад
Huku Zanzibar hakuna viongozi kama Hawa why kwel zenji si nchi zuluma tupu huku #
@Natashawaziri-bv2xl
@Natashawaziri-bv2xl 3 месяца назад
Wallah tunaumizwa sana ktk hili
@ruthleonard2958
@ruthleonard2958 2 месяца назад
Nimelia jaman.. Dah katika yote Mungu yupo
@muniraahmed624
@muniraahmed624 3 месяца назад
Asee imeniumaaaa Sanaa nimeliaaa ma mm 😢😢😢 huyu jamaa namfaham anauza cheni pale stendi
@StellaWaillu
@StellaWaillu 3 месяца назад
Mungu akulinde mh Jerry
@janetchinga695
@janetchinga695 3 месяца назад
Nakombea waziri Stra mungu akulinde baba uishi myaka mingi usizeke akaraka ufanyekazi apaduniani ❤❤❤❤ from Capetown South Africa
@THOMASMAYOGU-vu5ny
@THOMASMAYOGU-vu5ny 3 месяца назад
Hongera sillaa❤❤❤❤❤
@mahmoudhamisi673
@mahmoudhamisi673 3 месяца назад
Dah jamaa kanifanya mpaka na mm nalia
@boniventurehussein7276
@boniventurehussein7276 3 месяца назад
Makonda kuja Arusha tunashukuru jer slaa pia Mungu akulinde tunanyanyasika
@JescaMuyabi-ix8ly
@JescaMuyabi-ix8ly 3 месяца назад
Pole Sana
@ahmesaofficial9611
@ahmesaofficial9611 2 месяца назад
Mitaaa ya kibaha (kidimu) piaa wananchi wanateseka na masuala ya Ardhi
@ElihurumaThomas-kz8nq
@ElihurumaThomas-kz8nq 3 месяца назад
JERRY SLAA NI KIONGOZI MZURI MUNGU AMPE NAFASI KUBWA ZAIDI KATIKA NCHI YETU
@user-cb5zb3fy8y
@user-cb5zb3fy8y 3 месяца назад
MAMA etu SAMIA Hawa ndo mawaziri wakuwakumbatia na watakao kuvusha. Achana na mawaziri wale wenye swager nyiingi mdomoni lkn hawana uchungu na mateso wanayo pitia wa TZ
@naigeorge7765
@naigeorge7765 3 месяца назад
MUNGU akutunze Mh.waziri.Tunakuombea
@njuka3515
@njuka3515 3 месяца назад
Huo ndio uongozi sio ule wa kukaa kwenye viti ofisini
@safiaothman5175
@safiaothman5175 3 месяца назад
Pole kaka Mwenyezi Mungu yupo nawe.
@mwantumuhassani5086
@mwantumuhassani5086 3 месяца назад
❤ mwenyezi mungu akulinde silaha
@fifo262
@fifo262 3 месяца назад
Mungu tusaidie na ugumu huu wa maisha tunaopitia
@MonicaDamsoniMonikaDamsoni
@MonicaDamsoniMonikaDamsoni 3 месяца назад
Mungu akubari sana kaka
@RASHIDMOHAMMEDI
@RASHIDMOHAMMEDI 3 месяца назад
Mwenye kujua njia ya kumpata muheshimiwa naomba connection yake please sababu hata sisi na familia yetu tumezurumiwa vya kutosha na tunatamani tupate haki zetu
@suleymanimixkatafighter2669
@suleymanimixkatafighter2669 3 месяца назад
Mh silaa nafanya kazi nje,ma sanaa ameokoa uhai wa kijana
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 3 месяца назад
Pole sana kaka...Arusha Kuna maumivu sana...mh.waziri Rudi umalizie kiporo Cha clinic. KUMBUKA ulituahidi...tuna maumivu makubwa sana
@user-kt1vy1wf7d
@user-kt1vy1wf7d 3 месяца назад
Ooh lord, it's so painful, but God is good
@christaoman8890
@christaoman8890 3 месяца назад
Kwa kweli muheshimiwa Silaa kwapamoja muendelee kuungana na Makonda ili muwanyooshe mabepari na makabaila yanayodhulumu mali za watu
@OllerDesononline6333
@OllerDesononline6333 2 месяца назад
Kaka Allah akulinde n wakuache ktk kitengo hicho hicho. Naimba serikali kwahlo. Insha'Allah
@SaadiyaMohammad-og5bg
@SaadiyaMohammad-og5bg 3 месяца назад
Goog wazire hakee huyo bro amitowa machozia apatea hakee yake naww wazire mungu takulipa
@johasaeed391
@johasaeed391 3 месяца назад
Jamani 😢😢😢😢😢😢😢 uwiiiii nakufa kwa uchungu nilivyo hapa nataabika kutfuta pesa nimalize nyumba yangu alafu nizulumiwe jamani inauma sana
@rewardyesse7314
@rewardyesse7314 3 месяца назад
Hata ningekuwa mm slaa ningelia,,ni machozi flani hivi yanakutoka baada kugundua ulifanya jambo lililobadilisha maisha ya mtu bila ww kujua,,,hotuba imeleta tumaini
@neemaneychricious6493
@neemaneychricious6493 3 месяца назад
daaah mwanaume mpka alie ameumiaa kwel mwenyew mpka nimelia daaah pole sana broo na mweshimiw hii ndio talantaa umepew na Mungj na Mungu akutetee piah
@paulinakiria7918
@paulinakiria7918 3 месяца назад
Huyu kaka ameongea Kwa uchungu
@denisrukangula2227
@denisrukangula2227 3 месяца назад
Ukiona mwanamume analia ujue kaumia sana
@ashahassan2120
@ashahassan2120 21 день назад
kwakweli huyu waziri namakonda mungu akuweke na awalinde na madui zaidi yayo 😂
@TumbaBolengeinnocent
@TumbaBolengeinnocent 3 месяца назад
Uyu ndo magufuli wapili nazani watu sahi Bado wapo
@user-vf5gs7ik7w
@user-vf5gs7ik7w 3 месяца назад
Kbs
@judyngowi391
@judyngowi391 3 месяца назад
Tuwaombee sasa hawachelewi kuwaondoa
@thomastemu3332
@thomastemu3332 3 месяца назад
Inauma 😢jamani mungu akutie nguvu waziri wangu
@ramadhanisalum3898
@ramadhanisalum3898 3 месяца назад
Hapa paul makonda pale jerry silaa wee spana watakula wale wezi na wapenda rushwa
@eddietaxidriverzanzibar4395
@eddietaxidriverzanzibar4395 3 месяца назад
Hii Safyy MuheshmiW 🔥🔥🔥👏👏
@PASCHAL-kh8qp
@PASCHAL-kh8qp 3 месяца назад
Kazi nzurii mheshimiwa wazir
@abedysteven4930
@abedysteven4930 3 месяца назад
Aisee ila haya maisha bana Kama Huna pesa 2tateseka xana dah😭😭😭
@ismailchibonda5005
@ismailchibonda5005 3 месяца назад
Aise dah! Inauma sana
@LovelyOmbreSky-pu4jt
@LovelyOmbreSky-pu4jt 3 месяца назад
Hii ndiyoo tanzania ya sasa mwenye pesa anakuwa na mamlaka ya kufanya lolote lakini Kuna baaziya viongozi wachache wanajaribu lakini mmmm itakuwa ngumu sana coz wapo wachache kuokoawanyonge
@user-pd1kt3xr3s
@user-pd1kt3xr3s 3 месяца назад
Yaani inauma sn uje na dar es salaam mkoa wa pwani kibaha uku niatari mh
@mswadikinamambo2276
@mswadikinamambo2276 3 месяца назад
Mkuu, habari tunachangamoto ya mgogoro wa ardhi nyumba zetu zinavunjwa bila utaratibu elekezi tunamuomba mheshimiwa silaa namba zake nasisi tutoe kero zetu, matatizo ni mengi sana yanatuandama wananchi
@LeonardChacha-it2pb
@LeonardChacha-it2pb 3 месяца назад
Jaman viongozi mjitathimin dhambi mbaya sana hiz,
@MrishoHussein-oz9nr
@MrishoHussein-oz9nr 3 месяца назад
Mh mmungu akulinde maana kupambana na manyangau kazi ngumu sana lakini kwa uwezo wa mmungu utashinda vita hivi
@fifo262
@fifo262 3 месяца назад
Da ! Mambo magumu
@user-yp8vt8ni8e
@user-yp8vt8ni8e 3 месяца назад
Najiuliza maswali mengi sana Ivo chain ile inafanana nini hawajui wajibu wapi au
@eddytheophil7626
@eddytheophil7626 3 месяца назад
Pole sana brother..
@kamrudinelias3922
@kamrudinelias3922 2 месяца назад
2025 nje nje au!!!!!
@frankazalia5985
@frankazalia5985 3 месяца назад
Polèe sanaaa aseeee
@KassianChengo
@KassianChengo 3 месяца назад
Mheshimiwa kuna Eneo la Kimele kule Bagamoyo karibu na Shule ya BAOBAB kuna ukatili watu wanadhurumiwa viwanja na pesa na watu wanaojiita Kamati ya Ugawaji wanauza viwanja mara tatu,nne mpaka hata mara saba msaada wako Mheshiwiwa.
@zabibubashiri3034
@zabibubashiri3034 3 месяца назад
Daah nnamwelewa huyu kaka tunatafuta kwa shida sana mtu kujakukupora ulichokipambania mhm
@MagdalenaMatiko
@MagdalenaMatiko 3 месяца назад
Mungu hajaruhusu kifo chako
@ajaykilawah2622
@ajaykilawah2622 3 месяца назад
Imargin slaaa waziri mkuu na makonda raisi wanchi😅😅
@LudovickTibakyenda-gs2wh
@LudovickTibakyenda-gs2wh 3 месяца назад
Makonda waziri Mkuu, Jerry Rais
@user-cz5oy1od5d
@user-cz5oy1od5d 3 месяца назад
Nchi ya mateso tupu, Jumatatu hadi Jumapili. January mpaka December.
@honoratusmodest285
@honoratusmodest285 3 месяца назад
Mimi nimezulumiwa eneo langu lindi jelii njoo lindi
@giftyjohn3852
@giftyjohn3852 3 месяца назад
Haya mambo ya kisenge kisenge tutakuja kuuana siku moja😭
@EsterMbise-pj4vd
@EsterMbise-pj4vd 3 месяца назад
Jamani huu ni wakati wa mungu kuwasaidia watu mungu aendelee kuwalinda jamanimsaidie watu
@babazungu3180
@babazungu3180 3 месяца назад
Tatizo letu sis watanzania hatupendan kabisa roho mbaya ndiyo inatumiuumiza sn
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 3 месяца назад
Ccm hutengeneza tatizo halafu waje walitatue kupata kick. Hili eneo kesi imechukua miaka zaidi ya 30 je serikali ilishindwa kutumia busara. Kwa tulioona hili eneo kiukweli inauma sana
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 3 месяца назад
Masuala ya Ardhi kuchukua miaka si ajabu. Lakini usisema tatizo limetengenezwa litatuliwe! Mheshimiwa Waziri anafanya kazi zake kwa moyo na haki. Acha kumtuhumu kwani hujui ufanyaji wake wa kazi. Jiongeze zaidi.
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 3 месяца назад
Huna akili wewe mpumbavu, kila kitu ccm, huyu jamaa ni kijana na muadilifu hana njaa na hatokei kwenye njaa na kwao yeye peke yake ndio mwanasiasa, malezi na maadili mema na hofu ya Mungu ndio humpelekea kuwa hivi, ila hata makonda nae si kijana? Na kazi yake si inaonekana? Tuliwaamini wazee ndio walitufikisha hapo na wala si maswala ya chama.
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 3 месяца назад
Akili za kufikiri ujinga 😢😢
@chany9950
@chany9950 3 месяца назад
Nimejikuta naria 😭😭 pore baba🙏🏾
@reginamtitu5592
@reginamtitu5592 3 месяца назад
Ayo TV nawapenda sana naomba na mimi mnisaidie mimi na mme wangu tunateseka tunaishi kwashida naomba mnisaidie
@NixonJohnson-zn8nk
@NixonJohnson-zn8nk 3 месяца назад
Mimi sijiui nitaua... Weeee mtu asiniletee umwamba nitampotesa ili na Mimi nipotee sio nipotee ni la wao
@dr.phormenykishaija6508
@dr.phormenykishaija6508 3 месяца назад
Da😪
@jareengeorge5478
@jareengeorge5478 3 месяца назад
Hao watu Mungu awalaani.wanaoumiza watu.
@MariaChiwaligo
@MariaChiwaligo 3 месяца назад
Hata cc shamba letu limeuzwa kitapeli .. cijui nampataje
@SKY-fk3fz
@SKY-fk3fz 3 месяца назад
Arusha kumezidi kwa dhulma
@samiraabdimahamed4449
@samiraabdimahamed4449 3 месяца назад
😢😢😢😢
@youngtomuller-vh2pu
@youngtomuller-vh2pu 3 месяца назад
Sinto muito mas Allah vai ti perdoar insha-Allah 😢😢😢
@barakadaprince3742
@barakadaprince3742 3 месяца назад
So painful 💔 😢
@frankdablacknation2057
@frankdablacknation2057 3 месяца назад
Mungu ndio tumaini la mioyo yetu na si kitu aina chochote
@FaridaKaduguda
@FaridaKaduguda Месяц назад
Duuu sasa sisi huko kigoma tumedhulumiwa. Na hatujui tuanzie wapi?
@Natashawaziri-bv2xl
@Natashawaziri-bv2xl 3 месяца назад
Daaah
@mohamedkitemwe3569
@mohamedkitemwe3569 3 месяца назад
Inaumiza sana
@ArafaJafari
@ArafaJafari 3 месяца назад
Dah 😢😮
@Allybinamour
@Allybinamour 3 месяца назад
nataman huyu wazir angekua mzanzibar akafanya kazi huku
@ChemworldTV
@ChemworldTV 3 месяца назад
Nyi wazanzibar mbona naona mambo yenu yanaenda vizuri tu... huku kwetu ndo hatari sana
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc 3 месяца назад
Yaaan nch yetu jomon dhuruma kila kona
@SayiMadaha-fq7tu
@SayiMadaha-fq7tu 3 месяца назад
Mm napongeza wote mulio mupongozi wazir huyu
@e.mwaipasitv8088
@e.mwaipasitv8088 3 месяца назад
Duuuu Hakika Haki ni Haki
@imanimussa6256
@imanimussa6256 3 месяца назад
Watu km huyu wazir hawakushuka tu bali ni malezi mazur na utu wa wazee wake Mungu atuekee kizazi hichi chema
@lordenoughforme4417
@lordenoughforme4417 3 месяца назад
Unafiq tu apa.makafiri muna movie zakilongo .
@lvanyDaniel_pw7kk
@lvanyDaniel_pw7kk 3 месяца назад
Mimi sio nabii ila huyu alie shika maic ata kuwa shabiki wa utopolo
@bensonwissa5777
@bensonwissa5777 3 месяца назад
Kuna wananchi wanateseka Sana so sad😢
@teddyndungurusabnu4792
@teddyndungurusabnu4792 3 месяца назад
hapa Paul makonda,, pale jerry siraha we huogopii😅
Далее