Body language kamishna anaonekana kuna kitu anajaribu kumchanganya waziri..Ushauri wangu waziri Silaa anapokwenda sehemu hadi sehemu afanye maombi hawa watu wanaroga sana kuizima akili yake asione madudu ya watumishi...Ila Mungu atakulinda waziri Silaaa
Waziri hebu toa namba zako wallahi natamani unywe alau soda kwa pesa inotokana na jacho langu ..kazi kubwa unayoifanya mungu akuongoze na akulinde na kila shari amin
Mungu akulinde leo hadi kesho kwani unafanya kazi mzuli sana kwa wanyonge naamini kwa uwezo wa mungu utapata shemu ya uongozi wa ju sana kupitia maombi yetu sisi wanyonge
Makamishna wa Ardhi na Maafisa Ardhi ni Matapeli na wanashirikiana na Matapeli wa Ardhi.Hapo umezungukwa na nyoka wenye sumu wanakuchora tu.... Mungu akulinde kwani wanakuchosha na kukuzeesha kwa majukumu ambayo walipaswa wayatatue wao!!
Duh kumiliki ardhi nayokazi kweli kweli wahuni waliopo madarakani wana weza kukufanya uchanganyikiwe. Wallah hawa watu ndio.waliosababisha uchawi ukawepo watu wana choka aseeh
Hongera waziri. Wananchi tunafuatilia kwa karibu kazi kubwa unayoifanya. Watendaji ni aibu kubwa. Majukumu ambayo wangetakiwa wayatekeleze wakubebesha wewe. Kuna hajagani ya kuwa na kizazi hicho keenye ajira na mishahara. Local investors badala ya kuwa gaided ndio wanaonyanyaswa kikubwa. Sijui kama utayamaliza hayo majambazi
Body language unaona hapo kuna mchezo ulishapangwa. Kuna maafisa hao6. Kwanza huyo Kamishna na wenziye wawili waliokaa pamoja na nyuma ya Kamishna kuna huyo dada mwenye flana ya bluu anajikuna sana kichwa na anateta kitu na jamaa pembeni yake na yule mwenye shati la pinki. Na Kamishna huyo muhasibu alipokuja, hakuntambulisha kwa waziri kwanza. Alikuwa anamnong'oneza jambo na akamfinya begani wakati waziri anamuhoji huyo mama Msajilo. Baaadaye ndiyo Kamishna anasema, "Mhasibu huyu hapa ameshafika"...
Silaa aende na kule vijijini na wilayani kama kule kilosa n.k. ambako inasemekana wakubwa wengi wamejitwalia mapande ya ardhi,yataifishwe mapema,yasijeleta migogoro baadae.
Kila nikimwangalia kamishna huyu katika kila clip hatulii aidha macho,mwili wake ndyo kabisa utulivu unapotea.Lazima kuna kitu kinaendelea ,waziri pls mweke pembeni na mfuatilieni