Ebwana weee *EDUCATION IS THE KEY OF LIFE* kama ukusoma utathubutu yote haya, tena kukabidhiwa office, Love you *JOKETE* Allah akusimamie katika kazi zako, nakupenda sana.
Kila jambo huwa si rahisi kulianza..mh Mungu akutangulie zidi kuonyesha kuwa vijana tuna nguvu na tunaweza kufanya vizuri ili kuijenga nchi yetu..do not think to make money itachafua uchaji hizo zitakuja kama matokeo ya kufanya kazi..pambana tumuunge Rais mkono pia kwa maendeleo ya taifa letu,, love you TANZANIA & GOD BLESS US.
Huyu mama anamuonea wivu joketi mana yeye mkubwa kiumri joketi mdogo asa hapa kazi tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu my joket piga kaz nakupenda sana
huwezi jua kilichomfanya aongee na simu, je kama anatarifiwa msiba,ama janga lolote undhani atajali nini? kumdhania mtu sio vizuri ndio maana joket amechukulia normal anajua nini maana ya Maisha.
saidi Mkombo sanaa yani huyu dada kumbe ni jembe zuri tu magu kweli amelenga penyewe vijana kama hawa wapewe nafasi kwanza akili za vijana ziko very active
Huyo katibu anayeongea na simu yake wakati wageni wanaingia atumbuliwe. Ni ukosefu wa heshima. Huyu ni type ya wale maofisa wanaofuatwaga maofisini na wanannchi wanawapangisha foleni huku wakifanya shuguli zao binafsi.
Yaani amenikera sana. Sasa imagine wewe mwananchi wa kawaida unaingia hiyo ofisi unashida. Hata kama ni ofisi ya chama, maana ndo chama chenye dola, kama mwananchi upende usipende utendaji wao unatuhusu. Na mijitu ya design hii imejaa kwenye ofisi za umma. Ndo maana siwahurumiagi wakitumbuliwa. Maana alisikia wakati bado wako nje JOJO anakula saluti kuwa wamefika hilo eneo, alitakiwa simu iwe imezimwa afanye kazi anayolipwa kuianya. Dharau kubwa sana. Na hapo kamera zipo, camera zisipokuwepo ndo atamsikiliza JOJO huyo? Nimefurahi huyo dada mkuu wa Wilaya anayetoka alivyomsema papo hapo.
Kuna watu wana zarau DC anaingia katibu wa ccm kisarawe ana ongea na simu, yani mpaka DC anaye mkabizi madaraka DC mpya ana chukizwa nae kwa kusema ana angaika nae walione hili watu wa ccm ktk utendaji katibu mwenezi nazani ameliona hili.
Shida ambayo imeshaanza kujionyesha kwa uchi wa macho ni huyu msichana wamemuovaload. Hao akina mama watamsikiliza kweli? Navyojua hii bongo duuh.. yetu macho. Huenda anafaa lkn mpaka ajekujenga uzoefu si miaka 2 itaisha? Magufuli damu lkn hapa alilikoroga...
Sururu hakuna anaeteuliwaga anajua lakini jinsi wanavyoendelea ndipo wanapata uzoefu naamini atafanya vizuri saana huyu binti yupo makini sana sio kama watu wanavyoongea huko mitandaoni
Sururu hakuna experience MTU atakayopata bila kupewa nafasi, experience is obtained by getting opportunity my friend, la sivyo waajiliwa wapya hawastaili kupewa kazi, langu jicho