Asee mungu anajua nmemsikiliza uyu kaka hakika mungu campania kipaji kikubwa na yote mwenyez mungu aendelee kuwalinda yeye na mkewake pa1 na timu yake nzima❤
Nimependa hotuba nzuri ya DC magoti, Kwa kumsikuliza tu nimegundua ni mtu mwenye hekima Sana, DC magoti mwenyezi MUNGU akubariki Sana na akuinue ktk viwango vingine ktk uongozi wako. Nimependa pia ulivyomtambulisha vema mkeo, hakika umempa thamani kubwa Sana. Umeinyesha mfano wa kuigwa. Ubarikiwe kaka.
Magiti ulimurume na Mungu akulinde ata cheo chio bakuyaye nkitoto achikusabhira bakongeshe ubhe Mkuu wa Mkoa, karibu mwanza Nyagezi, Mungu akubariki sana DC Magiti umetulia sana.
Kweli kabisa,akatengeneze timu yake kama Makonda,wanasheria na sekta zote wawemo... Mungu awatangulie watu wa Kisarawe wakajivunie kama cc wa arusha na Makonda wetu.
@@dorahmushi-we6tskwani makonda ana nini mimi nilimpelekea tatizo langu hakuweza kutatua mpaka leo ninavyokomenti hapa hajaweza kama mnakumbuka makonda aliitisha wananchi pale wenye kesi mbalimbali hakuna hata moja aliyotatua ikiwemo mama mmoja alikuwa na offer akaenda mhaya mmoja kuchukua hati ardhi huu mgogoro wa kweli wa kutatuliwa kwa sekunde tu lakini hakuna alichofanya zaidi ya kuwasumbua wananchi wale..!
Mh magoti Kuna watu wamekusubiria muda mrefu sn na Leo umefika ,,Tembelea Kijiji cha Tondoroni chemchem watu Hawa wametafuta kujua hatima yao muda mrefu nenda uwaambie kati ya Mambo mawili wabakie na eneo lao ,,au Waondoke walishalipwa ili maisha mwingine yaendelee..mgogoro ule ufike mwisho ...mm toka mdogo mgogoro upo Kijiji kina hati ya halali 1992 unaambiwa kilitasminiwa kiondoke 1984-86 aliyetoa hati ya 1992 ni nani?...hebu wasaidie Hao wanyonge sio washinde isiyo haki yao waambiwe Waondoke,,,kama ni haki yao wapewe ...wanasumbuliwa na Viongozi wao wasio waaminifu kuchangia kila siku Kesi na haiishi ...nenda mungu akuongoze mgogoro huo ufike mwisho...sijajua waliokutangulia walikua wanatishwa na nn ila najua na nazifahamu kwa kusikia KAZI zako unakwenda kumaliza huu mgogoro kabisa ,,mungu akutangulie sn na kukupa maisha mrefu barikiwa sana Mh DC Magoti
Yani nimesisimuka kusikia hotuba fupi au maelezo ya shukrani ya DC magoti kumbe inchi hii inahadhina kubwa ya viongozi wenye busara na hekima soon your going to be Rc trust me one day you remember my expectation
Kaka umeongea mpaka machoz yamenilenga , hakika saut kama mwamba wetu alyelala chato kat ya maneno ya hekima na busara ndo haya tunayoyataka ,maneno yasyokuwa na ufisadi Wala vijembe kama wengne
Mh. DC Magoti, hongera sana kwa nafasi uliyoipata. Hakika umempata kiongozi mahiri (RC Mh. Mhandisi Kunenge), historia ya utendaji wake unajidhihirisha kwa vitendo na ueledi. Ni Mtendaji mahiri, mwelimishaji na mlezi mzuri sana. Siyo kiongozi wa mtandaoni hata siku moja, na kazi zake zinaendelea na kupimika vizuri sana. Hongera sana Mh. Magoti, hongera sana Mh. Mhandisi A. Kunenge kwa uchapaji KAZI wako uliotukuka.
Jamaa akili kubwa sana awakukosea kuwa ikulu, amejaa hekima, unyenyekevu, nazani Raisi kumteuwa mkuu wa wilaya ni hili amsaidie tumtazamie zaidi kwenye field kama yeye alivyo sema.
Kwani kigogo si zuzu na huwa anawapenda mazuzu wenzie lakini watu wenye kujielewa kama hiki chombo ni maadui kwake. Muacheni Magoti apige kazi hawezi kuwanyamazia watu wasio waadilifu
Acha dharau wewe, hiki kijamaa maanake nini? Kuwa na kauli za heshima huyu ni mtu makini mnyenyekevu na muadilifu, mwenye kujielewa na kuaminiwa kufanya kazi katika ofisi kuu yenye Mamlaka ya nchi Ikulu na bado kaaminiwa kuiongoza wilaya na watu wanamuheshimu na kujifunza na kuomba ushauri kutoka kwake wewe unatoa kauli za hovyo kama hizo. Jiheshimu, heshimu watu na uheshimu watu wa Mungu na uumbaji wake