Тёмный

DC MAGOTI AMTAMBULISHA MKEWE WAKATI AKIPEWA WILAYA YA KISARAWE | RAIS SAMIA HALALI SISI TUNALALAJE 

RAI TV
Подписаться 87 тыс.
Просмотров 96 тыс.
50% 1

Развлечения

Опубликовано:

 

13 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 126   
@user-jh1dn7cy6p
@user-jh1dn7cy6p 23 дня назад
Asee mungu anajua nmemsikiliza uyu kaka hakika mungu campania kipaji kikubwa na yote mwenyez mungu aendelee kuwalinda yeye na mkewake pa1 na timu yake nzima❤
@TumainiNjema
@TumainiNjema 22 дня назад
Nimependa hotuba nzuri ya DC magoti, Kwa kumsikuliza tu nimegundua ni mtu mwenye hekima Sana, DC magoti mwenyezi MUNGU akubariki Sana na akuinue ktk viwango vingine ktk uongozi wako. Nimependa pia ulivyomtambulisha vema mkeo, hakika umempa thamani kubwa Sana. Umeinyesha mfano wa kuigwa. Ubarikiwe kaka.
@tanzaniasociallightfoundat9053
@tanzaniasociallightfoundat9053 Месяц назад
Mh. Magoti anaongea na kwa hekima sanaaa. Yafaa kuigwa hivii. Ni maombi yetu Mungu amsaidie achape kazi kumsaidia Mh Rais Katika eneo lake.
@kitejamayunga7645
@kitejamayunga7645 Месяц назад
Dah! Nimekoshwa sana na DC magoti. I wish angekuwa ndugu yangu. He has a sense of solidarity. Chapa kazi bro
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 Месяц назад
Hongera sana Mhe.Mungu akuwezeshe utekeleze majukumu yako kwa ufanisi na kwa weredi... in'shaAllah 🤲🙏
@user-sc2ze2rn6n
@user-sc2ze2rn6n Месяц назад
Mungu aendelee kukuinua zaidi na zaidi
@janethcharles6943
@janethcharles6943 Месяц назад
Mungu akutangulie Muheshimiwa Magoti
@charleshaule4008
@charleshaule4008 17 дней назад
Hongera sana Mh DC Mungu aendelee kukusimamia!
@johnsimba
@johnsimba День назад
Magiti ulimurume na Mungu akulinde ata cheo chio bakuyaye nkitoto achikusabhira bakongeshe ubhe Mkuu wa Mkoa, karibu mwanza Nyagezi, Mungu akubariki sana DC Magiti umetulia sana.
@NdayiragijeJeanclaude-cj7om
@NdayiragijeJeanclaude-cj7om 2 дня назад
Binafsi MANENO urio tumia KIONGOZI munguu akuongoze ubalkiwe nafamilia Yako ❤❤❤😮😮🎉
@user-jf1yd4oi4w
@user-jf1yd4oi4w Месяц назад
Hongera sana kaka,Mwenye enzi Mungu akuogoze
@user-eh5ss4dw1c
@user-eh5ss4dw1c 3 дня назад
Kama Magufuli❤
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Месяц назад
Kaka ongera kaendelee kuchapa kazi. Kaka kawe kama makonda❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Месяц назад
Kweli kabisa,akatengeneze timu yake kama Makonda,wanasheria na sekta zote wawemo... Mungu awatangulie watu wa Kisarawe wakajivunie kama cc wa arusha na Makonda wetu.
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Месяц назад
Mungu azidi kukutangulia na kuwalinda.
@odiliacharles3512
@odiliacharles3512 Месяц назад
Hujui Hata Kuandika Vzr!!!!Ni Hongera Cyo Ongera.Unataka Awe Kama Makonda Kivipi????!!!!!
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 Месяц назад
​@@dorahmushi-we6tskwani makonda ana nini mimi nilimpelekea tatizo langu hakuweza kutatua mpaka leo ninavyokomenti hapa hajaweza kama mnakumbuka makonda aliitisha wananchi pale wenye kesi mbalimbali hakuna hata moja aliyotatua ikiwemo mama mmoja alikuwa na offer akaenda mhaya mmoja kuchukua hati ardhi huu mgogoro wa kweli wa kutatuliwa kwa sekunde tu lakini hakuna alichofanya zaidi ya kuwasumbua wananchi wale..!
@davidrweyemamu938
@davidrweyemamu938 Месяц назад
Magufuli tone!
@jacklinelusekelo4842
@jacklinelusekelo4842 Месяц назад
Duuu akili mingi kama JPM had sauti Mungu akujalie Dc
@JeremiasikilianiJeremiasikilia
@JeremiasikilianiJeremiasikilia Месяц назад
Indeed, may god bless you DC Magoti and your family in Jesus name Amen 🙏🙏
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 Месяц назад
Mbn anaongea km magufuli
@TharcissCiza
@TharcissCiza 21 день назад
Heshima kubwa sana kwako, ninaamini katika uwezo wako . Nakupenda bure mhe. DC
@user-oy9wr2zc6x
@user-oy9wr2zc6x Месяц назад
Hongera sana mheshimiwa kapige kazi.
@aliceudoba3672
@aliceudoba3672 Месяц назад
Mungu baba awe nawe siku zote za maisha yako
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Месяц назад
Hakika kaka una mke mzuri sana na mpole🎉🎉🎉🎉
@user-th6mr7sq2k
@user-th6mr7sq2k Месяц назад
Be bless dada naomba umlee huyo mume kwa upendo sawa mama
@josephminja7953
@josephminja7953 Месяц назад
Hongera sana unaonyesha una unyenyekevu
@hamisaramadhan-ft9mi
@hamisaramadhan-ft9mi Месяц назад
MH.magoti mungu akutanguliee ktk utendaji wako wa kaz🤲
@user-gb6us5xt1p
@user-gb6us5xt1p Месяц назад
Hongera sn mh. ALLAH akusimamie kila hatua
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 7 дней назад
Mashaallah tabarak ❤❤❤upo vzuri kiongozi
@chikujuma18
@chikujuma18 6 дней назад
❤❤❤ mashallah hongera kwa hotuba nzur
@christinadominic980
@christinadominic980 27 дней назад
Hongera sana kaka kwa kazi hii mungu akusimsmie popote ulipo
@user-hp7rx4zk4t
@user-hp7rx4zk4t Месяц назад
Jmn mzee magu uyu ...nmeckiaa kweli kweliiiii
@mohamedmhando8548
@mohamedmhando8548 Месяц назад
#kazi Iendelee 👍
@CharlesMwita-sl1jf
@CharlesMwita-sl1jf 25 дней назад
Umeongea vzr kaka,nakutakia majukumu mema,mungu akulinde
@princesaha3262
@princesaha3262 Месяц назад
Kachero mkongwe
@FmYiu-vx2cs
@FmYiu-vx2cs Месяц назад
Mungu akutangulie
@user-jm8ij5xy4t
@user-jm8ij5xy4t 28 дней назад
Mungu akujalie hekima zaidi 🙏
@tielyelibariki8958
@tielyelibariki8958 29 дней назад
Mama Samiha nimefurahi sana kumuweka huyu baba ktk uongozi anastahili. Mungu akulinde sana ❤
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Месяц назад
Maashaallah
@yohanampangule8817
@yohanampangule8817 Месяц назад
Hongera Mkuu Wa Wilaya.Mh.P.Magoti.Kaa kwenye Sheria ,Be Strong.
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar Месяц назад
Mashaallah❤❤❤
@user-oj3lv6et4n
@user-oj3lv6et4n Месяц назад
Huyu ndiye mkuu wa wiraya zote Tanzania 🇹🇿
@HinohiatHidoCo
@HinohiatHidoCo 5 дней назад
Wilaya na siyo wiraya.
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 Месяц назад
Mkuu wa wilaya mkubwa sana anatembea na Prontoko kabisaa
@user-cd8ge8mx7p
@user-cd8ge8mx7p Месяц назад
Mungu akutangulia mhe.magoti
@Zubaiba
@Zubaiba 3 дня назад
Hongera sana mheshimiwa magoti
@Zubaiba
@Zubaiba 3 дня назад
Mashaallah mashaallah 🎉🎉
@BlandinaKahuru-ur5el
@BlandinaKahuru-ur5el 21 день назад
Mwenyezi Mungu akulinde
@petermgosi5111
@petermgosi5111 25 дней назад
Mungu akutangulie katika majukumu yako
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 Месяц назад
UBALIKIWA KIONGOZI MAGOTI PAMOJA NA VIONGOZI WENZAKO NA FAMILY YAKO ❤❤❤
@kiondoshaghude4966
@kiondoshaghude4966 Месяц назад
Mh magoti Kuna watu wamekusubiria muda mrefu sn na Leo umefika ,,Tembelea Kijiji cha Tondoroni chemchem watu Hawa wametafuta kujua hatima yao muda mrefu nenda uwaambie kati ya Mambo mawili wabakie na eneo lao ,,au Waondoke walishalipwa ili maisha mwingine yaendelee..mgogoro ule ufike mwisho ...mm toka mdogo mgogoro upo Kijiji kina hati ya halali 1992 unaambiwa kilitasminiwa kiondoke 1984-86 aliyetoa hati ya 1992 ni nani?...hebu wasaidie Hao wanyonge sio washinde isiyo haki yao waambiwe Waondoke,,,kama ni haki yao wapewe ...wanasumbuliwa na Viongozi wao wasio waaminifu kuchangia kila siku Kesi na haiishi ...nenda mungu akuongoze mgogoro huo ufike mwisho...sijajua waliokutangulia walikua wanatishwa na nn ila najua na nazifahamu kwa kusikia KAZI zako unakwenda kumaliza huu mgogoro kabisa ,,mungu akutangulie sn na kukupa maisha mrefu barikiwa sana Mh DC Magoti
@wemakanka3171
@wemakanka3171 Месяц назад
Hongera DC magoti mungu akutangulie
@lerakalaita6909
@lerakalaita6909 20 дней назад
Nimemsikiliza MH.DC MAGOT yaani hotuba yake namuona MAGHUFULI ndani yake ❤❤❤🎉🎉🎉
@salimkhamis3638
@salimkhamis3638 10 дней назад
Kumekucha amka usije ukajikojolea! Bado una ndoto za Magufuli tu
@user-px3po9lt8g
@user-px3po9lt8g Месяц назад
Kweli kweli nimemkumbuka uncle magu r.i.p
@RachelMwakitalu-db2vj
@RachelMwakitalu-db2vj 22 дня назад
Kwa kwl Mungu kaweka kitu ndani yako ningepewa nafasi ya kumpendeza ungeteuliwa kuwa kisha ukapewa wizar nyeti ya ........
@mackbossofficial5537
@mackbossofficial5537 Месяц назад
Hongera sanaaa
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 Месяц назад
Na mkewake ametulia mnoo Mungu awasimamie kwenye mapenzi Yao Daaha love is beautiful ❤❤❤❤❤❤
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 Месяц назад
Mungu akutangulie ktk utendaji wako
@PeterMshali
@PeterMshali Месяц назад
Duuuh.... Mbona wengi wakikosolewa wanakupoteza😮
@petermgosi5111
@petermgosi5111 25 дней назад
Yani nimesisimuka kusikia hotuba fupi au maelezo ya shukrani ya DC magoti kumbe inchi hii inahadhina kubwa ya viongozi wenye busara na hekima soon your going to be Rc trust me one day you remember my expectation
@user-gm4qi3nn9n
@user-gm4qi3nn9n Месяц назад
❤❤❤❤mke mtiifu,mume hekima karibu kisarawe
@glorified6045
@glorified6045 Месяц назад
👏👏👏
@user-px3po9lt8g
@user-px3po9lt8g Месяц назад
He is good
@huldamichael4445
@huldamichael4445 Месяц назад
😂😂Magoti Magoti Magoti nimekuita mara tatu😂😂😂...Baba mkwe wako ni handsome
@francoismalenge1373
@francoismalenge1373 29 дней назад
Amen Amen 👏👏
@MossesAlly-lo4ub
@MossesAlly-lo4ub Месяц назад
Hongereni
@amedeusmmanga8043
@amedeusmmanga8043 Месяц назад
Good
@realbeda2880
@realbeda2880 Месяц назад
❤❤
@Mojabo-qi7sv
@Mojabo-qi7sv Месяц назад
Karibu kwetu mkuu utusambazie maji kwa mwingi vijijin kwetu mungu aku baliki🎉🎉🎉🎉
@user-qj2fz8uq3j
@user-qj2fz8uq3j Месяц назад
Ana ababu ana maono pia mungu akusimamie akupe afya tele
@user-qg7fw7si5i
@user-qg7fw7si5i Месяц назад
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@francisgituti2494
@francisgituti2494 Месяц назад
Weldone magot
@mackjohn4684
@mackjohn4684 11 дней назад
Hotuba zur sana nimemkubali
@yusuphmkapa934
@yusuphmkapa934 19 дней назад
❤❤❤❤❤
@PetroIbrahim-ds9ml
@PetroIbrahim-ds9ml Месяц назад
Kaka umeongea mpaka machoz yamenilenga , hakika saut kama mwamba wetu alyelala chato kat ya maneno ya hekima na busara ndo haya tunayoyataka ,maneno yasyokuwa na ufisadi Wala vijembe kama wengne
@edgarmazyeta9129
@edgarmazyeta9129 Месяц назад
Uyu alikuwa usalama ikulu
@serafinamalecela4728
@serafinamalecela4728 16 дней назад
Nakumbuka anapomuoa huyu dada watu Wali Ongea maneno mengi saanaaa
@ezekieltate4877
@ezekieltate4877 Месяц назад
Mr.Magoti nikiongozi wa busara sana,hakika wanakisarawe mtafaidi sana tena sana
@maase2023
@maase2023 Месяц назад
Jamani ??????
@fatumahossein754
@fatumahossein754 21 день назад
🙏🙏🌹🌹🌹🤲
@eliasthomas1547
@eliasthomas1547 Месяц назад
Amina ni chombo cha maana kabisa.
@FIDELISMfugale
@FIDELISMfugale Месяц назад
Huyu eheeeee
@RichardAmaro-pv8po
@RichardAmaro-pv8po 24 дня назад
Mh. DC Magoti, hongera sana kwa nafasi uliyoipata. Hakika umempata kiongozi mahiri (RC Mh. Mhandisi Kunenge), historia ya utendaji wake unajidhihirisha kwa vitendo na ueledi. Ni Mtendaji mahiri, mwelimishaji na mlezi mzuri sana. Siyo kiongozi wa mtandaoni hata siku moja, na kazi zake zinaendelea na kupimika vizuri sana. Hongera sana Mh. Magoti, hongera sana Mh. Mhandisi A. Kunenge kwa uchapaji KAZI wako uliotukuka.
@jtheophil5499
@jtheophil5499 Месяц назад
Hongera sana DC You are the best.
@AshaNdoweka
@AshaNdoweka 23 дня назад
Aah mvungi huyoo
@sabinuskomba2535
@sabinuskomba2535 Месяц назад
Watu wa maana kabisa, magoti Mhe. Upo vizuri piga kazi
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 Месяц назад
Mtu wa system
@princesaha3262
@princesaha3262 Месяц назад
Naona wale makachero wa ikulu wanatolewa nje Sasa hvi kimsaidia mama. Bado Warsam
@marygregory7566
@marygregory7566 Месяц назад
Sijawahi jua Kama magoti Ana hekima kiasi hiki
@user-kg9uz2hh1y
@user-kg9uz2hh1y Месяц назад
YES YOU CAN
@user-qk2wu5wm1f
@user-qk2wu5wm1f 8 дней назад
Yaani ccm hovyooo
@erickwanjarajr5707
@erickwanjarajr5707 Месяц назад
Jamaa akili kubwa sana awakukosea kuwa ikulu, amejaa hekima, unyenyekevu, nazani Raisi kumteuwa mkuu wa wilaya ni hili amsaidie tumtazamie zaidi kwenye field kama yeye alivyo sema.
@FIDELISMfugale
@FIDELISMfugale Месяц назад
Mkitaka kujua tabia za huyu anajfanya mpole muulizeni kigogoo😢
@albertkadyanji9722
@albertkadyanji9722 Месяц назад
Ukimuuliza wewe uyo kigogo inatoshaaaaaa
@alexandermuhubiri6476
@alexandermuhubiri6476 Месяц назад
Kwani kigogo si zuzu na huwa anawapenda mazuzu wenzie lakini watu wenye kujielewa kama hiki chombo ni maadui kwake. Muacheni Magoti apige kazi hawezi kuwanyamazia watu wasio waadilifu
@Happy-fs2zi
@Happy-fs2zi 12 дней назад
Ai
@anatholwannah9815
@anatholwannah9815 Месяц назад
Ni KISARAWE sio KISALAWE
@fortunatahulilo8411
@fortunatahulilo8411 Месяц назад
His Mother tongue
@rodymtakimwa3205
@rodymtakimwa3205 Месяц назад
Asañteee
@Naju645
@Naju645 Месяц назад
Mbona wamemtoa ikulu wamekua anaweza kupindua meza akama kaz waliomtuma
@FIDELISMfugale
@FIDELISMfugale Месяц назад
Hik kijamaa mbona ckielewagi
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 Месяц назад
Utakielewa tu
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 Месяц назад
Eti iki kambe weww ni kamili jinga saanss
@alexandermuhubiri6476
@alexandermuhubiri6476 Месяц назад
Acha dharau wewe, hiki kijamaa maanake nini? Kuwa na kauli za heshima huyu ni mtu makini mnyenyekevu na muadilifu, mwenye kujielewa na kuaminiwa kufanya kazi katika ofisi kuu yenye Mamlaka ya nchi Ikulu na bado kaaminiwa kuiongoza wilaya na watu wanamuheshimu na kujifunza na kuomba ushauri kutoka kwake wewe unatoa kauli za hovyo kama hizo. Jiheshimu, heshimu watu na uheshimu watu wa Mungu na uumbaji wake
@joelandekile3933
@joelandekile3933 22 дня назад
NATAFUTA HELA SASA
@shamslukumay2627
@shamslukumay2627 Месяц назад
Maneno ya hekima sana
@MwanjiNzala-mo5ni
@MwanjiNzala-mo5ni Месяц назад
Na chombo kimefanana na mama yake❤❤
@letisamguli4934
@letisamguli4934 25 дней назад
Uwakika
@hassanathuman9669
@hassanathuman9669 Месяц назад
kachelo kazn
@josephminja7953
@josephminja7953 Месяц назад
Hongera sana MH magoti,kaifanye vyema KAZI uliyoaminiwa na MH RAISI
@khadijayusuph2634
@khadijayusuph2634 Месяц назад
Kanda ya ziwa hiyo""ujasiri Kama wote
@allenikaduma1488
@allenikaduma1488 Месяц назад
Umezidi kujinadi
Далее
Всегда проверяйте зеркала
0:19
Must watch new special comedy wait for end 😆🤣
0:49