Тёмный
No video :(

MIAMBA hawa wanajiita MUSKETEERS: Timu ya walinzi hatari wanaomlinda VLADIMIR PUTIN dhidi ya Wauaji 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 228 тыс.
50% 1

Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 218   
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 Год назад
Nimemkumbuka djsma ❤ukiniambia mambo ya Putin najisikia raha master plan mtu anasema huzungumzie selikari atafute tv za siasa
@abdallahissa7991
@abdallahissa7991 Год назад
Bundala,,una talent kubwa sana ya habari na simulizzi
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Год назад
Yupo makini sana mwamba Putin
@mosesarchevec8404
@mosesarchevec8404 Год назад
Hongera sana mutalamu wetu alindwe kabisa. Mwenyezi Mungu akulinde.
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 Год назад
Amina😊
@ablestclemence7382
@ablestclemence7382 Год назад
@@thelonewolf4429;
@_CyprianBC
@_CyprianBC Год назад
Kaka Sky, No matter what, nakukubali sana Kaka na within two or three years Kaka your the best and leading Online Media coverage Tanzania and eastern Africa na zaidi ya yote wewe ni source ya Habari zinazoaminika na zenye mizani na utafiti mkubwa sana ili kutupatia kilicho bora zaidi, nakukubali sana na zaidi ya sana Kaka
@mugambarazidjuma846
@mugambarazidjuma846 Год назад
Asanteni sana mwa alimu haki tunajuwa mengi ku usu africa yetu na habari kutoka kwenye inchi zingine
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Год назад
Mapinduzi ya kijeshi yasipo dhibitiwa haraka yatafanyika kila mahali Afrika. wanajeshi watazoea .nikama vile simba akila nyama ya binadamu hawezi tena kula nyama ya mnyama mwingine yeyote tofauti na nyama ya binadamu. hii ni kwasababu nyama ya binadamu ni tamu kuliko nyama ya mnyamamwingineyeyote duniani. ndio maana Simba akila mtu lazima Simba huyo atafutwe ili auliwe kabla hajafanya mazoea.
@habibukitwana1552
@habibukitwana1552 Год назад
​@@emmanuelmlowe-ew7gxndy tunayataka hayo mapinduzi ya kijeshi Ili kutoka vibaraka wa wazungu kama ww
@jotafungo4622
@jotafungo4622 Год назад
Niko na wachina hapa tunakunywa Tangawizi wanamkubali sana Putin
@robartifabiani
@robartifabiani 5 месяцев назад
Bado nyumba zake
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Год назад
MAKALA - 360 Naipenda sana, Good job bro sky.
@mshangapeter6566
@mshangapeter6566 Год назад
Hongera sana,..stori flani tamuu na inafundisha...
@mohdhilaly7900
@mohdhilaly7900 Год назад
Sky sauti yako inanikumbusha mbali sana toka radio free kipindi cha sitasahau mi mshabiki wako sana
@deobodaboda9054
@deobodaboda9054 Год назад
Namkubali Sana mwamba p
@christiankambuga9338
@christiankambuga9338 Месяц назад
Safi sana
@biasharaonline693
@biasharaonline693 Год назад
Huyu mwamba ni Simba, amefanya kazi na KGB muda mrefu sana huko Ujerumani ya mashariki na ana uzoefu wa kutosha kwenye hizi kazi 💪
@chachamturi259
@chachamturi259 8 месяцев назад
Hivi huyu mwamba anamke???
@stevewanga957
@stevewanga957 Год назад
Lkn Mwenyezi Mungu akisema siku Yako imefika ndio hvyo..
@habibukitwana1552
@habibukitwana1552 Год назад
Kweli kabisa lakini hata makanisa yanalindwa wakuu wa dini wanalindwa mfti wa Tz analindwa kadnari anaulinzi Kwan hawamjui mungu???
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Год назад
Nakubali sana kaka🔥🔥🔥
@kotadapotar5094
@kotadapotar5094 11 месяцев назад
Nakukubari ndugu yangu kwa story SUPER 🙏🇹🇿⛴⚓🇬🇷
@FrankMushi-cs5js
@FrankMushi-cs5js 6 месяцев назад
Ongeraa sana
@theophilwhiteheart1997
@theophilwhiteheart1997 Год назад
Duh sio poa ni nomaaaaa🙌🏽
@moberoministries3610
@moberoministries3610 Год назад
Good narrative
@deejaymsomalytz8910
@deejaymsomalytz8910 Год назад
Ebwana brother #sky nafwatilia sana MAKALA 360 INAWEZEKANA MI NDO MFWATILIAJI WA HIZI MAKALA NO 1 TZ KWENYE CM YANGU ZIPO ZOTE NAKUKUBALI SANA FRANK BUNDALA
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 Год назад
Fredrick sio Frank kaka nahisi ivo
@hassanmsangi4149
@hassanmsangi4149 3 месяца назад
IRAN INATAKIWA WAJIFUNZE MENGI KUTOKA KWA URUSI, MASWALA YA ULINZI WA MTU MMOJA MMOJA AU WAKUU WA NCHI WA IRAN WANATAKIWA KUWA MAKINI SANA NA VITISHO VYA NJE
@GeraldDanieltarimo-ke3ik
@GeraldDanieltarimo-ke3ik Год назад
Mlinzi mkubwa ni mungu,haowengine ni takataka,munguakiamua anamnyonyamavi sekunde, mungu ndiekilakitu
@innocentboykid2442
@innocentboykid2442 Год назад
Kwani wamekwambia kuwa wamemsahau Mungu adi useme hvo umasikini unakutesa
@GeraldDanieltarimo-ke3ik
@GeraldDanieltarimo-ke3ik Год назад
Wako mbwa wengi kamawewe nawafuga,mm nilishabarikiwa muda
@nurdinmzuzuri1383
@nurdinmzuzuri1383 Год назад
@@innocentboykid2442 umemjibu vzr sn sab kitendo cha Putin kuwa na walinzi imara au wengi haimaniishi kwamba Putin hamjui mungu au haimaanishi kwamba hatakufa lkn kiukwel point yako ni sahihi kwamba umaskini nao ni shida sn
@elibarikimasirori4655
@elibarikimasirori4655 Год назад
Waliobarikiwa ndo wanatukana wenzao mbwa?? Hzo sio baraka ni laana. Hata makanisa na misikiti kuna walinzi. Kuwa na walinzi haimaanishi humjui Mungu.
@rafathealfa2237
@rafathealfa2237 Год назад
Mungu unamjua?
@BrotherR9
@BrotherR9 Год назад
Thanx bro kwa good newz
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 Год назад
Noma sana brother Sky keep them coming 👏👏👏😅
@marcongeleja9450
@marcongeleja9450 Год назад
Huyu Fredrick bundala ni yule aliyesoma Tallo ulianzia R.F.A .
@felixrumisha5132
@felixrumisha5132 Год назад
Yap
@ElizaJose-zn7td
@ElizaJose-zn7td Год назад
Ndo yeye
@abbasmtaita7203
@abbasmtaita7203 Год назад
Mlinzi ni mungu pekee
@nyabendamubaraq5671
@nyabendamubaraq5671 Год назад
Jilinde nami ntakulinda
@Adamchestemuzaahim
@Adamchestemuzaahim Год назад
Na amekubali tue nawalinzi binadamu wenzetu think kama musomi ❤
@Amirmgunya-pt2zm
@Amirmgunya-pt2zm Год назад
Umemjibu vizuri huyu kichwa maji
@ismailnaramba6438
@ismailnaramba6438 11 месяцев назад
Julinde akulinde
@paschaljuma3312
@paschaljuma3312 2 месяца назад
Imeruhusiwa kuchukua tahadhari kwanza ndio umetegemee yeye, mfano kuna mtu aliacha kumfunga ngamia wake akisema mungu atamulinda aakaambiwa kaweke kwa sababu ya kulindwa yani amfunge, hivyo putin lazima aweke sababu ya kulindwa yani walinzi
@gigoyrn4394
@gigoyrn4394 Год назад
Ukiskia magari ya wenzetu uje ufananishe na ile v8 yetu una ishia kucheka😂😂😂
@B13Mogarn-fn2vc
@B13Mogarn-fn2vc 4 месяца назад
😅😅😅
@frankmushi8892
@frankmushi8892 Год назад
Nakubaliiii
@aderiderkihupi7240
@aderiderkihupi7240 Год назад
Asante kwa hili
@aloycekashamakula4153
@aloycekashamakula4153 Год назад
Nakubali sana lakin sidhani kama ivi 100% yawezekana ikawa zaidi ya hapo....
@user-lf1bd4vj9c
@user-lf1bd4vj9c 5 месяцев назад
Good docomentary.
@simongiathi1308
@simongiathi1308 6 месяцев назад
Good one.
@christiankambuga9338
@christiankambuga9338 Месяц назад
Yaaa mzee
@hoseamusso1568
@hoseamusso1568 5 месяцев назад
Big up
@ombeniyohaneaustin8415
@ombeniyohaneaustin8415 Год назад
Daaah wezetu wapo mbali saaana sisi tupo bizz na mkataba wa bandari😂😂😂
@TAMay-vf5xt
@TAMay-vf5xt 11 месяцев назад
Well documented
@khairatkhamis5845
@khairatkhamis5845 Год назад
Yasini ni kinga lakini mbio uwe nazo
@salama2625
@salama2625 Год назад
😂😂😂😂 wallah nimejua kucheka
@kurumwagodfrey7052
@kurumwagodfrey7052 Год назад
Putin super super president Vladimir
@ezekiakiwovele7794
@ezekiakiwovele7794 Год назад
Jamaa noma sana
@alphoncejohn6308
@alphoncejohn6308 Год назад
Nakukubali sn mkuu
@bakarrajabu3607
@bakarrajabu3607 5 месяцев назад
Nimepata taarifa ambazo sijawahi kuzisikia juu yaa ulinzi what Putin. Safi sana
@eliudimwakasenga9754
@eliudimwakasenga9754 Год назад
❤❤ nakubari kaka
@suleimanmuhammad-bu7pe
@suleimanmuhammad-bu7pe Год назад
Asant sana kwa kutujuza habari zako
@RobinsonMworia-el8ic
@RobinsonMworia-el8ic 11 месяцев назад
Bravo @putin
@salumjumah5648
@salumjumah5648 Год назад
Sky 🎉🎉🎉Asante kwa Makala hii
@user-zy6vq6lz7z
@user-zy6vq6lz7z 6 месяцев назад
Na Magufuli angejifunza kwa putin kuhusu ulinzi wake
@yasintakahamba1320
@yasintakahamba1320 Год назад
Kati ya watoto watakao zaliwa kwenye tumbo langu likatoe usalama wa taifana mwenye akili Kama za putn
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 Год назад
Wanadai Vladimir Putin anatembea na Chigatti(Remote control) ya kulipulia Makombora kwny Briefcase km nchi yake itavamiwa yy akiwa safarini?
@salehalisalum5466
@salehalisalum5466 Год назад
Yap That's True
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 Год назад
@@salehalisalum5466 Ok Bro
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 6 месяцев назад
Hiyo ni kweli kabisa bila wasiwasi.
@EmmanuelMajele-ny2hk
@EmmanuelMajele-ny2hk Год назад
Yupo vizuri sn namm najua hivyo huo ndio ulinzi
@user-pv6so7sk3i
@user-pv6so7sk3i 2 месяца назад
Upo vzr mchambuzi
@user-mt9my9nj4i
@user-mt9my9nj4i 5 месяцев назад
Namkuba sana mwamba
@mohamedamiri4597
@mohamedamiri4597 Год назад
Hii ni Dalili yakua raia hujawatendea haki na sawa
@ramadhanibahati2829
@ramadhanibahati2829 Год назад
Good
@othumanomari1589
@othumanomari1589 8 месяцев назад
Fact 👍
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni 7 месяцев назад
Sana kiongozi najifunza mengi toka kwako
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 6 месяцев назад
Mimi nampenda Putin sana. Huyu mtu ana uzalendo wa juu sana!! Magufuli, Putin, hawa watu kweli ni wazalendo wa kweli. Sema tu Magufuli hayupo kwa sasa lkn alikuwa mzalendo wa kweli!!
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 Год назад
Mtangazaji samahani na❤omba Namba yako Nina bo❤nge la tangazo
@AliyIbrahimMohammed
@AliyIbrahimMohammed Год назад
❤❤❤❤❤
@selemansteven1003
@selemansteven1003 Год назад
Pongezi nyingi kwenu kwa kutujuza habari adimu kama hizi
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 Год назад
Hawa ni wachumba tu nawakubali wale wa mama bhana
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 6 месяцев назад
Hahahahahahaha unanipa raha kwelikweli
@BabaBalingasi-hp6gd
@BabaBalingasi-hp6gd Год назад
Hii angeipiga Dj Sma ingependeza zaidi
@salimmwakaribu942
@salimmwakaribu942 Год назад
Hatari
@jonathanmaengo4281
@jonathanmaengo4281 Год назад
Mwamba huyu namkubali sana
@zeshsulesh6084
@zeshsulesh6084 4 месяца назад
Mmoja hapo ni ndugu ya putin
@samiraabdimahamed4449
@samiraabdimahamed4449 Год назад
@AliyIbrahimMohammed
@AliyIbrahimMohammed Год назад
@duvaboy
@duvaboy Год назад
mwamba 😂😂😂
@ombenimhina8826
@ombenimhina8826 5 месяцев назад
Walinzi hawa hakika wamesheheni weledi wa hali ya juu
@tangamwalimu514
@tangamwalimu514 7 месяцев назад
Live long Putin and big up or keep on keeping on the good to Russia and the world atlarge. The whole world is proud of you His Excellence Honourable Mr president Putin
@DavidJanvier-jx3pe
@DavidJanvier-jx3pe 3 месяца назад
Raïs anaye tisha ulimwenguni
@niyongendakosamuel858
@niyongendakosamuel858 Год назад
SA🇿🇦 shabiki yako kindakindaki hebu Reply comment yangu nivimbe sky please 🙏
@user-ym5ko9ov2o
@user-ym5ko9ov2o 5 месяцев назад
Nampenda sana put
@AdamuStar09-zz6bl
@AdamuStar09-zz6bl Год назад
Simuliz nzur kwely
@omarybakary1234
@omarybakary1234 Год назад
Du simchezo🇿🇦🇿🇦🇿🇦
@user-dn1vy3ov3i
@user-dn1vy3ov3i Год назад
Simba
@shaibukhamis863
@shaibukhamis863 7 месяцев назад
🎉
@salimsaid2588
@salimsaid2588 6 месяцев назад
Yoootee hayoo ila siku yake yakifoo ikifika hakuna wakuzuii,,,,,,Mungu mkubwa kweli kuliko vyote vya dunia
@nizarrama225
@nizarrama225 5 месяцев назад
Wewe huelewi, unafikiri yeye Putin hajui kama siku moja atakufa.? Anajilinda na watu wabaya, unataka asijilinde na watu wabaya ili wamuue 😅
@peterkasenga8404
@peterkasenga8404 Год назад
Duh!
@user-xj2uy4nk4r
@user-xj2uy4nk4r Год назад
Sana tu
@DeusRobart
@DeusRobart Месяц назад
aishi mlele
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche 5 месяцев назад
Ukita putu uwa média yako kila siku lazima fungulie
@ameulmontan6753
@ameulmontan6753 4 месяца назад
Sikuyakufa hatakufa mnamkumbuka jpm😢😢😢😢
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Год назад
Mapinduzi ya kijeshi yasipo dhibitiwa haraka yatafanyika kila mahali Afrika. wanajeshi watazoea .nikama vile simba akila nyama ya binadamu hawezi tena kula nyama ya mnyama mwingine yeyote tofauti na nyama ya binadamu. hii ni kwasababu nyama ya binadamu ni tamu kuliko nyama ya mnyamamwingineyeyote duniani. ndio maana Simba akila mtu lazima Simba huyo atafutwe ili auliwe kabla hajafanya mazoea.
@mirajiwenge
@mirajiwenge Год назад
Tatizo viongozi wa africa wamelewa madaraka bora hao wanajesh wachukue nchi tu tena kwa muda usiojulikana
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 6 месяцев назад
Hahahahahahahaha nyama ya binadamu ni tamu kwelikweli? Hahahahahahaha sisi ni watamu kumbe jmn hahahahahahaha🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 Год назад
Mfalme wadunia
@showejikinjekitile5942
@showejikinjekitile5942 Год назад
Tulete hutuba ya mwisho ya gadafi kea ufafanuzi zaidi mkuu
@winaface
@winaface Год назад
Maua yako Sky
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Год назад
🙏👍✌️.
@geofreyisaya184
@geofreyisaya184 Год назад
Unaju kaka
@owenmutale8686
@owenmutale8686 Год назад
Like pls 😂😂
@RespinaRuben-qi6te
@RespinaRuben-qi6te Год назад
Dah kaka unatisha sana aseee
@user-gm5bd5kk3u
@user-gm5bd5kk3u 5 месяцев назад
Putini.ndokomando shujaa.sana.namkubari
@AndrewPaul-wy6qq
@AndrewPaul-wy6qq Год назад
wana sns popote pale mlipo
@deobodaboda9054
@deobodaboda9054 Год назад
Mbabe vp uendelee kuwepo hakaika na manyangau wataelew tu wametuaminisha muda watajua hawajui
@OsmanShakur-ly7hp
@OsmanShakur-ly7hp 10 месяцев назад
Kaka nimeanza kukujua kabla sijafika umri huu. Enzi hizo hapo Mwanza Ilemela a akiwa na kina Jumaa Ahmed Baragaza, Fred Fidelis Fredwaa.Leo niko France
@xhenially-fw6cu
@xhenially-fw6cu 11 месяцев назад
Putin ni mwamba sana
@godwinmwakibibi274
@godwinmwakibibi274 Год назад
Hao Marais watatu wamechafukwa akili!😂😂😂
@phillipchikoko4881
@phillipchikoko4881 Год назад
NDUGU MTANGAZAJI, PUTIN HAFANYI TAEKWON-DO BALI ANAFANYA JUDO.
@lunamssa4322
@lunamssa4322 11 месяцев назад
😢😢
@Kulwakisansa-zk5yg
@Kulwakisansa-zk5yg 2 месяца назад
Uwe unaweka namatukia ya video kuvutia watazamaji
@allymuhammad8956
@allymuhammad8956 Год назад
Mfalme wa africa huyoo
@yamusahmasoud9107
@yamusahmasoud9107 Год назад
Sky wewe nijicho la eagle 🦅 🦅 🦅 kwawana SNS woote
Далее
what will you choose? #tiktok
00:14
Просмотров 1,5 млн