Mm kwa upande wangu nime kubali kuwa Ibrahim ni kiongozi mjasiri ila nina wasiwasi Mwaka juzi tu hapa tulikua na rais wetu tuliye mpenda sana na aka uwawa Tukadanganywa eti ni moyo na huyu nae ni simba ila awe makini sana awatizame sana hawa walioko nyuma yake Hata magufuli alidondoshwa watu wake wa karibu
Sauti yako inafiti sana kwenye hizi makala brother. Nakuona mbali sana ktk kutangaza mambo ya Nature stori za wanyama. Sauti nzito Alafu matamshi yako ya kiswahili ni safi sana.
Makala naikubali ila ambiya waafrica ukweli wote, wa France ndiyo shida wame pora izi inchi nakuuwa viongozi wazuri wote. Africa tusimame pamoja nakupinga wazungu na izi mbinuzao. I love that young brave man and Russia for thier kind contribution to our freedom.
Huo ndio upumbavu wa mwafrika shida si mfaransa shida ni waafrika wenyewe waliotwa majukumu kuongoza pahala fulani au nchi fulani na hiyo ndio shida wala si mzungu wala baniani, . Huyo dogo sasa kajitoa na ana akili kweli kweli nafikra tofauti na waafrika wengine
Am proud to be an African... I can feel and hear the voice of the late Cptn Thomas Sankara in this region.Bravo Zulu President Ibrahim Traore. 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
My brother ibrahim assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh..i really really appreciate for what you doing ..you are our heroes doesn't mean am not from burkina faso but am from African i always cry of joy when i see you on the TV..may Allah make me to meet one day..we really proud to find you in our africa..
Mnaoshabikia mapinduzi kama haya yatokee tz, napenda mkumbuke yaliyotokea sieraleon wakati wamapinduzi ya kijana mdogo valentine stresser, au samwuel doe wa Liberia! Mapinduzi hayo yalileta Tija gani ktk nchi hizo, zaidi ya mateso maishamagumu na mauaji ya raia? Mnayoyashabikia manayaelewa au ni chuki za kijinga?
Putin anataka wazungu wenzie wakose kabisa nguvu kwa kua wanaiba mali za africa na kukuza uchumi wao. Kwa hiyo mwamba anataka kuwabinya haswa wakose kiburi
Politic hiyo kesho vita njo mtajua maana ya white peoples na maana ya American 🇺🇸 subirieni mtajua moja na iyo Russia 🇷🇺 vita ya Ukraine 🇺🇦 imemshinda anakimbilia africa kwan liini Russia 🇷🇺 kuiunga mkono africa
Mnafurahia hatari,Afrika inaingizwa katika vita na Wagner kwa kuiba madini ya Afrika,vita ya Sudan,Niger nakadhalika yote ni mazao Wagner,Afrika itakuja juta kwa kuwakaribisha Wagner,hicho ni kikundi cha majambazi,ambacho Putin aliyekiunda na prigozin kimemshinda,kikundi hichi kiliundwa na wafungwa,kwa mfano mtanzania aliyeuwawa vitani,kule ukraine,aliyekuwa akitumikia kifungo cha maisha k wa kosa la kukamatwa na madawa ya kulevya,mnapokua mnaandika habari,jaribuni sana kuwaelekeza wasomaji katika uhalisia,tusijenge kizazi cha kupotosha na kuwashindilia propaganda za uwongo,hii itapelekea kuwa na jamii isiyojifahamu.
Mnafurahia hatari,Afrika inaingizwa katika vita na Wagner kwa kuiba madini ya Afrika,vita ya Sudan,Niger nakadhalika yote ni mazao Wagner,Afrika itakuja juta kwa kuwakaribisha Wagner,hicho ni kikundi cha majambazi,ambacho Putin aliyekiunda na prigozin kimemshinda,kikundi hichi kiliundwa na wafungwa,kwa mfano mtanzania aliyeuwawa vitani,kule ukraine,aliyekuwa akitumikia kifungo cha maisha k wa kosa la kukamatwa na madawa ya kulevya,mnapokua mnaandika habari,jaribuni sana kuwaelekeza wasomaji katika uhalisia,tusijenge kizazi cha kupotosha na kuwashindilia propaganda za uwongo,hii itapelekea kuwa na jamii isiyojifahamu.
One Africa big up sana Ibrahim mungu akufanyie wepesi kuisimamia nchi yako iyo ndy miamba tunayo itaka Africa sio wengine kutigisha matako tu na kujiwekezea Mali kibao awaangalii na wengine walio waweka hapo kwenye kiti kpt Ibrahim respect sana kamanda
Pamoja na sifa kadhaa alizonazo Ibrahim Traore kiongozi huyu ni jasiri sana na atafanikiwa katika azma yake ya kuiweka salama nchi yake ya Burkina Faso. Zaidi ya yote leo baada ya kuisikiliza makala hii nimemkumbuka sana Rais wetu wa Tanzania hayati Magufuli JPM alikua jasiri sana na mwenye uzalendo. Alifanya maamuzi magumu ila yalikua na tija na maslahi mapana kwa wananchi wa Tanzania. Nangetamani angekuwepo lazima angefanikiwa kuongea na Putin Mambo makubwa ya kimkakati juu ya nchi yetu. Sio alichoenda kufanya Majaliwa. Muwakilishi wa Samia mpaka sasa la maana ni kupiga picha na Putin sijaona kingine alichofanya kuizungumzia nchi yani hana mashiko.
Kwelii kabisa. Naunga mkono asilimia Mia. Magu angekuwepo ingependeza zaidi maana wangeelewana sana na Putin. Ingekuwa Mjadala wa Dunia. Kwanza hakupenda kusafiri. Lakini hiyo ya Russia angeenda....
Magufuli akupumzishe mahali pema peponi, hakika kazi nzuri uliifanya. Mwenyezi Mungu azikumbuke kazi zako za kuwahurumia masikini na kuwarudishia mali zao, moyo wako wa huruma Mungu aukumbuke. Hukusita kumtanguliza Mungu mbele na kusema watu wote waombe kwa imani zao. Nikweli tunaokolewa kwa Neema wala siyo kwa nguvu zetu au mapenzi yetu. NB: You can the body but never an idea! when the body is separated with the spirit but ideas do live longer! God the power of divine remember you servant Dr. John Pombe Joseph Magufuli and grant him the eternal peace! Amen 💖💖
This is rock that fought for his country, Buki and Faso with all his skills so that the people will have great peace and love, Captain Ibrahim Traore, God bless you and your family in general Amen,,,,,,,,,,my name is Jeremiasi Kiliani From Tanzania🇹🇿
Hiki kitendo kina takiwa kitokee Tanzania pia. Tumechoka huu ujinga wa CCM hakuna cha maana wana fanya. Maisha magumu na uchumi ni mbaya japo kuwa kila aina ya rasilimali.
Waooo he is one of great leader may God bless him and may his dreams come true we need more like him in Africa. 🇰🇪 we are Africa and Africa is our business
Ni kweli watu wakimya wana vifua vya kuhifadhi mambo na uwezo mkubwa wa kutafakari mambo makubwa kwa kina na kutathmini mambo na kuyafanyia maamuzi yenye maslahi.
Huo ndio ujinga wa mtu mweusi kwanini usiseme waafrika tujisimamie wenyewe pasipo na putin au mchina , wewe akili yako ni sawa tu nyani, Putin hawezi kuinua africa africa itainuliwa na waafrika wenyewe