Тёмный

MISSO MISONDO AFUNGUKA KUINGIZA MILIONI 3 KWA MWEZI, AJENGA NA KUWAPA MASHAVU WAZEE WA MAKOTI 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 216 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 200   
@MUEDAUNHASFPMUEDA
@MUEDAUNHASFPMUEDA 8 месяцев назад
Uyu jamaha noma sana yani anavuma adi. Mkoa wa cabo delgado wote Mozambique na kwa mda wa ngoma ndyo kuzidi sana. Congratulations
@aminaomary5567
@aminaomary5567 9 месяцев назад
Ongera mwanangu,nakutakia kazi njema na mungu akulinde wewe na MAMA yako mzazi.❤❤❤By Mtwara.
@faizaahamd2052
@faizaahamd2052 10 месяцев назад
UMETISHA SANA CONGRATULATIONS MY BROTHER misso misondo UMEPIGAJE HAPO
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 10 месяцев назад
Misso nakukubali sana una kipaji kk❤❤❤🎉🎉🎉
@eddominja4753
@eddominja4753 10 месяцев назад
now days ukifanya mziki poa as dj kuna watu unawakosha i think kasema tu m3 but anapata more than M3 per month but not kila mmoja atasema 💥💥💥
@Tinachacha-e7x
@Tinachacha-e7x 10 месяцев назад
wivu wanini jamani mwacheni ajishauwe mbangu bangu mwenzangu ndugu yk mama ❤❤❤❤
@aminaomary5567
@aminaomary5567 9 месяцев назад
Jaman tuache wivu,wala sio muongo ,kipindi hiki ametembea sana kupiga show sasa kwa nini asipate M.l 3 ? Tena hizi kidogo,kwa siku laki tano hadi 8 haya mara wiki ujapata m.l.3?.Mtoto wa mwezangu ebu endelea na kutupa Rahaaa.Ongera kwa mama yako mzazi.By Mtwara Mikindan Mkanaledi.❤❤👍🙏
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 10 месяцев назад
Dogo ANAJUA sana asee Mungu akubariki
@Azizaally-xg2tn
@Azizaally-xg2tn 10 месяцев назад
Ila daah miso❤
@kambiyusufu2776
@kambiyusufu2776 10 месяцев назад
Mungu akubaliki
@SalmaYusuph-v6y
@SalmaYusuph-v6y 10 месяцев назад
Miso misondo umepigaje hapo nakukubali mnoo❤❤
@officialruutvtzonline3234
@officialruutvtzonline3234 10 месяцев назад
Acheni chuki ao madj wanapata pesa mfano ukichukua mziki kwa masaa ambao haukeshi laki 5 6 kawaida sembuse kukesha kutwa mbili lazima iwe milion mpeni mauwa yake kwakweli ❤❤❤❤
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 10 месяцев назад
It's true si wanakodowa mpk kwenye masherehe
@shivobs4485
@shivobs4485 10 месяцев назад
Tupo hapa tunakutizama endelea kujimwambafai uanze usumbufu kaka Yule
@veronicamlelwa-zh9vy
@veronicamlelwa-zh9vy 10 месяцев назад
Jamaa anajua kujiby maswal vzr mno
@EinsteinFromEastern-vh6lo
@EinsteinFromEastern-vh6lo 10 месяцев назад
Misso nimependa unavyorudisha mpira home,lazima ufanikiwe tu?
@highvoltages4169
@highvoltages4169 10 месяцев назад
DJ kuingiza milioni 3 kwa mwezi ,(mwezi =wiki 4) na kila mwisho wa wiki ina siku 3 za kujiachia, yaani Ijumaa, J'mos na J'2 , Kwahiyo milioni 3 ukigawa kwa wiki 4 =750,000 , ukigawa kwa Ijumaa, J'mos na J'2 ni sawa na 250,000@day, Yaani Ijumaa =Laki mbili na hamsini, J'mosi hivyohivyo, J'2 hivyohivyo, kwa wiki 4 ndo unapata milioni 3
@jacobryank7456
@jacobryank7456 9 месяцев назад
True , sema watu wanawai kupanick na kuona n kama impossible hiyo pesa kwa mwez..
@victorJeremiah-pl4jp
@victorJeremiah-pl4jp 8 месяцев назад
Mungu asante 3:01 king la mbago
@faidhacute
@faidhacute 10 месяцев назад
Miso misondo ushaanza kuongeza masifuri tayari acha hzo mambo wakat dj anapewa 100k until 150k
@MustafaChinanda
@MustafaChinanda 10 месяцев назад
Misso ameanza muda kupga mziki na ana mziki wake ni kawaida tu kwako na maskin huyo dogo
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 10 месяцев назад
😅😅Kweli dogo ameanza kuongeza ka 0😅
@barakajericho1332
@barakajericho1332 10 месяцев назад
ajaongeza koz mziki niwake so ni chargers za mziki pia
@raheemsalum1239
@raheemsalum1239 10 месяцев назад
Sio kwelii ma dj wanalipwa mpunga mrefuu usijadanganye utamlipa laki yako
@MkumboJaphet-yx3jp
@MkumboJaphet-yx3jp 10 месяцев назад
Hakuna kibaya alichoongea hapo
@diolindanativo7268
@diolindanativo7268 10 месяцев назад
Hawa jamaa nomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kumaaaaa laaaa mamaaaa akeeeeeeee
@USWAZITVONLINE
@USWAZITVONLINE 10 месяцев назад
Ni mapema mno mnamwaribu huyu mtoto na mambo ya kuongeza masifuri na kutaja mali zisizoonekana, mambo yakienda kombo na kuingia kwenye uraibu wa mihadarati ili kupunguza stress wakati huo hamtokuwepo
@Officialjidaa-sn9cs
@Officialjidaa-sn9cs 10 месяцев назад
Hawa iri mladi wafikish mahudhui Yao jichanganye Sasa kuwapa Siri zakoo
@mnyilingatv
@mnyilingatv 10 месяцев назад
😊me nahisi jamàa hakuna kosa alilo fanya hiyo ni biashara lazima uji brand wasije waka ku book Kwa ALFUKUMI
@abdallahshaban9224
@abdallahshaban9224 10 месяцев назад
Vido vidox”” Jina lake ni Macho ajili ya macho yake hayo,, Sasa Kwakwao Wanamuita Misso yani macho Baada kupiga migoma ya Asili “”aina ya Misondo wakamuita Macho misondo”” kwakwao ndiyo Misso Misondo”
@halimamlala
@halimamlala 8 месяцев назад
Hongera sana ❤🎉🎉
@yunusabeid74
@yunusabeid74 10 месяцев назад
Hongera sana mdogo angu
@ArafaMkomwele-vi2hp
@ArafaMkomwele-vi2hp 9 месяцев назад
Wee Miso Misoñdo umetoboa aiseeee
@ArafaMkomwele-vi2hp
@ArafaMkomwele-vi2hp 9 месяцев назад
By Mangaka
@mwamba-
@mwamba- 8 месяцев назад
07:00 MAISHA KWA ZAMU... HII POINT MSHKAJI KAIKUBALI.. NA BIGUP SNA.
@Kibuhile
@Kibuhile 10 месяцев назад
Milion 3 yann hyo malipo ya mwezau
@AgreySalingwa
@AgreySalingwa 10 месяцев назад
One love master
@officialsbjovea5822
@officialsbjovea5822 10 месяцев назад
We misso misondo
@LeilaSadik-o1w
@LeilaSadik-o1w 10 месяцев назад
Usiseme siri ya kazi zako watakunyang'anya hapa watapewa hela nyingi 50 hd laki hp dar ya kawaida tuu kua msiri ktk kazi zako
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 10 месяцев назад
Misso time ndiyo hii.hongera sana.
@WalterLuther-cs2li
@WalterLuther-cs2li 10 месяцев назад
Nimeielewa san hii kaz🎉🎉
@jacobryank7456
@jacobryank7456 9 месяцев назад
Well said, 🎉
@TALLUBOY
@TALLUBOY 9 месяцев назад
Mwanangu umejua kujieleza
@ikiyshabani
@ikiyshabani 4 месяца назад
Oy nigan mm naitwa dj macho kak mm nakipaj naomba unifundsh kurikod nymb mm niko dar salmon mungo akubariki snanasna god is pwr😢❤🎉😢😮😅😊
@ikiyshabani
@ikiyshabani 4 месяца назад
Kwamajina nitwa dj macho nikombezi magufuli bus naomba sinamashine laki naomba unifundishe kurkod nyimbo ❤😢
@TALLUBOY
@TALLUBOY 9 месяцев назад
KWELI #MKOA WETU WA #LINDI KABILA LETU KUBWA NI #WAMWERA NIKIWEPO MIMI NI MWERA #MH KASSIM MAJALIWA NA MZEE KINGUNGE MWILU #NK
@shanatatrigger6537
@shanatatrigger6537 10 месяцев назад
Acheni wivu nasoma comment watu mna majungu sana
@saidhamadi1722
@saidhamadi1722 10 месяцев назад
Acha ufala bc laki 8 😮😮 sio kweli mziki wa kigodoro million mmmh😮
@mustafamasudi8093
@mustafamasudi8093 10 месяцев назад
Njoo kusini kipindi hiki uone watu wanavyokodi muziki kwa gharama kubwa
@athumaniamani9905
@athumaniamani9905 10 месяцев назад
Mkuu kuhus kiasi hcho ni kawaida....maana kipind Cha unyago cyo mara moja tunakod mzki Kwa laki 9 mpk milion... Na tunaishi Kwa sku moja tu kwenda
@eddominja4753
@eddominja4753 10 месяцев назад
ajui asemalo coz mzik now days ni gharama
@allandavid752
@allandavid752 10 месяцев назад
Ungekua kusini ungeelewa
@paulalove1223
@paulalove1223 10 месяцев назад
​@@athumaniamani9905watu wanaongea hawajui hv wanaelewa mkesha wa unyago unakesha nao unaamka nao unashinda nao Masasi hyooo😊
@FaisalAlly-y4y
@FaisalAlly-y4y 10 месяцев назад
Good
@boncenagottalent
@boncenagottalent 10 месяцев назад
UNYAGO EP 06 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-SKLze9VYuQM.htmlsi=YxaWFqmbqgsBrEZI
@KayambaAfricaTV
@KayambaAfricaTV 10 месяцев назад
Tafadhali nipe nambari ya simu yake Misso misondo ningependa kuwapa show
@GBsurenews
@GBsurenews 10 месяцев назад
Misso misondo
@godfreyally-ps3fo
@godfreyally-ps3fo 10 месяцев назад
Umepigaje apo😅👍
@zachaamaster5378
@zachaamaster5378 10 месяцев назад
#Miso misondo nakukubal san ww ni tishio
@ColinMhema-ne3lz
@ColinMhema-ne3lz 10 месяцев назад
Yupo sawa sema wenge kwa umbaaaaaali
@mwamba-
@mwamba- 8 месяцев назад
Dogo anahitaji push kidogo tu ili a coup na mazingira yote..
@shukuruliuka9649
@shukuruliuka9649 10 месяцев назад
Jamaa wachepe anacheza kwa hisia sana
@shazilichingala1684
@shazilichingala1684 10 месяцев назад
Nimecheka sana 😂😂 mwanangu
@NameOmani-x9v
@NameOmani-x9v 8 месяцев назад
Wamwela tujuwane apa ❤
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 10 месяцев назад
Tokea nimefuatilia interviews hii ndo yakwanza mtu kutolitaja jina lake 🙄😂
@goodluckjohn
@goodluckjohn 10 месяцев назад
ongera sana mzeh
@EliasJohn-si9es
@EliasJohn-si9es 10 месяцев назад
Choko2 danganya uone mwenzio bwaka ana Life mpak huruma
@petrobwire7348
@petrobwire7348 10 месяцев назад
Kesha Anza kuwa muongo Sasa uyu
@halunimnenwa5224
@halunimnenwa5224 10 месяцев назад
Kwanza huyu dogo hana umarufu wowote zaidi2 umarufu upo kwa wale wenye makoti kama nawe unaamini ilo gonga like apa
@MujuniKamugisha
@MujuniKamugisha 10 месяцев назад
Utajua mwenyewe
@ObdiaMessi
@ObdiaMessi 9 месяцев назад
We misso wee
@DicksonOnesmo-go1ts
@DicksonOnesmo-go1ts 10 месяцев назад
Faidha
@badifundi6089
@badifundi6089 10 месяцев назад
Mbona dogo yupo sawa Kenya ukikodisha mziki na dj bila ata dancer unalipa 50-70k full package ambayo ni 800k za bingo dogo yuko sahihi
@ColinJustin-n1z
@ColinJustin-n1z 10 месяцев назад
Huyu mtoto muongo itakua anakula Ngada...! Wakat huku mtaani anatembelea baiskeli chigugu To Mandiwa shenzi sana huyu mtoto😂😂😂
@SashaRamadhani-uu1wv
@SashaRamadhani-uu1wv 10 месяцев назад
Nimecheka jamani😂😂😂😂 chigugu
@JemaNassoro-jl1ig
@JemaNassoro-jl1ig 10 месяцев назад
Wamwera oyeeee
@QueenNgai
@QueenNgai 10 месяцев назад
Oyeeeeeeeee❤❤❤❤
@AngelmackieCharity
@AngelmackieCharity 10 месяцев назад
Tuliza macho bs misso😂
@perepetuasenga3875
@perepetuasenga3875 8 месяцев назад
😅😅😅
@bernaberna4159
@bernaberna4159 8 месяцев назад
Usimkatie mtu tamaa miso misondo umeimbaje hapo
@Abantsundu
@Abantsundu 10 месяцев назад
❤❤❤the beat is 🔥🔥🔥🇿🇦
@paulonzogo8947
@paulonzogo8947 9 месяцев назад
Ilove
@procazorla2027
@procazorla2027 10 месяцев назад
Uyu itakuwa siyo mtanzania kwann amekataa kulitaja jina lake
@africanasplumbing8780
@africanasplumbing8780 10 месяцев назад
Nani ameona mjusi wa kifooo😊😊😊😊😊
@mrgadau6865
@mrgadau6865 10 месяцев назад
😂😂😂 watu mna mimacho sio macho ni mimacho 😂😂
@mrbazil8806
@mrbazil8806 10 месяцев назад
😂 nimemuona
@SashaRamadhani-uu1wv
@SashaRamadhani-uu1wv 10 месяцев назад
Ndio nini nitoe ushamba
@thedickisonilinusi
@thedickisonilinusi 10 месяцев назад
Jamani kunawatu cjui niwivu au nini ushangae m3 kwamwzi kweli mziki wake dj yy mwenyewe mboni kapunguza cfuri njoni kucni kuanzia mwezi wa6 muone nyoka wa mandiwa nyie dogo piga kazi
@kentz186
@kentz186 5 дней назад
Dogo ana busara mno wakati wa kujibu.
@poizonboy2780
@poizonboy2780 10 месяцев назад
Hivi kichwa cha Habari kimeandikwa kwa Lugha gani? Maana naona kuna watu wengi Hawajui wanachokoment , Million 3 kuipata kwa mwez Dj ni kawaida sana Huyu mziki ni wakwake na Dj ni yeye mwenyew kwann acpate m3
@mnyilingatv
@mnyilingatv 10 месяцев назад
Alafu pia ana ma ideas 💡 mapya kama yote
@witnesngellangella8163
@witnesngellangella8163 10 месяцев назад
Yn bongo cjui kwann hatupendani Sasa kz anafanya kwann asipate!mala macho tuliza yote hayo yann
@MecksonamonyohanaAmonyohana
@MecksonamonyohanaAmonyohana 8 месяцев назад
🌼🌼🌼🌼🌼
@johanesjofrey1687
@johanesjofrey1687 10 месяцев назад
Watangazaji bwana,Eti umeisha toboa.
@mohammedikidwaka9013
@mohammedikidwaka9013 8 месяцев назад
Acheni kuweka coment ntuuu kaeni na nyie muwaze cha kuwapeleka mjiniii
@Fatmaahmedi255-p5l
@Fatmaahmedi255-p5l 9 месяцев назад
Mimi nimekuja kumjua shoo ya simba😊
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 10 месяцев назад
Dogo wa kijijini ila ana akili sana ana jenga ana pambana na maisha
@JaklineMtaya
@JaklineMtaya 10 месяцев назад
❤❤❤🎉🎉🎉umeto boa dogo
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 10 месяцев назад
Bora ameona shule hatatoboq
@jovinmancomedytz
@jovinmancomedytz 10 месяцев назад
Jamani embu achani chuki wadau mbona swala la malipo limekuwa gumzo sana kunawa tangia amezaliwa hajawai kuishika hata one milion lazama abishe sana naone kama nikitu kikubwa sanaa ila tambueni kwamba mtu ukiwa unaingiza kipato kikubwa atamatumizi yanakuwaga makubwa hivyo hivyo
@LailaLaila-kg2qd
@LailaLaila-kg2qd 10 месяцев назад
Swadakta
@gyeong5972
@gyeong5972 10 месяцев назад
Pemba Msondo ni Ngoma ambazo hupigwa kwenye shughuli za Harusi sana hutumia madumu au mapati na hata ndoo na nyimbo zake za utani utani
@MwinyimkuuMdimbe
@MwinyimkuuMdimbe 10 месяцев назад
Bai baii kulima mbazi
@LUJIGA_PODCAST
@LUJIGA_PODCAST 10 месяцев назад
Acha uongo Efm ulisema show ulikuwa unapiga kwa elfu hamsini leo hii unasema laki 8 duh acha kusema uongo kijana
@aronboy1
@aronboy1 10 месяцев назад
Jamaa ninoma
@AhmadyStence
@AhmadyStence 10 месяцев назад
Anaogopa kurogwa jina ataki kulitaja
@mymuhnabdallahshaban7763
@mymuhnabdallahshaban7763 10 месяцев назад
Bora yake yy mwez mie milion tatu kwa miez 4 ndo naingiza uhakika Kila miez minne ndo nifilishe milion 3 😢😢😢😢😢😢
@edwardkamina143
@edwardkamina143 9 месяцев назад
bora yako wew, mim million 3 naingiza kwa mwaka uhakika miez kumi na mbili
@MikidadJohn-br3cr
@MikidadJohn-br3cr 10 месяцев назад
Umepigaje apo
@HusseinKombo-o9t
@HusseinKombo-o9t 10 месяцев назад
Wewe mtwngazaji unazingua kwa nn umlazimishe kwenye utamaduni wenu wakati huyo ni dj wa kigodoro..mwache kwenye asili yake
@aminaomary5567
@aminaomary5567 9 месяцев назад
Vidoc maua yako❤❤
@amosihokororo9702
@amosihokororo9702 10 месяцев назад
Why utaki kutaja jina
@pascojm6816
@pascojm6816 10 месяцев назад
Personal reasons
@azizshaban45
@azizshaban45 10 месяцев назад
Misso Atulie sasa Asiseme ukweli wanamloga 🤣🤣🤣
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq 10 месяцев назад
😂😂😂😂nataka mbahazi😂😂😂😂
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 10 месяцев назад
✌👊👍.
@jescalushali494
@jescalushali494 10 месяцев назад
Bro unalamba sana lips😇
@sifatiiman
@sifatiiman 10 месяцев назад
lamba na wewe 😂😂😂
@jescalushali494
@jescalushali494 10 месяцев назад
@@sifatiiman nakubeli
@thedickisonilinusi
@thedickisonilinusi 10 месяцев назад
Ukiona anafaid lamba na wewe c unazo
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 10 месяцев назад
Dah ameanza kuramba midomo kama simba yaani wasanii wa Tanzania akitoka kidogo tu star 😂😂😂😂😂😂 sema nini big up sana upo kwenye wakati
@DicksonOnesmo-go1ts
@DicksonOnesmo-go1ts 10 месяцев назад
Kama. Umempeda sema
@AtusweghRichard
@AtusweghRichard 10 месяцев назад
mnaomwona misso msondo mwongo haya mjiandae mwezi wa 6 mje kusini tunakodi mziki laki6 kukesha milioni 😂😂😂 na hatujali
@fadhiligabriel-jz3xh
@fadhiligabriel-jz3xh 10 месяцев назад
Kumbe bad yank😂😂 lak nane mmmmh
@evisonchotta8675
@evisonchotta8675 10 месяцев назад
Ndugu Hakuna sehemu wa wanalipa Bei kubwa sound Kama vijijin ukiwa na sound kijijin ni Bonge la Ajila pia Biashara hiyo wanayoifanya wachache tofauti Na mjin kila Mtu anafanya
@Shaksi434
@Shaksi434 9 месяцев назад
Leo wafanyakazi wako unawaita chawa
@godlistenmuro9313
@godlistenmuro9313 10 месяцев назад
📌📌📌📌
@plutinumtitoo3041
@plutinumtitoo3041 10 месяцев назад
🔥🔥🔥
@japhetkavishe8
@japhetkavishe8 10 месяцев назад
Anaongea kwa mashauzi kisenge
@pascojm6816
@pascojm6816 10 месяцев назад
Hamna anaogopa kufunguka tu
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 10 месяцев назад
Sio hivyo bwana mbona jamaa yuko kawaida tuu
@JOHNJOHN-pu7wb
@JOHNJOHN-pu7wb 10 месяцев назад
Atajagi jina lake sababu mtamroga 😅😢😅
@HamisiMkwama
@HamisiMkwama 10 месяцев назад
Mbona muongo sana
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 10 месяцев назад
Aiseeer nilikua sijui huu msemo umetokea wapi, 😂😂
@africanasplumbing8780
@africanasplumbing8780 10 месяцев назад
Uko smart kujibu maswali
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 9 месяцев назад
Jina lako nani wewe misso kwanini weww ni mwislam au mkristo niambie nijuwe saw😅 hii hatari
@yusuphchimwala4126
@yusuphchimwala4126 10 месяцев назад
Kazingua uswahili hakuna show ya 1,000,000 pa day
@zianahkirua3616
@zianahkirua3616 10 месяцев назад
Zipo
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 10 месяцев назад
M 3??😂
@jastinmkoba
@jastinmkoba 10 месяцев назад
Sio sili tena ameshajiunga freemason tayali ila maisha yake ni mafupi sana😢😢😢
@abudulingasa6413
@abudulingasa6413 10 месяцев назад
Amchelewag
@BilihaniAdriano
@BilihaniAdriano 10 месяцев назад
😂😂
@josephlorri431
@josephlorri431 9 месяцев назад
Akili zako fupi.. ni wavivu tu wanaofikiri freemasonry huleta mafanikio.. jitihada ndo mafanikio
Далее
I LOVE MY TEACHER | 3 |
20:24
Просмотров 119 тыс.
VITUKO VYA KWENYE DALADALA ( DAY2)
11:30
Просмотров 133 тыс.
WAZEE WA MAKOTI MISSO MISONDO WATINGA BASATA
1:54
Просмотров 7 тыс.