Aaaah...wamechemka..eti milioni 13..wahusika wasionyeshe ukali wa kuchanganyikiwa...Hivi milioni 13 kwa life la sasa ni mchezo...harafu wanaongea huku wanawaegemea ...Aaaaa...No reaction yoyote ? Siyo kabisa
Kwani mimi sijui kwamba hilo ni igizo? Na siku zote kinachoigizwa kinabeba taswira halisi kwenye maisha ya jamii inayotuzunguka...Hata kama wakiigiza katika uhalisia wote bado litabaki kuwa ni igizo tu linalotoa ujumbe ndani ya jamii inayotuzunguka....Kwa hiyo nilichokiona mimi ni kwamba kuna kakipengele kadogo hakajakaa sawa katika kuigiza