Тёмный

Mkasi | S11E07 With Mh. Tundu Lissu - Extended Version 

MkasiTV
Подписаться 174 тыс.
Просмотров 1,1 млн
50% 1

Ingekuwa shule ya msingi, ungemuita Toto Tundu, kwa jinsi mwalimu anavyopata shida kukubaliana nae, ila katika hali aliyopo sasa, si tofauti sana....Namzungumzia Mhe. Tundu Lissu. Mmoja kati ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alie mahiri kwa kusema bila woga, na mwenye sifa ya kusumbua kiti kwa hoja zake makini ila mara nyingi zenye kuchokoza na kuhamsha mijadala motomoto.
Mtaalamu wa Sheria, na mmoja wa Mawakili wenye ruhusa ya kitaaluma kutetea katika mahakama zetu, Mhe Lissu amekuwa mmoja kati ya wabunge walioweza kuweka bayana utata wa kisheria unaoibuka katika hoja mbali mbali ndani ya Bunge, na pia amekuwa mstari wa mbele katika harakati mbalimbali za kisiasa na kijamii hasa pale msaada wa kisheria unapohitajika.
Wanamkasi wameamua kumuita kikaangoni, tuweze kushiriki nanyi yale machache aliyonayo, kadri muda unavyoruhusu.
Salama, Mubah na John ana kwa ana na Mhe Lissu kwenye Mkasi
Yote kwa hisani ya Coca Cola, Tusker Tanzania na Airtel Tanzania.
Follow MkasiTV on
Facebook : / mkasitv
Twitter : @MkasiTV

Опубликовано:

 

16 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 459   
@lichilasalumu7983
@lichilasalumu7983 4 года назад
Lissu ni mpinzani wa kweli kuwai kutokea Tanzania.
@arnoldbaijukya6011
@arnoldbaijukya6011 3 года назад
Umesema kweli
@seifnass3129
@seifnass3129 3 года назад
True ✌
@amanafi1288
@amanafi1288 3 года назад
Hawezi kuwa mpinzani wa kweli hii Nchi kwa Sera yake ya kuunga mkono Ushoga!!
@lichilasalumu7983
@lichilasalumu7983 3 года назад
@@amanafi1288 nawewe si shoga vile vile
@amanafi1288
@amanafi1288 3 года назад
@@lichilasalumu7983 Ningeukubali Ushoga c ningekuwa huo upande wenu
@yovitakayombo9724
@yovitakayombo9724 4 года назад
Ama kweli wewe ni Genius. Mungu azidi kukulinda na kukubariki
@philipkato6517
@philipkato6517 4 года назад
Kama unaangalia hii mwaka 2020 tujuane kwa like🤣😀
@philimonchindole8697
@philimonchindole8697 4 года назад
🔥🔥🔥
@angelombedule8378
@angelombedule8378 4 года назад
@@philimonchindole8697 o
@angelombedule8378
@angelombedule8378 4 года назад
, , , , z\S#Z#zzzZZzzz#************\\zzzzzzzzzzzzwZ******************\zzzzz
@shawnmichaels1893
@shawnmichaels1893 4 года назад
Ni msomi makini...
@saidjuma7880
@saidjuma7880 4 года назад
@@shawnmichaels1893 lisu ni kichwa sana mungu ampe afya njema
@samo5315
@samo5315 4 года назад
I love to listen when he talk. Hababaiki ni msomi mkubwa. Maneno safi hayana utata. You're the best Lissu. Allah blessings to you. Inshallah you will be our president.
@yibaimkmarket3290
@yibaimkmarket3290 4 года назад
After magufuli
@semanamitv898
@semanamitv898 4 года назад
Nimependa sana kwa the way anavyo jaribu kujibu kisomi zaidi. Exactly your the best and God may help you for the rest👏
@fanaismmsianaf9352
@fanaismmsianaf9352 4 года назад
Lissu for President! Mwaka huu ni mwaka wa madiliko
@samiramdachi7101
@samiramdachi7101 4 года назад
Nakupenda sana kaka yangu lisu unaongea point🙏🙏🙏
@mgendizabron1962
@mgendizabron1962 4 года назад
Mungu hakupe haja ya moyo wako
@jetirudajeei597
@jetirudajeei597 3 года назад
,
@jetirudajeei597
@jetirudajeei597 3 года назад
@@mgendizabron1962 .
@manyakuulaompondelo4419
@manyakuulaompondelo4419 4 года назад
Nani anaendelea kuangalia hii in 2020. Ebu gusa like
@gastordominic410
@gastordominic410 4 года назад
Tupo
@mrishosunga702
@mrishosunga702 4 года назад
Mm
@jacksonkalikumtimamuheta3319
@jacksonkalikumtimamuheta3319 4 года назад
Mbeba maono...
@bakarimkunyulia8682
@bakarimkunyulia8682 4 года назад
@@mrishosunga702 b.
@fidelismdendemi7675
@fidelismdendemi7675 4 года назад
nipo nipo hapa
@salehsaleh548
@salehsaleh548 4 года назад
Lissu ni more than president 🙌🙌
@dareenali6086
@dareenali6086 4 года назад
Kura yangu unaichukuwa 2020
@fahadfahmy
@fahadfahmy 9 лет назад
Muheshimiwa lisu big up wewe ni mtetezi wawazanzibari
@franaelmbise6594
@franaelmbise6594 3 года назад
Mh.Rais Mtarajiwa waoo very bright man foreal, Ni MTU kwenye akili nyingi Sanaa hakikaaa duuh I can't imagine Jaman wapendwa wenzangu Tumshukuru Mungu kwa kutupa zawadi hii ya mh.TunduALissu tuwalaani na kuwakanya vikali walijaribu kumuua wanataka kuzima taa ya Tanzania yaaan daaah jamb tafurahi Sana kuona tabasamu la FARAJA kutoka kwa #TunduALissu
@bintibaibe1958
@bintibaibe1958 4 года назад
This is the best interview I ever watched,best interview all the time till this time 2020 ✌️✌️✌️✌️Go lissu this is your time 🥇
@emeldasirvesta8511
@emeldasirvesta8511 3 года назад
Ni yeye Leo tarr 14 /10/20 naangalia tena
@samoocoolingsystem93
@samoocoolingsystem93 4 года назад
Like Za Tundu Lissu 2020
@romansuzana46
@romansuzana46 9 лет назад
Mhe Lissu tunaona harakati zako na chama chako and we real appreciate,Mungu azidi kukulinda.
@deogrtiasmassawe2646
@deogrtiasmassawe2646 5 лет назад
Suzana Roman kbs
@shukranrwesa7691
@shukranrwesa7691 4 года назад
Kama kuna mtu ninae mpenda wanasiasa bc ni tundu lisu
@kyambarungwematv6828
@kyambarungwematv6828 4 года назад
Msenge Sana wew ndiyo wale wale mabeberu
@romansuzana46
@romansuzana46 4 года назад
@Kyambarungwe ma TV Kuma la mamayako wewe,kwani umelazimishwa kukubaliana na Mimi.au ndio usenge uliousema maana ni wasenge tu ndio hawajui kuacha jambo liwapite.choko wewe
@gastordominic410
@gastordominic410 4 года назад
Mungu anamlinda kweli
@alexteophil.c9293
@alexteophil.c9293 5 лет назад
Huyu mtu ni maktaba yangu ya maarifa asee ..... i do appreciate the way he play his part in his right position.... Your one of the best aducated person in Tanzania with average level of education. We miss your presence in our lovely country... your wellcome back Tundu Lissu
@benjaminmtambo4868
@benjaminmtambo4868 4 года назад
Sugu mby
@1961nungwi
@1961nungwi 4 года назад
Masters degree in Law is not average: he is highly educated.
@shemsahemed3577
@shemsahemed3577 3 года назад
Maashaallah maashaallah maashaallah tundu lissu allah akulinde
@deodathkizito9637
@deodathkizito9637 4 года назад
TUNDU LISSU akili kubwa Sana karibu kwa nyumbani Tz.
@gastordominic410
@gastordominic410 4 года назад
Kabisa
@muhidinihassani520
@muhidinihassani520 5 лет назад
Huyu mtu anatisha (anaakili nyingi Sana)
@johnmalulu4131
@johnmalulu4131 4 года назад
Wewe unazo chache
@gregoryocalvin9122
@gregoryocalvin9122 4 года назад
John Malulu wivu wa kike
@denischacha9104
@denischacha9104 6 лет назад
Tundu noma
@kulwamwakagali24
@kulwamwakagali24 8 лет назад
Lissu ni Akili kubwa..✌
@angelrwiza5158
@angelrwiza5158 7 лет назад
asante
@missarngweshemi9983
@missarngweshemi9983 6 лет назад
Kulwa Mwakagali ana akili kubwa ila maarifa hana. Anaenda mbele anarudi nyuma
@rajabkisebengo9406
@rajabkisebengo9406 4 года назад
✌✌
@justinejackson1731
@justinejackson1731 Год назад
Tar 6/2/2023 nimeirudia hii interview ya mwamba, dah! Mungu azidi kukubariki.🙏🙏
@danfordkitwana6759
@danfordkitwana6759 4 года назад
ni miaka mitano imepita toka rais mtarajiwa afanyiwe interview hii. mwaka huu 2020 imekuwa dhahiri sana. TL is genious.
@caindunke8526
@caindunke8526 4 года назад
October 2020 inakaribia ✌🏽
@stevenhaule87
@stevenhaule87 4 года назад
Unaisikiliza interview ya 2015 mwaka 2020 na still unamuona mwamba mwenye misimamo ileile. Yaani interview kama ya mwaka huu
@gentlemantesha4184
@gentlemantesha4184 4 года назад
Huyu ndo anatufaa kuwa RAIS wetu
@hellengshani5524
@hellengshani5524 3 года назад
Hakika. Kusema haki, Lissu ni kichwa.
@mzuvendi
@mzuvendi 4 года назад
Tunai angalia leo 1/9/2020! Hawa wenye kipindi cha mkasi bakhili hata mgeni hakupewa glasi ya maji!
@nancyisaiha5912
@nancyisaiha5912 4 года назад
Thank you Mr Lissu for elaborating a little about politics
@jacksondaud4957
@jacksondaud4957 4 года назад
Mdogo wangu lissu mwenyezi mungu akujalie maisha malefu
@philemonphillip3842
@philemonphillip3842 8 лет назад
The great Tundu Lissu.. Genius . Keep up the same spirit ..my nmbr one Role model. Cheers champ.. Ur bttr than those low lives who milk money frm there own gvt and feel proud to be called rich while inthere heads there is nthng.. Continue leavng a legacy
@sheikhshekuehamzamzonge1658
@sheikhshekuehamzamzonge1658 8 лет назад
Allah tupe mwisho mwema
@omarmbega702
@omarmbega702 3 года назад
Mzonge wawapiwewe tanga
@godfreymarandu304
@godfreymarandu304 4 года назад
Huyu jamaa kweli ni kichwa sana
@oscarmmari5061
@oscarmmari5061 8 лет назад
Tundu Lissu is a brilliant politician and we are missing out not having him running the government.
@gastordominic410
@gastordominic410 8 лет назад
Good
@trophainamagogwa9991
@trophainamagogwa9991 4 года назад
He can not run may be by mouth
@ezekielmwadomba4675
@ezekielmwadomba4675 7 лет назад
Lisu,your awesome men!! keep going.
@simbabbq4427
@simbabbq4427 4 года назад
Lisuu raisiwetu sisihatutaki mabarabara tupemaisha tule natuwehuru barabaravakajenge chato
@elibarikilaizar5423
@elibarikilaizar5423 4 года назад
Tundu tunda la Tanzania Mungu akubariki Sana
@topotachilemba9196
@topotachilemba9196 4 года назад
LISSU NI BINADAMU WA KIPEE. HAJAWAHI KUFELI
@saumuhassan1365
@saumuhassan1365 6 лет назад
Hapo kwenye Elimu umenigusa sana
@jafetzmwacha1503
@jafetzmwacha1503 4 года назад
Mzee una akili Sana Watu Gonga like apa
@kelvinmtavangu8299
@kelvinmtavangu8299 3 года назад
Huyu jamaa hovyo, ushoga tuu
@ayubusikagonamo3875
@ayubusikagonamo3875 4 года назад
Mh. Rais kipenzi cha watanzania hakika wewe umebeba maono Mungu akulinde...
@gastordominic410
@gastordominic410 4 года назад
Mungu anamlinda
@annefridakisesa4910
@annefridakisesa4910 9 лет назад
I am absolutely impressed by Mheshimiwa Tundu Lissu's arguments, particularly on the issues of education and "special schools". Frankly speaking, compared to other countries which got independence at the same time as Tanzania, we have completely messed up on education. This will continue jeopardizing chances for national development by our future generations. If we didn't educate them properly, and give them much needed skills, what is the chance of this country being at par with other nations?? Can you believe that that this wonderful peaceful country has to be a recipient of WB grant for "Big Results Now in Education Program (BRNEd) Project", aiming to improve education quality in Tanzanian primary and secondary schools? This is after more than 50 years of independence? We really have to think seriously on electing right people, principled people with good governance.
@marccruz5765
@marccruz5765 3 года назад
I dont mean to be off topic but does someone know a trick to log back into an instagram account..? I was stupid lost my account password. I would love any tips you can offer me.
@thedonmassawe
@thedonmassawe 9 лет назад
I've been watching this show from day one. By far this is the best guest you've ever had on here. Politics aside this guy is brilliant. Note how forthright and upfront he was about politics. Take for example admitting the fact that opportunism is part and parcel of the game, but then he goes on to explain why it's not such a terrible thing. It's not about having a popular or an unpopular stance on issues it's how you defend that stance. Talk about kujenga hoja, huyu jamaa anajua! Of all the politicians you've had on here this guy is streets ahead of them, they all could learn a thing or two from him. You also get the impression he is in politics for the right reasons and not just to cater to his own ego. Mind you there is always a bit of an ego thing involved with people in such positions, but with him you at least get the sense that his ego and people's perception of him is not his main concern, and I don't think you can say that for any of his contemporaries that you've had on your program. I'm sure it's not the first time you've heard it before but dude! John and Muba you need to learn to let the conversation flow on its own, give the guests time to speak and don't rush them. It's not a race to see who gets in the most questions, it's a "conversation" which means "listening" to the other person before responding accordingly. So many cases, not only in this particular episode either, you sense a conversation is heading in a really interesting direction only for the guest to be asked a completely out of topic question that just kills the topic. Unajua saa nyingine mtu akinogewa anaweza kuongea (kuropoka) vitu ambavyo hajapanga ambapo ndo uhondo wenyewe wa interview ulipo, but if you interrupt the person talking atanogewa saa ngapi? But good work though, it would be unfair to not mention that you guys have gotten a lot better from the earlier days, so props for trying to improve.
@dct4lif
@dct4lif 9 лет назад
Your right tunaongea mambo ya afya ambayo i was very interested on hajamaliza wamerukia katiba there has to be a flow kama unavyosema and a transition. Inaboa sana. Nimependa aliyosema Lissu isipokua mambo ya muungano.
@kaizafulgence5415
@kaizafulgence5415 7 лет назад
thank you for saying this. I am less polite when it comes to Muba and his friend's interruptions and I think Salama should always try to bring the speaker back from her fellows' misquestioning.
@keshenigabagambi9384
@keshenigabagambi9384 7 лет назад
Donath Massawe.....
@officialadon1056
@officialadon1056 6 лет назад
,
@alutemughwai2185
@alutemughwai2185 5 лет назад
Donath Massawe
@selemansombe4177
@selemansombe4177 4 года назад
And I watch today...still the best politician.
@englengaipaul6000
@englengaipaul6000 6 лет назад
wewe ni taifa kubwa mh lisu mungu akulinde sana
@elisantennko7811
@elisantennko7811 4 года назад
Uko vizuri tindo letu na rais ajae tundu lisu ustishwe na wachache wanao rubuniwa na saani ya ubwabwa wa sku moja kesho walale njaa
@jivavaherode6191
@jivavaherode6191 7 лет назад
Anafaa kuwa Raisi wa nchi ya wanyonge wanao onewa
@shawnmichaels1893
@shawnmichaels1893 4 года назад
Ulikuwa unamaono aisee
@sniperbogo6210
@sniperbogo6210 3 года назад
@@shawnmichaels1893 huyu jamaa ni jembe sana basi tu watu wanajiondoa ufaham et katumwa lakini alianza zamani sana kutetea wanyonge
@aysherkabby5937
@aysherkabby5937 9 лет назад
Thank you Lissu..wanataka kumfanya Nyerere alikuwa kimungu mtu, Big NO You are the best Lissu....Kumbe Tanzania kuna watu kama hawa Aisee
@adildube775
@adildube775 4 года назад
Bado upo dada
@gadimbajo
@gadimbajo 4 года назад
Hichi kichwa binafsi nakikubali saaana....sijui mambo mengine ila namkubali
@enockheche5917
@enockheche5917 7 лет назад
Nimeamini watu wana laana kama mtu anaweza kujaribu kuua mtu wa aina hii ambae ni hazina kwa taifa hili, hii ni laana kabisa
@veronicamkenda2702
@veronicamkenda2702 6 лет назад
Wivu
@freemasonkingdom2847
@freemasonkingdom2847 6 лет назад
Iissu unajua siasa zidi kupakua madudu
@yohanapetro4937
@yohanapetro4937 4 года назад
Saa6 uck tarh 19-9-2020 Naangalia Mh. Rais Mtalajiwa Nani Kama Mimi
@tecnonkwenda8240
@tecnonkwenda8240 3 года назад
Naam
@martinanappa9627
@martinanappa9627 3 года назад
Naenda ukamfile mbwa huyo lisu.
@hassanyussuph4407
@hassanyussuph4407 3 года назад
Lissu ni mtu na nusu wallah
@mussaharun7257
@mussaharun7257 3 года назад
Naskia Kikwete alisema ni bora Dr. Slaa awe rais kuliko Lissu kuwa mbunge. The guy is talented. #NiYeye2020
@professamuddy5407
@professamuddy5407 3 года назад
Alisema hivyo kwakuwa anajua Lissu hua ana msimamo. Huyumbishwi kwahio wanamuogopa anawapa ukweliii!.
@Raysam-ki1rc
@Raysam-ki1rc 4 года назад
👇Tujuane hapa 2020
@elishuakivuyo140
@elishuakivuyo140 4 года назад
2020 Bado nimekusikiliza nakukumbuka pia
@abdallahyasin6829
@abdallahyasin6829 4 года назад
Kiongonzi wetu mpya
@merlisapeter2522
@merlisapeter2522 3 года назад
Ppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp
@merlisapeter2522
@merlisapeter2522 3 года назад
Ppppppppppppppppppppppplpppplppppppplppppppppppplpppplpppppppppppppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppppplpplpppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppoppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppopppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppppppplppppppplppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppplpppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp
@setielmashok6087
@setielmashok6087 4 года назад
Nimekuelewa sana
@japharytwaha8552
@japharytwaha8552 3 года назад
Ukweli Tundu Lisu ni mtu wa pekee sana Tanzania utakuta mtoto wa Shule hizo hajui hata maana ya well done pia hajui inasikitisha sana
@samtelah7578
@samtelah7578 4 года назад
Hichi ni kichwa aiseee
@andrewsadiki9914
@andrewsadiki9914 9 лет назад
Shukran Salama kwa kutualikia lissu tunakuomba na Jussa umlete. Muba hakuna lisiloshindikana mungu akijaaliya muungano wa serikali 2 hauna muda mrefu kaka yangu kama Nyerere,Hitler,Mobutu,Saddam,Gaddafi, Makaburu,Ussr. basi na hili lina mwisho kijana Ccm si lolote mbele ya mungu hawawezi kuishi miaka 500 kama yafirauni hizo ni akili za kikafiri kukipa kitu umri wa dumu daima
@obeidmpombwe9951
@obeidmpombwe9951 4 года назад
Mungu kweli alikupa kitu ndani yako uliongea Miaka kadhaa iliyopita kuwa tunakwenda kubaya kweli tumekuwa kubaya zaidi.
@selinaalbert8993
@selinaalbert8993 4 года назад
Waliona kizuri kisidumu wakasahau kuwa yupo mtetezi Yesu
@jacobmoses2175
@jacobmoses2175 3 года назад
Naiangalia 2020 but ni kama mpya
@barackmwakilema920
@barackmwakilema920 4 года назад
Mungu anaona mbali sana dah tungempoteza huyu mtu tungepoteza kitu cha thaman sana
@suysoni
@suysoni 9 лет назад
hahaha Lisu namkubali sanaaa 1:03:26, anakwambia anapenda sana kuchimba usiku ili kesho yake akawabane bungeni hehe
@lengaymaida434
@lengaymaida434 6 лет назад
Get like this soon mh.
@j.kassbante4709
@j.kassbante4709 5 лет назад
My learned man
@salimbwaya8243
@salimbwaya8243 4 года назад
Salama rudisha kipindi cha mkasi ni ktk ubunifu Bora kabisa uliowahi kuufanya maishani mwako
@patrickmwakisyala4877
@patrickmwakisyala4877 3 года назад
Lissu your always the best miaka hyo ya uwazi imepotea Mungu azidi kukupa afya njema na nguvu kuu ya kuendelea kupambana naiman ipo siku utaweza rudi na kuishi tena kwa aman tz
@Evod-dd3kw
@Evod-dd3kw 3 месяца назад
Hakika Mungu yupo kwa wale ambao hawaamini kua hayupo wa mwangalie kupitia Antipasi Lisu.watamuona Mungu baba aliye umba mbingu na dunia
@briansancedo9336
@briansancedo9336 3 года назад
Hakuna mtu ninaemwamini Kama huyu mwamba amekuwa msaada kwa watu miaka mingi, na amekuwa kimbilio katika kipindi kilefu yupo kutetea haki za watanzania huyu mtu anatufaa kutuongoza, ataongoza kwa haki mm naimani nae kwa kiasi kikubwa sana! Nimemfuatiria sana huyu atatutengenezea Katiba mpya na ndio msingi wa kizazi hiki na Cha kesho, tuache fitina za CCM, na tusipo itoa CCM mwaka huu, kamwe watu hawatapata haki tena, huyu Lissu tumchague atutengenezee mfumo mzima wa utawara, nchi hii itapigwa hatua na Wana nchi tutaona mafanikio makubwa, MUNGU akulinde tuvuke kwenye uchaguzi huu.
@MrLemunge
@MrLemunge 9 лет назад
yeah jamaa katisha !! kamanda lisu
@johakimdeogratias1304
@johakimdeogratias1304 7 лет назад
Melwyn Lemunge
@johnmarcelly8191
@johnmarcelly8191 4 года назад
Your the best one lissu don't give up God be with you
@GANG3MONEY
@GANG3MONEY 4 года назад
Nimeipenda hyooo
@mweshimiwaraisshikiliahapo8405
@mweshimiwaraisshikiliahapo8405 4 года назад
We Tundulisu kweli we ni shoga kwa sababu gani unavaa hereni
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 4 года назад
Wapi kavaa hereni,una uoni hafifu au ni mhemko wa kipumbavu
@jastonelazaro5944
@jastonelazaro5944 3 года назад
Unaweza kumtusi hata mzazi maana unamhemko kama uko ovulation period
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 4 года назад
Tanzanias Who are patriotic chase this Satan Lissu away in the name of God.Fukuza shetani Lissu
@husseningurukuru730
@husseningurukuru730 3 года назад
Hasante lisuu uko sahii
@amoslameckshapagala2332
@amoslameckshapagala2332 4 года назад
Lisu 4rever
@samelychesham3309
@samelychesham3309 4 года назад
Tundu lisu
@gilbertmtoshu4334
@gilbertmtoshu4334 3 года назад
Love u bro 13/10/2020
@davidommassy2002
@davidommassy2002 6 лет назад
Mubba na mwenzio in vilaza rudini shuleni, shule in muhimu sana, huenda mulisoma shule za kata
@maasaistudios7932
@maasaistudios7932 7 лет назад
february 16 2017,, still watching this....
@manyakuulaompondelo4419
@manyakuulaompondelo4419 7 месяцев назад
Nimerudi tena 2024 kuangalia hii kitu. Haichujiiiiii MIAKA TISA SASA!
@nestrysondegod3499
@nestrysondegod3499 4 года назад
Kam unaangalia hii video 2020 gonga like tujuane
@salehmadawa7035
@salehmadawa7035 4 года назад
Sjapata kuona msomi wa aina hii nimsomi wa hali hali ya juu
@abdullahmunish3988
@abdullahmunish3988 4 года назад
The genius
@matheomatheo9286
@matheomatheo9286 9 лет назад
siasa za kutenganisha watu walioungana ni hatari kwa raia kwa sababu watanzania wanapenda Amani kuliko kituchochote duniani mimi ningependa chama cha upinzani kishinde ili uwajibikaji uongezeke kivyama
@agerpityswai1555
@agerpityswai1555 7 лет назад
Zanzibar ni koloni la tanganyika💃💃
@lingsonmasoud2946
@lingsonmasoud2946 7 лет назад
Salama hahahaa huyo baba ako unamuhoj km mshkaj bn ila nmependa ilkua amaizng
@edwardvelidiana1864
@edwardvelidiana1864 4 года назад
Jamani!!!!!!
@primuskiiza6403
@primuskiiza6403 4 года назад
Nimegundua sana unapendwa. na Wasomi/ na wasio wasomi lakini wanajitambua. Congratulations. to you. Tundu. Lisu
@jaksonjulius9010
@jaksonjulius9010 4 года назад
Geneus LISSU
@zwwasost
@zwwasost 9 лет назад
Great interview. Asilimia 50 ya wabunge wetu wangekuwa na akili kama huyu mtu. Nchi ingekuwa mbali sana.
@immamlowe734
@immamlowe734 7 лет назад
Kumbe hujui tundulisu niadui nambamoja anajitahid kuzuia maendeleo lakin hataweza.
@primuskiiza6403
@primuskiiza6403 4 года назад
@Meshack Mliwa unapenda kutukana. Sana. Basi. Inafikirika kuwa. Unatoka. Katika Nyumba. Za. Udongo/matope !!!!!!!?
@primuskiiza6403
@primuskiiza6403 4 года назад
Big. Up. Toooo
@dismasfredy1711
@dismasfredy1711 5 лет назад
Pipooooooooz
@erickrichard4516
@erickrichard4516 3 года назад
Mungu akupe maisha marefu lisu. hakika tunamsomi tanzania.
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 4 года назад
Duh...hii clip Naikumbuke Sana....
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 4 месяца назад
Hizi speeches zinaishi milele
@hmwame44
@hmwame44 8 лет назад
Kitale upo juu
@twaibukihimbi1148
@twaibukihimbi1148 4 года назад
Pole mkuu
@lichilasalumu7983
@lichilasalumu7983 4 года назад
Lissu akili nyingi,25/09/2020
@stephenshayo734
@stephenshayo734 8 лет назад
Mh Tundu Lissu aalikwe tena kwenye kipindi hiki cha Mkasi na kipindi kitangazwe vizuri kuwa kitakuwa lini ili wengi tusikikose
@immamlowe734
@immamlowe734 7 лет назад
Stephen Shayo hatumpendi msalit mkubwa
@mansurnguja7306
@mansurnguja7306 4 года назад
Salama na wenzako hamna uwezo wa kumhoj Mh tndu Lissu mnaulza chenga2, ulizen Mambo ya maana kama Dada Farhiya Middle.
@husseinchiaseeds2653
@husseinchiaseeds2653 3 года назад
Hao sio wana siasa
@gastordominic410
@gastordominic410 4 года назад
Kweli feature President
@briansancedo9336
@briansancedo9336 4 года назад
Lissu anaona mbali sana
@gottaboy4178
@gottaboy4178 7 лет назад
mamae!!! yaani huyo muba alikua anazingua kwenye kipindi, sijui mlitumia kigezo gani kumuweka, bora mngeniita hata mimi
@edsonguja5471
@edsonguja5471 4 года назад
Kwel
@ilejedistrict6136
@ilejedistrict6136 3 года назад
Sure this is a real deal indeed !! HAKIKA MUNGU NDANI YA TANZANIA NA AMETUPA MTU
@yoveanyakarungu1547
@yoveanyakarungu1547 6 лет назад
Nice xana
@giftchotu6894
@giftchotu6894 5 лет назад
Jinga hili
@vicentmabulahakikalissuwwn4126
@vicentmabulahakikalissuwwn4126 4 года назад
Kazi unayo, rd tanzania tukutane tena kisiasa, mbn htaki krd? Umalz na kesi zako mahakamani
@fabiangabrielkidumya7284
@fabiangabrielkidumya7284 9 лет назад
inatubidi tuwe na uwezo wa kufikiri na kutenda vema ili tutimize wajibu wetu katika siasa na uchumi wa nchi yetu.KUA MWANGALIFU ACHA KULA RUSHWA
@numbeshocknumber6258
@numbeshocknumber6258 4 года назад
Bona hojazako nizakurenganusga tu .watanzania?nikusema ina ahadi yoyote kwa wanaimchi?
@blessedgombezi
@blessedgombezi 4 года назад
Leo yupo hapa kama mgombea urais
Далее
Mkasi - SO3E13 with Zembwela
28:10
Просмотров 274 тыс.
Mkasi - SO7E02 With Chidi Beenz
29:55
Просмотров 262 тыс.
World’s Tallest Man VS Shortest Woman!
15:07
Просмотров 18 млн
Mkasi - SO2E13 with Kibonde
28:15
Просмотров 139 тыс.
Mkasi | S11E08 With Ben Pol - Extended Version
52:38
Просмотров 40 тыс.
Mkasi | SO9E10 with Ali Kiba
26:54
Просмотров 233 тыс.