Yani hakuna kilichoniflahisha kumuona mkongwe professor Jay kumuoa mwanamke mzuri mwenye sifa zote sitahiki kama huyu. Mama Grace hongela sana sifa zote kwako mama. Na Mwenyezi Mungu awabariki
Professor Jay katoa nyimbo na ma vixen wanaovaa nguo za kiajabu.ila kaenda kwa mtu anaejieshimu.wanawake tujifunze kwa hili utakua na boyfriend anakuruhusu kila kitu ila mwisho wa siku anaenda kwa mtu mtulivu
Mungu hakusimamie wengi wanashindwa kujitambua wakiolewa na mastaa wanajisahau nao baada ya kuangalia nimeolewa na nani usiangalie ustaa angalia jina alisi la yule aliyekuoa ustaa weka pembeni