Dawa za tb ni kali sana, kama alikua hanywi vidonge vya protection ya vitu vya ndani ni hatari na bongo wengi hawajui wanapewa dawa bila hivyo vidonge, ni shida tupu yaani mmh😢
For Life transfer Factors sio dawa za kutibu nikuzuia magonjwa flani ni supplements hazitibu,nilikuwa nazo na sikuwa mgonjwa wa ini,maskini hajui ,wampeleke hosi apewe dawa hizo ako nazo sio zakutibu
Kuna mambo yanaumiza moyo sana, nikitizama Viongozi wanavyo timba nchi na raia walivyokuwa na shida nashindwa kuwaelewa hivi wanauchungu kweli na wananchi ?haswa pale wanapotumia fedha kwa vitu ambavyo sio muhimu kuliko huduma za matibabu kwa watanzania wasiojiweza ila wao wanawaza kujenga makumbusho kujengea maraisi wastaafu, kupeleka wacheza sinema nje ya nchi na matamasha kongamano kila kukicha 😭