Тёмный

Mkuu wa Majeshi wa Kwanza JENERALI SARAKIKYA, Asimulia Alivyoshiriki Kuliunda Jeshi 

Ulinzi Channel
Подписаться 76 тыс.
Просмотров 90 тыс.
50% 1

#wizarayaulinzi #jwtz #jkt

Опубликовано:

 

8 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 53   
@ibrahimmaulid2704
@ibrahimmaulid2704 Месяц назад
Hongereni sana na tunajimbo gezs J W T Z ni jeshi imara sana na liko vizuri big up sana bila kumsahau marehemu Brigadier Hashim Mbita ktk ukombozi wa bars la Africa haswaa kusini hongereni sana
@ibrahimmaulid2704
@ibrahimmaulid2704 Месяц назад
Hongera mzze WANGU Sarakikya kwa utumishi uliotukuka nidhsmu ya hali ya juu na ni askari mtiifu hukuunga mkono mapinduzi ya meaka 1964 I salute you Sir thks
@user-cy2vl6yh8p
@user-cy2vl6yh8p Год назад
Babu hongera sana nakupenda sana babu yangu mungu akulinde
@user-rt7cj8nj1z
@user-rt7cj8nj1z Год назад
Hongera sana baba yangu.Umeupiga mwingi.Najivunia kuwa na baba huyu kwenye familia ya kwetu.
@fadhilially8446
@fadhilially8446 2 года назад
Asante mzee wetu kwa mchango wako mzuri kwa taifa letu.We proud u and we love our army 💪💪
@patrickmarko4467
@patrickmarko4467 2 года назад
Hongera Jenerali Kwa kuunda jeshi letu na kuliwekea misingi imara
@denismabubu291
@denismabubu291 2 года назад
Mungu mbariki huyu mzee afike mwika 100 na wabariki pia viongozi wetu waliopo uzarendo km wa mzee huyu
@ishimwejoe
@ishimwejoe 2 года назад
Sandhurst graduate 🔝🙌🏾🔥
@rashidnagasangula2032
@rashidnagasangula2032 2 года назад
Huyu mzee pamoja na umri wake mkubwa akili yake ipo imara sana. Mwenyezi Mungu ampe umri mrefu.
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 года назад
Hongera Mzee wetu Gen Sarakikya. Mungu akujalie Maisha marefu.
@andrewlwilla8831
@andrewlwilla8831 2 года назад
Big up Mzee Sarakikya, tunakutakia maisha marefu.
@roymbeko6361
@roymbeko6361 2 года назад
BADO YUKO HAI.?
@IBENGM
@IBENGM 7 месяцев назад
Asante Mzee wetu kwa mchango wako kwa Taifa letu! Mungu akubariki
@herryshabanimakomberasimba9722
@herryshabanimakomberasimba9722 2 года назад
MZEE MRISHO SARAKIKYA MJUKUU WAKO REHEMA .M.SARAKIKYA ALIKUWA MTUKUTU SAANA
@emilianchibinda82
@emilianchibinda82 2 года назад
Afande ametoa darasa LA kutosha.Mliopo kazini, msikilizeni kwa makini.Tanzania tupo vizuri
@alfredcharles8029
@alfredcharles8029 2 года назад
Wonderful Jamaa brain yake bado iko intact kabisa ana flow vyema bila kumung'unya neno
@raphaelmwamakimbula9642
@raphaelmwamakimbula9642 2 года назад
Kweli tumetokea mbali aise,Mungu ashukuriwe sana!♥️🙏
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 5 месяцев назад
Hongera mzee Generali Sarakìkya kwa ùzalendo wako ,umesaidia kuweka historia ya Tanzania sawa, wewe ni mojawapo wa wanajeshi muhimu kwa ulinzi wa Taifa letu na msomi mzuri wa jeshi letu, Mungu akupe maisha marefu , ili nchi iendelee kupata mawaidha yako bora ya kizalendo.
@pthegentleman4293
@pthegentleman4293 Год назад
Thank You General for your Service! ( Hii ni Hazina Kubwa kwa Taifa na Uongozi kiujumla )
@mhochibiliclintony8625
@mhochibiliclintony8625 Год назад
Ofcoz huyu kamanda yuko very bright by nature
@maselemasele5959
@maselemasele5959 2 года назад
Afande wewe ndio msingi wa Kwanza wa jeshi letu jwtz hongera Sana kwa kwa uzalendo na kujitolea kwa ujenzi wa msingi mkubwa nahuta sahaulika kwa jeshi na Inchi yako
@abelalpha441
@abelalpha441 2 года назад
Mungu ibariki African Mungu ibariki Tanzazia Amen
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 2 года назад
Wazee ni Hazina. Jeshi Imara Ulinzi wa Mipaka yetu Uendelee. Tanzania Imara Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
@jumannerizimbura6750
@jumannerizimbura6750 2 года назад
Madini tupu, mzee MUNGU AKULINDE TUNAKUHITAJI SAAANA
@ngosicheleso5745
@ngosicheleso5745 2 года назад
Good news keep it up
@clementhiddi1486
@clementhiddi1486 Год назад
Salute
@hashimrashid6380
@hashimrashid6380 18 дней назад
Hongera
@daudkhatib4678
@daudkhatib4678 2 года назад
General. Ssrakiky. Nakupenda. Kwa. Ukatmu. Wako
@abelsariko1788
@abelsariko1788 2 года назад
Imekatikia njiani....tunaomba ndugu zetu wa ulinzi channel mtuletee muendelezo wake. Afande Sarakikya ni hazina kubwa sana kwataifa letu na historia. Tuendelee kufaidi kwake kwa kumshirikisha katika vipindi mbalimbali
@isaacngomuo5586
@isaacngomuo5586 2 года назад
Naunga. mkono huyu babu Generali mstaafu vyombo vya habari vimtumie kuchimba mambo mazuri ya zama I.
@alphonceephulaim1274
@alphonceephulaim1274 2 года назад
Father nimekusikiriza vizuri hapa lwaha tatizo lahuyu nikutengeneza picha lenyegarama kubwa harafu halinafaida siborakutama picha ya mr.maganga dar to Lagos et Loyola laninisasa
@clausemsemwa297
@clausemsemwa297 2 года назад
Hawa watu wapo hamuwahoji watupe madini....mpo bize na kina baba Revo na Hamp Rappa
@ericklaura7511
@ericklaura7511 2 года назад
Longlive mzee sarakikya
@sdeshnjwetr6707
@sdeshnjwetr6707 2 года назад
VIVA TANZANIA ♥️🇹🇿♥️♥️♥️💪🇹🇿♥️🇹🇿
@ambokileasheengai1140
@ambokileasheengai1140 2 года назад
Aliongoza Jeshi akiwa kijana na Mdogo kwa Gen Musuguri ingawa alifuata baadae yy ana enda 100 yrs
@michaelobunde753
@michaelobunde753 2 года назад
Yule aliyeongoza Vita kagera ndio nguli haswaaa
@abdillahchikota4303
@abdillahchikota4303 6 месяцев назад
Mungu akulipe kila la kheli
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 2 года назад
Huyo kamishna alikuwa na makosa,kumnyima general chuo,hajui jeshi ndo uti wa mgongo wa taifa hili?
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 2 года назад
Anenepa, alikuwa mwembambaaa
@khalidbelhasa2137
@khalidbelhasa2137 6 месяцев назад
Huyu sio mkuu wa majeshi wa kwanza Tanzania, baada ya uhuru
@mkizercypher125
@mkizercypher125 2 года назад
Saf mike
@ibrahimgwasma1223
@ibrahimgwasma1223 2 года назад
Hivi huyo ndo WA Kwanza? Msuguri ni wangapi
@rashidnagasangula2032
@rashidnagasangula2032 2 года назад
General Musuguri alikuwa wa tatu baada ya General Abdallah Twalipo
@salvatorymtunga2802
@salvatorymtunga2802 2 года назад
Huyo ni mkuu wa majeshi wa kwanza TZ.
@vicentelias491
@vicentelias491 2 года назад
Kwa lugha nyepesi yeye ndie alieliunda jeshi la wananchi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
@kelvinalex9982
@kelvinalex9982 2 года назад
General Wa Kwanza Si Abdallah Twalipo Sio
@patrickmarko4467
@patrickmarko4467 2 года назад
Lkn Sarakikya ndio mkuu wa majeshi wa kwanza wa TPDF
@williamdetkvant1313
@williamdetkvant1313 2 года назад
Ni hyu bro
@williamdetkvant1313
@williamdetkvant1313 2 года назад
Hyo ndiye mkuu WA majeshi wa kwanza bro ndie akafuata Twalipo,na ndio mkuu wa majeshi aliyekuwa mdogo
@binahmedjuma8681
@binahmedjuma8681 2 года назад
Mzee huyu ndio wa kwanza, Abdallah Twalipo ni wa pili.
@patricknyiti5303
@patricknyiti5303 Год назад
Huyu alichelewa sana kua General...Ila Cha kushangaza ndio mkuu wa Jeshi wa kwanza
@kipigapasilisungu2581
@kipigapasilisungu2581 2 года назад
.
Далее
БЕЛКА РОЖАЕТ?#cat
00:22
Просмотров 683 тыс.
#TBC: NYOTA WA WIKI - BRIGEDIA JEN.(MST) BAYEKE EP 2
26:33
WOSIA KWA MNADHIMU MKUU MPYA - AZAM TWO
16:26
Просмотров 157 тыс.
Stalin, The Red Terror | Full Documentary
1:23:53
Просмотров 24 млн